Mkuu wewe mchokozi.Kuna watu huwa wananunua hizi show hasa hizi za AFCON. Mimi nilishawahi kujaribu sema nikaona ujinga mtupu. (In Ommy Dimpo's voice)
Mkuu wewe mchokozi.Kuna watu huwa wananunua hizi show hasa hizi za AFCON. Mimi nilishawahi kujaribu sema nikaona ujinga mtupu. (In Ommy Dimpo's voice)
Atakuwa anauza sura tuHuyo Joti kafata nini hapo?
Kuna watu huwa wananunua hizi show hasa hizi za AFCON. Mimi nilishawahi kujaribu sema nikaona ujinga mtupu. (In Ommy Dimpo's voice)
kuna watu hapa mav.i yamewabana, kuny.a hawanyi kujamba hawajambi ila ndo hivyo tena wafanye nini!!! Hongera sana diamond, uzidi kubarikiwa!
Kongozi kwani kuna shida gani akiwepo joti?Huyo Joti kafata nini hapo?
Simba ndio mfalme Ndo mana wote wanajita Simba Diamond Simba na kule zenji Simba anaunguruma Mnyama Oyeeeeeee ondoa shaka mkuuJameni tukumbukeni na sie hata huko mapinduzi kapu
Ndio ameinunuaHahahaa we jamaa bhana
Dah wewe ndo umeandika nini?Kira rakher na mungu akutangulie
Hawachomozi apa, wataishia kuchungulia na kurudi kwa hasiraWana swaga yao ya siku nyingi iliyokosa promota wanasema " DIAMOND NI MFANYABIASHARA WA MUZIKI SI MWANAMUZIKI" na watakutajia waliowahi kusema hivo, LAKINI CHA AJABU WAO WANAMUZIKI WANAISHIA MOMBASA KUFANYA SHOO,INA MAANA HATA MAPROMOTA WANAOWAITA WASANII KUFANYA SHOO HAWAWAONI WANAMUZIKI WANAMUONA MFANYABIASHA YA MUZIKI.