wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Nadhan kweli vjana maadili yamewaishia had mnapendekeza kahaba aliyefia kwny ngono kisa mziki agombee jimbo tena UBUNGO mnawatusi wanajimbo hilo kwan alikosa kwao na hlo domo ndo aje kugombea
DAR aende kwao akawaongoze weu na wachawi wenzake huko! And lets thnk be4 poxtn' something online as it makes the poster look unwise and more than insane plus unsound employ your knowledge to judge on things guyz!EDIUS DEUS UDSM (LAW)
Kuna Watu Wana Akili Ndogo Kama Panzi,mtu Na Akili Zake Kabisa From No Where Anaibuka Na Kudai Eti Diamond Agombee Ubunge,jamani Itafika Mahali Hata Wauaji Nao Watapendekezwa Kugombea Ubunge,ukiandikwa Sana Magazetini Kwa Tabia Zako Chafu Ndo Unafaa Kuisimamia Serikali? Leo Hii Diamond Tayari Ana Political Charisma?
Nimeshasema Mara Nyingi Sana Kuwa Hakuna Mwanachama Wa CCM hata Mmoja Mwenye Akili Timamu Kabisa,hakuna Wewe Mtazame Faizafoxy Alivyo Foxy Ktk Kukoment,mtazame Msalani,ccm Ni Hivyo Kabisa,na Kweli Wanaweza Kumuweka Diamond Agombee Ubungo.