Mkuu, hawa vijana wa BAVICHA vichwani mwao ni 0Hahahaaah!
Kwani Wizkid kashinda?
Aya Nakamura je?
Na wale wengine wameshinda?
Au nao walifanyiwa petition uchwara za huko twita na kina vigogo wa huko kwao?
Labda sifatiliagi mambo vizuri, Wizkid ashawahi ungana na Buhari wanayemwona kwao km useless prezidaa? Je hakukemea sars?
Sasa kwanini hajashinda?
Vp na hao wengine nao walijiingiza kwny siasa za nchi zao?
Ujinga huu unaonesha ni namna gan una upeo mdogo wa kufikiria... Leta hoja za msingi za kumshauri na sio eti awaombe msamaha hawa wapiga kelele wa mtandaoni, ambao kwa namna moja ama nyingine hakujaathiri chochote katika kukosa kwake tuzo au kazi yake ya sanaa (rejea ile petition uchwara)
Hana sababu ya kumuomba yeyote msamaha zaidi ya kuwashukuru watu waliokuwa bega kwa bega na yeye kwa sababu katika category ile sio yeye pekee ndo kakosa, Kuna wengine 6 nao wamekosa ambao kwa namna moja ama nyingine ni bora zaidi yake
Acha mihemko na unafiki bro hahahaaah!
Ona huu ujinga sasa!Mshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za kimuziki. Pili ni kuwa anatakiwa abadili management yake maana hao mameneja wake wote wameshapitwa na wakati wanashindwa kumshauri vzr kimataifa ni wakati sasa wa kupata meneja atakayemwakilisha kimataifa.
Tatu aweze kusapoti muziki wa watanzania wenzake mana naona kila wanamuziki wenzake washindani wake wakitoa nyimbo badala ya kuwasapoti na yeye anakimbilia kutoa nyimbo na kwa kuwa ana access na media basi anajitahidi kuwashusha wenzake ili atrend yeye tu hilo ni kosa kubwa. Nne anapenda sifa kuliko chochote wakati watanzania wengi wanaomsapoti ni maskini kwa kiwango kikubwa sasa anapojibrand kila akinunua magari au majumba watu wengi hawapendi na wanakuwa na chuki kubwa moyoni aige mfano wa kina Bahresa hawapendi show off na wana pesa nyingi tu. Ni hitimishe dogo kazingua sana kmmk inabidi aombe radhi pia abadilike.
Shangaa sana mkuu!This is stupidity!
Watanzania tuna matatizo makubwa sana ya kiakili, kwamba aombe radhi kwa kua mwanachama wa chama cha siasa? Au sijaelewa vizuri
Mafanikio...!!!!Hivi mbona watu wanamuandama diamond tu
Je kina alikiba,harmonize na wengineo hawakushiriki kampeni za ccm?
Wanachukizwa na mafanikio yake, hivi vijisababu vya kutafuta kwa tochi vinatumika tu kama excuse.Hivi mbona watu wanamuandama diamond tu
Je kina alikiba,harmonize na wengineo hawakushiriki kampeni za ccm?
Mlezi wa WCB anasemaje?
Mjukuu unaupiga mwingi sanaKwani mlinzi wa sungu sungu mwenyewe anasemaje?