Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.
Ingekuwa gazeti fulani au chama fulani, hivi ninavyoandika kingekuwa korokoroni tayari!!!

Waislamu hawafungamani na upande wowote. Na kama ukitaka kuamini we sogea Ijumaa moja misikiti ya waislamu sio ya Bakuata utasikia kama wanatetea uovu wa viongozi hata kama ni muislam. Hamna anayetetewa akikosea anapewa makavu ndio dini yetu uislamu unavyotaka zungumza ukwelu.

Acha inferiority complex eti redio haifungiwi sababu may be rais,igp,makamu ni waislam. Wanachozungumza waislam wana ushahidi na ukifungia kwa ubabe hatutakubali, kama mwanahalisi ni wanyonge haina maana nasisi ni wanyonge, la msingi hapa ni vipi utatea haki yako ikiporwa kimabavu.
 
Naweza kukubaliana na wewe ndugu! Katika hali ya kawaida, uchochezi huu hauvumiliki.
Kikwete na ccm yake wamepanda mbegu ya udini katika taifa hili, haya ndiyo mavuno yake.
 
Hivi wakristo wote ni wakatoliki,mbona kuna baadhi ya wakristo wana mtazamo tofauti na wakatoliki mf.wasabato,wao nao wanajumuishwa kwenye hizi lawama za mfumo kristo?
 
Haki ipi? Wapi ambapo mwislamu kaonewa?

Wameuliwa waislamu wakaomba tume ikakataliwa, the same year kauliwa mbwa tume haraka je sio uonevu?? Unafelisha waislam baraza la mitihan halaf waziri anakuja na jibu rahisi la kukosewa computer je sio uonevu??
 
Kwani ccm ya mkapa ilivyowatandika risasi kule visiwani na mwembechai kulikuwa hakuna waislam ndani ya ccm? Lakini mbona unaendelea kuilamba ccm makalio..

Mkuu Waislam wote sio CCM wala Waislam hawafungamani na upande wowote kama unavyotaka kulazimisha wewe Waislam ni CCM, wanaofaidika na CCM ni Wakiristo.
 
Mkuu Waislam wote sio CCM wala Waislam hawafungamani na upande wowote kama unavyotaka kulazimisha wewe Waislam ni CCM, wanaofaidika na CCM ni Wakiristo.

Kwa hio kikwete kawambwa bilal shein na wengineo ni wakristo? Ama wanafanya kazi kwa misingi ya kikiristo?Naomba unijubu hili swali wewe brain washed
 
Ni kama wivu wa kimapenzi. Wewe kila saa unahisi kuwa mke wako ama mmeo yupo na mtu .
Muda wanaotumia kulalama kila kukicha wangeutumia kuanzisha benk, ingekuwa kubwa sana kuliko kuwa na aina ya akaunti ndani ya benk ya Taifa.
 

naona yeye ndo analeta uchochezi lakini anasingizia wengine.
Yuko huru kwenda kuwashitaki radio imani kama anaona wanakosea.
Tatizo watu hawapendi kuambiwa ukweli na wakiambiwa wanakasirika na kumwaga povu.
kama inamboa hana haja ya kuisikiliza, redio ziko nyingi.
 
Udini udini udini! Mods tutawapiga ban. Watch out
 
Hivi wakristo wote ni wakatoliki,mbona kuna baadhi ya wakristo wana mtazamo tofauti na wakatoliki mf.wasabato,wao nao wanajumuishwa kwenye hizi lawama za mfumo kristo?
Yeyote anayekandamiza uislamu ataangukia mfumo kristo mfano hata bakuata, na yeyote atakayetenda haki hata kama mkatolik hatokuwepo kny mfumo kristo. Hapo utakuwa umeelewa sio kila mkristo anachukiwa na waislam. La msingi tenda haki basi.
 
Wameuliwa waislamu wakaomba tume ikakataliwa, the same year kauliwa mbwa tume haraka je sio uonevu?? Unafelisha waislam baraza la mitihan halaf waziri anakuja na jibu rahisi la kukosewa computer je sio uonevu??
Wanaofeli kule Zanzibar nao wanafelishwa na nani? Na wakristu wanaofeli nao wanafelishwa na nani?
 
Kwa hio kikwete kawambwa bilal shein na wengineo ni wakristo? Ama wanafanya kazi kwa misingi ya kikiristo?Naomba unijubu hili swali wewe brain washed

wanafanya kazi kwa misingi ya katiba na chama chao.
Wangekuwa wanafanya kwa misingi ya uislam tungekuwa na mahakama ya kadhi, tungesha jiunga na oic, kungekuwa na kipengele cha dini kwenye sensa na matakwa mengine ya waislamu yangetekelezwa.

Pili hao wote wapo ktk hizo nafasi kwasababu walipitishwa na vyama vyao baada ya kupigiwa kura na hawakupendekezwa kwa sababu ya dini zao.

Umenielewa mkuu?
 
Wanaofeli kule Zanzibar nao wanafelishwa na nani? Na wakristu wanaofeli nao wanafelishwa na nani?

ungejibu kwanza hoja zilizo tolewa mkuu kabla ya wewe kutoa zako.
Pili, kama wamefelishwa waislamu kwenye islamic knowledg then ndalichako anatoa majibu mepesi kuwa ni tatizo la compt, iweje hata zanzibar tusihisi nao wamefelishwa kusudi?

Tatu, umeshasema mwenyewe wakristo wanafeli na sio kufelishwa tofauti na waislam wanafelishwa na necta yenyewe wamekiri hilo.
 

inaonesha una elimu ndogo .ina maana hujui kuwa Vatican ni nchi ?? Kwa hili inaonesha ata anachosema ukijui .
 
Mkuu hivi ndani ya Chadema hakuna Waislam?

Ritz hebu nisaidie kuwajibu hawa jamaa mimi bado nipo job nikitoka nakuja kukupa kampani,hatutakaa kimya kwa yyte ataeleta kejeli dharau kwenye dini yetu,tutapambana nao mpaka mwisho,maana inayosemwa serikali ambayo wao wanaona wao tu ndio wana haki yakuisema,akisema Mtei nchi haitawaliki huyo sio mchochezi,wakisema waislam kudai haki zao wachochezi,yaani udini umewakaa mpaka kwenye vidole vyao,wao hapa kutwa wanaikosoa hyo serikali ila kwao sawa waislam wachochezi
 
Kwa Waisla leo kudai haki yao mnauona ni uchochezi hivi ni nani asiyejua kwamba Nchi hii hiko chini ya mtandao wa Kanisa Katoliki? Acheni mambo yenu ya kipuuzi mtu mwenye akili zake timamu anatakiwa kutafakari jambo kabla hajaliwakilisha.
 
Waislam inaidhalilisha Dini yenu Ndugu zetu nyie mmezidi kulalamika!!Yaani kila kitu lawama Maraisi wote kikwete,Shein. Bilal wote Islamic viongozi wakubwa wakristo ni watatu tu Pinda.Mwamunange na Spika lkn nyie mnalalamika sana mara baraza linawafelisha wakati waziri Muislam! Somo gani mmefelishwa eti islamic knowledge!! Somo ambalo halikusaidii lolote kwenye dunia ya sasa!! eleweni Kulalamika bila sababu ya msingi ni kujidhalilisha!!
 
hivi nyie ndio mulio soma?
bora sie kama tumepata kusoma ni kwa akili zetu, lakini kusoma kwa kusukumwa na NECTA, Kukopia mitihani kusaidiwa tena mpaka huko vyuo vikuu , tumepita huko tunajua mnavonunua degree, tunajua mnavopewa mitihani
leo 90% ya serikali inaongozwa na hawa na ndio wanatufikisha hapa..hasara ilioje...utaliona jitu ati linaongea kiingereza ndo limesoma..dah....
kwa ufupi hii mipango ya kujipendelea imesababisha nchii hii kufa ama kurudi nyuma ..badala ya kuendela ..wenzetu wanasonga mbele sisi tunarejeshwa nyumba ....sometimes huwa naona kinyaa kuwaona hawo wasomi kwenye midahalo wanavo ongea utumbo...
hamna cha kujidai....labda kuvaa suti ndio kuelimika lol
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…