Diamond anakula keki!

Diamond anakula keki!

Nyama choma pale ndo kwenyewe,maeneo ya majengo.Waliokuwa wakirusha pesa juu kina nani?
Hawa watoto wa kike na bonge JB......yule dada mwenye macho makubwa ya kurembua sijui anaitwa nani yeye ndo alikuwa anarusha pesa na huyu Wema.............Kwa ufupi wote walikuwa wamelewa na walikuwa wanapiga makelele sana.........Kaka kitu cha Mkulima kipo Dar Street nafikiri Kunta Kinte amekupa mwelekeo mzuri Karibu jamaa wanachoma nyama na Mtura pouwa sana
 
Ni kweli kunta Kite Bar ile ipo pale Dar streer mkabala na Guest maarufu za Devota..............Mi pale huwa nafuata Mitura na Nyama ya Mbuzi ukishusha na bia kadhaa raha mustarehe

dU!! MKUU UKINIKUMBUSHA MTURA MATE YANAJAA MDOMONI!!!
 
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!

427868_285270264907173_1258244857_n.jpg
mbona anakula kama sumu?
 
Hawa watoto wa kike na bonge JB......yule dada mwenye macho makubwa ya kurembua sijui anaitwa nani yeye ndo alikuwa anarusha pesa na huyu Wema.............Kwa ufupi wote walikuwa wamelewa na walikuwa wanapiga makelele sana.........Kaka kitu cha Mkulima kipo Dar Street nafikiri Kunta Kinte amekupa mwelekeo mzuri Karibu jamaa wanachoma nyama na Mtura pouwa sana
Bonge JB ndo nani mkuu?Hapo umeniacha kiaina.

Kuhusu mutura,mimi nilikuwa nikiipata Nairobi peke yake,ilikuwa nikifunga safari ya Nairobi basi mutura ni a must!ila sasa ndiyo nasikia pia ipo bongo hususan Moshi.Ni confusion tu ya majina na maeneo kwasababu it has been a while,lakini nakumbuka sana mkulima na kwa Kipanga kulikuwa popular sana,na bado naona ni the same.Itabidi tuwasiliane nikiingia Moshi mkuu.
 
Bonge JB ndo nani mkuu?Hapo umeniacha kiaina.

Kuhusu mutura,mimi nilikuwa nikiipata Nairobi peke yake,ilikuwa nikifunga safari ya Nairobi basi mutura ni a must!ila sasa ndiyo nasikia pia ipo bongo hususan Moshi.Ni confusion tu ya majina na maeneo kwasababu it has been a while,lakini nakumbuka sana mkulima na kwa Kipanga kulikuwa popular sana,na bado naona ni the same.Itabidi tuwasiliane nikiingia Moshi mkuu.
Karibu sana Kaka
 
Wasanii wasanaa waubongo flava wana vituko kweli kweli kama si vituko ni ujinga na zaidi ya ujinga. Wakianza kuugua wanaanza 'tumsaidie mwenzetu' Huu upuuzi mnaoufanya wa kubadilishana wanaume na wanawake kama nguo za ndani kiama kinakuja. Ulimbukeni utawaponza wasanii...Muhimu mrudi shule mkapata elimu zaidi na ufahamu zaidi kuliko mnalolifanya.
 
viingilio vya show alipanga yeye, hata na matumizi pia mumuingilie?
 
Kupata hela na kuwa na demu kama wema kwakweli umeukata ni hatua ya kimaendeleo nampongeza diamond kwa kufikia hatua hiyo kubwa upewe nini tena wote unakanyaga
 
Ila 99% percent ya watu ni ma haters humu!! Sasa hapo mnamsema huyo daimond kwa nini kwa mfano? Mlitaka ale keki kwenye meza ya kawaida au vipi maana sielewi kabisa mimi. Ni nini hasa cha ajabu kinachoonyesha daimond ana kufuru au ka over exagerate spending yake?

Jamaa ni birthday yake, kaletewa ka cake kake tena very very modest cake, ana ila huku akiwa ndani ya swimming pool na marafiki zake. Watuu oooo kufa kwaja, angalia sana ukiumwa sijui hatuchangi, mko wangapi, sijui ni mjinga haweki vitega uchumi.... hahahahahaha, kisa? JAMAA ALA KAKEKI TU HAPO KWA MAJI!!!! Dah!!

Kiukweli watu weusi tupunguze ku hate, tumeumbwa kufurahia maisha na pale mtu anapoonekana kufurahia maisha yake ni vizuri tukawa wenye furaha pamoja nae sio kuanza kutoa vijembe visivyo na msingi. So labda asiogelee hapo na kula keki kwa sababu atakuja kua sio star tena huko mbeleni au?
Kuja na kuondoka kwa akina awillo,sijui kanda bongoman kuna husiana nini na furaha ya huyo kijana. Kwani akijinyima ndio hata pita na atakua hivyo hivyo milele?!!
 
Ekchuzi mwa, huyo sio 'demu' wake, ni mtalaka aka exi. Manake hawajatuupdate kwenye media kurudiana baada ya dramatically kuachana.
Kupata hela na kuwa na demu kama wema kwakweli umeukata ni hatua ya kimaendeleo nampongeza diamond kwa kufikia hatua hiyo kubwa upewe nini tena wote unakanyaga
 
Ekchuzi mwa, huyo sio 'demu' wake, ni mtalaka aka exi. Manake hawajatuupdate kwenye media kurudiana baada ya dramatically kuachana.


Hapa kuna kitu kinaendelea,tutajua tu! Nakumbuka kuna kipindi Wema alinyanyuka kumtuza Diamond,kijana akakataa hela ya Wema!!!Sasa sijui leo kunani anang'ata cake?
 
Huyo jamaa pembeni ya Diamond anatamani kulishwa cake balaa!!Nahisi udenda umemtoka!!!
 
nafurahia drama zao! endeleeni kutuburudisha!
 
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!

427868_285270264907173_1258244857_n.jpg

Hiyo swimming pool utafikiri bwawa la kuogeshea wanyama...........mbwembwe zoote zile za kwenye magazeti oooh, jamaa kajenga jumba ba swimming pool ndani, khaaaa, ndio hii, mweee na mie ngoja nikachimbe kisima cha kuogelea nyuma ya nyumba yangu!

 
Back
Top Bottom