Utamuharibia matangazo yake ya kibiasharaKitendo cha Diamond kumuunga mkono Samia kweye siasa uchwara kitamgharimu. Kwa sasa najiuliza kama huyu ni Diamond au Demon. Naoma msaada.
Diamond ni shoga tangu afumuliwe na PDidy akili zake haziko sawa.Kitendo cha Diamond kumuunga mkono Samia kweye siasa uchwara kitamgharimu. Kwa sasa najiuliza kama huyu ni Diamond au Demon. Naoma msaada.
Sasa yeye Diamond mbona anatupangia maisha si aishi maisha yake?Msipende kupangia watu maisha, kila mtu aishi maisha yake.
Zombie hilo mkuu; achana nalo.Una akili?
Una akili kweli mkuu? Watu wanaongea kuhusu Diamond wewe unajisifu kuhusu ushindi wa kuua raia kwenye maandamano?Mapinduzi kwa kupitia maandamano yakifeli kutokana na umakini wa Vyombo, kifuatacho ni kuchanganyikiwa na kulaumiana. Ngoma ya Watoto haijawahi kukesha, na ukiona maji yametulia ujue yana kina kirefu.
Usisahau pia ku unfollow na ku ripoti account husika.Pa kumkomoa Diamond ni kuacha kutumia bidhaa za PEPSI.
Akose huo ubalozi wa mabillioni.
Ana Mali nyingi ashachuma tayari ,uzuri vitega uchumi vingine huvijui....by the way kwani diamond alikutuma ukachome vituo vya polisi na vyoo vya stend au steshen za mwendokasi?Pa kumkomoa Diamond ni kuacha kutumia bidhaa za PEPSI.
Akose huo ubalozi wa mabillioni.
Sijawahi kumfollow! Youtube nimesubscribe channel nyingi za wasanii nikitulia nitatoaUsisahau pia ku unfollow na ku ripoti account husika.
Kwa diamond sidhani Kama ataathirika financially ni msanii ambaye ameshafika kwenye level ya kuwa hategemei Tena mziki aendeshe maisha yake labda kwa wasanii wengineUsisahau pia ku unfollow na ku ripoti account husika.
Mkuu kwa diamond kwa mtazamo wangu sidhani hiyo movement itamuathiri financially kwa sababu diamond amefikia level hategemei tena mziki aendeshe maisha yake amefanya investment nyingi za kibiashara zinasomlipa sana sana hii movement itawaathiri wasanii wengineUna akili kweli mkuu? Watu wanaongea kuhusu Diamond wewe unajisifu kuhusu ushindi wa kuua raia kwenye maandamano?
Kwa diamond sidhani Kama ataathirika financially ni msanii ambaye ameshafika kwenye level ya kuwa hategemei Tena mziki aendeshe maisha yake labda kwa wasanii wengine