Naomba msaada wa haraka kuna taasisi ya kupeleka wanafunzi vyuo nje ya nchi nimempeleka mwanangu India nimelipa pesa yote lakini mwanangu india anasumbuliwa kuwa bado fee yake hajalipwa na ameambiwa hatufanya mtihani na tangu aende india ana wiki tatu.
Kila nikimwambia muhusika mbona fee hujalipa wanamsumbua kijana ananijibu achana nao nitaongea na director mpaka leo kimya hajalipa niende wapi kwa haraka nikapate msaada.
Kila nikimwambia muhusika mbona fee hujalipa wanamsumbua kijana ananijibu achana nao nitaongea na director mpaka leo kimya hajalipa niende wapi kwa haraka nikapate msaada.