Diamond agombee ubunge jimbo la Ubungo

Diamond agombee ubunge jimbo la Ubungo

Ni mawazo ya Kijinga kama kila mtu anayefanya wezapata pesa kwa kuchochea ngono etu leo aje awe mbunge. Kipaji chake yawezekana ni Mipasho ya Mziki na wala awezi kuingia kwenye Siasa akaperform.

Asubirie wabunge wa Kuteuliwa CCM ili awawakilishe vijana kunengua Viuno bungeni.

Na tena akijidanganya Kugombea hatafail miserably.

Jamaa huwa anavaa sketi kwa hiyo akagombee viti maalum
 
Ni ukweli usiopingika kwamba Mchango wa Diamond kwenye uenezi chama ni sawa kabisa na ule wa Kapteni Komba..

Uwepo wake kwenye mikutano ya chama una impact kubwa sana kwa hiyo Chama inabidi kimtunuku walau jimbo..

Unadhani kujua kuimba na kunengua ndo sifa ya kuwa mbunge? Sabbu sifa nyingine diamond hana!!! Sijui wenzangu wana ccm mnasemaje?
 
Wasi wasi wangu asije kuwapiganao wabunge wote wa KE mjengoni.
 
Mtoa mada amekosa chakuandika ndio maana anakuja na mada zenyr matege na macho ya makengeza , eti eti diamond ni kijana aliye komaa kimikakati ya kimaisha, yepi hiyo ??

Au stori za udaku ndio zinakufanya uchanganyikiwe nakudhani kwamba anaweza kifanya mambo zaidi ya kubadilisha wanawake , to hell !
 
Ni mawazo ya Kijinga kama kila mtu anayefanya wezapata pesa kwa kuchochea ngono etu leo aje awe mbunge. Kipaji chake yawezekana ni Mipasho ya Mziki na wala awezi kuingia kwenye Siasa akaperform.

Asubirie wabunge wa Kuteuliwa CCM ili awawakilishe vijana kunengua Viuno bungeni. Na tena akijidanganya Kugombea hatafail miserably.

Huyu dogo ni punda wa wanene
 
ni majimbo mawaili tu yanayoweza kumfaa huyu pimbi. Ni mbagala na chalinze

Kama hamjagundua diamond ana cheap popularity kama alivyokuwa mr nice wengi wanao mshabikia ni narrow minded sasa sijui huo ubunge anaupatia wapi maybe kwasababu hii nchi imejaa misukule anawez kuwa hata prime minister hahahahahha
 
Kweli akawawakilishe wavaa hereni

We kaburu mbaguzi mkubwa

Tatizo lenu mnafikiri kuna watu ambao kazi yao ni kuwapigia kura tu wengine wao hawatakiwi kupigiwa kura.Kila mtu ana haki ya kupigia kura na yeye vile vile kupigiwa kura akitaka.Nchi hii sio ya wasomi peke yao ni ya wote.Hivyo hata wavaa heleni waweza piga au pigiwa kura.

Mnataka wavaa heleni waje kuwapigia kura ila hamtaki wao wapigiwe kura!!! Mnashangaza!!!
 
East African Eagle

Kwa Diomond UBUNGE ni mdogo sana kwake hasa ukizingatia anajulikana KIMATAIFA nadhani ni vyema akagombea URAIS kwa tiketi ya CCM! Na tutampigia kura nyingi sana na lazima CCM ishinde kwa kishindo.With My Number one lazima azipate za kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Anaweza akashinda kama umri wa kupiga utashushwa mpaka miaka nane na kuendelea........
 
Ww kihiyo kweli ww, BUNGENI hakuna kazi ya Um.alaya....umesikia...!? Kuwa na adabu....!!

Ungesema aende Sinza Corner bar 9t...ningekuelewa...!!

I can't imagine how fool you are....!!! Ataongea nn bungeni huyu KILAZA hata std 7 ni shida...!!! Maalabuk....!!!
East African Eagle
 
Last edited by a moderator:
Kwa Diomond UBUNGE ni mdogo sana kwake hasa ukizingatia anajulikana KIMATAIFA nadhani ni vyema akagombea URAIS kwa tiketi ya CCM! Na tutampigia kura nyingi sana na lazima CCM ishinde kwa kishindo.With My Number one lazima azipate za kutosha.

Ni kweli atashinda maana taasisi ya urais imekuwa ya kisanii hasa awamu inayoisha!
 
Mleta uzi huu akili yake imechafuka maana ubongo wake umekaribiana na utumbo wa kkiny .s
 
Agombee kura za maoni CCM siyo jimbo la Ubungo Ubunge....hana uwezo!!!!
 
Back
Top Bottom