😁 😁 nabii yeye naibu raisi yeye mkuu yeye waziri wa wizara zote yeye mte... ji yeye komando yeyeAna maono ya kuona mpaka ndani kabisa
Kila MTU anastahili kulindwa na serekali equality before the law....ila kwa hawa wenye nacho, wanaweza kwenda extra mile kwa kujiwekea ulinzi makini binafsi...I think u get my drift...Hili ni jambo la aibu sana kama kweli katekwa watu kama hawa wakina Mo ni walipaji kodi wa kubwa wa nchi wanatakiwa walindwe na serikali na hao TISS kila wanapoenda bila ya wao wenyewe kujua kutekwa kizembe hivyo halafu serikali ipo ipo tu inatia shaka wawekezaji wa kubwa wa nje kuona je mazawa anatekwa kizembe wao wageni je? Ni aibu hata kama ni mchongo wa kuzima madudu mtumga sinema kafeli big time
Nakusanya zana za kazi niingie kilingeni
nini maana ya utakata?Vipi utakata kumrithi shehe Yahaya nini?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji16] [emoji16] nabii yeye naibu raisi yeye mkuu yeye waziri wa wizara zote yeye mte... ji yeye komando yeye
.....mengine malzia mwenyewe
Na ndio yeye kila siku anakuwa chanzo ca kuharibu mission zao Refer kutekwa kwa ROMA nanukuu"Msiwe na shaka ndugu zetu hawa watapatikana kabla ya masaa 24" na kabla muda kufika kweli walipatikana.
Something behind this shit.
Na inathibitisha ni GT. Kwani kujazia nyama fikirishi na zilizonona kwenye kichwa cha habari si mchezo.Watu mna ugonjwa Wa kupenda kuanzisha thread hasa mkipata kichwa cha habari
Pengine kweli but what's the motive behind ? Kumrudisha bashite kileleni? This is from the crooked rib.....!!!!Kama watekaji wangetaka kumteka mo, wangemteka akiwa anatoka nyumbani, na sio huku gym ambapo watu wengi wanaona.
Pili, watekaju huwa hawateki matajiri, kwani tajiri hana pesa mkononi, na pia inakuwa ngumu kumshinikiza atoe pesa kutokana uchunguzi wake huwa mkubwa mno. Wangemteka mwanaae hapo sawaa.
Mo kaingia kwenye muvi ya kishamba sana, kajiharibia credibility. Urafiki na bashite utampunguzia heshima.