Dhana dhanifu juu ya kutekwa Mo Dewji

Dhana dhanifu juu ya kutekwa Mo Dewji

Kwa nini mpaka sasa CCTV footage hazijawa released tusaidie kufanya utambuzi, au nazo zitanyofolewa?
 
Nahuja, Kule kwetu jina lako ni neno flan kikwetu. Yaani; Nanyamaza!!!! au Naufunga mdomo wangu. Au Nimekoma. Sasa, wewe unaanza maneno yako ya kuwa; Kapatikana, kaonekana, tena yu hai. Tupe chanzo chako cha habari. Acha kudandia nyuzi za watu weye. Kama hao wasiojulikana wameweza kumwinua mtu ka kipanga sehemu ilojaa kamera na tv na bado wakaondoka naye hata ka ni mita 4 tu bila kukamatwa weye si zaidi kutolewa hapo kwa keyboard yako na kwenda kuisaidia polisi. Nekutio; Huja chwiii we Nahuja
Hizi habari zilikuja baadae zikakanushwa!!!
 
Kwenye hili sitaki kuwa shahidi....kama Tajiri mkubwa kama Mo anatekwa kirahisi hivyo je sisi tunaonza kusimama tutafanywaje!!!!
Awamu hii tunatengeneza hofu tu( terror). Hakuna cha tajiri. Tulishasema malaika wataishi kama mashetani
 
Ma

Makonda ni mwenyekiti wa kamati ya usalama na ulinzi wa mkoa wa mwanza chochote anachosema ni ripoti aliyopewa na walioko chini yake means kamanda wa mkoa na wenzake sasa anakuaje sourse ya habari?

Hizi chuki zitatuua

Naona unamfanyia utetezi kutokea mwanza. wa nyumbani sio? wasalimie hapo lenana jirani na mheshimiwa mstahiki meya mstaafu.
 
Zamu ya matajiri kuonja moto ya jiwe
Ruge
Sigh
Manji
Zacharia
Mo
Who is next....???
 
Yaleyale ya Roma Mkatoliki 'atapatikana jumapili mchana' na ikwa hivyo kweli! Nchi yangu Tz. uelekeo wake kwa sasa ni mbaya sana.
 
Ingekua tukio la kweli hadi asaiv wangeshatoa securityfootage mean picha za wahusika ili wananchi wasaidie instead wanatoa taarifa za kuchanhanya wananchi....
tatizo wanatake advantage ya idadi ya wajinga kwamba n wengi kuliko werevu so ni faida kwao...
 
Huyu mtu kila somo alilosoma alipata F

Biology--F
Mathematics--F
Civics--F
History--F
Kiswahili---F
Chemistry--F
Physics--F
Agriculture--F
Geography--F
Economy--F


Lakini bado tu anaaminiwa na boss lazima kutakuwa na ulakini.
 
Mr Mshana naamini unajua Raia anapotekwa, Polisi ndio wanapaswa kutujulisha hali ya raia wa Jamhuri ya Tanzania yupo wapi! Polisi wanapaswa kutujulisha kampuni inayolinda,CCTV kama zinafanya kazi,kuhakikisha ukaguzi wa vyombo vya ulinzi vya makampuni binafsi kama vina watu sahihi wa kutoa ulinzi kama sheria zinavyotaka.. Hii ya mtu kusema eti wazungu ni wageni nami nashangaa sana sana! Mimi naamini kwa mujibu wa sheria za hii nchi yetu(Jamhuri) hakuna raia wa kigeni anaruhusiwa kuwa humu bila kibali..Polisi,Uhamiaji na Jeshi wanapaswa kutupatia uhakika wa usalama na wakipatikana adhabu kali iwe juu yao.Hivi zile rada ya kumulika nchi nzima zinatumikaje? nikizingatia kwamba watekaji wanaweza kuwa na mwanya wa kupita Baharini au Angani..
 
Back
Top Bottom