Diamond agombee ubunge jimbo la Ubungo

Diamond agombee ubunge jimbo la Ubungo

Ubungo ni jimbo lisilo na vijana wenye fikra mfu kama zako,Ubungo ni moja ya jimbo lenye wingi wa vijana wasomi nchini!mtafutie jimbo lingine akagombee

Acha hizo jimbo la ubungo lingekuwa limejaa wasomi lingemchagua Mnyika kuwa mbunge ambaye hajui hata digrii ni kitu gani?
 
yaani atole urais hadi ubunge ??acheni zenu huyo ni rais wa wasafi hawezi kuwa mbunge
 
labda kama kuna mashindano ya ukubwa wa dushelele bungeni
 
East African Eagle

Alafu nyie ndo wapiga kura wenyewe! Ndo maana tz imefika hapa kumbe..

Sasa kama unataka domo kubwa awe mbunge kwa umaarufu wa kimziki, nachelea kusema wewe unatamani hata michael jackson angekya mungu!
 
Last edited by a moderator:
Shetani huyo, labda mashetani wenzie ndio watampa kura kwa cc ambao co mashetani atuwezi mpa huyo ,myaribifu wa jamiu
 
East African Eagle

Mpaka utakapo fika mwezi wa kumi, hirizi ya Diamond itakuwa imeshaisha nguvu, so hatokuwa na ushawishi tena
 
Last edited by a moderator:
Ntampata wapi kama yule nilompedaga sana...ha ha ha ha ha domo..ndi mbunge wa ubungo nahama mji....
 
Mleta uzi huu mwambie huyo mkata mauno wako akagombe nyumbani kwenu
 
Ubungo ni jimbo lisilo na vijana wenye fikra mfu kama zako,Ubungo ni moja ya jimbo lenye wingi wa vijana wasomi nchini!mtafutie jimbo lingine akagombee

Kweli mkuu, jimbo lenye chuo kikuu mama cha Taifa, tuchague Diamond? Hata kuisikia ccm hatutaki, hata hivyo nakumbusha kuwa MNYIKA anahati miliki na hili jimbo kwa miaka 99. Kama hamuamini mleteni yeyote Ubungo halafu November tukutane hapa kwa mrejesho!
 
Hii nchi! Mpaka vichaa watapendekezwa kuwa viongozi. Lakini tusishangae, huenda CCM wakamtumia ili kupata kura za vijana waliochoka na maisha.
 
East African Eagle

Kuna Post flan nimekuta ukiacha kujadili hoja na kuamua kuchambua majina ya watu nikajua labda bahati mbaya, huku tena umeandika nn hk? nyiny uvccm ebu panukeni kiakili mbna munaboa hv? yan diamond awe mbunge??

oh shiit u ar not serious, ok tuambie na Dokii naye unapendekeza aende jimbo gan.. huwez amini haka ndiko kaupeo kako kakufikr, jf sio level yako ndugu, nimeona nikwambie ukweli.
 
Last edited by a moderator:
He kwa vile mtu ni star wa bongoflevor basi awe mbunge,Diamond hawezi kwanza sio critical thinker,mtu mwenyewe anaongozwa na kina babu tale,acha tu abaki kuwa muimbaji
 
Kweli Kabisa Mkuu,

Juzi nilikuwa pale MAFIAT, vijana wa pale wanajuta sana kumchagua SUGU, vyote alivyowaahidi hajatekeleza hata kimoja!

Mara uko Arusha kwa lema mara Mbeya kwa sugu kote uko unatafuta wanaume si utulie na mmeo tu mama kuna Ukimwi
 
Napendekeza Mwanamuziki Diamond agombee ubunge jimbo la ubungo uchaguzi ujao.

Ubungo kuna vijana wengi wa mitaani ambao Diamond ana uwezo mkubwa si tu wa kuwashawishi wampe kura lakini ana uwezo pia wa kuwasaidia vijana wengi kwa kuwa yeye mwenyewe katokea maisha ya mtaani hadi kufikia hapo alipo kung`ara kimataifa.

Na pia ni kijana aliyekomaa kimikakati ya kimaisha ni rahisi kufunza vijana wenzie.

Sahihi kabisa! Hata mimi na-suppopt hoja yako tena agombee kupitia CCM atalichukua kiulainii! Si unaona juzi kwenye maadhimisho yenu kule Songea alivyojaza watu!?
 
jamani jf ni home of great thinkers, hv aina ya kina East Africa Eagle nawo ni magreat thinker? mods watu kama hawa ingekua njema sana mungekua post zao mnahamishia kule jukwaa la mapenz uhusiano na mashostito hukohuko..!
 
Back
Top Bottom