Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 23

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Sawa majibu yetu yapo tayari.”
James akameza mate mengi kwani hospitali aliyo fika na Rose ni hospitali ambayo hajawahi kuingia siku hata moja na hata madakatri hafahamiani nao.
“Tuanze na majibu yapi ya blood group au HIV?”
“HIV”
‘Huyu mwanamke kanipangia shari ehee?’
James aliwaza akilini mwake, huku mwili wake ukihisi joto kali japo ndani ya ofisi hiyo kuna upepo wa AC.
“Sawa tuanze ya mume au mke?”
“Yoyote tu dokta”
Rose alizungumza akiwa na tabasamu pana usoni mwake.
“Bi Rose, vipimo vina onyesha hauna maambukizi ya virusi vya ukimwi. Maana yake upo Negativ”
James macho yakamtoka akimtazama daktari.
“Mr Jmaes”
“Ndio dokta”
‘Daa kama nimeathirika ina maana huyu mtoto mzuri hapa simpati tena. James nimejichanganyaje mimi masikini ya MUNGU……Da….aa….a…’
James aliwaza huku akiwa haelewi ni majibu gani ambayo daktari ata mpatia na kila anapo kumbuka amefanya mapenzi na zaidi ya wanawake mia tatu akili yake ina zidi kumvuruga.

ENDELEA
“Majibu yako ni Negative…Huna virusi vya ukimwi”
James macho ya mshangao yakamtaoka. Akamtazama daktari kwa mshangao.
“Ndio huna maambukizi ya virusi vya ukimwi”
“Asante sana dokta”
“Mujilinde na baada ya miezi mitu murudi tena kufanya chake up kwa mara ya pili”
“Asante sana daktari”
James akataka kunyanyuka.
“Babe hatujamaliza”
Rose akamzuia James kunyanyula.
“Ohooo samahani.”
Daktari akatabasamu.
“Mzee hukutegemea majibu uliyo yapata nini?”
“Weee acha dokta”
Rose na daktari wakacheka.
“Group za damu zenu hazina tatizo lolote katika swala zima la uzazi hivyo kama ni kutafuta watoto basi muna weza kutafuta”
“Asante sana daktari”
Wakatoka ofisini kwa daktari huku James akitembea kwa mwendo haraka haraka.
“Jamani James mbona unaniacha”
“Yaani una weza kuitwa ukaambiwa majibu yamekosewa”
Rose akacheka njia nzika hadi wakafika ndani ya gari.
“Furaha niliyo nayo niambie nikupe zawadi gani?”
“Hahahaaa nakutaka wewe”
“Kweli?”
Rose akamvuta James karibu yake akamnyonya denda zito.
“Tupo hospitalini mpenzi naweza kuliamsha dude hapa watu wakatuona watu wa ajabu”
James alizungumza huku akimtazama jogoo wake aliye tuna katika suruali.
“Nimuone kidogo”
Rose akfungua zipu ya James na kaamtoa jogoo wa James.
“Waooo……aia..si……”
Rose alizungumza akimchua taratibu jogoo wa James aliye jaa kiganja chake chote.
“Babe washa gari tuondoke nimechanganyikiwa mwenzio”
James alilalama. Rose akavuta pumzi nyingi na akawasha gari na kuondoka eneo la hospitalini.
“Mpenzi wangu punguza mwendo”
“Huku chini kuna waka moto mwenzio”
Rose alizungumza akizidi kuongeza mwendo wa gari lake. Cha kumshukuru MUNGU wakafika nyumbani kwa James salama. Wakashuka kwenye gari kana kama watu wanao shambuliwa na nyuki. James akambeba Rose huku wakiendelea kunyonyana denda. Wakaingia ndani, hapakuw ana haja ya kupelekana chumbani. James akamlaza Rose ya juu ya sofa na akamvua nguo zake haraka haraka kisha na yeye akavua nguo zake zote. Hapakuwa na haja ya kuandaana kwani tayari Rose amesha lowa. Mechi ya kukata na shoka ikaanza na kumfanya Rose achanganyikiwe mapigo na mwendo anayo patiwa na James ambaye kwenye upande wa mechi yeye ni lengendary kwani hata akutane na mwanamke aliye kubuhu kwa kuwa na wanaume wengi ni lazima ahakikishe ana mifikisha kileleni.
***
“Dada yako katuwekea mtego nini?”
Jack alizungumza akiwa amekaa siti ya pembeni na alipo kaa Vaileth.
“Kwa nini?”
“Ameuruhusu kirahisi kuongozana na mimi”
“Uzuri ana niamini”
Jack akamtazama Vaileth.
“Ndio ana jua sina mambo mengi”
“Ujue sister amenidaka asubuhi nikitoka chumbani kwako”
“Weee”
“Ndio na kakasirika”
“MUNGU wangu…..”
“Ndio najiuliza isije hii ruhusa ikawa ni mgeto kwetu”
“Hapana sio mtego”
“Una uhakika gani?”
“Una hisi dada yako ana weza kumuambia mke wako kuwa kakuona umetoka chumbani kwangu?”
Jack akajifikiria na akatingisha kichwa akimaanisha.
“Hawezi”
“Sasa kama hawezi hii ni ruhusa dada kaitoa kiroho safi. Tukatafute hoteli nyingine tupeanae show hadi jioni ndio turudi”
“Ngoja nimalize kwanza manunuzi kisha baada ya hapo tukapindua.”
“Nikajua umechoka”
“Nachokaje na huo utamu wa kum** yako”
“Weee dereva ata sikia”
“Hajui Kiswahili”
Jack alizungumza huku akiyatomasa tomasa mapaja ya Vaileth.
***
“Njoo hivi”
Sophie alizungumza huku wakibadilisha mkao wa show wanayo ipiga. Wakaendelea kusagan** hadi wote wawili wakafika kileleni wakiwa wamechoka, jasho likiwamwagika.
“Huko mbele tunapo endelea sinto elewa kabisa”
Sophia alizungumza huku akihema.
“Huto elewa nini mpenzi wangu”
“Nita kuachanisha na dogo”
“Jamani ndio nimesha olewa”
“Nilikuruhusu kishongo upande ila mimi ndio mpenzi wako wa kwanza.”
“Ila hili si tulisha liweka sawa”
“Hizi raha dogo ana zipata kila sikukwa nini?”
Sophi alizungumza akiwa amejawa na wivu.”
“Mzalie mtoto mmoja kisha uombe talaka”
“Mmmm”
“Una guna ukimaanisha una mpenda au?”
“Wewe ndi nina kupenda zaidi”
“Sasa nina kupa ruhusa ya kuzaa naye mtoto mmoja tu. Ili na wewe usikose mtoto kwenye maisha yako”
“Sawa mpezi nimekuelewa.”
Valentia akashuka kitandani na kuingia bafuni.
‘Au nimuambie mdogo wake ana liwa na Jack…..Hapana sitaki kuwagombanisha acha siri iendelee kubaki kuwa siri.’
Sophia aliwaza tu akilini mwake.
***
“Mama yupo wapi?”
Mzee Tiger alimuuliza mmoja wa wafanyakazi wa ndani.
“Yupo eneo la bustani”
Mzee Tiger akaelekea moja kwa moja katika bustani iliypo nyuma ya nyumba yao ambayo bustani hiyo ina elekea baharini.
“Kumbe uupo huku.”
“Ndio mume wangu. Umerudi muda gani?”
“Muda huu”
Mzee Tiger akachukua kipande cha biskuti na kula. Akakaa kiti cha pembeni na mkewe.
“Hahari leo imetulia hakuna mawimbi”
“Imetulia sana. Vipi James amesha pata taarifa zake”
“Ndio”
Mzee Tiger akamuonyesha mkewe picha ya rafiki wa mzee Chiko.
“Huyu mseng** si alikufa?”
“Ndio alikufa ila ame fake kifo chake. Na watu wangu wamemuona ameingia ubalozi wa Marekani leo”
“Akifwata nini?”
“Ana ishi Marekani kumbe.”
“Ahaa….mshenzi ndio aliye taka kuniulia mwanangu”
“Sio mwanao tu. Hata yule mshenzi niliye kwenda kukutana naye sikukuambia tu. Eti alilipwa na huyu fala aniue. Na mtego nilio muwekea ulikuwa ni mdogo sana. Nilimuina kwenye ile nyumba yetu na Nairobu kule, nilisha weka wadunguaji kila kona. Nikakaa kwenye chumba kile chenye madirisha makubwa na wakaja. Katika kuongea ongea wakajifanya wajuaji nikawapa ishara akawaua walinzi wake alio ongozan anao”
“Walinzi wako wakiwa wapi?”
“Niliwaambia wabaki nje na waliwaruhusu kuingia na bunduki zao”
“Kwa nini sasa?”
“Nilitaka kumpa uhuru wa kuzungumza”
“Duuu…..”
“Hivyo alivyo ona walinzi wake wameuliwa akataka kunishambulia kwa risasi ila wadunguaji wangu walikuwa makini, wakampiga risasi iliyo kata kiganja cha mkono wake ulio shika bastola na baada ya hapo msiba ukawa upande wake. Nikapata namba ya huyu fala James ndio kanipa ripoti yake”
“Duuu”
“Mpuuzi sana.”
“Ndani ya ubalozi wa Marekani huna mtu akaenda kummaliza?”
“Sinai la asitoke na hata akisafiri kwenda Marekani basi nita hakikisha ana kufa. Fala sana”
“Hakikisha ana kufa”
“Hilo usijali mke wangu ata kufa. Halafu una tambua wanao wana matatizo”
“Wana matatizo gani?”
“Nimeikuta hii gari nje ya nyumba ya James. Katika kufwatilia usajili imesajiliwa kwa jila la Rose Lupin”
“Mtoto wa Chiko?”
“Ndio”
“Amefwata nini nyumbani kwa James”
“Sijui kwa kweli”
“Mmmmm peleleza”
“James ni mtu mzima ana jitambua. Ana jua kinacho endelea katika hizi familia mbili hivyo akileta ujinga ni wake”
“Mume wangu hata kama ni mtu mzima ila James kwetu bado ni mtoto. Ana haki ya kuongozwa”
“Sitaki kumtibua”
“Asije akaanzisha mahusiano na huyo mwanamke kwa maana mwanao udhaifu wake ni wanawake na mwisho wa siku akaja kutuchunguza na kulipa kisasi”
“Labda ata mla na kumuacha”
“Mume wangu. Mapenzi ni mambo ya ajabu….Na tukumbuke James ndio mtoto wetu wa kwanza….Kama ataanzisha mahusiano na mtoto wa adui yetu, haki ya MUNGU siwezi kubalian ana hilo penzi”
“Tuachane na mambo ya James twende zetu chumbani”
“Mume wangu na jua lote hili?”
“Kwani lina wakia chumbani…..Twende bwana”
Mrs Tiger akanyanyuka na kuanza kumfwata mume wake kwa nyuma.
‘Eheee MUNGU wangu ita kuwaje akijua nimeingiliwa na mwanaume mwengine ikwia sikuwahi kumsaliti jamani….’
Mrs Tiger aliwaza wakipandisha ngazi kuelekea chumbani kwao. Wakaingia chumbani na mzee Tiger akaanza kumvua mke wake nguo mja baada ya nyingine.
“Mbona huna uchangamfu una nini?”
“Habari ya James na huyo mwanamke ina niwazisha mume wangu…..Nakumbuka tulivyo watupa ndugu zake na baba yake wakiwa hai katika lile bwawa la mamba. Halafu leo hii mtoto wa kwanza wa uzao wangu akamuoe mtoto wa adui yetu hapana mume wangu……Hii taarifa imenikosesha amani moyoni mwagu”
Mzee Tiger akaacha kumvua mke wake nguo.
“Sidhani kama kuna mahusiano yana weza kuzalishwa katikati yao”
“Namuwekea wapelelezi wa siri”
“Ili”
“Awe ana fwatiliwa. Kama wata kuwa na mahusiano tuyazuie haraka sana mume wangu”
Mzee Tiger akaka kitandani na kujitafakari kwa sekunde kadhaa.
“Wee niambie yule binti ana hisi kuwa sisi tumewaua ndugu zake na baba yake. Haijaisha hata wiki awe na mahusiano na James. Director wa kampuni yetu ya silaha na tenkonolijia mbaya zaidi yule binti ni mpelelezi kama mulivyo sema niambie mume wangu kuna nini hapo?”
“Una jua James hajawahi kunidanganya ila leo kanidanganya”
“Kakudanganya nini?”
“Nilipo muuliza kuhusiana na gari nililo likuta nje kwake akasema ni gari la rafiki yake na huyo rafiki yake amemuazima gari lake jengine. Sasa gari ni ya Rose Lupini ina maana alimficha mimi nikiwa mule ndani”
“Ohooo MUNGU wangu……Kama ana kuficha wewe baba yake niambie kuna nini ambacho kina endelea baina yao”
Mzee Tiger akamtazama mkewe.
“Nampigia simu”
Mrs Tiger alizungumza huku akichukua simu yake.
“Ngoja kwanza”
“Nini sasa”
“Usimpigie simu”
“Una taka kufanyaje?”
“Nyumba zangu zote nina uwezo wa kuingia kwenye mifumo ya kamera. Ngoja”
Mzee Tiger akatoa simu yake mfukoni, akaingia katika app ambayo ameitengeneza James na app hiyo una weza kufwatilia kamera za yumba zote zinazo milikiwa na mzee Tiger. Akaingia katika kamera za nyumani kwa James huku mke wake akimtazama anacho kifanya. Macho yakawatoka huku wakimtazama James jinsi alivyo kaliwa kiunoni na Rose, wakiwa juu yakochi wakifanya mapenzi huku makelele ya Rose ya kiwa yametawala nyumba nzima.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Hofu na wasiwasi walio uwaza kuhusiana na mapenzi ya Jamse na Rose wameudhibitisha ni kweli kijana wao wa kwanza ana mahusiano ya kimapenzi na Rose mtoto wa Marehemu Chiko je ni nini mzee Tiger na mke wake wata kifanya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 24.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 23

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Sawa majibu yetu yapo tayari.”
James akameza mate mengi kwani hospitali aliyo fika na Rose ni hospitali ambayo hajawahi kuingia siku hata moja na hata madakatri hafahamiani nao.
“Tuanze na majibu yapi ya blood group au HIV?”
“HIV”
‘Huyu mwanamke kanipangia shari ehee?’
James aliwaza akilini mwake, huku mwili wake ukihisi joto kali japo ndani ya ofisi hiyo kuna upepo wa AC.
“Sawa tuanze ya mume au mke?”
“Yoyote tu dokta”
Rose alizungumza akiwa na tabasamu pana usoni mwake.
“Bi Rose, vipimo vina onyesha hauna maambukizi ya virusi vya ukimwi. Maana yake upo Negativ”
James macho yakamtoka akimtazama daktari.
“Mr Jmaes”
“Ndio dokta”
‘Daa kama nimeathirika ina maana huyu mtoto mzuri hapa simpati tena. James nimejichanganyaje mimi masikini ya MUNGU……Da….aa….a…’
James aliwaza huku akiwa haelewi ni majibu gani ambayo daktari ata mpatia na kila anapo kumbuka amefanya mapenzi na zaidi ya wanawake mia tatu akili yake ina zidi kumvuruga.

ENDELEA
“Majibu yako ni Negative…Huna virusi vya ukimwi”
James macho ya mshangao yakamtaoka. Akamtazama daktari kwa mshangao.
“Ndio huna maambukizi ya virusi vya ukimwi”
“Asante sana dokta”
“Mujilinde na baada ya miezi mitu murudi tena kufanya chake up kwa mara ya pili”
“Asante sana daktari”
James akataka kunyanyuka.
“Babe hatujamaliza”
Rose akamzuia James kunyanyula.
“Ohooo samahani.”
Daktari akatabasamu.
“Mzee hukutegemea majibu uliyo yapata nini?”
“Weee acha dokta”
Rose na daktari wakacheka.
“Group za damu zenu hazina tatizo lolote katika swala zima la uzazi hivyo kama ni kutafuta watoto basi muna weza kutafuta”
“Asante sana daktari”
Wakatoka ofisini kwa daktari huku James akitembea kwa mwendo haraka haraka.
“Jamani James mbona unaniacha”
“Yaani una weza kuitwa ukaambiwa majibu yamekosewa”
Rose akacheka njia nzika hadi wakafika ndani ya gari.
“Furaha niliyo nayo niambie nikupe zawadi gani?”
“Hahahaaa nakutaka wewe”
“Kweli?”
Rose akamvuta James karibu yake akamnyonya denda zito.
“Tupo hospitalini mpenzi naweza kuliamsha dude hapa watu wakatuona watu wa ajabu”
James alizungumza huku akimtazama jogoo wake aliye tuna katika suruali.
“Nimuone kidogo”
Rose akfungua zipu ya James na kaamtoa jogoo wa James.
“Waooo……aia..si……”
Rose alizungumza akimchua taratibu jogoo wa James aliye jaa kiganja chake chote.
“Babe washa gari tuondoke nimechanganyikiwa mwenzio”
James alilalama. Rose akavuta pumzi nyingi na akawasha gari na kuondoka eneo la hospitalini.
“Mpenzi wangu punguza mwendo”
“Huku chini kuna waka moto mwenzio”
Rose alizungumza akizidi kuongeza mwendo wa gari lake. Cha kumshukuru MUNGU wakafika nyumbani kwa James salama. Wakashuka kwenye gari kana kama watu wanao shambuliwa na nyuki. James akambeba Rose huku wakiendelea kunyonyana denda. Wakaingia ndani, hapakuw ana haja ya kupelekana chumbani. James akamlaza Rose ya juu ya sofa na akamvua nguo zake haraka haraka kisha na yeye akavua nguo zake zote. Hapakuwa na haja ya kuandaana kwani tayari Rose amesha lowa. Mechi ya kukata na shoka ikaanza na kumfanya Rose achanganyikiwe mapigo na mwendo anayo patiwa na James ambaye kwenye upande wa mechi yeye ni lengendary kwani hata akutane na mwanamke aliye kubuhu kwa kuwa na wanaume wengi ni lazima ahakikishe ana mifikisha kileleni.
***
“Dada yako katuwekea mtego nini?”
Jack alizungumza akiwa amekaa siti ya pembeni na alipo kaa Vaileth.
“Kwa nini?”
“Ameuruhusu kirahisi kuongozana na mimi”
“Uzuri ana niamini”
Jack akamtazama Vaileth.
“Ndio ana jua sina mambo mengi”
“Ujue sister amenidaka asubuhi nikitoka chumbani kwako”
“Weee”
“Ndio na kakasirika”
“MUNGU wangu…..”
“Ndio najiuliza isije hii ruhusa ikawa ni mgeto kwetu”
“Hapana sio mtego”
“Una uhakika gani?”
“Una hisi dada yako ana weza kumuambia mke wako kuwa kakuona umetoka chumbani kwangu?”
Jack akajifikiria na akatingisha kichwa akimaanisha.
“Hawezi”
“Sasa kama hawezi hii ni ruhusa dada kaitoa kiroho safi. Tukatafute hoteli nyingine tupeanae show hadi jioni ndio turudi”
“Ngoja nimalize kwanza manunuzi kisha baada ya hapo tukapindua.”
“Nikajua umechoka”
“Nachokaje na huo utamu wa kum** yako”
“Weee dereva ata sikia”
“Hajui Kiswahili”
Jack alizungumza huku akiyatomasa tomasa mapaja ya Vaileth.
***
“Njoo hivi”
Sophie alizungumza huku wakibadilisha mkao wa show wanayo ipiga. Wakaendelea kusagan** hadi wote wawili wakafika kileleni wakiwa wamechoka, jasho likiwamwagika.
“Huko mbele tunapo endelea sinto elewa kabisa”
Sophia alizungumza huku akihema.
“Huto elewa nini mpenzi wangu”
“Nita kuachanisha na dogo”
“Jamani ndio nimesha olewa”
“Nilikuruhusu kishongo upande ila mimi ndio mpenzi wako wa kwanza.”
“Ila hili si tulisha liweka sawa”
“Hizi raha dogo ana zipata kila sikukwa nini?”
Sophi alizungumza akiwa amejawa na wivu.”
“Mzalie mtoto mmoja kisha uombe talaka”
“Mmmm”
“Una guna ukimaanisha una mpenda au?”
“Wewe ndi nina kupenda zaidi”
“Sasa nina kupa ruhusa ya kuzaa naye mtoto mmoja tu. Ili na wewe usikose mtoto kwenye maisha yako”
“Sawa mpezi nimekuelewa.”
Valentia akashuka kitandani na kuingia bafuni.
‘Au nimuambie mdogo wake ana liwa na Jack…..Hapana sitaki kuwagombanisha acha siri iendelee kubaki kuwa siri.’
Sophia aliwaza tu akilini mwake.
***
“Mama yupo wapi?”
Mzee Tiger alimuuliza mmoja wa wafanyakazi wa ndani.
“Yupo eneo la bustani”
Mzee Tiger akaelekea moja kwa moja katika bustani iliypo nyuma ya nyumba yao ambayo bustani hiyo ina elekea baharini.
“Kumbe uupo huku.”
“Ndio mume wangu. Umerudi muda gani?”
“Muda huu”
Mzee Tiger akachukua kipande cha biskuti na kula. Akakaa kiti cha pembeni na mkewe.
“Hahari leo imetulia hakuna mawimbi”
“Imetulia sana. Vipi James amesha pata taarifa zake”
“Ndio”
Mzee Tiger akamuonyesha mkewe picha ya rafiki wa mzee Chiko.
“Huyu mseng** si alikufa?”
“Ndio alikufa ila ame fake kifo chake. Na watu wangu wamemuona ameingia ubalozi wa Marekani leo”
“Akifwata nini?”
“Ana ishi Marekani kumbe.”
“Ahaa….mshenzi ndio aliye taka kuniulia mwanangu”
“Sio mwanao tu. Hata yule mshenzi niliye kwenda kukutana naye sikukuambia tu. Eti alilipwa na huyu fala aniue. Na mtego nilio muwekea ulikuwa ni mdogo sana. Nilimuina kwenye ile nyumba yetu na Nairobu kule, nilisha weka wadunguaji kila kona. Nikakaa kwenye chumba kile chenye madirisha makubwa na wakaja. Katika kuongea ongea wakajifanya wajuaji nikawapa ishara akawaua walinzi wake alio ongozan anao”
“Walinzi wako wakiwa wapi?”
“Niliwaambia wabaki nje na waliwaruhusu kuingia na bunduki zao”
“Kwa nini sasa?”
“Nilitaka kumpa uhuru wa kuzungumza”
“Duuu…..”
“Hivyo alivyo ona walinzi wake wameuliwa akataka kunishambulia kwa risasi ila wadunguaji wangu walikuwa makini, wakampiga risasi iliyo kata kiganja cha mkono wake ulio shika bastola na baada ya hapo msiba ukawa upande wake. Nikapata namba ya huyu fala James ndio kanipa ripoti yake”
“Duuu”
“Mpuuzi sana.”
“Ndani ya ubalozi wa Marekani huna mtu akaenda kummaliza?”
“Sinai la asitoke na hata akisafiri kwenda Marekani basi nita hakikisha ana kufa. Fala sana”
“Hakikisha ana kufa”
“Hilo usijali mke wangu ata kufa. Halafu una tambua wanao wana matatizo”
“Wana matatizo gani?”
“Nimeikuta hii gari nje ya nyumba ya James. Katika kufwatilia usajili imesajiliwa kwa jila la Rose Lupin”
“Mtoto wa Chiko?”
“Ndio”
“Amefwata nini nyumbani kwa James”
“Sijui kwa kweli”
“Mmmmm peleleza”
“James ni mtu mzima ana jitambua. Ana jua kinacho endelea katika hizi familia mbili hivyo akileta ujinga ni wake”
“Mume wangu hata kama ni mtu mzima ila James kwetu bado ni mtoto. Ana haki ya kuongozwa”
“Sitaki kumtibua”
“Asije akaanzisha mahusiano na huyo mwanamke kwa maana mwanao udhaifu wake ni wanawake na mwisho wa siku akaja kutuchunguza na kulipa kisasi”
“Labda ata mla na kumuacha”
“Mume wangu. Mapenzi ni mambo ya ajabu….Na tukumbuke James ndio mtoto wetu wa kwanza….Kama ataanzisha mahusiano na mtoto wa adui yetu, haki ya MUNGU siwezi kubalian ana hilo penzi”
“Tuachane na mambo ya James twende zetu chumbani”
“Mume wangu na jua lote hili?”
“Kwani lina wakia chumbani…..Twende bwana”
Mrs Tiger akanyanyuka na kuanza kumfwata mume wake kwa nyuma.
‘Eheee MUNGU wangu ita kuwaje akijua nimeingiliwa na mwanaume mwengine ikwia sikuwahi kumsaliti jamani….’
Mrs Tiger aliwaza wakipandisha ngazi kuelekea chumbani kwao. Wakaingia chumbani na mzee Tiger akaanza kumvua mke wake nguo mja baada ya nyingine.
“Mbona huna uchangamfu una nini?”
“Habari ya James na huyo mwanamke ina niwazisha mume wangu…..Nakumbuka tulivyo watupa ndugu zake na baba yake wakiwa hai katika lile bwawa la mamba. Halafu leo hii mtoto wa kwanza wa uzao wangu akamuoe mtoto wa adui yetu hapana mume wangu……Hii taarifa imenikosesha amani moyoni mwagu”
Mzee Tiger akaacha kumvua mke wake nguo.
“Sidhani kama kuna mahusiano yana weza kuzalishwa katikati yao”
“Namuwekea wapelelezi wa siri”
“Ili”
“Awe ana fwatiliwa. Kama wata kuwa na mahusiano tuyazuie haraka sana mume wangu”
Mzee Tiger akaka kitandani na kujitafakari kwa sekunde kadhaa.
“Wee niambie yule binti ana hisi kuwa sisi tumewaua ndugu zake na baba yake. Haijaisha hata wiki awe na mahusiano na James. Director wa kampuni yetu ya silaha na tenkonolijia mbaya zaidi yule binti ni mpelelezi kama mulivyo sema niambie mume wangu kuna nini hapo?”
“Una jua James hajawahi kunidanganya ila leo kanidanganya”
“Kakudanganya nini?”
“Nilipo muuliza kuhusiana na gari nililo likuta nje kwake akasema ni gari la rafiki yake na huyo rafiki yake amemuazima gari lake jengine. Sasa gari ni ya Rose Lupini ina maana alimficha mimi nikiwa mule ndani”
“Ohooo MUNGU wangu……Kama ana kuficha wewe baba yake niambie kuna nini ambacho kina endelea baina yao”
Mzee Tiger akamtazama mkewe.
“Nampigia simu”
Mrs Tiger alizungumza huku akichukua simu yake.
“Ngoja kwanza”
“Nini sasa”
“Usimpigie simu”
“Una taka kufanyaje?”
“Nyumba zangu zote nina uwezo wa kuingia kwenye mifumo ya kamera. Ngoja”
Mzee Tiger akatoa simu yake mfukoni, akaingia katika app ambayo ameitengeneza James na app hiyo una weza kufwatilia kamera za yumba zote zinazo milikiwa na mzee Tiger. Akaingia katika kamera za nyumani kwa James huku mke wake akimtazama anacho kifanya. Macho yakawatoka huku wakimtazama James jinsi alivyo kaliwa kiunoni na Rose, wakiwa juu yakochi wakifanya mapenzi huku makelele ya Rose ya kiwa yametawala nyumba nzima.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Hofu na wasiwasi walio uwaza kuhusiana na mapenzi ya Jamse na Rose wameudhibitisha ni kweli kijana wao wa kwanza ana mahusiano ya kimapenzi na Rose mtoto wa Marehemu Chiko je ni nini mzee Tiger na mke wake wata kifanya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 24.
Ila James 🤣🤣
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 24

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Nampigia simu”
Mrs Tiger alizungumza huku akichukua simu yake.
“Ngoja kwanza”
“Nini sasa”
“Usimpigie simu”
“Una taka kufanyaje?”
“Nyumba zangu zote nina uwezo wa kuingia kwenye mifumo ya kamera. Ngoja”
Mzee Tiger akatoa simu yake mfukoni, akaingia katika app ambayo ameitengeneza James na app hiyo una weza kufwatilia kamera za yumba zote zinazo milikiwa na mzee Tiger. Akaingia katika kamera za nyumani kwa James huku mke wake akimtazama anacho kifanya. Macho yakawatoka huku wakimtazama James jinsi alivyo kaliwa kiunoni na Rose, wakiwa juu yakochi wakifanya mapenzi huku makelele ya Rose ya kiwa yametawala nyumba nzima.

ENDELEA
“Toa toa toa”
Mrs Tyger alizungumza.
“Ngoja tuangalie yaliyopo yamo”
Mrs Tiger akampokonya mume wake simu na kutoka katika app hiyo.
“Unacheka nini?”
“Si naangalia vijana wangu kama wapo vizuri”
“Alafu…..”
“Hahahaaa sasa mke wangu unacho kasirika ni nini?”
“Mume wangu mbona unashindwa kuelewa. Huyu binti kaingia kwenye maisha yetu kwa mission yake maalumu. Una hisi ana mpenda James…..”
“Sasa ukisikia ya last born wako si ndio utazimia”
“Kafanyaje Jack?”
“Ana mla shemeji yake?”
“Yupo?”
“Aliye enda naye Dubai”
“Ngoja kwanza una sema ana toka kimapenzi na Vaileth?”
“Ndio”
“Ehee MUNGU hii familia ina laana jamani. Sasa dada yake akijua?”
“Ngoma dro. Mkewe ana liwa na dada yake na yeye ana mla mdogo wa mkewe”
“Hii ni laaana mume wangu tutafute wa mchungaji”
“Afanyaje?”
“Aje kutuombea”
“Watumishi wengi wanao kuja kuombea hii familia ni wapigaji tu. Wanafwata maokoto”
Mzee Tiger akanyayuka kitandani alipo kaa.
“Una enda wapi?”
“Naenda kuzurura”
“Piumzika hata kidogo”
“Khaa….kukaa nyumbani kuna boa.”
“Badilisha hizo nguo basi.”
Mzee Tiger akamtazama mkewe, kisha akavua nguo moja baada ya ngingine na akaingia bafuni kuoga.
***
“Nako***** James…..aisii……”
Rose alizungumza huku akimkumbatia James kwa nguvu huku akiwa amemkalia jogoo wa James. James akaendelea kumpelekea moto Rose na wote wakamaliza mechi huku Rose akiendelea kujilaza kifuani mwa James akihema.
“Pole babe”
“Usitooo iacheee”
Rose alizungumza akimsikiliza jogoo wa James ambaye bado yupo ndani ya kitumbua.
“Wewe mbona mtamu hivi?”
“Mimi?”
“Haki ya nani James. Umenikuna kila mahali”
“Asante”
“Tafadhali naomba uwe wangu peke yangu”
“Ndio nimesha kuwa wako peke yako”
“Kweli?”
“Ndio nina kupenda na nina taka kukua.”
“Swala la ndoa naomba lisubiri. Ongea kwanza na familia yako”
“Familia yangu najua ita leta upinzani, ila haya ni maisha yangu na kama ni kukuuoa basi hakuna wa kunizuia kufanya hivyo”
“Sawaa mpenzi wangu”
Taratibu Rose akajinyanyua na kamchomoa jogoo wa James ambaye tayari amesha anza kusinzia.
“Zinamwagika”
Rose alizungumza huku akikimbilia gorofani.
“Daaaa….mtu mzima mimi nime zama kwenye penzi la mtoto mdogo kama Rose maisha haya”
James alizungumza, akiokota surua yake. Akatoa simu mfukoni na akakutana na taarifa(notification) kutoka kwenye app yake ikionyesha kuna mtu ameingia katika mfumo wa kamera za nyumba yake. Kwa haraka akafungua app yake na akakuta mtu aliye ingi akwenye mfumo wa kamera za nyumbani kwake ni baba yake.
“Fuc** ina maana mzee kanila mingooo…..”
Ujumbe wa meseji ukaingia kutoka kwa mama yake. Akaufungua.
‘Ukimaliza uchafu wako na huyo malaya njoo nyumbani’
“Sasa kumekucha”
James alizungumza akiokota nguo zote na akapandisha ngazi kuelekea gorofani chumbani kwake. Akaziweka nguo kitandani na akaingia nafuni.
“Sijawahi kojoa mara nne kwenye maisha yangu…..Wewe mtu hapanaaa isee”
“Ahaaa….”
“Yaani leo nataka unifanye hadi nichoke mwenyewe”
“Usijali mashine yako ipo hapa na nataka nikuandalie chakula”
“Una weza kupika?”
“Ndio”
“Waoooo…..hadi raha jamani. MUNGU ana kuletea mtu sahihi kwenye wakati ambao hata uhutarajii”
“Ndio hivyo hivyo mpenzi. Kikubwa tupendane, tushikamane, tusisikilize maneno ya nje ambayo hayana afya kwetu. Uzuri nimesha kueleza maisha yangu jinsi yalivyo kuwa”
“Kwa nini ulikuwa una tembea na wanawake wengi?”
James akashusha pumzi taratibu.
“Niliumizwa. Mwanamke niliye mpenda nilimkuta ana fanya mapenzi na rafiki yangu. Hivyo nikawa ni mtu wa kuwachukia sana wanawake”
“Masikini…..”
“Nilipa maisha yangu sinto kaa nipende mwanamke ndio maana nikawa nina ishi maisha ya starehe. Ila nilipo kuona jana niahisi kitu cha tofauti sana tena. Nikataman nifute histori yangu yote ya nyuma”
“Masikini pole sana”
“Nimesha poa. Kwa hiyo hatamaisha yangu ya kuto kuwa na familia yote yamechangiwa kwa sababu ya maumivu ya moyo”
“Niatakupa watoto”
“Kweli?”
“Kweli James. Sitanii”
James kwa furaha akamfwata Rose alipo kaa na akamkumbatia kwa nguvu. “
“Tuoge nikupikie mapocho pocho”
“Sawa mpenzi wangu”
Rose alizungumza akimtazama James aliye jawa na furaha.
***
“Nipelekeni nyumban kwa James”
“Sawa boss”
Mrs Tiger akaingia ndani ya gari lake lake analo endeshwa na dereva wake huku mbele ikitangulia gari ya walinzi wake. Mwendo wa nusu saa wakawa wamefika nyumbani kwa James.
“Fuc**”
James alizungumza akitazama video za kamera za nje ya nyumba yake kupitia simu.
“Kuna nini?”
“Mama ana kuja”
“Mama yako”
“Ndio”
“Ngoja nikavae”
“Sawa”
Rose akanyyuka alipo kaa mezani wakipata chakula na akakimbia kuelekea chumbani kwa James. Mlango ukafunguliwa na Mrs Tiger akaingiaa akiwa amefura hasira.
“Mama”
“Hujaona meseji yangu ehee?”
“Nililala”
“Umelala….huyo malaya yupo wapi?”
“Nani?”
“Rose Lupin Chiko, yupo wapi?”
“Mama tafadhali acha kelele”
“Kelele. Wewe ni wa kuninyamazisha mimi”
Mrs Tiger akaanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani na kumfanya James kukimbia na kumzuia asimalizie kupanda ngazi.
“Mama kumbuka hapa ni kwangu”
“Kwa hiyo…..Nataka niongee na huyo mshenzi wako”
“Mama”
“Ndio nina taka kuzungumza naye”
Rose akatoka chumbani kwa James.
“Shikamooo”
“Sina haja ya salamu yako. Unataka nini kwa mwanangu wewe eheee?”
James akamgeukia Rose na kumpa ishara ya kuto kujibu chochote.,
“Usimuambie asinijibu. Anapaswa kunijibu. Umekuja kufanya nini kwenye maisha yangu?”
“Mama tafadhali”
“Sio tafadhali……Umekuja kumpeleleza mwanangu eheee si ndio”
“Hapana”
“Ila?”
“Nina mpenda James”
“Una wazimu nini. Huna wiki una mpendaje mwanangu eheee?”
“Kwa sababu ana roho nzuri tofauti na jinsi unavyo mfikiria au kumuona. James ni mwanaume aliye umizwa na nipo katika maisha yake kwa ajili ya kumtuliza maumivu yake”
“Weeee malaya nini….una hisi nitaruhusu uje kuolewa na mwanangu…..Labda niwe nimekufaa”
“Mama kaaa kimya”
James alizungumza kwa sauti ya ukali hadi mama yake akatetemeka.
“Hujawahi kuoniona siku hata moja nikiwa kwenye hii hali. Tafadhali kaa kimya”
“Unanifokea kwa sababu ya huyu malaya?”
“Mimi ndio malaya, yeye sio malaya. Idadi ya wanawake wote nilio tembea nao nimeifunga kwake. Yeye ndio mwanamke wangu wa mwisho katika maisha yake. Nina miaka arobaini siwezi kuendeshwa na mzazi na kufundishwa niwe na nani na nisiwe na nani. Si wewe, si baba, si yoyyote siwezi kuruhusu mumguse huyumwanamke”
“JAMES?”
Mrs Tiger alimuita mwanaye kwa mshangao.
“Sio James mama…..Nina mpenda huyu dada. Na nita muoa”
Mrs Tiger akapepesuka na taarifa aliyo isikia ikitoka kinywani mwa James.
“Ndio mama. Na nina jua upuuzi wote mutakao jaribu kumfanya huyu. Endapo ata pata madhara yoyote. Nina apa nitakuwa adui wa familia….Hamto kaa muone nini ambacho kita wakuta”
Mrs Tiger machozi yakaanza kumwagika.
“Nimekuweka tumboni mwangu miezi tisa….leo hii una nitamkia hivi?”
“Mama hembu achene kuchagua upande wa maisha. Mke wa Jack una jua fika ana sagana na binti yako wa kike ila bila aibu mukaruhusu Jack amuoe……ile ni ndoa au laana…..Ehee….Unajuja una nipigia kelele kuhusiana na Rose. Kinacho endelea katika familia yao na yetu sisi havituhusu, nimeamua kumpenda na nita mpenda hadi siku yangu ya mwisho ya maisha yangu”
“Wewe binti ni mchawi sana…..mchawi…James wangu sio huyu…Umempa nini kinacho mfanya awe hivi eheee?”
Mrs Tiger alizungumza akitetemeka.
“Hajanipa chochote. Nimeamua kutulia naye…..wakati nina embea na wanawake wa kila aina nani ambaye alinikanya….Mulikuwa muna furahia hayo maisha si ndio…..”
“Hayakuwa maisha mazuri mwanangu….ila sio huyu mwanamke. Fumbua macho yako James…..Amekuja na Plan yake kwako huyu….Huyu mwanamke ni mpelelezi”
“Najua mama….Najua kila kitu kuhusiana na yeye”
Mrs Tiger akamtazama Rose.
“Subiri uone huto kaa uamini nitakacho kufanya wewe binti”
“Mama tafadhali. Kama una hitaji niendelea kuwa mtoto wa familia yako, usimguse Rose. Ila kama unataka niwe adui wa hii familia mguse hata unywele”
Mrs Tiger akajifua machozi.
“Okay okay okay”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira na kuanza kushuka kwenye ngazi. Taratibu Rose akamfwata James alipo simama na kumkumbatia huku akilia.
“Shi….usilie hakuna atakaye kugusa”
James alizungumza kwa kujiamini, akimpiga piga Rose mgongoni mwake.
“Pole nimekugombanisha na mama”
“No siwezi kufwata kila asemacho mama. Hakuna wa kukugusa, nita kulinda hadi dakika yangu ya mwisho”
James alizungumza kwa kujiamini. Akambusu Rose mdomoni na akaanza kushuka nay echini, Wakamuona mama yake akiingia ndani ya gari na walinzi wake na kuondoka.
“Madam kuna usalama?”
Dereva alimuliza Mrs Tiger anaye piga video call.
***
“Hii simu nzuri”
Valentina alizungumza akitazama moja ya simu iliyo nakshiwa na dhahabu.
“Umeipenda?”
“Ndio mpenzi”
“Nikinunua simu moja ina nipasa ninunue na ya mke wangu na sister hivyo pesa yake itakuwa ndefu”
“Sawa shem nimekuelewa”
“Ila kama umezipenda nikuchukulie”
“Ni garama kubwa, dola elfu nne na miata tano kila moja ni pesa nyingi. Nisikupe garama shemeji”
Jack akaitoa simu yake.
“Mama ana nipigia video call ana taka nini”
“Usije ukamuambia upo na mimi”
“Siwezi”
Jack akapokea video call.
“Jack…….”
“Un alia nini mama?”
“Ni kaka yako”
“James ana nini?”
Jack aliuliza akiwa na wasiwasi.
Mrs Tiger akaangua kilio na kumfanya Jack kutoka nje ya duka.
“Mama zungumza basi James amekuwa na nini?”
“James kanifokea”
“Khaaa….mama James kukukofokea ndio kuna kufanya ulie kama kuna msiba….Umenishtua sana mama”
“Bora kuwe namsiba kuliko hichi alicho kifanya”
“Amefanya nini?”
“James ana mahusiano ya kimapenzi na Rose Lupini na sio mahusiano tu ana taka kufunga naye ndoa….Yule mwanamke ni mchawi, amemroga kaka yako. Haiwezekani James anifokee kisa yule mwanamke….Nimemkuta naye ndani kwake…..Yule mwanamke ni mshenziiii amekuja kumpeleza kaka yako na familia nzima. Ongea naye kabla sijamuua yule mwanamke”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira kiasi cha kumfanya Jack kushusha pumzi nyingi na akakumbuka maneno ya James akimuambia kwamba amepata mwanamke wa kumpenda kumbe mwanamke mwenyewe ni Rose Lupin Chiko.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. James ameamua kuchagua upande wa mpenzi wake mpya Rose na amemkingia kifua kwa mama yake na kuahidi ata kuwa adui endapo mama yake ata mgusa Rose je ni nini Mrs Tiger ata kifanya kwa Rose? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 25.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 25

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Mama zungumza basi James amekuwa na nini?”
“James kanifokea”
“Khaaa….mama James kukukofokea ndio kuna kufanya ulie kama kuna msiba….Umenishtua sana mama”
“Bora kuwe namsiba kuliko hichi alicho kifanya”
“Amefanya nini?”
“James ana mahusiano ya kimapenzi na Rose Lupini na sio mahusiano tu ana taka kufunga naye ndoa….Yule mwanamke ni mchawi, amemroga kaka yako. Haiwezekani James anifokee kisa yule mwanamke….Nimemkuta naye ndani kwake…..Yule mwanamke ni mshenziiii amekuja kumpeleza kaka yako na familia nzima. Ongea naye kabla sijamuua yule mwanamke”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira kiasi cha kumfanya Jack kushusha pumzi nyingi na akakumbuka maneno ya James akimuambia kwamba amepata mwanamke wa kumpenda kumbe mwanamke mwenyewe ni Rose Lupin Chiko.
ENDELEA
“Mama kwa jinsi ninavyo mfahamu bro naamini anacho kifanya ana fanya kama anavyo wafanyia wanawake wengine. James sio mwanaume wa kuoa”
“Hujui tu aliyo niambia…….”
“James mama atakuwa na mission yake na ili usimvurugie mission yake akaamua kukujibu kama alivyo kujibu. Hembu acha kupanic kwa maana namjua James ana tumia sana akili”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi.
“Kwani kuna siku ambayo James amesha wahi kukujibu vibaya?”
“Hamna”
“Kuna siku amesha wahi kuwakosea wewe na baba?”
“Hamna?”
“Kwa nini sasa mama?”
Mrs Tiger akaka kimya.
“Kwa sababu ana mission yake na musimuharibie anacho kipanga”
“Sawa nimekuelewa. Ila zungumza na ndugu yako”
“Usijali mama nita zungumza naye”
“Sawa”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi. Jack akakata simu akimtazama Vaileth.
“Kuna nini?”
“Ni mambo ya James na mama. Umesha chagua ukitakacho?”
“Ndio”
“Poa. Nalipia turudi home”
“Hatuendi tena hotelini?”
“Nimechoka. Mambo yamesha nivuruga”
“Jamani”
“Si tumelala pamoja. Nimechoka nahitaji nikapumzishe kichwa”
“Mmmm sawa”
James akalipia garama ya bidhaa walicho chagua. Wakaingia ndani ya gari na kuondoka dukani na kuianza safari ya kurudi nyumbani. Vaileth akampigia simu dada yake na simu ikaita hadi ikakata. Akarudi kuipiga tena na ikaita hadi ikakata.
“Unampigia nani?”
“Dada”
“Kama ni kitu cha muihimu mpigie dada yangu”
“Sawa”
Vaileth akampigia simu Sophia. Ikaita kidogo kisha ikapokelewa.
“Wifi samahani upo na dada?”
“Huyu hapa”
Sophia alikampa Valentina aliye jilaza pembeni yake mara baada ya kumaliza show kali.
“Haloo”
“Dada tuna rudi nyumbani kuna chochote una taka kuniagiza”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Sina sina”
“Sawa”
Valentina akakata simu na akashuka kitandani.
“Mume wangu ana rudi”
“Mbona wamewahi?”
“Sijui kwa kweli”
Valentina akavaa nguo zake haraka haraka na kuelekea chumbani kwake kwake, akapitiliza hadi bafuni na kuanza kuoga. Akamaliza kujisafisha na akatoka chumbani na kujilaza kitandani uchi akiwa hana nguo hata moja.
***
James akamsindikiza Rose hadi kwao huku akiwa ana mfwata kwa nyuma na gari lake.
“Karibu ndani”
“No wakati mwengine nita kuja”
“Una ogopa”
Rose alizungumza huku akiegemea gari la James ambaye naye ameshuka ndani ya gari.
“Siogopi?”
“James”
“Naam”
“Kweli una nipenda?”
“Nakupenda kwa asilimia zote. Laiti kama ningekufungulia moyo wangu unakuona ndani basi ungeelewa ni jinsi gani ninavyo kupenda”
“Asante sana mume wangu mtarajiwa”
“Waooo umeniita mume?”
“Ndio natamani hiyo siku ambayo uta nivisha pete mbele ya mashadi kanisani hakika nitakuwa ni mwenye furaha kuliko wanawake wote duniani”
“Niambie lini unataka nikuoe?”
“Mmmmmm”
Rose akaipitisha mikono yake pembeni ya James huku wakiwa wamekumbatiana.
“Nahitaji tufahamiane kwanza mume wangu. Nahitaji tujuane kiundani. Sote turidhika kwamba penzi letu ni sahihi basi tuta funga ndoa”
“Sawa mpenzi wangu”
Wakanyonyana denda. Rose akaingia ndani ya gari lake.
“Kuwa makini barabarani mume wangu usiku hivi sasa”
“Usijali”
Rose akawasha gari na walinzi wakafungua geti la kuingia nyumbani kwao na akaoingia, James akaingia ndani ya gari lake, akaliwasha na kuianza safari ya kurudi nyumbani kwake.
***
“Mbona macho yamekuvimba hivyo?”
Mzee Tiger alimuuliza mke wake mara baada ya kurudi nyumbani kwake, akitokea matembezini.
“Ni kuhusiana na James?”
“Amefanya nii?”
Mrs Tiger akamuadhithia mume wake kila kilicho tokea nyumabni kwa James na akaongezea chumvi kumchongea James kwa baba yake.
“Amevuka mipaka huyu mpumbavu”
Mzee Tiger akampigia simu James.
“Naam baba”
“Njoo nyumbani sasa hivi?”
James kabla ya kujibu chochote, tayari baba yake alisha kata simu. Hakuwa na jinsi zaidi ya kubadili muelekezo kwa kuelekea nyumbani kwake na kuiza safari ya kuelekea nyumnbani kwa wazazi wake. Akafika nje na akakutana na mlinzi wa baba yake akiwa aneo la maegesho ya magari.
“Mzee ana sema umfwate kwenye karakana”
James akamtazama mlinzi huyo kwa sekunde kadhaa.”
“Sawa”
Kwa mwendo wa kawaida James akaongozana na mlinzi wa baba yake hadi kwenye jengo jengine nayo tumika kama karakana ya kutengenezea vitu vinavyo tumiwa na familia hiyo. Akamkuta baba yake na baba yake wakiwa wamekaa katika viti viwili vya mbao huku mbele yao kukiwa na kiti kingine cha mbao kilicho andaliwa kwa ajili yake.
“Shikamoni”
James alisalimia huku akikaa kwenye kiti akiwatazama wazazi wake. Hapakuwa na hata mmoja aliye itikia salamu yake.
“Umekua siku hizi?”
“Kivipi baba?”
“Umemjibuje mama yako?”
James akamtazama mama yake.
“Sidhani kama nilicho mjibu nitakuwa nimekosea kumjibu.”
“Kwa sababu ya yule malaya mchawi?”
James akashusha pumzi nyingi.
“Una jua ni uhasama gani unao endelea katika familia yetu na yao. Yule binti ni mpelelezi kwa nini unang’ang’ania eeheee?”
Mzee Tiger alizungumza kwa kufoka.
“Najua ninacho kifanya mzee”
“Unafanya nini?”
“Nina mpenda sana Rose na ndio mwanamke nitakaye muua”
Mzee Tiger akanyanyuka na akampiga James teke la kifuaa na akaanguka mzima mzima na kiti chake.
“Umenijibuje wewe mseng***”
“Kunipiga hakuto nisaidia chochote mzee…..Nina mpenda Rose na ndio mwanamke nitakaye muoa”
James alizungumza huku akijaribu kunyanyuka ila baba yake akampiga teke la kifua na likamrudisha chini na kulala kufudi fudi.
“Ni marufuku kwa mtu wa hii familia kuolewa na familia ya maadui. Huo ni usaliti…..”
Mzee Tiger akampiga tena James teke la mbavu na kumfanya James kujikunja.
“Toka kuanzishwa kwa huu ukoo ni marufuku mwana familia kwenda kuoa familia ya maadui. Nitakuua mshenzi wewe”
Mzee Tiger aliongea kwa hasira na kumfanya James kuanza kucheka. James taratibu akajikongoja huku akinyanyuka na kumtazama baba yake aliye pandwa na hasira.
“Shida ni kuwa mwanafamilia hii si ndioa?”
James alizungumza, akatema mate yaliyo ambatana na damu.
“Tatizo ni mimi kuwa mwana familia si ndio……Okay nita toka kwenye mfumo wa familia, nita ishi maisha yangu na sinto hitaji yoyote kati yenu awe kwenye mfumo wangu wa maisha”
“Wewe kum*** una mjibu nani hivyo. Unajikuta kijogoo si ndio”
Mzee Tiger akamkunya shati James na akamzaba kofi lililo myumbisha.
“Sema tena…ulicho kuwa una kisema”
Mzee Tiger akachomoa bastola yake kiunoni na kumnyooshea James uoni mwake.
“Nita kuua hata kama ni mwanangu. Toka ukoo huu umeanza hakuna aliye oa mtoto wa adui ya hii familia umenielewa”
“Mume wangu acha”
Mrs Tiger akamuwahi muwe wake kuto kufanya maamuzi ambayo yata imwaga damu ya mwanaye. James akatabamu.
“Unataka kuniua…..Niue….laiti ingekuwa ni uwezo wangu wa kuchauga wazazi, nisinge chagua wazaidi kama ninyi. Mashetani wenye roho mbaya, rohoo zisizo na huruma. Kuua kwenu binadamu nikama vile munaua menda kwa kumkanyaga……Najua hamnipendi toka nilivyo mdogo kwa sababu MUNGU hakunipa roho mbaya kama zenu.”
“Nitakuauaa kaa kimya”
“Ungetaka kuniua ungesha niuaa mzee….Niue”
Kwa hasira mzee Tiger akapiga risasi kadhaa hewani.
“Mume wangu achaaaaa”
Mrs Tiger akampokonya bastola mume wake.
“Sijui MUNGU alifanya nini hadi nikazaliwa katika hii FAMILIA YA MASHETANI…..Na musijishaulishe nina jua siri zenu zote, uchafu wenu wote. Hivyo musinijairibu wala kuingia kwenye maamuzi yangu ni mke wangu mtarajiwa. Nita muuoa, mutake au musitake. Ole wenu yule binti apate madhara yoyote. Hamtok kaa muamini”
“James ondokaaaaa”
Mrs Tiger alizungumza kwa kufoka.
“Ndio naondoka na hamto niona kwenye maisha yenu tena”
“Nimekufukura kazi wewe sio mkurugenzi wa kampuni zangu…..rudisha kila kilicho changu tuna elewana?”
“Sina shida na mali zenu. Na wananug hawato kaa warithi mali zilizo jaa damu za watu.”
James akatoka ndani ya karakana huku walinzi walio baki nje akimtazama anavyo tembea kwa mwendao wa haraka huku machozi yakimwagika.
“Una uhakika hii ni damu yangu?”
“Ndio mume wangu”
“Kwa nini nimezaa mtoto msenge kama huyu….eheeee?”
Mzee Tiger alizungumza akimwagikwa na machozi ya uchungu. Laiti kama James angekwua hafanani naye basi angeamini kwamba James ni mtoto wake wa kusingiziwa.
Mzee Tiger akapiga simu kwa walinzi wa getini.
“Mkuu”
“Zuieni gari la James lisitoke”
“Sawa”
Mzee Tiger akakata simu na kuanz akutembea kuelekea nje huku mke wake akimfwata kwa nyuma.
“Tukimuachia ata kwenda kutoa siri zetu huyu mseng*** siwezi kuona siri zetu zina toka hususani zina tolewa na mwana familia tena mwanangu wa kwanza”
Mzee Tiger alizungumza kwa hasira.
“Uta mfanyaje?”
“Tuta mfunga kifungo cha ndani tena kwenye jela ya chini ya ardhi. Hato kaa aonane na yoyote yule”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi kwani maamuzi ya mume wake akiamua huwa hapandwi kupingwa. Walinzi wa getini wakasimamisha gari la James na likasimama. Mlinzi akagonga kioo ili James ashusha kioo cha gari lake ila hakikushushwa.
“Mkuu”
Mlinzi aliita.
“Boss”
Mlinzi aliendelea kuita ila gari iliendelea kunguruma. Akafungua kioo cha gari na kujikuta akishangaa. Kwani ndani ya gari hapakuwa na mtu yoyote. Akafungua hati buti ya gari na hapakuwa na mtu yoyote. Akampigia simu mzee Tiger.
“Ongea”
“Gari ya James imefika getini ikiwa tupu”
“Una manaisha nini kusema imefika ikiwa tupu?”
“Hayupo ndani ya gari lake”
“Fuc****”
Mzee Tiger akakata simu na kumuita mlinzi wake.
“Ndio mkuu”
“Mtafuteni James kila mahali na hakikisheni muna mkamata. Akileta kipingamizi, hakikisheni munampatia tocha hadi alainike”
“Sawa mkuu”
“Mume wangu…..”
“Shiii…kaa kimya. James ni laizma alipe kwa using** wake wote anao taka kuufanya….Una hisi nimetumia miaka mingapi kuijenga heshima yah ii familia halafu shahawa zangu tu ambazo ningewez akupigia punyeto na kuzimwaga chooni zina kuja kunisaliti……nita muua. Nakuambia nita muua akiendelea na ukum** wake”
Mzee Tiger alizungumza kwa ukali na msako wa kumsaka James ukaanza eneo zima la makazi ya familia ya mzee Tiger huku walinzi wakiwa na amri ya kumkamata na kama ata kataa basi ashushishiwe kipigo kitakatifu.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Mpangaranyiko wa familia ya mzee Tiger umeanza. James yupo radhi kuisaliti familia yake kwa ajili ya Rose na Mzee Tiger yupo tayari kumuua mwanaye wa kumzaa ili mradi siri za familia ziweze kubaki salama je wata mpata James? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 26.
 
Back
Top Bottom