Baba Sharon
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 372
- 257
Hawa watoto wa kike na bonge JB......yule dada mwenye macho makubwa ya kurembua sijui anaitwa nani yeye ndo alikuwa anarusha pesa na huyu Wema.............Kwa ufupi wote walikuwa wamelewa na walikuwa wanapiga makelele sana.........Kaka kitu cha Mkulima kipo Dar Street nafikiri Kunta Kinte amekupa mwelekeo mzuri Karibu jamaa wanachoma nyama na Mtura pouwa sanaNyama choma pale ndo kwenyewe,maeneo ya majengo.Waliokuwa wakirusha pesa juu kina nani?