shaks001
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 1,246
- 1,071
ni majimbo mawaili tu yanayoweza kumfaa huyu pimbi. Ni mbagala na chalinze
Na magogoni mkuu!Au bado halijawa jimbo bado?
ni majimbo mawaili tu yanayoweza kumfaa huyu pimbi. Ni mbagala na chalinze
Ni ukweli usiopingika kwamba Mchango wa Diamond kwenye uenezi chama ni sawa kabisa na ule wa Kapteni Komba..
Uwepo wake kwenye mikutano ya chama una impact kubwa sana kwa hiyo Chama inabidi kimtunuku walau jimbo..
Ni kweli atashinda maana taasisi ya urais imekuwa ya kisanii hasa awamu inayoisha!
Hivi SUgu MBUNGE wa mbeya mjini uwezo wake alipimwaje?
Dawa ya moto ni moto.CHADEMA mmejaza viongozi wa juu wa chama chenu watu wa kilimanjaro.Kwa nini na nyie tusiwashughulikie ukabila wenu mkikanyaga maeneo yetu?
HACHA UBAGUZI HAULIPI HATA KIDOGO.TANZANIA nchi yetu na TAIFA letu sote,halina ITIKADI,KABILA wala DINI
Kawaambie CHADEMA huu ujumbe
Aliyekwambia wana Ubungo ni mazuzu ni nani?
Vijana kina nani uliokaa nao wakalalamika???
Mmekaa kikao cha chama ambacho kipo against Sugu, ww unadai vijana wa Mbeya wanalalamika, that's absolutely not:sly:
Kha,,,,,,!!! Vilaza tu ndio wanaweza kumchagua huyo.
Mbona Sugu kashinda!! Wakati diamond yuko juu kuliko Sugu!! Naunga mkono hoja 100%.Itabidi wapiga kura wanye gongo na viroba siku hiyo maana akili ya kawaida hapo haihitajiki