General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,302
- 23,020
Mo kakopesha shiling ngapi mpaka kichwa kina muuma??
Hawa watakuwa viongozi wa simba tu.
Kiukweli ukitaka kugombana na rafiki yako mkopeshe alafu uwe unamdai huku wewe ukiwa huna pesa na yeye akiwa hana.
Urafiki utaisha hapohapo.
Hawa watakuwa viongozi wa simba tu.
Kiukweli ukitaka kugombana na rafiki yako mkopeshe alafu uwe unamdai huku wewe ukiwa huna pesa na yeye akiwa hana.
Urafiki utaisha hapohapo.