Dhana ya kuombewa

Dhana ya kuombewa

Tulipiga kelele sana wakati wa kampeni, kulikuwa na viashiria vingi kuwa huko tuendako mambo yatakuwa si mambo...viashiria vilikuwa vya wazi kabisa lakini watu walishangilia na kusifu, sasa picha inakuwa angavu zaidi
Hiivi mbadala wake alikuwa yule aliyekatwa na ccm ? ...daah kweli maumivu ya jino si sawa na ya sikio !
 
Mwangalie Mwenyekiti wa chama chako utagundua ana makengeza kama baba mkwe wake mwanzilishi wa chama na kuna mgombea Urais ambaye aliomba alambishwe asali wakati hali yake ilipokuwa dhoofu

Chama changu? Mbona unajiongelesha ovyo?
 
Sijakuelewa.
Mwangalie Mwenyekiti wa chama chako utagundua ana makengeza kama baba mkwe wake mwanzilishi wa chama na kuna mgombea Urais ambaye aliomba alambishwe asali wakati hali yake ilipokuwa dhoofu
Wewe ndugu Kama hupumuliwi kisogoni sijui? Mwanaume unakuwa na tabia Za kichoko kiasi hicho!
Tabia za kichoko ni hiyo ya kujiita kizibo1 umeziba wapi panapovuja ?
 
Wana jf Mimi sioni tatizo sana kwani japo wanatusihi tuwaombee hawajatoa namna n.a. aina ya maombi.Ni ruksa kuwaombea wafanikiwe au la! Hakuna wa kupangia wengine nini cha kuombea.
 
Mwangalie Mwenyekiti wa chama chako utagundua ana makengeza kama baba mkwe wake mwanzilishi wa chama na kuna mgombea Urais ambaye aliomba alambishwe asali wakati hali yake ilipokuwa dhoofu
Tabia za kichoko ni hiyo ya kujiita kizibo1 umeziba wapi panapovuja ?

Utakua kwenye heat ndio maana unawashwawashwa.
 
mshana jr umenikumbusha habari ya Mfalme Sauli, ambaye kila mara alikuwa anahitaji kuombewa na Samweli. Tabia yake ya kutaka kuombewa kila mara ni kwa sababu hakujiamini, hakuchaguliwa na Mungu, alikuwa na roho mbaya na muuaji.
 
mshana jr umenikumbusha habari ya Mfalme Sauli, ambaye kila mara alikuwa anahitaji kuombewa na Samweli. Tabia yake ya kutaka kuombewa kila mara ni kwa sababu hakujiamini, hakuchaguliwa na Mungu, alikuwa na roho mbaya na muuaji.
Ni Kama vile tunaishi nyakati za mfalme Sauli
 
Utakua kwenye heat ndio maana unawashwawashwa.
2546de9819dea6d27a220afced5ebc08-1.jpg
 
ndugu unakosea mahali hata biblia katk kitabu cha 1 timotheo2:1-4 anasema sala dua maombezi yafanyike kwa wafalme na wenye mamlaka na vzur kusikia kiongoz anahtaji maombi ni jambo jema sana kwa maana ana hof ya Mungu kuliko ukimy kumbe anaenda kwa waganga na sikuzote anayehtaji Mungu ni mtu mzuri sana mimi nafurahia sana anapohtaji maombi maana vitayake ni kubwa huyu wa sasa ni tofaut sana na waliotangulia na Mungu atamlinda na tutamuombea ana vita kubwa kwa kuwa waliomtaka mafree hakupata nafasi kwa hyo wanajaribu kumchafua kila sehem hata fedha walimpa akakataa kupitia qadanya biashara ndio mana hakuna aliyedhani atakuwa kiongoz maana mvuto wa kimapepo aliukosa jiulize maswali yule pastor alikuja kufanya nini tz, kmya kmya kama sio kufariji mafree wenzake waliokosa nafas maana huyu si chaguo lao na yule alifanya kila walichomshauri lkn wapi,maana Mungu alimsimamia ili aikomboe tanzania ukombozi unakuja tatizo macho yetu yanaona.leo sio kesho.
 
Anachotafuta ni kiki zs kisiasa ili ainekane mcha Mungu. Tabia na matendo yake hayaoneshi ni mtu anayemwogopa Mungu. Anamtumia tu Mungu ili awawin wasiojielewa! Ila awe makini Mungu atamtandika kamacssipoacha kumdhihaki! Ajifunze kwa Bashite Mungu hakuchukua raundi kumtandika Bashite kwa sababy kufuru zake zilizidi! Bashite anajionesha mtu wa Mungu makanisani huku gizani anafanya ushetani mtupu! Ona kilivhompata hata kile kimbelembele cha kwenda makanisani kila siku kimeisha!
 
ndugu unakosea mahali hata biblia katk kitabu cha 1 timotheo2:1-4 anasema sala dua maombezi yafanyike kwa wafalme na wenye mamlaka na vzur kusikia kiongoz anahtaji maombi ni jambo jema sana kwa maana ana hof ya Mungu kuliko ukimy kumbe anaenda kwa waganga na sikuzote anayehtaji Mungu ni mtu mzuri sana mimi nafurahia sana anapohtaji maombi maana vitayake ni kubwa huyu wa sasa ni tofaut sana na waliotangulia na Mungu atamlinda na tutamuombea ana vita kubwa kwa kuwa waliomtaka mafree hakupata nafasi kwa hyo wanajaribu kumchafua kila sehem hata fedha walimpa akakataa kupitia qadanya biashara ndio mana hakuna aliyedhani atakuwa kiongoz maana mvuto wa kimapepo aliukosa jiulize maswali yule pastor alikuja kufanya nini tz, kmya kmya kama sio kufariji mafree wenzake waliokosa nafas maana huyu si chaguo lao na yule alifanya kila walichomshauri lkn wapi,maana Mungu alimsimamia ili aikomboe tanzania ukombozi unakuja tatizo macho yetu yanaona.leo sio kesho.

Anachotafuta ni kiki zs kisiasa ili ainekane mcha Mungu. Tabia na matendo yake hayaoneshi ni mtu anayemwogopa Mungu. Anamtumia tu Mungu ili awawin wasiojielewa! Ila awe makini Mungu atamtandika kamacssipoacha kumdhihaki! Ajifunze kwa Bashite Mungu hakuchukua raundi kumtandika Bashite kwa sababy kufuru zake zilizidi! Bashite anajionesha mtu wa Mungu makanisani huku gizani anafanya ushetani mtupu! Ona kilivhompata hata kile kimbelembele cha kwenda makanisani kila siku kimeisha!
 
Back
Top Bottom