Diamond ahudhuria bunge kushuhudia Baba Levo akila kiapo

Diamond ahudhuria bunge kushuhudia Baba Levo akila kiapo

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,447
Reaction score
2,094
Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando Maarufu Baba Levo akieleza furaha yake Siku yake ya kwanza Bungeni ambapo leo Novemba 11. 2025 amekula kiapo rasmi kuanza kuwatumikia Wananchi wa Jimbo la Kigoma Mjini

Msanii Diamond Platnumz alihudhuria mkutano huo wa bunge ili kushuhudia Baba Levo akila kiapo, wengine wakiwa ni Mke wa Baba Levo pamoja na mtoto wake


 
Aiseeeee, hii nchi imevamiwa kwa kweli, namana huko bungeni ataacha kutama maWOWOWO kweli!
 
😆😆 anaonekana hivyo ujue
Ni kweli 😅
Truth Lying GIF by Tangina Stone.gif
 
Back
Top Bottom