GE2025 Devotha Minja hana sifa ya kuwa mgombea mwenza

GE2025 Devotha Minja hana sifa ya kuwa mgombea mwenza

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum mwalim akaondoka duniani. JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Mkuu kwenye maigizo, Muigizaji Mkuu huwa lazima afike mwisho wa movie.

Salumu mwalimu ni waigizaji tu, hivyo makosa kwenye script huwa yanatokea.

Relax, it is not that serious.

WADANGANYIKA ndio tunaingizwa mjini hivyo, Kwasababu akili zetu hazijatufaa basi acha Ujinga wetu utudhuru.
 
Samia kashajipitisha Urais - mpinzani wa kweli kamuweka Gelezani ili apete.

Ni aibu eti Salum Mwalimu ndiye mshindani wa nguvu na Samia.

Tunakokwenda siko kabisa tutatengwa na mataifa kama kukin'gan'gania kuendelea na mchakato hali wengine wamefungwa miguu na mikono.
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum mwalim akaondoka duniani. JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Ni dada flani mwenye pesa zake anayeishi Morogoro

Hakuna Minja mjinga rejea uhakiki wa taarifa zako
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum mwalim akaondoka duniani. JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Bora ata huyo ana Cheti Cha kidato Cha nne
Yule kiongozi wa umma wa allah alikuwa hajui kusoma wala kuandika.
 
Jee endapo Salum Mwalim akimshinda Rais Samia na akawa Rais baadae Salum mwalim akaondoka duniani. JeeDevotha Minja mwenye cheti cha Form 4 atakuwa Rais?
Wewe Devotha Minja ana Master Degree , I think she consulted me several times with her piece of work back then, japo nilikuwa Dodoma kikazi ila nadhani nikicheki inbox zangu ntaleta ushahidi
 
Back
Top Bottom