Dhifa ya Kitaifa na Obama: Mbowe ndani ya mwaliko Ikulu

Kwa ujinga wako unadhani mtu akialikwa kwenye dhifa kama ile anatafuta kwenda kula. Watu wanaoalikwa pale wanau uwezo wa kula vizuri kuliko kile wanachokikuta pale. Usifikiri ni watu wa aina yako ambao mkichangia sh.10000 kwenye sherehe unataka ule ambacho ni equivalent vinginevyo mnaanzisha vagi. Hovyo!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

juha kalulu tafuta pa kumwaga pumba zako!
 
CCM bwana! kwahiyo mlikuwa na wasiwasi kuwa huenda akakataa mwaliko. CHADEMA hawahongwi dhifa kichapo kwa mafisadi kipo pale pale
 
CCM bwana! kwahiyo mlikuwa na wasiwasi kuwa huenda akakataa mwaliko. CDM hawahongwi dhifa kichapo kwa mafisadi kipo pale pale

Serikali haikuwa na lengo au jaribio la kuwa jaribu wapinzani kupitia mwaliko!

Serikali imeutoa kwa moyo mkunjufu kabisa, ila hoja ni kwamba, vipi ile susa susa ya Mbowe na chama chake jana ilienda wapi?

Maana CHADEMA kwa kususa!
 
Serikali haikuwa na lengo au jaribio la kuwa jaribu wapinzani kupitia mwaliko!

Serikali imeutoa kwa moyo mkunjufu kabisa, ila hoja ni kwamba, vipi ile susa susa ya Mbowe na chama chake jana ilienda wapi?

Maana CHADEMA kwa kususa!
Tuntemeke clan who is on duty now ha ha ha lost kids you cant work apart from being used as a female condom with people such as mwigulu
 
Tuntemeke clan who is on duty now ha ha ha lost kids you cant work apart from being used as a female condom with people such as mwigulu

Hey! why speculating? the only one between me and you, who is being used for all this time is you. But the only challenge facing me, is to find out who is actually using you between Mbowe and Dr Slaa! and believe me, soon I will.
 
Hey! why speculating? the only one between me and you, who is being used for all this time is you. But the only challenge facing me, is to find out who is actually using you between Mbowe and Dr Slaa! and believe me, soon I will.
Ha ha Mwigulus toy boy mind your grammer, how much tonight ,are you cashing, you need to protect your thing between your thighs as you sit and eat for Mwigulus purpose
 
Ha ha Mwigulus toy boy mind your grammer, how much tonight ,are you cashing, you need to protect your thing between your thighs as you sit and eat for Mwigulus purpose

Is this a trick or something? why struggling to change the topic?

What is your opinion concerning the presence of Mbowe in the state house yesterday?
 
Ha ha Mwigulus toy boy mind your grammer, how much tonight ,are you cashing, you need to protect your thing between your thighs as you sit and eat for Mwigulus purpose

If you need to know how much I make a night, please PM me and you will have all the infos you've requested.
 
Kwa ujinga wako unadhani mtu akialikwa kwenye dhifa kama ile anatafuta kwenda kula. Watu wanaoalikwa pale wanau uwezo wa kula vizuri kuliko kile wanachokikuta pale. Usifikiri ni watu wa aina yako ambao mkichangia sh.10000 kwenye sherehe unataka ule ambacho ni equivalent vinginevyo mnaanzisha vagi. Hovyo!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Kwa ile ruzuku anakula vzur tu
 
kama kweli Mbowe alikwenda sina la kusema............................. naduwaa tu! ka nchi haka1! tehe tehe tehe
 
Mbowe nae wale wale SITAKI NATAKA huyu ndo aliongozaga mgomo wa kutomtambua rais, mwisho wa siku akaonekana ikulu anakunywa chai, huyu pia ndo aliongoza kupinga posho kumbe alikua anachua pesa nying tu kama kiongoz mkuu wa kambi ya upinzi hivyo kwa hili siwez shangaa WATANZANIA tuwe makini sana na vyama vyetu vya siasa angalia hawa watu kina MBOWE,MBATIA, LIPUMBA, MREMA, MTIKILA NA N.K sasa nenda tu kaombe kuwa kwenye nafasi kama ya mbowe kama chama akitakufuza we utakua na bahat, na pale hizo nafas za wenyekit,katibu zina mkwanja mrefu usiombe kiufup CHAMA CHA SIASA ni kikund fulan cha watu kinachotambulika kisheria chenye nia ya kushika dola, na katika chama chochote kile kuna wezi(mafisad) mule(ndo maana wengine nasikia waligawana ruzuku),kuna watu kweli wenye malengo ya kujenga nchi na kunawengine bendera kufuata upepo hata hawaelewi kitu wao kaz yao kumezeshwa kama kasuku, tuwe makini na siasa za afrika watu kama kina ODINGA walikua maarufu leo wakwap mwanzon alionekana mzalendo kumbe wale wale tu
 
Masuala ya viongozi wa vyama vya upinzani kualikwa kwenye dhifa kama hii ni yakawaida tu.

Imani hailetwi kwa jambo moja tena lisilohusisha mazungumzo ya moja kwa moja.

Ni sawa na mpiga kura kupewa kofia ya kijani na nyota nyekundu kisha unampgia kura ya ndiyo mgombea aliyekupa kofia.

Hakuna uhusiano kati ya Kura yako kama mwananchi na kofia uliyopewa.

Imani hujengwa kwa mazungumzo ya ana kwa ana yanayofuatiwa na vitendo halisi vya kuheshimu sheria na taratibu za nchi.

Kwa wanasiasa makinda ambao bado wanaishi kwenye viota vya makada muflisi, wakiona mbowe anasalimiana na Rais Kikwete basi wanajua vile vibano vya kisiasa inavyopewa serikali ya CCM sasa basi.

Huo ni ungumbalu wa kisiasa ambao hauna nafasi hapa JF
 
Vichaa nyie mmepewa likizo Mirembe? Dhifa aandae Kikwete mialiko atoe Obama hivi mzima wewe?????????

Aibu , unajua watu wanao itwa " secret service"? au unajisemea mambo hovyo, kila aliyeandikwa kualikwa wanataarifa naye! Jifunze mambo kabla ya kuropoka
 
Aibu , unajua watu wanao itwa " secret service"? au unajisemea mambo hovyo, kila aliyeandikwa kualikwa wanataarifa naye! Jifunze mambo kabla ya kuropoka

kwako watakuwa watu wa ajabu sana lakini kwangu mimi ni majirani zangu
 
Back
Top Bottom