Doctor MD
Senior Member
- Jan 10, 2020
- 129
- 147
Katika chanzo kikuu Cha kuendesha mfumo wa maisha basi afya ni kitu Cha msingi zaidi katika kuendesha uchumi hata siasa.
Nadhani wengi au baadhi yetu tushawahi pitia maswaibu ya kuuguza au wenyewe kuugua lakini Kama mjuavyo gharama za matibabu zimekuwa ghali hii huchangiwa zaidi na gharam za uendeshaji wa hizo hudum za afya.
Na gharama hizo huja ghafla kutokana na magonjwa mengi huja ghafla hivyo hupelekea mtu kutumia nguvu nyingi Sana katika matibabu hayo
Sasa ni wakati wa watanzania kutambua kwamba magonjwa yasioambukiza nayo Yana athiri Sana uchumi
Hebu tuhamasishane zaidi kujiunga kuokoa gharama ambazo ni kubwa wakati wa matibabu
Nadhani wengi au baadhi yetu tushawahi pitia maswaibu ya kuuguza au wenyewe kuugua lakini Kama mjuavyo gharama za matibabu zimekuwa ghali hii huchangiwa zaidi na gharam za uendeshaji wa hizo hudum za afya.
Na gharama hizo huja ghafla kutokana na magonjwa mengi huja ghafla hivyo hupelekea mtu kutumia nguvu nyingi Sana katika matibabu hayo
Sasa ni wakati wa watanzania kutambua kwamba magonjwa yasioambukiza nayo Yana athiri Sana uchumi
Hebu tuhamasishane zaidi kujiunga kuokoa gharama ambazo ni kubwa wakati wa matibabu