Dah Mpaka Mo anaandika hivi ni kwamba kafulia au?
Angalia mkao wa Bwana Mdogo hauoni yupo Frustated?Katoa somo ili ujitafakari uone kama ni kweli au la.
Dawa ya marafiki kama hawa ni kuwagongea wake zao tu
Dawa ya marafiki kama hawa ni kuwagongea wake zao tu
sasa hapo si unajiongezea hasara tu?
Kweli Mkuu. Hii ndio Njia ninatoitumia hata mimi! Faida kubwa ya Njia hii, kwanza uhusiano ama urafiki utaendelea kudumu, 2. kwa vile nimempa bure na sintamdai, atazidi kuniona ni mtu ninaemjali!Mimi nimeacha kukopesha. Kama nina nia ya kukusaidia nakwambia. Kwa kuwa umeomba laki mbili, hiyo pesa sina ila ipo laki moja hapa njoo tu nikupe hiyo bure wala sikukopeshi. Nikishakupa hiyo kilo, najua kwenye kumbu kumbu zangu itafutika kuliko nikukopeshe elfu hamsini alafu usinilipe nakuwa naiwazia full...
Simba imemkopa halafu haoni dalili za mafanikio anayohitaji
Yaaani vyote hivyo Mtu anaviweka Ofisini au"...? Maana hiyo picha ya Mo yupo ofisiniMatajiri huwa wanakunywa maji na kahawa tu.
Meza ya masikini ungekuta ma bavaria hapo na majuisi ya Azam na kreti ya soda hapo na ma energy drinks ya kutosha.
Mpaka na togwa.
Hayo ndo madhara ya kukopesha siku nyingine akija MTU anataka kukopa kataa mwambie sina hela kwa sasa labda nikupe tu elf 50 utumie wala usinirudishieJana tu nimeleta Uzi upa wakumkopesa msanii Tsh300000 na mpaka Sasa ataki ata kusikia jina langu kisa yupo dar mm nanjirinji na nimetoka nae mbali San uyu boya Leo kanibrock
Mkuu naona umeniiga mimi hii mbinu/mbunu/mbwinu. Mathalani akija mtu nisiyemwamini sana na akawa anataka kukopa 500,000/= mimi nampa kiasi nilicho tayari kupoteza kama hatalipa mfano 100,000/=. Wakati wa kumpa nahakikisha nimesema kabisa kwamba hiyo laki moja ninayompa namkopesha na ndiyo pekee ninayoweza kumkopesha. Hivyo hata asiponirudishia sitaumia sana na pia itamfanya asirudi tena kwangu siku nyingine akihitaji kukopa.Ila ukitaka rafiki asikukope tena, fanya hivi
Akikukopa laki moja, mwambie una 50k.
Alafu ukiona harudishi unamkumbusha akisema hana mpotezee.
Huyo hakukopi tenaaaaaaa!!
Mana akitaka kukopa anajua anadeni kwako.
Sometime natumia mbinu hii kwa wasumbufu
Yani akupe kwanza 50k ndio umpe laki?Ila ukitaka rafiki asikukope tena, fanya hivi
Akikukopa laki moja, mwambie una 50k.
Alafu ukiona harudishi unamkumbusha akisema hana mpotezee.
Huyo hakukopi tenaaaaaaa!!
Mana akitaka kukopa anajua anadeni kwako.
Sometime natumia mbinu hii kwa wasumbufu
Unakuta wanaolalamika hivi nao wanadaiwa Benki , madeni kibao.Hakuna hata mmoja anayedaiwa ndani ya JF naona kila anayechangia hapa yeye anakopesha na kutoa tu
Mkuu JF kila mtu anamiliki gari,nyumba, PHD, sacos,Hakuna hata mmoja anayedaiwa ndani ya JF naona kila anayechangia hapa yeye anakopesha na kutoa tu