Punda wa Dobi
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 594
- 235
umeelewa sana, kinachokusumbua ni ujuaji mwingi.
haya hongera kwa reply with quote. but kama ni auditor mzuri,
basi hizo hesabu tayari zitaleta mkanganyiko katika vitabu.
kaka kama umeshindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki,
basi ukieleweshwa usijisikie vibaya!
sasa hapa unanielewesha nini?