Dhana ya "kumbemenda mtoto"

Dhana ya "kumbemenda mtoto"

hata wewe unaweza kubemendwa ukitoka na mtu alokuzidi miaka....but if ur a man na mwanamke ndo kakuzid
 
Duuh...afadhali. Maana nilikua nagoma kabisa kuamini hii...hakuna kitu kama hicho. Ni Imani tu na trust me imani ni kitu cha ajabu sana...yani unaweza kuamini kitu cha ajabu ajabu na kikatokea...na mkumbuke Shetani nae yuko kazini anacheza sana na akili za watu. Thanks Mzizi Mkavu...huuuh
 
Mimi nilikuwa najua ni kuzaa mfululizo...yani mtoto mdogo umeshabeba mimba nyingine...na kusababisha awe na afya ilozorota...

Nikawa najua ndio sababu wamama wanaopata mimba huku wana watoto wadooogo wanaonaga aibu hata ukikutana nao clinic....
 
Wandugu, kwanza hili jambo lipo!? Yan lina ukwel? Na inakua vipi mpaka mtoto anabemendwa??? Kwa wanaoujua tafadhali

Hakuna kitu kama hicho. Kikubwa uwe msafi na umpe mtoto lishe bora. Sasa kama wewe unampa mtoto mdogo MAKANDE, MAKUKURU NA KIBURU unategemea nini? Lazima awe na afya mgogoro na huo ndio mwanzo wa kuanza kuambiwa umembemenda mtoto.
 
Habari zenu wajameni?
Kuna hili swala la mtoto kubemendwa, na hii inasemekana hutokea pale ambapo mama anachipuka na mwanaume mwingine au pale ambapo baba anachipuka na mwanamke mwingine ambaye sio mamake na mtoto wakati mtoto bado ni mchanga.

Sasa najiuliza kuna ishara gani za kitalaam (kisayansi) ambazo zinamuwezesha mtoto kujua kwamba baba au mama katoka na mwingine?

Je, mbona hii hali haitokei pale ambapo baba ana zaidi ya mke mmoja? Kwa mfano siku ya kwanza baba kalala kwa mama Kamongo, kesho kalala kwa mama Omena na kesho kutwa kalala kwa mama Olunde (ambaye ndo mwenye mtoto mchanga). Kwa nini hapa Olunde habemendwi na huu ufuska wa baba kwa hawa mama wengine?

Kuna sababu yoyote ya kisayansi au haya ni maneno tu ya kitaa au huu ni uchawi wa kiasili? Naombeni msaada katika hili.
 
Ngoja nijaribu na sayansi yangu ya darasa la 7B.

Kwanza jua mtoto ana bemendwa na mama yake.

Na kikubwa zaidi kinachofanya mtoto abemendwe ni uchafu na sio sex peke yake.

Fikiria mama anapika kwenye jiko la kuni.. Mimoshi kibao.. Majasho... Na wakati huo ametoka pia kuchota maji... Ghafla mtoto anaanza kulia.. Na yeye kwa huruma anamchukua na kumnyonyesha.. Jasho lote, moshi wote wa mwili na uchafu mwingine ambao pia upo kwa nje kwenye maziwa, mtoto ana nyonyaa.. Unadhani ukuaji wake utakuwaje!??

Fikiria baba na mama wana sex... Pembeni mtoti kalala... Baba kuonesha ufundi ataingia hadi chumvini... Tena na wengine wananyonya hadi 0713 ya mama.. Zen baba huyuu ataamia kwenye kunyonya matiti ya mkewe.. Au kuyaramba kwa nje.. Kumbuka mdomo huo huo umenyonya mbele na nyumaa.... Zen wanaanza ka mchezo.. Majasho kibao.. Ghafla mtoto analia... Mama anamchukua na kuanza kumnyonyesha.. Mtoto huyu atanyonya jashovl, uchafu wa mbele na wanyuma.. Maana baba naye alinyonya hilo ziwa.. Je unadhani bado mtoto anakuwa na afya njema kweli!?

Ntarudi tena baadae...
 
Ngoja nijaribu na sayansi yangu ya darasa la 7B.

Kwanza jua mtoto ana bemendwa na mama yake.

Na kikubwa zaidi kinachofanya mtoto abemendwe ni uchafu na sio sex peke yake.

Fikiria mama anapika kwenye jiko la kuni.. Mimoshi kibao.. Majasho... Na wakati huo ametoka pia kuchota maji... Ghafla mtoto anaanza kulia.. Na yeye kwa huruma anamchukua na kumnyonyesha.. Jasho lote, moshi wote wa mwili na uchafu mwingine ambao pia upo kwa nje kwenye maziwa, mtoto ana nyonyaa.. Unadhani ukuaji wake utakuwaje!??

Fikiria baba na mama wana sex... Pembeni mtoti kalala... Baba kuonesha ufundi ataingia hadi chumvini... Tena na wengine wananyonya hadi 0713 ya mama.. Zen baba huyuu ataamia kwenye kunyonya matiti ya mkewe.. Au kuyaramba kwa nje.. Kumbuka mdomo huo huo umenyonya mbele na nyumaa.... Zen wanaanza ka mchezo.. Majasho kibao.. Ghafla mtoto analia... Mama anamchukua na kuanza kumnyonyesha.. Mtoto huyu atanyonya jashovl, uchafu wa mbele na wanyuma.. Maana baba naye alinyonya hilo ziwa.. Je unadhani bado mtoto anakuwa na afya njema kweli!?

Ntarudi tena baadae...
Mm nafikiri ni sahihi la 7b mwenzangu
 
Ngoja nijaribu na sayansi yangu ya darasa la 7B.

Kwanza jua mtoto ana bemendwa na mama yake.

Na kikubwa zaidi kinachofanya mtoto abemendwe ni uchafu na sio sex peke yake.

Fikiria mama anapika kwenye jiko la kuni.. Mimoshi kibao.. Majasho... Na wakati huo ametoka pia kuchota maji... Ghafla mtoto anaanza kulia.. Na yeye kwa huruma anamchukua na kumnyonyesha.. Jasho lote, moshi wote wa mwili na uchafu mwingine ambao pia upo kwa nje kwenye maziwa, mtoto ana nyonyaa.. Unadhani ukuaji wake utakuwaje!??

Fikiria baba na mama wana sex... Pembeni mtoti kalala... Baba kuonesha ufundi ataingia hadi chumvini... Tena na wengine wananyonya hadi 0713 ya mama.. Zen baba huyuu ataamia kwenye kunyonya matiti ya mkewe.. Au kuyaramba kwa nje.. Kumbuka mdomo huo huo umenyonya mbele na nyumaa.... Zen wanaanza ka mchezo.. Majasho kibao.. Ghafla mtoto analia... Mama anamchukua na kuanza kumnyonyesha.. Mtoto huyu atanyonya jashovl, uchafu wa mbele na wanyuma.. Maana baba naye alinyonya hilo ziwa.. Je unadhani bado mtoto anakuwa na afya njema kweli!?

Ntarudi tena baadae...
Kumbe baba hawezi kumbemenda mtoto? Ok
 
Mtoto anabemendwa na mama yake.

Kisayansi sperms au shahawa zimeundwa na vitu vingi na mojawapo vinacontain virus. Virus huyu akiingia kwa mwanamke anajipachika kwenye kuta za ukeni na kuweka terirory hapo.

Sasa inapotokea mwanaume mwingine akaingiza humo virus wake wengine husababisha vita kubwa ya kugombea makolini ambayo hii husababisha virus weak wauwawe ili wale wengine wapate pa kukaa ambapo direct huweza kusababisha magonjwa kama UTI, harufu mbaya ukeni n.k

Pia sperm zinapomwagwa huwa na kawaida ya kulegeza mwili ..... na husababisha mabadiliko ya mwili. Kama mama ananyonyesha mtoto wake hunyonya maziwa yaliyochanganyika na hivyo vimelea ambapo kama sivyo vilivyomtengeneza mtoto (baba yake) huweza kumletea shida.

Kinamama wanaknyonyesha wanapaswa kuwa wasafi muda wote
 
Kumbe baba hawezi kumbemenda mtoto? Ok
Ninachokifahamu mimi ni kwamba baba akichepuka anaweza kumbemenda mtoto na mama pia akichepuka anaweza kumbemenda mtoto. Ki sayansi ki ukweli sijui na ndo maana mtoto aliyebemendwa hata akipatiwa dawa za hospital haziwezi kumsaidia but za kienyeji zinamponesha kabisa
Sina hakika kuwa kwa wenzetu wazungu haya yapo nahisi kubemenda yawezekana ikawa moja ya AFRICAN disease ambayo ki sayansi huwezi kuipata.
 
Kubemendewa ni uchafu kama alivyoeleza huyo mwanafunzi wa la 7b na mtoto kukosa lishe bora ya maziwa kwa mama asiyekula vizuri.
 
Habari zenu wajameni?
Kuna hili swala la mtoto kubemendwa, na hii inasemekana hutokea pale ambapo mama anachipuka na mwanaume mwingine au pale ambapo baba anachipuka na mwanamke mwingine ambaye sio mamake na mtoto wakati mtoto bado ni mchanga.

Sasa najiuliza kuna ishara gani za kitalaam (kisayansi) ambazo zinamuwezesha mtoto kujua kwamba baba au mama katoka na mwingine?

Je, mbona hii hali haitokei pale ambapo baba ana zaidi ya mke mmoja? Kwa mfano siku ya kwanza baba kalala kwa mama Kamongo, kesho kalala kwa mama Omena na kesho kutwa kalala kwa mama Olunde (ambaye ndo mwenye mtoto mchanga). Kwa nini hapa Olunde habemendwi na huu ufuska wa baba kwa hawa mama wengine?

Kuna sababu yoyote ya kisayansi au haya ni maneno tu ya kitaa au huu ni uchawi wa kiasili? Naombeni msaada katika hili.
Acha uongo bhana, hakuna mtu anathubutu kunyonya maziwa hali mtoto bado ni mchanga.
Sema mtoto huathirika kwa kukosa lishe bora. Hayo mengine ni mawazo yako tu.
Ngoja nijaribu na sayansi yangu ya darasa la 7B.

Kwanza jua mtoto ana bemendwa na mama yake.

Na kikubwa zaidi kinachofanya mtoto abemendwe ni uchafu na sio sex peke yake.

Fikiria mama anapika kwenye jiko la kuni.. Mimoshi kibao.. Majasho... Na wakati huo ametoka pia kuchota maji... Ghafla mtoto anaanza kulia.. Na yeye kwa huruma anamchukua na kumnyonyesha.. Jasho lote, moshi wote wa mwili na uchafu mwingine ambao pia upo kwa nje kwenye maziwa, mtoto ana nyonyaa.. Unadhani ukuaji wake utakuwaje!??

Fikiria baba na mama wana sex... Pembeni mtoti kalala... Baba kuonesha ufundi ataingia hadi chumvini... Tena na wengine wananyonya hadi 0713 ya mama.. Zen baba huyuu ataamia kwenye kunyonya matiti ya mkewe.. Au kuyaramba kwa nje.. Kumbuka mdomo huo huo umenyonya mbele na nyumaa.... Zen wanaanza ka mchezo.. Majasho kibao.. Ghafla mtoto analia... Mama anamchukua na kuanza kumnyonyesha.. Mtoto huyu atanyonya jashovl, uchafu wa mbele na wanyuma.. Maana baba naye alinyonya hilo ziwa.. Je unadhani bado mtoto anakuwa na afya njema kweli!?

Ntarudi tena baadae...
 
Back
Top Bottom