JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 83
Ha ha ha ha kazi kweli kweli
wakiumwa hawa wanataka kuchangiwa wapelekwe india si ndio?
ponda raha kufa kwaja mkuu,wakiumwa hawa wanataka kuchangiwa wapelekwe india si ndio?
Nyama choma pale ndo kwenyewe,maeneo ya majengo.Waliokuwa wakirusha pesa juu kina nani?Mi nilishawah kuwachana siku Moja Moshi walikuwa bar moja inaitwa Mkulima Bar .............Niliwaambia mkiumwa tusione mkiomba pesa za kwenda kwa Govinda.............Walikuwa wanakunywa na kurusha pesa juu
Duh, bethdei nyingine wallahi sio mchezo!
![]()
Nyama choma pale ndo kwenyewe,maeneo ya majengo.Waliokuwa wakirusha pesa juu kina nani?
Mkuu kama wewe ni mwenyeji ebu ni pm if possible.Umekosea kidogo mkuu, mkulima ni Dar es salaam street, majengo ni kwa kipanga- ila wote ni wataalamu wa nyama choma
NI KWELI...NANI ALIKUWA KAMA KANDABONGOMAN? nani ANAMKUMBUKA AWILO? JE KOFFI OLOMIDE? WOTE HAWA WAMEPITA, ITAKUJA KUWA HAWA VIJANA WANAOIBUKA SASA HIVI PENGINE VIWANGO VYAO VIKO CHINI SANA KULINGANISHA NA HAWA MAGWIJI WALIOKWISHA PITA? NINGESHAURI MUDA HUU WAUTMIE VIZURI MAANA NDIO UNAPITA HIVYO!!
Mkuu kama wewe ni mwenyeji ebu ni pm if possible.
Ni kweli kunta Kite Bar ile ipo pale Dar streer mkabala na Guest maarufu za Devota..............Mi pale huwa nafuata Mitura na Nyama ya Mbuzi ukishusha na bia kadhaa raha mustareheUmekosea kidogo mkuu, mkulima ni Dar es salaam street, majengo ni kwa kipanga- ila wote ni wataalamu wa nyama choma