Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Aigwe shafti kabisa kwa sababu yeye ni msanii basi.
Kusuka nywele, kutoboa masikio, kupaka hina, sasa wanja eti kisingizio mimi ni msanii teh teh teh.....
bwabwa hili, ona hadi demu analishangaa
Nawapenda wasanii wa Arusha hawana mambo ya kujiremba wao ni bangi na mirungi.Huyu kabakiza moja tuu atimizi mambo ya kike.