Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 17

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
Mlango wa nyuma ukafunguliwa na akaingia ndani ya gari hilo. Akawatazama wasichana wengine sita alio wakuta ndani ya gari hiyo ambao nao pia wamejiremba na kupendeza. Akawasalimia wasichana hao na safari ikaendelaa. Kwa mwendo wa dakika ishirini, wakawa wamefika katika jumba la kifahari linalo milikiwa na James.
“Huyu ni mteja wangu namba moja. Sinto hitaji malalamiko yoyote kutoka kwake. Chochote atakacho kitaka mukifanye tuna elewana”
Manamama aliye kaa siti ya mbele akiwa na dereva alizungumza.
“Sawa madam”
Wasichana wote walijibu huku Rose akitajibu kimya kimya. Wakashuka ndani ya gari na wakaingia ndani jumba la James.
“Warembooo karibuni sanaaaaa”
James alizungumza kwa furaha hukua kishuka kwenye ngazi akiwa amevalia boksa pekee na mkononi mwake akiwa na chupa ya pombe kali ikimaanisha tayari kichwa chake kimesha waka moto.

ENDELEA
“Nimekuletea pisi kali za kwenda. Watoto wazuri kama hawa huwezi kuwapata popote hapa Tanzania”
Mwanamama ambaye ni dalali alizungumza na kumfanya James kuwasogelea wasichana hao. Akamshika mmoja na kumgeuza nyuma na kuangalia makalio yake. Akamsogelea Rose na kumgeuza. Akayaminya makalio ya Rose.
“Una matak** malaini sana aissiii”
Rose akatabasamu huku akiyatingisha tingisha makalio yake.
“Huyu nimuemuelewa sana”
James alizungumza akimtazama Rose usoni mwake.
“Kweli”
“Yaah wengine rudi nao leo nahitaji mmoja tu na nitamchukua huyu”
“Sio kawaida yako tajiri”
“Unajua mishe mishe za harusi zimenichosha sana. Namuhitaji huyu mmoja ni relax naye hata kwa siku mbili.”
“Sawa kwa kuwa umewalipia mimi sina tatizo tajiri wangu”
Mwanamama akaondoka na wasichana wengine na kumuacha Rose.
‘Asije akawa amenishtukia?’
Rose aliwaza akilini mwake akimtazama James akifunga mlango wa nyumba yake.
“Utatumia kinywaji gani?”
“Chochote mpenzi”
Rose alizungumza kwa sauti laini iliyo mfanya James kuzidi kuchanganyikiwa.
“Kwa mrembo kama wewe wine ita kufaaa”
James alizungumza huku akitembea hadi kwenye kaunta iliyopo sebleni kwake, ambayo imejaa vinywaji vya kila aina. Akachukua chupa ya wine na kurudi alipo kaa Rose. Akamiminia katika glasi na Rose akaanza kunywa wine hiyo.
‘Nita kuua siku ya leo’
Rose alizungumza akimpigia mahesabu James namna gani ya kumuua/
“Wewe sio malaya”
James alizungumza kumfanya Rose kushtuka kidogo.
“Una maanisha nini?”
“Nimetembea na wanawake wengi sana wanao jiuza. Ila wewe ni wa tofauti sana. Hujaguswa”
“Nisiwe muongo ndio nina anza”
“Hahahaaa……Nifwate”
Wakanyanyuka sebleni na wakaingia chumbani kwa James.
“Una chumba kizuri”
“Asante”
James alizungumza huku akiwasha tv. Rose akashtuka kujiona picha yake katika tv hiyo.
“Nakufahamu. Wewe ni Rose mtoto wa mzee Chiko. Kama umekuja kunilipizia kisasi tafadhali huto weza kufanya hivyo”
Rose akashtuka kwani alicho kuwa ana kipanga kimeshtukiwa mapema sana.
“Baba yako amemuua baba yangu na kaka zangu kwa kuwatupa katika bwawa la Mamba?”
“Sina taarifa hiyo”
“Hilo ndio lililo tokea. Wamewaua kikatili sana. Sina budi zaidi ya wewe kuwa atakaye peleka uchungu kwao”
Rose akaitupa glasi ya wine aliyo kuwa chini.
“Kabla ya kufanya hivyo unapaswa kujua jambo moja. Wine uliyo kuwa ina sumu ambayo baada ya dakika mbili zijazo ita kuua”
Rose akashtuka huku akihisi mwili wake kumlegea. Akajigusa puani na kuona damu zikianza kumchuruzika.
“Kwa nini nimekufa kizembe namna hii”
Rose akaanguka chini. James akachukua kichupa kidogo juu ya dreasing table.
“Hii ni antidote itakayo yaokoa maisha yako”
“Na….an…..aaomba unipatie”
Rose alizungumza kwa shida kwani tayari sumu imesha udhohofisha mwili wake. James akamsogelea alipo lala. Akamnywesha dawa ya kuondoa simu mwilini. Akamnyanyua Rose na kumlaza kitandani ajisikilizie afya yake.
“Imekuwaje ukanijua?”
Rose alimuuliza James kwa sauti kavu baada ya dakika arobaini kumalizika toka apewe sawa ya kumsaidia kuondoa sumu aliyo kunywa.
“Hakuna anaye ingianyumbani kwangu bila ya kutambua taarifa zake. Hivyo nilitamba taarifa zako wakati tu mulipo shuka kwenye gari. Taratibu Rose akaka kitandani, mwili wake ukiwa hauna nguvu.
“Mimi sio muuaji. Japo nina unda silaha ambazo hutumika kuuua watu”
“Kwa nini hujataka kuniau?”
“Hakuna sababu ya mimi kukuua wewe”
“Ina maana wewe hushrikiani na wazazi wako?”
“Mimi ni watofauti. Maisha yangu ni ya tofauti na hata moyo wangu ni watofauti.”
James akanyanyuka kwenye sofa alilo kali na akamfwata Rose kitandani alipo kaa.
“Katika maisha yangu nilisha wahi kuumizwa na mapenzi. Nikaamua kuwa malaya wa kutembea na kila aina ya wanawake. Ila siku nilipo iona picha yako nikajihisi kitu cha tofauti sana moyoni mwangu”
Rose akamtazama James kwa mshangao.
“Ndio Rose. Mimi sina kawaida ya wanawake kuingia ndani kwangu hapa na nisimshuhulikie. Ndio maana hata yule mwan amama dalali wa wanawake naye alishangaa leo nina mrudishia wanawake wake na kukuchukua wewe pekee”
“Sikukuchukua kwa sababu ya kutaka kukudhuru. Ila nimekuchukua kwa sababu nataka nikuambia yale yaliyo moyoni mwangu kuhusiana na wewe”
Rose akakaa kimya akimshangaa James.
“Rose una maisha na ndoto katoka maisha yako. Leo una weza kuelewa kwamba ulibakisha dakika chache kabla ya kila aina ya ndoto kwenye maisha yako kutoweka. Na zikeisha leo ndoto zako na historia ya maisha yako ingekufa leo. Yale yote uliyo yasomea South Korea leo hii yangebaki kama stori.”
“Nakuomba sana kwa sasa usimame na kuendeleza kile kilicho achwa na baba yako na mama yako. Una nafasi ya kufanya kapumzi zenu kukua kuliko kuwekeza nguvu kubwa kwa ajili ya kulipa kisasi ambacho leo hii maisha yako yangefikia mwisho”
Rose machozi yakaanza kumlenga lenga.
“Nje watu wengi huniona mimi kama sina akili nzuri na ni play boy ndio maana hata kwenye mambo makubwa ya kampuni zetu huwa sishirikishwi na anaye play part zote ni mdogo wangu Jack. Ila ukweli nina akili kubwa sana na muda mwengine sipendezwi na mienendo ya maisha ya familia yangu ila ndio nimesha zaliwa ndani ya hii familia”
James akamtazama Rose.
“Una taka nini kwangu?”
“Nataka nikuoe”
“Hahahaaaaa”
Rose akacheka sana.
“Kwa nini una cheka?”
“Kweli mtoto kutoka familia ya Tiger aje kunioa mtoto kutoka familia ya Chiko….Haijawahi kutokea”
“Ni kweli ila sisi tuna weza kubadilisha histori hiyo kutoka kuwa wapinzani hadi kuwa mke na mume”
“Kwenye maisha yangu sijapanga kuolewa na sihitaji kuwa mke wa mtu”
“Rose. Najua huna roho mbaya. Hata mimi sina roho mbaya. Tafadhali naomba ufikirie wazo langu”
“Nahitaji kuondoka”
Rose akashuka kitandani, akapepesuka kidogo ila James akamdaka.
“Naomba ufikiria nilicho kuambia”
“Sina cha kufikiria. Asante kwa kuto niua leo”
Rose akafungua mlango na akatoka chumbani kwa James. James naye akashuka na akamkuta Rose sebleni.
“Wakati mwengine tukikutana uadui uta endelea kati yetu na lolote lina weza kutokea”
“Sawa mke wangu mtarajiwa”
“Siwezi kuwa mkeo na isitoshe kiumri umenipita sana”
“Najua ila kwenye ndoa umri sio tatizo”
Rose akamtazama James kuanzia juu mpaka chini.
“Nyumba yangu ipo mbali na mji. Usafiri huku ni kipengele na ukiangalia sasa tayari giza limesha tanda. Una onaje nikakusindikiza na gari yangu”
“Hapana”
“Tafadhli. Sina bifu na wewe Rose”
Rose akashusha pumzi taratibu.
“Sawa”
“Nachukua funguo ya gari na kuvaa nguo”
James akapandisha gorofani, akavaa nguo haraka haraka na akarudi sebleni. Akamkuta Rose akimrubiria. Wakaingia ndani ya hari na kuondoka nyumbani kwa James. Kwa mara kadhaa Rose macho yake yana mtazama James.
‘Kuna nini ana kitaka kwangu huyu kaka. Alikuwa na uwezo wa kuniua kwa nini hajaniua?’
Rose aliendelea kijiuliza huku akimtazama Jamse na kukosa majibu ya maswali yake.
***
Mrs Tiger akakurupka kitandani. Akatazama nje ya tayari giza limetanda.
“Umeamkaje mpenzi wangu”
Dany alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kaa.
“Saa ngapi sasa hivi?”
“Saa nne usiku”
‘Fuc** ina maana…..”
Mrs Tiger akashuka kitandani. Akafungua pochi yake na akatoa simu yake. Hapakuwa na missed call yoyote. Akashusha pumzi taratibu.
“Niliona nisikusumbue baada ya kumaliza kipindi cha pili cha show”
Dany alizungumza akimshika Mrs Tiger mkono.
“Nahitaji kuondoka”
“Huitaji bao la tatu”
“Sina nguvu za kufanya mapenzi tena. Hamu yangu imeniiisha”
Mrs Tiger akaingia bafuni na Dany akamfwata kwa nyuma.
“Ngoja nikuogeshe”
Dany akafungua koki ya maji ya bomba la mvua. Maji yakaanza kumwagikia Mrs Tiger mwilini mwake. Jack akachukua sabuni ya maji na kuanza kumwagia Mrs Tiger sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsafisha.
“Una mwanamke?”
Swali la Mrs Tiger aliye mpa mngongo Dany, likamfanya Dany kumgeuza taratibu Mrs Tiger na akatazamana naye.
“Mwanamke sina. Ila nina fanya mapenzi kwa pesa”
“Kwa hiyo una nunuliwa kama nilivyo kununua?”
“Ndio ukweli wangu”
Dany alizungumza akiyatomasa maziwa ya Mrs Tiger taratibu.
“Sawa”
“Mbona kama una taka kuzungumza jambo”
“Umeujua uchi wangu wangu. Biashara yako ya kununuliwa na wanawake imeishia leo”
“Nitaishije mjini”
“Nita kuhudumia. Endapo nita sikia au nita jua una mwanamke mwengine unaye mtomb*** nita kata hizi pumb** zako na zitakuwa chakula cha mbwa wangu”
“Umeipenda show yangu?”
Mrs Tiger hakujibu chochote ila moyoni mwake ana furahia alicho pewa kwani amekofikishwa kileleni mara nyingi tena mfululizo mfulizo.
“Eti babe umependa show”
“Niogeshe nahitaji kuondoka”
Mrs Tiger hakutaka kuonyesha udhaifu wake mbele ya Dany kijana mdogo kiumri ambaye hata mwanaye wa mwisho Jack ni mkubwa kuliko Dany. Wakatoka bafuni mara baada ya kuoga. Mrs Tiger akaanza kuvaa nguo zake.
“Narudi nikisikia stori ya wewe kuonana na mimi mahala popote nita kuua.”
“Siwezi”
“Usiseme huwezi una marafikia au rafiki. Ukienda ukajisifia jua una yaweka reheni maisha yako na familia yako”
“Nakuahidi, kwa utamu wa kum** yako sinto muambia yoyote yule. Ukiona siri imevuja basi umkabe rafiki yako”
“Ni rafiki yangu na nina mjua vizuri hawezi kuongea ujinga huu”
“Sawa”
“Nitajie namba yako”
Dany akamtajia Mrs Tiger namba yake na akainakili kwenye simu.
“Mimi ndio nitakuwa nina kutafuta umenielewa?”
“Nakuelewa”
Mrs Tiger akatoa vibunda viwili.
“Dola elfu kumi najua hujawahi pewa pesa ndefu kama hii. Hivyo mbo** yako kuanzia hivi sasa mimi ndio mmiliki halali. Kula shiba, fanya mazoezi nitakuwa nina kuhitaji ninapo jisikia mimi”
“Sawa mpenzi. Asante sana”
Dany alizungumza furaha kwani kwenye maisha yake ya kujiuza kwa wanawake wenye uhitaji, kubwa aliyo wahi kulipwa ni milioni mbili za Kitanznaia ila leo hii ana lipwa dola za kimarekani elfu kumi tena kwa bao mbili tu zilizo mpagawisha Mrs Tiger.
“Nasisitiza tena Dany. Mimi ni mtu mbaya sana. Ukinizingua nita kuzingua unanielewa?”
“Nakuelewa madam”
“Sitanii”
“Sinto kuangusha nina tulia na wewe. Vipi usalmaa wangu kutoka kwa mume wangu”
“Usiri ndio uta kufanya uishi na mimi miaka mingi. Mume wangu ana watu kila mahala. Kila sehemu hivyo ukiongea neno moja kuhusiana na mimi lita mfikia na atakacho kufanya shauri yako”
“Sawa”
“Unatumia usafiri gani?”
“Mimi sina usafiri”
“Una maanisha?”
“Mara nyingi usafiri wangu ni pikipiki na bajaji. Bado maisha kwa upande wangu yapo kinyume sana. Kwani nimepanga room na seble tu. Bado nina jitafuta kimaisha”
Mrs Tiger akamtazama Dany.
“Nita fwatilia hayo unayo niambia nikigundua ni kweli basi nita kubadilishia maisha yako ila nikijua una nidanganya basi uta juti hii siku ya kwanza kuonana na mimi. Nina chukia uongo, sipendi uongo na simpendi mtu muongo. Unanielewa?”
“Nakuelewa”
Mrs Tiger akatoa shilingi laki moja na kumpatia Dany.
“Pesa hii utatumi kwenye usafiri. Ukitoka hapo nje uta tembea hadi barabarani kule japo kuna tisha tisha ila tembea wewe ni mwanaume. Ukifika uta panda boda”
“Naonba unipatie lifti”
“Gari yangu una kamera ndani. Mume wangu ana weza kuangalia kinacho endelea ndani ya gari langu hivyo sitaku kukuhatarishia maisha yako mapema kiasi hichi”
“Sawa. Asante”
Dany akaziweka pesa zake mfukoni mwa suruali yake na akaondoka nyumbani kwa Mrs Tiger huku Mrs Tiger akimfwatilia Dany kupitia juu ya gorofa jinsi anavyo katiza katika njia ya kuingilia katika nyumba hiyo ambapo njia hiyo hiyo imejaa miti mingi inayo fanya usiku patishe.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Japo ametembea na wanawake wengi ila moyo wa James umeangukia kwa mtoto wa adui wa fmailia yao Rose ambaye naye ana uadui na familia ya mzee Tiger. Je Rose ata kubaliana na ombi la James kumpenda na kutaka kumuoa? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 18.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 18

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Nita fwatilia hayo unayo niambia nikigundua ni kweli basi nita kubadilishia maisha yako ila nikijua una nidanganya basi uta juti hii siku ya kwanza kuonana na mimi. Nina chukia uongo, sipendi uongo na simpendi mtu muongo. Unanielewa?”
“Nakuelewa”
Mrs Tiger akatoa shilingi laki moja na kumpatia Dany.
“Pesa hii utatumi kwenye usafiri. Ukitoka hapo nje uta tembea hadi barabarani kule japo kuna tisha tisha ila tembea wewe ni mwanaume. Ukifika uta panda boda”
“Naonba unipatie lifti”
“Gari yangu una kamera ndani. Mume wangu ana weza kuangalia kinacho endelea ndani ya gari langu hivyo sitaku kukuhatarishia maisha yako mapema kiasi hichi”
“Sawa. Asante”
Dany akaziweka pesa zake mfukoni mwa suruali yake na akaondoka nyumbani kwa Mrs Tiger huku Mrs Tiger akimfwatilia Dany kupitia juu ya gorofa jinsi anavyo katiza katika njia ya kuingilia katika nyumba hiyo ambapo njia hiyo hiyo imejaa miti mingi inayo fanya usiku patishe.

ENDELEA
‘Ehee MUNGU nimefanya nini mimi?’
Mrs Tiger alizungumza akiwa haamini kama siku hiyo amemsaliti mume wake kipenzi.
‘Siku Tiger akijua nilicho kifanya itakuwaje?’
Mrs Tiger alijikuta akijutia moyoni mwake. Akabeba kila kilicho chake na akaondoka katika nyumba yake hiyo.
Mlio wa simu ukamshtua, akaitoa katika pochi yake na kuona mume wake ana mpigia video call. Akashusha pumzi nyingi huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi shana. Akasimamisha gari pembezoni mwa barabara. Akaijiweka vizuri nywele zake na akaipokea.
“Mume wangu”
“Usiku mbona upo barabarani una toka wapi?”
“Kuna wamama wale wenye saratani nimetoka kuwatembelea hivyo nilikuwa nimekaa na baadhi yao na kusikiliza histori za maisha yao kwa kweli nilijisikia vibaya sana.”
“Ohooo pole sana mke wangu. Ila usiku huu usiwe una endesha mwenyewe na isitoshe hatari ni kubwa”
“Nisamehe mume wnagu nilipo toka nilidhanani kwamba nita wahi ila kwa bahati mbaya nimechelewa”
“Poa. Usiku wa leo nita kutana na mkuu wa kundi la walio ajiriwa na kumvamia Jack”
“Leo”
“Kwa amani au?”
“Ndio kwa amani.”
“Kuwa makini mume wangu”
“Usijali nitakuwa makini”
“Sawa. Nakupenda sana mume wangu”
Mrs Tiger alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Mbona kama unatakaka kulia? Una tatizo gani?”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi.
“Saratani ni mbaya mume wangu waliyo niadithia kwa kweli yameniumiza sana. Nimelia njia nzima nina muomba sana MUNGU asije akatokea mgonjwa wa saratani katika familia yangu ina umiza”
Mzee Tiger akashusha pumzi nyingi sana kwani hapo alipo ana ugonjwa wa saratani ila hajawahi kumueleza mkewe zaidi ya mwanaye wa mwisho Jack.
“MUNGU atusaidie”
“Amen”
“Kama haupo sawa. Nitume dereva aje kukuchukua”
“Hapana mume wangu nita endesha mwenyewe.”
“Sawa. Lock milango ya gari ukiwa kweye foleni”
“Nitafanya hivyo mume wangu”
“Bye”
“Bye”
Mzee Tiger akakata simu na kumfanya mke wake kuongeza upepo wa a/c kwani kijicho chembamba kina mtoka.
***
“Gari yangu ile pale”
Rose alizungumza akimuonyesha James gari yake aliyo icha pembezoni mwa barabara.
“Mbona kama imepigwa cheni”
James alizungumza akisimamisha mbele ya gari la Rose. Wakashuka ndani ya gari.
“Watu wa wrong park wamekupata”
James alizungumza wakitazama tazama eneo hilo. Gari yenye namba za serikali ikasimama nyuma ya gari ya James. Wakashuka wanaume wanne na mwanamke mmmoja.
“Sisi ndio tumeifunga cheni hii gari. Umesimamisha gari eneo ambalo hauruhusiwi kusimamisha”
“Unajua hii gari ni bei gani?”
Rose alizungumza kwa hasira.
“Sisi kujua bei ya gari ina tuhusu nini sister. Ume paki gari sehemu ambayo hauruhusiwi. Tuna kupa control namba ulipie faini au gari ipelekwe ofisini kwetu”
“Muna hamu ya kukosa kazi zenu si ndio……”
“Dada usitutishe ikiwa tupo kwa mujibu wa taratibu za kisheria na hatujakuonea wala kukutusi basi tuna simamia kile ambacho kina haki kwetu. Unatuelewa?”
“Tafadhali tupeni control namba nilipe”
James alizungumza kwa sauti ya ustarabu.
“Hakuna kulipa”
Rose alizungumza kwa hasira. James akamshika mkono.
“Naombeni mumsamehe mke wangu siku yake leo haijakwenda vizuri. Nitajieni niwalipe….Faini ni kiasi gani?”
“Laki tatu”
“Sawa, nielekezeni jinsi ya kulipa”
Mwanadada aliye ongozana na wezake akamuelekeza James jinsi ya kulipa faini na baada ya kufanya malipo, akaandikiwa risiti na akapatiwa. Cheni iliyo fungwa taifi ya mbele na nyuma ikafunguliwa na wakaondoka eneo hilo.
“Asante”
Rose alizungumza akimtazama James usoni mwake.
“Ukikasirika una kuwa mzuri hivyo sikupendelea waendelea kuutazama uzuri wako”
Rose akatabasamu.
“Kweli vile. Nimeona wanawake wazuri wengi ila wewe umewazidi.”
“Asante sana ila kuna wakati hawa watu una paswa kuwashuhulikia”
“Kwenye maisha yangu siku zote nimejifunza jambo moja. Sipendelei sana kumuonea mtu kwa sababu ya nafasi yangu kwenye jamii. Ni vyema ukawa mpole na mstarabu ila mtu akikuchokoza ndio una jua jinsi ya kushuhulika naye”
Rose akamtazama James kwa sekunde kadhaa.
“Una onekana wewe ni mstarabu sana”
“Kiasi chake. Nataka kukuahidi kitu”
James alizungumza akiendelea kuishika mkono wa Rose.
“Kitu gani?”
“Kuanzia leo nita achana na umalaya pamoja na ulevi. Nataka kuwa mwanaume sahihi kwa mwanamke sahihi”
Rose akamtazama James machoni mwake na kumuona anacho kizungumza ana kimaanisha.
“Yaah. Nimekuwa hovyo sana kwenye huo upande ila leo hii nakuahidi kubadili tabia yangu n akuwa kijana mwema”
“James usiku mwema”
“Nawe pia”
James akamfungulia Rose mlango wa gari. Kabla ya kuondoka akashuhsa kioo chake.
“Nita kufikiria uombi lako”
“Asante”
Taratibu Rose akawasha gari lake na akaondoka eneo hilo huku James akimsindikiza kwa macho.
‘Huyu kaka yupo tofauti sana na nilivyo mchukulia. Nimekuwa naye kwa muda mchache ila moyo wangu umejawa na furaha tofauti na winavyo kuwa na watu wengine…..Jamni Rose mimi ina maana ndio nime zama kwenye penzi la mtoto wa adui wa familia yetu?’
Rose aliwaza akilini mwake akiendelea kendesha gari.
‘Ila acha nione ni nini kita tokea kwa kweli’
Rose alizidi kuwaza. James akaingia ndani ya gari lake na akageuza gari na akaanza safari ya kurudi nyumbani kwake. Akiwa njiani akampigia Jack video call.
“Bro”
“Hamjafika au?”
“Aaha….kaka nimefika. Hawa wanawake walikuw awamechanganywa na huu mji hivyo wakawa wana zurura mara twende hapa mara kule si una jua wana osha nyota”
“Hahahaaaa aisee”
“Yaa ila tumefika nita ongea na mzee na bi mkubwa”
“Hoteli muliyo fikia?”
“Ipo vizuri sana aisee….Hapa tuna jiandaa kwenda club”
“Club?”
“Ndio tuna taka kwenda kufurahia maisha”
“Ila si una walinzi?”
“Wa kutosha mzee kawalipa kibunda cha maana hivyo tuna ishi kama familia ya kifalme aisee”
“Poa sikia dogo. Nimependa mwanamke tena?”
Jack akacheka sana.
“Usicheke dogo nina maanisha”
“Labda sio wewe bro. Upende mwanamke?”
“Nakuambia aisee. Moyo wangu leo umeingiwa na virus mpya wa mapenzi basi hapa sijielewi najiona kama zumbukuku”
“Hahahaaa ni mwanamke gani huyo aliye uiba moyo wa kaka yangu”
“Kwanza bado hajanikubalia hivyo kwa sasa kausha kwnza hadi anipatie jibu”
“Duuu!! Sa sauna pendaje mwanamke na hajakukubalia?”
“Kwani kipindi una mfukuzia mkeo si alikuwa hajakukubalia ila ukawa una mpenda”
“Ila kweli”
“Basi kwangu ndio hivyo”
“Nakutakia kila raheli ndugu yangu. Ila angalia asije akakupiga na kitu kizima. Wengi wana kuja kwenye maisha yetu kwa sababu tuna pesa”
“Huyo ana pesa nyingi sana sio kama hawa wanao sex kw aajili ya dole elfu kumi, elfu ishirini”
“Mmmm sawa mimi nita subiria kumuona shemeji yangu mpya”
“Sawa wasalimie wote”
“Zimefika….”
“Wapo karibu?”
“Wapo chumbani huko wana jiandaa”
“Vipi shemeji mtu….”
“Mmmm hapa najaribu kutafuta kaupenyo nimshone kwa maana leo nimekaa nao ile bako tu sako ndio nimeweza kujua yule mdogo ni pisi ya kwenda aisee kuliko dada yake”
Jack alizungumza kwa sauti ya kunong’ona.
“Umeona ehee ila cheza vizuri dogo. Huna hata siku mbili za ndoa”
“Usijali bro kila kitu kipo under control
“Poa aisee badae. Mimi ndio naingia home”
“Poa usiku mwema”
“Nawe pia kaka”
Jack akakta simu. Akatoka eneo la kivaranda cha gorofa ya juu kabisa ya hoteli wanayo ishi. Akakaa sebleni. Vaileth akatoka chumbani akiwa amevalia suruali iliyo mbana vyema umbo lake la chini huku juu akiwa amevalia tisheti nyepesi inayo onyesha sidiria yake kwa mbali.
“Wezako vipi?”
“Wana malizia”
Vaileth akatembea haraka haraka hadi alip kaa Jack na akambusu mdomoni.
“Unanipandisha mashetani uje”
“Nita yashusha tukipata muda mume wangu”
“Nimesha kuwa mume?”
“Ndio.”
“Umependeza lakini”
“Asante mume”
Sophia akamtazama Valentina kwa macho ya matamanio. Akamsogelea kwenye kioo alipo kaa na akasimama nyuma yake. Akaminya minya makalio.
“Wifi…..Jack akitoka hapa tumeisha”
“Nina hamu na wewe”
“Najua ila kwa sasa tukaushe. Si una ona mazingira hayaruhusu”
“Nipe basi denda”
“Wifiii”
“Denda kidogo”
Valentina akatazama mlango wa kuingilia ambao umefungwa, akamnyonya Sophia denda kidogo kisha akamuchia na kuendea kupaka rangi ya mdomo. Jack akafungua mlango na kuingia.
“Jamani masaa mawili muna jiandaa….Tuta fika club kumepambazuka”
“Tumesha maliza dogo”
“Sisi tuna tangulia kwenye gari.”
“Tusubirini mume wangu mimi nimsha maliza”
Valentina akachukua kipochi chake cha kushika mkononi na akatoka ndani ya chumba hicho.
“Umependeza mke wangu”
“Asante babe”
Sophia naye akatoka.
“Vipi sister upo sawa?”
“Nipo poa”
Jack akamtazama dada yake aliye nuna kidogo.
“Wanawake bwana”
Jack akafunga mlango, wakatoka katika eneo wanalo ishi. Wakaonozana na walinzi wanne hadi ndani ya lifti. Wakaingia na wakashuka hadi eneo la chini kabisa. Wakakuta na timu nyine ya walinzi inayo walinda. Wakatoka nje na kuingia katika gari sita huku Jack na mke wake wakipanda gari ya mbele. Vaileth na Sophia wakapanda gari ya nyuma na gari nyingine wakapanda walinzi.
Ukimya ukatawala ndani ya gari aliyo panda Sophia na Vaileth.
“Wifi mbona kama huna furaha?”
Swali la Vaileth likamfanya Sophia kumtazama kwa sekunde kadhaa.
“Nimechoka tu na safari. Kama unavyo jua toka tuje hatujapumzika”
“Pole”
“Asante”
Sophia akamtazama Vaileth.
“Mbona unanitazama hivyo”
“Hamna”
“Mimi sipo kama dada yangu”
“Una maanisha nini?”
Sophia aliuliza akimatazama Vaileth kwa kumdasisi.
“Najua kinacho endelea kati yako wewe na sister na toka mwanzao mulipo anza nina jua hadi sasa naelewa kinacho endelea”
Sophia akashtuka huku akikaa sawa katika siti aliyo kalia. Akamtazama Vaileth ambaye uso wake una tabasamu.
“Ila siwezi kuwachoma kwa mdogo wako kwani nazijua hasira zake”
Sophia akajikuna tu kichwa chake kwa aibu kwani siri ya mahusiano yake na Valentina sasa ina julinana na wetu wengi sana na mtu pekee ambaye hajui kinacho endelea ni Jack na hajui itakuwaje siku Jack akijua mke wake ana mahusiano ya kimepenzi na dada yake.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Moyo wa Rose una zidi kulainika kwa James je ata mkubali James mtoto wa familia ya maadui zake. Sophia na Vaileth wote ni wezi wa mapenzi ya Jack na Velentina je ita kuwaje siri zao wa wizi zikibainika? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 19.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 19

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
Sophia akamtazama Vaileth.
“Mbona unanitazama hivyo”
“Hamna”
“Mimi sipo kama dada yangu”
“Una maanisha nini?”
Sophia aliuliza akimatazama Vaileth kwa kumdasisi.
“Najua kinacho endelea kati yako wewe na sister na toka mwanzao mulipo anza nina jua hadi sasa naelewa kinacho endelea”
Sophia akashtuka huku akikaa sawa katika siti aliyo kalia. Akamtazama Vaileth ambaye uso wake una tabasamu.
“Ila siwezi kuwachoma kwa mdogo wako kwani nazijua hasira zake”
Sophia akajikuna tu kichwa chake kwa aibu kwani siri ya mahusiano yake na Valentina sasa ina julinana na wetu wengi sana na mtu pekee ambaye hajui kinacho endelea ni Jack na hajui itakuwaje siku Jack akijua mke wake ana mahusiano ya kimepenzi na dada yake.
ENDELEA
“Hasira za nane?”
Sophia akajikaza kumuuliza Vaileth.
“Mdogo wako ambaye ni shemeji yangu. Nina ifahamu hasira yake, chezeni munavyo cheza ila tafadhali usije ukasababisha dada yangu akauliwa na mdogo wako. Najua pombe zikiwakolea mutashindwa kujizuia na mutafanya ujinga utakao sababisha maafa. Tafadhali sana”
“Usijali nita ji control kwenye hilo”
“Sawa nimekuelewa”
Sophia akamtazama Vaileth na akakosa cha kuzungumza. Wakafika katika club ambayo ni watu matajiri ndio huruhusiwa kuingia. Wakapokelewa na meneja wa club na akawapelekea hadi eneo ambalo wameliwekea booking kwa ajili ya wao kustarehe usiku.
“Aisee hii club imejengeka sana mume wangu”
“Umepapenda?”
“Sana”
“Hapaa nilisha wahi kuja kama miaka minne nyuma. Na nilikata uwanachama wa VVIP”
“Nikajua leo ndio mara yako ya kwanza kufika?”
“Hapana”
Vinywaji vya kila aina vikaweka mezani na wakaanza kunywa taratibu.
“Wifi tukacheze mziki una kaaje kinyonge”
Sophia alizungumza akimtazama Valentina anaye mtazama mume wake kuomba ruhusa. Jack akanyanyua uso akimaanisha akacheze. Sophia akamshika mkono Valentina na wakaelekea eneo la kucheza mziki ambapo kuna watu wengine wana cheza mziki.
“Tafadhali jizui wifi mdogo wako macho yake yote yapo kwetu”
“Una ogopa?”
“Weee nina muogopa sana Jack.
“Usijali sikufanyi chochote”
“Mbona una waangalia sana?”
Vaileth alimuuliza Jack.
“Siwaangalii wao”
“Una waangalia kina nani?”
“Wale waseng** wanne pale wana waangalia sana wana wamezea mate”
Vaileth akawatazama wanaume wanne wenye asili ya kiarabu wanao watazama Valentina na Sophia jinsi wanavyo cheza mziki. Mwananaume mmojaa akanyanyuka alipo kaa na akaanza kucheza cheza akiwafwata Sophia na Vaileth walipo. Mmoja wa walinzi akataka kuwafwata ila Jack akampa ishara ya kuto kwenda.
“Mambo warembo”
Mwanaume aliwasalimia kwa lugha ya kingereza.
“Salama vipi?”
Sophia alijibu.
“Poa tumevutiwa nanyi muna weza kujumuika nasi mezani pale tukafurahi pamoja”
“Una hisi sisi tuna vutiwa nanyi?”
Swali la Sophia likamfanya Vaileth kucheka.
“Sikia bro. Rudi kwenye meza yako pale. Una muona yule jamaa na walinzi wake”
Akamuonyesha Jack eneo alipo kaa.
“Ata badilisha hali ya uwepo wa humu club muda si mrefu. Mumekuja na mishe zenu endelea na mishe zenu. Sio kila mwanamke hapa ndani ni malaya anaye jiuza.”
“Wanawake weusi wana rangi muna nini cha maana”
“Una semaje wewe?”
Sophia alizungumza akimsogelea mwanaume huyo
“Una nini cha maana watu wenyewe ni weusi tu huku muna kuja kututumikia waseng** nyinyi”
“Wifi wifi achana naye”
“Acha nimchane makavu uta nibabaisha nini wewe ehee?”
Sophia akamsukuma mwanaume huyo akapepesuka na kuanguka chini. Wezake wakanyanyuka na kusogea eneo la tukio. Walinzi wa club wakasogea eneo hilo.
“Rudini eneo lenu.”
Kiongozi wa walinzi aliwaambia vijana wa kiarabu na wakarui eneo lao.
“Samahani kwa kilicho jitokeza. Vijana hawa ni wakorofi ila kuweni na amani”
“Asante”
Sophia akamshika mkono Valentina na akarudi naye eneo la kukaa.
“Walikuwa wanataka nini wale wifi?”
Vailth aliuliza.
“Wapumbavu tu. Wamesha nikata mood”
Sophia alizungumza kwa kukereka akachukua glasi yenye kinywaji chake na kunywa.
***
Kila anapo jaribu kufanya kazi katika laptop yake ana shindwa. Akaifunika huku akitabasamu.
‘Mbona nina muwaza sana huyu mwanaume?’
Rose alizungumza huku taswira ya muonekano wa James ikimjaa kichwani mwake.
‘Muda mfupi nilio kaa naye aisee daa…..huyu mwanaume vipi jamani’
Rose alizidi kupagawa na muonekano wa James. Akatoka ofisini kwa baba yake. Akaelekea eneo la kutunzia vinywaji. Akachukua chupa ya wine pamoja na glasi. Akatoka nyuma ya jumba la wazazi wake, ambao kuna bwawa kubwa la kuogelea pamoja na eneo la kupumzika. Akatoa simu yake katika mfuko wa suruali aliyo vaa.
“Eeehe saa tisa usiku”
Rose alizungumza.
“Anko hujalala?”
“Nilikuwa jikoni nina chukua chupa ya maji ya kunywa nilipo kuona hapa ikanibidi nije. Vipi upo poa?”
“Nipo poa anko. Kaa”
Anko Ally akakaa.
“Kuna ushauri naomba unisaidie”
“Ushauri gani?”
“Leo nimekutana na James Tiger”
“James Tiger mtoto wa kwanza wa huyu mzee Tiger?”
“Ndio. Nilipewa mchongo na mtu kuwa anapenda sana wanawake wa kununua”
“Ehee”
Rose akamuelezea anko Ally kilicho tokea nyumbani kwa James.
“Duuu…..amenitongoza na kusema ana nipenda”
“Una muaminije mtu anaye tokea kwenye familia kama ya Tiger”
“Anko mimi nimetongozwa na wanaume wengi sana ila huyu moyo wangu una jihisi tofauti sana kwake. Najikuta nina muwaza sana…..Kama angetaka kuniua angesha niua kwa ile sumu ila aliweza kunipa dawa ya kupona. Hembu niambie huyu mtu ana nioenda kweli?”
“Mmmm kwa jinsi familia zenu zilivyo na uadui sidhani kama ata kupenda kweli. Ila kuna mawili unayo paswa kuyaangalia”
“Yapi anko”
“Ana weza kuwa ana kupenda kwa ajili ya mali ulizo zako akatumia njia ya kukuoa naakakufilisi kabisa na hata hichi ulicho ichiwa na wazazi wako. Mbili ana weza akawa na akupenda kimapenzi kweli na akawa mwanaume sahihi kwenye maish ayako. Cha pili ana weza akawa ana kupenda kweli na akawa mwanaume wa maisha yako. Hivyo unapaswa kuwa makini sana”
“Sawa anko ila kama ikitokea nikamkubalia kweli familia yake ita nikubali”
“Hapo ndipo kwa kupima sasa”
“Kupima kivipi?”
“Wakikukataa mwanzoni na mwanaume akawa nawe basi ana kupenda si kwa mali bali na akupenda wewe kama wewe. Ila familia yake ikakupokea basi tambua wapo kwa ajili ya mission maalumu katika maisha yako”
“Sawa anko asante sana kwa ushauri wako”
“Ila una weza kutumia njia ya kuingia kwenye familia yao kwa kulipiza kisasi cha akili”
“Kipi?”
“Kuchukua kile kilicho chukuliwa kutoka kwa ukoo wako”
“Sawa anko”
“Naomba nikapumzike”
“Sawa anko kapumzike”
Anko Ally akanyanyuka na kurudi ndani. Rose akaingia katika mtandao wa whatsapp. Ujumbe ukaingia kwenye simu yake.
‘Upo macho’
Akausoma huku akijiuliza umetokea wapi kwa maana kama ni namba ya James hajaiweka katika simu yake.
‘Mimi James’
Rose akatabasamu.
‘Una fanya nini usiku wote huu’
Rose alijibu meseji. James akapiga picha anacho kifanya kwenye laptop yake.
‘Nafanya kazi ngumu’
‘Jamani pole nikajua umelala’
‘Nalalaje nina majukumu mengi. Naweza kukupigia video’
‘Mmm……!’
‘Mbona una guna’
‘Hamna piga tu.’
James kwa haraka kapiga video call.
“Mashallah wewe mtoto mzuri sana”
“Jamani”
“Kweli ona uzuri wako kama malaika aisee.”
“Hahahaaa una nisifia bure”
“No nakuambia kweli wewe ni mzuri”
“Asante”
“Rose nisiwe muongo najiona leo nimekuwa mpya baada ya kuonana na wewe. Nakupenda”
“Unitamani”
“Ningekutamani ningekutumia na kukuacha. Ukinikubali nakuoa”
“James hivi una fahamu kwamba familia zetu zina uadui na ni wa vizazi kwa vizazi?”
“Mimi sijali hilo. Moyo wangu umekupenda acha nikupende bwana. Huwezi jua kama sisi ndio tuna weza kubadilisha historia ya familia zetu”
“Una jua kazi ninayo ifanya?”
“Ndio nafahamu mpelelezi”
“Una hisi familia yako ita nikubali kweli?”
“Ninaye kuoa ni mimi na sio wao. Nipo tayari kuacha kila kitu kwa ajili yako”
“Hahahaaaa acha utani?”
“Nakuapia. Nina mali zangu zina nitosha kukutunza na nipo tayari kuwa na wewe kwenye shida na raha”
“Naomba nifikirie James”
“Niwe na matumaini au?”
“Hahahaaa”
“Nisije nikachezea kibuti”
“Una ogopa?”
“Hahahaaa siogopi ila kupigwa kibuti na mtoto mzuri ni kama kupewa taarifa na malaika mtoa roho kuwa usiku wa leo wana ichukua roho yako”
Rose akacheka sana.
“James fanya kazi usiku mwema”
“Mbona unanikimbia jamani?”
“Unataka nikukubalie usiku huu huu jamani”
“Hahahaa kuna ubaya”
“Hamna fanya kazi ila majibu yatakuwa mazuri pale nitakapo jiridhisha”
“Kujiridhisha na nini?”
“Na vipimo vyangu ninavyo vijua mimi. Usiku mwema pumzika”
“Sawa”
Rose akakata simu huku hisia za kimapenzi zikiwa zimemjaa.
“Jamani huyu kaka ana nini mbona amenijaa hivi moyoni mwangu jamani”
Rose alilalamika akiwa hajui ni nini kinacho endelea moyoni mwake.
***
“Mkuu wamefika”
Mlinzi wa Tiger alizungumza.
“Waingie”
Akatoka nje na wakaingia wanaume wanaume wanne walio valia makoti makubwa na miwani nyeusi., Mmoja kati ya wanaume hao akaka kwenye kiti huku wengine watatu wakisima nyuma yake.
“Umeniweka sana masaa mawili nina kusubiria”
“Nilitaka kuhakikisha usalama wangu.”
“Sawa”
“Ni nini kilicho kutoa Tanzania ukaja Kenya”
Mzee Tiger akatoa simu yake mfukoni na akamuonyesha picha ya jambazi aliye uliwa.
“Naamini huyu ni mtu wako”
Mwanaume huyo akaitazama simu picha hiyo na kuvua miwani yake.
“Umemuua kijana wangu muaminifu”
“Kwa sababu alitumwa kumuua mwanangu”
Mwanume huyo akashusha pumzi nyingi.
“Nataka kujua nani aliwapa tenda ya kumuua mwanangu?”
“Najua una jua kwamba siwezi kusema”
“Una hitaji kiasi gani unitajie adui ambaye ameingia kwenye familia yangu”
Mwanaume huyo akakunja nne na kumtazama Tiger kwa dharau.
“Huna pesa ya kunilipa kuliko niliyo lipwa”
“Kama ni hivyo uta beba msalaba wa wa aliye kituma”
“Hahaahaaa Tiger jua hii ni Kenya na sio Tanzania. Unakuja kwenye nchi yangu na una nitisha”
“Sikutishi ila nina kueleza ukweli halisi wa mambo yanavyo kwenda. Umejaribu kuigusa familia yangu pasipo kujua una dili na familia ya nani?”
“Hahahaaa Tiger. Usicho kijua nimelipwa pesa nyingi kwa ajili ya kukuua. Na ninakupa afasi ya uendelezo sali sala yako ya mwisho kabla sijakuua”
Mzee Tiger akatabasamu, akatoa sigara katika pakti yake. Akaiwasha, akavuta fumba moja.
“Na ulikuwa una waza nini kuja Kenya na walinzi wako wawili…..Hahahaaa na wapo nje na umeturuhusu sisi kuingia ndani ya chumba hichi na silaha zetu…..Malizia sigara yako nikuue”
Mwanaume huyo alizugumza huku akitoa bastola katika koti lake la suti na akaishika kwa mkono wake wa kulia. Mzee Tiger akavuta tena sigara yake na akatoa ishara kwa wadunguaji wake wanao fwatilia kila inacho endelea katika chumba hicho ambacho kina madirisha makubwa. Walinzi wa waname huyo wote wakapigwa risasi za vichwa wa wadunguaji na kuanguka chini na kumfanya mwnaaume huyo kuweweseka kwani shambulizi hilo hakulitarajia hata kidogo.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Mzee Tiger amembananisha boss wa majambazo walio tumwa nchini Tanzania kumtaja aliye mtuma kumuua Jack je kiongozi huyo ata taja mtu aliye mlipa na kumuua Jack Tiger? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 20.
 
Back
Top Bottom