baada ya mond kuondoka Poul alitembezewa kichapo na wananzengoHuyu Will Poul naye alishaenda kuangalia movie kwa Pdidy?
View: https://www.instagram.com/reel/DDTl7_zIgWF/?igsh=dTN1ZWVrOXVsdmVr
baada ya mond kuondoka Poul alitembezewa kichapo na wananzengoHuyu Will Poul naye alishaenda kuangalia movie kwa Pdidy?
Eti wanaita convoy ya tajiriNdo Ile safari aliyoondoka kwa mbwembwe za magari?

hizo chupa stajini utakaa kweli? kioo cha phantom X kikivunjwa wakenya hawana hela ya kukilipaHuyo kapuku ni muhuni tu ..fukara tu. Ona anakimbia hata na hela ya kupafom show tu.
Hapa lazima tuchekwe tuu: BLAND!Mondi bland kubwa hawezi perform kwenye hizo stuations za kijinga. Wakenya makanjanja sana
baada ya mond kuondoka Poul alitembezewa kichapo na wananzengo
View: https://www.instagram.com/reel/DDTl7_zIgWF/?igsh=dTN1ZWVrOXVsdmVr