Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,945
Nikiwa na miaka 25.11 aliwahi kuja mzee wangu mmoja (55+) ambae nikimuheshimu sana naye akiniheshimu na kunijari sana, tulikuwa marafiki wakubwa tu na ofisi zetu zilikuwa jirani kitu kilichoongeza urafiki wetu japo alikuwa pia tunatoka wote sehemu moja yaani kabila moja, mnamo tarehe 10 October 2015 alinifuata akaniomba nimuazime 1,000,000/= kwaajili ya kuboresha vitu vyake fulani fulani na kuhahidi baada ya wiki 3-4 atanirejeshea, nami sikuwa na hiyana kwakuwa nilikuwa nayo nikampatia! muda tuliokubaliana ulipita ila akaja kunipa 800,000/= mwaka 2016 February akaniambia bado laki 2 nimvutie subira kidogo au lah kama sipo tayari basi nimsubilie anipe zote siku ya 3! nikaona hapana ngoja niichukue sijui la mbele! Alahaulah Lakwata mpaka naandika hapa sasa 2018 September 27 hajanimalizia 200,000/= simu zangu kupokea shida kila siku mara nyumba yake imeungua, mara baba anaumwa kalzwa kila siku nikimtafuta nasikia ana tatizo jipya na sasa tunakaa mikoa tofauti. DENI LINAUA URAFIKI..TRUE