Nadhani akili ni Nywele.... Na nahisi kuna watu si tu kuwa wana vipara bali hata vichwa hawana...
You are such a loser. Umeshakufa kabla hata ya kifo chako. Stop spamming.
Nadhani akili ni Nywele.... Na nahisi kuna watu si tu kuwa wana vipara bali hata vichwa hawana...
Ndiyo yenyewe. Tizama oicha ya kushoto linganisha size ya bega nakiganja kilichoshika sponge ya poda. Bega kubwa. Tizama picha ya kulia chini kabisa kulia utaona source ya picha hiyo. Lakini jamaa kajitahidi kufotoshop.Ahahaha.Jamani sio photoshop hiyo?
Ndiyo yenyewe. Tizama oicha ya kushoto linganisha size ya bega nakiganja kilichoshika sponge ya poda. Bega kubwa. Tizama picha ya kulia chini kabisa kulia utaona source ya picha hiyo. Lakini jamaa kajitahidi kufotoshop.
Kama dunia isingekuwa na wanawake ningekuwa nimeshaCommit suicide.