Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Ninachokifahamu mimi ni kwamba baba akichepuka anaweza kumbemenda mtoto na mama pia akichepuka anaweza kumbemenda mtoto. Ki sayansi ki ukweli sijui na ndo maana mtoto aliyebemendwa hata akipatiwa dawa za hospital haziwezi kumsaidia but za kienyeji zinamponesha kabisa
Sina hakika kuwa kwa wenzetu wazungu haya yapo nahisi kubemenda yawezekana ikawa moja ya AFRICAN disease ambayo ki sayansi huwezi kuipata.
Hatari!!
 
Mtoto anabemendwa na mama yake.

Kisayansi sperms au shahawa zimeundwa na vitu vingi na mojawapo vinacontain virus. Virus huyu akiingia kwa mwanamke anajipachika kwenye kuta za ukeni na kuweka terirory hapo.

Sasa inapotokea mwanaume mwingine akaingiza humo virus wake wengine husababisha vita kubwa ya kugombea makolini ambayo hii husababisha virus weak wauwawe ili wale wengine wapate pa kukaa ambapo direct huweza kusababisha magonjwa kama UTI, harufu mbaya ukeni n.k

Pia sperm zinapomwagwa huwa na kawaida ya kulegeza mwili ..... na husababisha mabadiliko ya mwili. Kama mama ananyonyesha mtoto wake hunyonya maziwa yaliyochanganyika na hivyo vimelea ambapo kama sivyo vilivyomtengeneza mtoto (baba yake) huweza kumletea shida.

Kinamama wanaknyonyesha wanapaswa kuwa wasafi muda wote
Hii nayo inaleta mantiki
 
Mama wa mtoto akimaliza wiki sita baada ya kujifungua ruksa kuingiliwa.

Sema atakaemuingilia inatakiwa awe Baba Halisi wa mtoto, isiwe Baba wa Kubambikiwa.

Akiingiliwa na Baba Halisi wa Mtoto hakuna tatizo.

Ila akiingiliwa na Baba wa Kubambikiwa yale manii ya Baba wa Kubambikiwa yanamletea madhara mtoto, ambayo ndio kubemendwa
 
Kisayansi hakuna kitu kinaitwa kubemenda.

Habari za kubemendwa watoto ni imani tu, walizoshikilia baadhi ya watu bila kuzipa maelezo thabiti ya kisayansi yenye kueleweka.

Mara nyingi kama si zote habari hizi za kubemenda watoto utazisikia kwa watu wa hali ya chini wenye lishe duni isiyo na mpangilio maalum kwa mama aliyejifungua na kwa mtoto.
 
Mtoto anabemendwa na mama yake.

Kisayansi sperms au shahawa zimeundwa na vitu vingi na mojawapo vinacontain virus. Virus huyu akiingia kwa mwanamke anajipachika kwenye kuta za ukeni na kuweka terirory hapo.

Sasa inapotokea mwanaume mwingine akaingiza humo virus wake wengine husababisha vita kubwa ya kugombea makolini ambayo hii husababisha virus weak wauwawe ili wale wengine wapate pa kukaa ambapo direct huweza kusababisha magonjwa kama UTI, harufu mbaya ukeni n.k

Pia sperm zinapomwagwa huwa na kawaida ya kulegeza mwili ..... na husababisha mabadiliko ya mwili. Kama mama ananyonyesha mtoto wake hunyonya maziwa yaliyochanganyika na hivyo vimelea ambapo kama sivyo vilivyomtengeneza mtoto (baba yake) huweza kumletea shida.

Kinamama wanaknyonyesha wanapaswa kuwa wasafi muda wote
Kabla ya kuendelea kukuhoji kuhusiana na ulichokiandika ambacho mimi nakiita ni sayansi feki,unaweza kuwataja kwa jina, hao virusi wanaotengeneza shahawa?.
 
Kuna re
Mtoto anabemendwa na mama yake.

Kisayansi sperms au shahawa zimeundwa na vitu vingi na mojawapo vinacontain virus. Virus huyu akiingia kwa mwanamke anajipachika kwenye kuta za ukeni na kuweka terirory hapo.

Sasa inapotokea mwanaume mwingine akaingiza humo virus wake wengine husababisha vita kubwa ya kugombea makolini ambayo hii husababisha virus weak wauwawe ili wale wengine wapate pa kukaa ambapo direct huweza kusababisha magonjwa kama UTI, harufu mbaya ukeni n.k

Pia sperm zinapomwagwa huwa na kawaida ya kulegeza mwili ..... na husababisha mabadiliko ya mwili. Kama mama ananyonyesha mtoto wake hunyonya maziwa yaliyochanganyika na hivyo vimelea ambapo kama sivyo vilivyomtengeneza mtoto (baba yake) huweza kumletea shida.

Kinamama wanaknyonyesha wanapaswa kuwa wasafi muda wote
Kuna research yoyote ulifanyika juu ya hili jambo au umejibu kwa hisia?
 
Kuna re

Kuna research yoyote ulifanyika juu ya hili jambo au umejibu kwa hisia?
Siwezi kuongea hisia nikataja virus.
Kasome composition ya sperm na jinsi wanafanya wakiingia kwenye vagina
 
Siwezi kuongea hisia nikataja virus.
Kasome composition ya sperm na jinsi wanafanya wakiingia kwenye vagina
Nakuuliza tena hili swali; jina la hao virus wanaotengeneza sperm ni lipi?.

Tutajie tunufaike.
 
Sina uhakika na maana ya kubemendwa lakini nilichokuja kuelewa mababu zetu walikuwa na miiko na taratibu ambazo wengi wetu hatuzikubali au hatuzielewi hivyo tunazitupilia mbali. Mifano:
1. Kubemenda - hapa kuna mawili moja kukataza michepuko na pili kama mtoto anaweza kupata hiv/AIDS kupitia maziwa ya mama pengine kuna virus au bacteria wengine wanaoweza kupenya the same way.
2. Alipozaliwa mtoto anayefanana na baba jirani walisema mzazi alimpitia nyuma alivyokuwa na ujauzito. Hapo ni kwamba kuna kamchezo kalichezwa
3. Watoto wachanga wanakaa ndani siku 7 minimum. My take on this watoto wanapozaliwa kinga huwa ndogo kumuexpose kwa watu mbali mbali, harufu nyingi zinamuathiri mtoto.

Kuna miiko mingi, mingine wanaharakati wanaipinga kama vile vyakula walivyokatazwa wanawake nk. Lakini hawatuelezi kwa nini uzazi umekuwa mgumu hivi.

Wito kabla ya kudisregard haya mapokeo tuyatazame kivingine labda yatakuwa na maana.
 
Tatizo ni hilo neno kubemenda limekuwa na maana mbalimbali kwa masikio ya watu . Wale wenye ndoa na watoto na wale wasio na ambao hawajaingia ndoani.

Katika hayo yote nadhani shida ni hormones tu..

Mwisho wa sayansi yangu ya darasa la 7A
 
Ngoja nijaribu na sayansi yangu ya darasa la 7B.

Kwanza jua mtoto ana bemendwa na mama yake.

Na kikubwa zaidi kinachofanya mtoto abemendwe ni uchafu na sio sex peke yake.

Fikiria mama anapika kwenye jiko la kuni.. Mimoshi kibao.. Majasho... Na wakati huo ametoka pia kuchota maji... Ghafla mtoto anaanza kulia.. Na yeye kwa huruma anamchukua na kumnyonyesha.. Jasho lote, moshi wote wa mwili na uchafu mwingine ambao pia upo kwa nje kwenye maziwa, mtoto ana nyonyaa.. Unadhani ukuaji wake utakuwaje!??

Fikiria baba na mama wana sex... Pembeni mtoti kalala... Baba kuonesha ufundi ataingia hadi chumvini... Tena na wengine wananyonya hadi 0713 ya mama.. Zen baba huyuu ataamia kwenye kunyonya matiti ya mkewe.. Au kuyaramba kwa nje.. Kumbuka mdomo huo huo umenyonya mbele na nyumaa.... Zen wanaanza ka mchezo.. Majasho kibao.. Ghafla mtoto analia... Mama anamchukua na kuanza kumnyonyesha.. Mtoto huyu atanyonya jashovl, uchafu wa mbele na wanyuma.. Maana baba naye alinyonya hilo ziwa.. Je unadhani bado mtoto anakuwa na afya njema kweli!?

Ntarudi tena baadae...
"..Good Asipokuelewa na hapa mtafutie mwalimu"
 
Tatizo ni hilo neno kubemenda limekuwa na maana mbalimbali kwa masikio ya watu . Wale wenye ndoa na watoto na wale wasio na ambao hawajaingia ndoani.

Katika hayo yote nadhani shida ni hormones tu..

Mwisho wa sayansi yangu ya darasa la 7A
Kubemenda ni dhana iliyojikita zaidi kwenye imani kuliko sayansi.

Imani hii inaendelezwa na watu wa hali ya chini kimaisha wasiomudu kupata lishe bora kwa mtoto na mama aliyejifungua hali inayopelekea mtoto kudhohofu na kushambuliwa na magonjwa.

Maswala ya kubemenda yanaendelezwa zaidi uswahilini.
 
Tatizo ni hilo neno kubemenda limekuwa na maana mbalimbali kwa masikio ya watu . Wale wenye ndoa na watoto na wale wasio na ambao hawajaingia ndoani.

Katika hayo yote nadhani shida ni hormones tu..

Mwisho wa sayansi yangu ya darasa la 7A
Mi nadhani hii tuipe jina la lugha ya kigeni ili twende sawa.. Nadhani kwa lugha ile iliyokuja na ndege tungeita RETARDED GROWTH....

Kubemenda imekaa kizaramo zaidi...

Lakini maana halisi ni makuzi duni kwa mtoto..

Sasa hapo sababu zipooo nyingi saaanaa.. Ikiwemo na suala zima la lishe...
 
Kabla ya kuendelea kukuhoji kuhusiana na ulichokiandika ambacho mimi nakiita ni sayansi feki,unaweza kuwataja kwa jina, hao virusi wanaotengeneza shahawa?.
Unajua dhana halisi ya mheshimu ni kudadavua zaidi na kutuachia hamisaa ya kufanya reseaech zaidi.

Sasa hapo kwenyw kujua hao virusi ndio tunaita research gap... So you better start your research from there.

Lakini kimsingi zaidi shahawa ni protein in nature and further more it contains some acidic material (pia zina acid), sasa kumbuka kazi kubwa au acid inachangia kuregeza kitu, au asili ya kuchoma.

Sasa mtoto ametengenezwa kqa shahawa za baba yake, kwa hivyo basi mwili wake utakuwa na element za aina ya acid inayopatikana kwenye shahawa za baba yake.

Sasa kumbuka kuwa, ila sijathibitisha, kama mama akifanya mapenzi na baba, kama mimba haita tungwa, basi zile shahawa zitakimbilia kwenye maziwa, na zingine kwenye wowowo, na kwa kuwa zina protein, huyu mwanamke ataanza kuwa na maziwa makubwa na big boot(lkn kumbuka sio kusex kwa siku moja, hii ili itokee ni lazima huyo mwanamke iwe tabia yake).

Na Ile acid zitabaki pale, na kama ana mtoto, huyu mtoto atazinyonya, na kwa kuwa ni za baba yake hazitamletea madhara yoyote.

Lakini kama sio za baba yake, lazima zitamnyong'onyesha, maana zitakuwa kama zinauchoma mwili wake.

Hapo ndo tunaanza kuona mtoto ana dumaa na ku experience hiyo kitu "KUBEMENDWA"
 
Mleta mada najua una kiu sanaaaaa so we nenda kapige show zako na uoge usiwapelekee majasho yako na mauchafu yako sasa kama unezoea zile guest za kaki jua hakuna maji hukoooooo
 
Mi nadhani hii tuipe jina la lugha ya kigeni ili twende sawa.. Nadhani kwa lugha ile iliyokuja na ndege tungeita RETARDED GROWTH....

Kubemenda imekaa kizaramo zaidi...

Lakini maana halisi ni makuzi duni kwa mtoto..

Sasa hapo sababu zipooo nyingi saaanaa.. Ikiwemo na suala zima la lishe...
Sio marasimasi hio
 
Jana Tu Nimetoka Kumuuliza Hili Swali Dkt Kutokana Na Ubishi Wa Walio Wengi.

MAJIBU ALONIPA Dkt HAYA HAPA.
Hakuna ukweli ishu ni partner hygiene, baba unapima oil kwa mama au kumnyonya sehemu za siri then unashika matiti, badala ya mama kujifanyia usafi anakimbilia kumnyonyesha mtoto.
Mtoto ananyonya ziwa lenye uchafu, nini unategemea?.

So WanaJf Kinachotakiwa Ni Isafi Baada Ya Game Lakn Ebu Tujiulize, Game Inaendelea Then Mtoto Analia Nyumba Yenyewe Ya Kupanga Choo Kilomita 100 Nini Unategemea, Mpaka Ukanawe Na Urudi Kumnyonyesha Mtoto Si Kalia Mpaka Shida Hahahahaha, Usafi Ndio Suluhu Wadau Lakn Kwa Hizi Nyumba Za Kupanga Bafu Magomeni To Ubungo Mataa Hahaha Mtoto Kashakula Uchafu Wakutosha.
 
Si Mama Wala Baba Akichepuka Mtoto Abemendwi Labda Kwa Imani Za Kishirikina Lakn Si Kwa Sayansi. Jambo La Msingi NiUsafi Tu Hata Akitoka Nje Mara100 Kwa Siku.
Akirudi Nyumbani Kabla Ya Kumshika Mtoto Anatakiwa Kuoga Vyema Ili Kutomgusanisha Mtoto Na Uchafu Wa Majadho Ya Nje Na Manii.
 
Sina uhakika na maana ya kubemendwa lakini nilichokuja kuelewa mababu zetu walikuwa na miiko na taratibu ambazo wengi wetu hatuzikubali au hatuzielewi hivyo tunazitupilia mbali. Mifano:
1. Kubemenda - hapa kuna mawili moja kukataza michepuko na pili kama mtoto anaweza kupata hiv/AIDS kupitia maziwa ya mama pengine kuna virus au bacteria wengine wanaoweza kupenya the same way.
2. Alipozaliwa mtoto anayefanana na baba jirani walisema mzazi alimpitia nyuma alivyokuwa na ujauzito. Hapo ni kwamba kuna kamchezo kalichezwa
3. Watoto wachanga wanakaa ndani siku 7 minimum. My take on this watoto wanapozaliwa kinga huwa ndogo kumuexpose kwa watu mbali mbali, harufu nyingi zinamuathiri mtoto.

Kuna miiko mingi, mingine wanaharakati wanaipinga kama vile vyakula walivyokatazwa wanawake nk. Lakini hawatuelezi kwa nini uzazi umekuwa mgumu hivi.

Wito kabla ya kudisregard haya mapokeo tuyatazame kivingine labda yatakuwa na maana.
Neno Jema Sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom