Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 08

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.


ILIPOISHIA
“Tusalimie kuzimu kwa maana sisi na wewe njia yetu ni moja”
Akatoa ishara na mzee Chiko akatupwa ndani ya bwawa la mamba na akaanza kushambuliwa kama walivyo shambuliwa wanaye.
“Moyo wangu sasa una amani na furaha. Jack chagua zawadi yoyote uniambie na nitakupatia”
Mama Jack akazitupa gloves ndani ya bwawa la mamba
“Nitakuambia mama”
“Sawa. Ahaa…..Mume wangu tuondoke”
Jack akawatazama wazazi wake wanao ondoka eneo hilo.
“Kila mmoja akampumzike kesho nina wahitaji sana katika harusi yangu. Kila mtu avalie suti na apendeze kama tulivyo kubaliana”
“Sawa mkuu”
Jack akapena tano na vijana wake na wakaondoka na kumuacha akiwa amesimama mwenyewe pembeni ya bwawa hilo. Ujumbe ukaingia katika simu yake na akafungua ujumbe huo ulio tumwa whatsapp. Akaiona picha ya msichana mrembo kisha akayasoma maandishi ulio ambatana na meseji hiyo.
‘Huyo ni mtoto wa Chiko. Yupo South Korea. Ni hataria sana, mshuhulikie kabla hajarudi nchini kwani akirudi vita yake sio ndogo’
ENDELEA
Jack kwa haraka akampigia mpasha habari.
“Mzee Chiko ana mtoto mwengine?”
“Ndio mkuu, na nina imani kwa kilicho tokea ni lazima ata kuja nchini Tanzania”
“Ana somea nini?”
“Upelelezi”
“Nini?”
“Ndio mkuu ana somea upelelezi”
“Fuc*** hembu hakikisha una nipatia taarifa za wapi ana soma na ni chuo gani na hata kama ana panga safari ya kurudi Tanzania basi hakikisha una jua ni ndege gani atakayo panda”
“Sawa mkuu”
Jack akakata simu, akatembea hadi ilipo nyumba ya eneo hilo la Mbugani.
“Wazee wameondoka?”
Alimuuliza mtunza mbuga ya wanyama
“Ndio boss”
Akaingia ndani ya gari moja na kuelekea moja kwa moja nyumbani kwao. Akafika, kabla ya kushuka ndani ya gari, akavua jaketi la kuzuia risasi, buti pamoja na glove ngumu alizo vaa viganjani mwake, akavaa kobazi zilizomo ndani ya gari, akashuka.
“Umemuona mzee?”
“Ndio wapo hapo sebleni na wageni”
Mfanyakazi mmoja alijibu. Akaingia sebleni na akamkuta baba yake akizungumza na katibu mkuu kutoka ikulu.
“Bwana harusi ndio huyu?”
“Ndio last born wangu”
Mzee Tiger alizungumza akitabasamu.
“Shikamoo”
“Marahaba. Habari za wewe?”
“Nina mshukuru sana MUNGU”
“Hongera sana kijana kwa kufanya maamuzi ya kuoa kwa maana vijana wengi katika kipindi chenu hichi muna ogopa sana kufunga ndoa”
“Hahahaa ni kweli”
“Nimekuja kuangalia mazingira kwa mara ya mwisho kwa maana taarifa ya kilicho tokea kidogo kilitushtua”
“Poleni sana”
“Asante sana.”
“Baba nipo ndani ukimaliza naomba tuonane”
“Sawa”
“Kama ni muhimu muna weza kuzungumza hivi sasa”
“Hapana muheshimiwa, ni mambo madogo madogo ya sherehe”
“Ohooo sawa”
Jack akaondoka sebleni huku katibu mkuu kiongozi pamoja na baba yake wakimtazama.
“Una kijana mkamavu sana. Nimeshikana naye mkono ila ni mzito kama komandooo”
“Huwa ana pendelea sana kufanya mazoezi”
“Kwa nini usimuingize serikalini katika vitengo vyetu vya ulinzi”
“Hahahaaa yeye ndio kila kitu kwa sasa. Una ona umri wangu umesha kimbia hivyo yeye ndio kiongozi wa kila kitu changu”
“Yule kaka yake si yupo?”
“Yupo ila yule bwana akili yake imejikita sana kwenye mambo ya kubuni buni vitu”
“Ohooo nakumbuka hata ule mfumo wa ulinzi wa kisasa alileta yeye ule mradi”
“Ndio ndio hivyo wamegawana majukumu”
“Safi sana”
“Jack Jack”
“Niambie sister”
“Kumeendaje?”
“Kila kitu kipo vizuri”
“Asante MUNGU umerudi salama. Nilikuwa nina jiuliza nita muelezaje Valentina kama kingekutokea chochote kibaya”
“Kuwa na amani sister. Wifi yako yupo wapi?”
“Katika wing wanayo kaa wazazi wake. Wana muandaa kwa ajili ya kesho”
“Sawa. Na ulio wafwata?”
“Wapo kwa sir God wana imba mapambio ya kusifu na kuabudu”
Jack akampiga piga dada yake begani na akaelekea chumbani kwake. Akapitiliza moja kwa moja bafuni, akavua nguo zote na akasimama chini ya bomba la maji ya mvua na kuanza kuoga. Akamaliza kuoga, akajifunga taulo kiunoni na akatoka bafuni, akapiga magoti pembezoni mwa kitanda anacho lala. Akachukua biblia na akaanza kuifungua, akasoma mistari kadhaa kisha akaanza kusali.
‘MUNGU asante kwa kila jambo. Mimi ni mkosefu na ni mwenye dhambi. Nina kuomba sana unisamehe dhambi zangu zote nilizo zifanya kwa kuwaza, kunena na kwa kutenda. Amen’
“Upo karibu sana na MUNGU wako”
Mzee Tiger alizungumza huku akiwa amekaa kwenye moja ya sofa huku ameweka nne.
“MUNGU ndio kila kitu baba. Haijalishi ni mangapi tuna yafanya chini ya hili jua ila yeye ana tusamehe”
“Vizuri. Ni nini ulitaka kuniambia?”
Jack akamchukua simu yake alipo iweka, juu ya meza ya kioo. Akaweka picha ya mtoto wa Chiko.
“Ni nani huyu?”
“Binti wa Chiko”
“Chiko ana mtoto wa kike?”
“Ndio mpasha habari ambaye ana fanya kazi na mzee Chiko ndio amenitumia hiyo picha”
“Bwana Chiko ana watoto watatu tu.”
“Baba wanaume tunapita sehemu nyingi. Huwezi jua ana weza kuwa ni binti yake nje ya ndoa. Tuachane na hayo ila kitu ambacho nimeelezwa kidogo ndio kina changamoto”
“Kitu gani?”
“Huyo binti ana soma South Korea maswala ya upelelezi”
“Ina maana ni mpelelezi?”
Mzee Tiger akaivuta karibu sura ya binti huyo mrembo.
“Ndio na jamaa ana seme ni hatari sana huyo binti. Mbaya ni kwamba sisi hatumjui vizuri kama tulivyo kuwa tuna wajua kaka zake”
“Duuu”
“Ndio baba. Ila nimemuambia jamaa anitafutie taarifa za chuo anacho kisoma. Na kwa kilicho tokea ni lazima ata katisha masomo yake na kuja huku hivyo akija ina tupasa kumshuhulikia mapema kabla hajapiga hatua kwenye upelezi wake”
“Hapana”
“Kwa nini baba….ikiwa ni watu hatari hao”
“Acha arudi, tujue ana fanya kazi katika chombo hani cha usalama hapa nchini. Kisha ndio tumshuhulikie. Ila tukimstukiza na akaponyoka basi ata jificha na akisha jificha basi ata tufikia kwa ukaribu”
Jack akamtazama baba kisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amemuelewa baba yake.
“Tambua taarifa zake kisha unifahamishe”
“Sawa baba”
“Pumzika. Kesho una hitajika ukiwa na nguvu mpya na mwili umekuchangamka”
“Daaa kuna rafiki zangu sija onana nao na wamekuja kwa ajili yangu baba”
Mzee Tiger akatazama saa yake.
“Kaa nao walau nusu saa au saa moja kisha upumzike”
“Sawa mzee”
Taratibu mzee Tiger akanyanyuka.
“Baba”
“Naam”
“Kwa nini usimueleze ukweli mama?”
Mzee Tiger akatabasamu.
“Nina wasiwasi juu ya ulicho nieleza”
“Mama yako una jua presha zake. Nikimueleza hili basi yeye ndio ata kuwa mgonjwa. Ila wakati sahihi ukisha fika nita ieleza familia nzima”
“Sawa baba”
“Kuwa na amani na acha kunifikiria mimi. Fikiria kuhusiana na ndoa yako”
“Sawa baba”
Mzee Tiger akatoka chumbani kwa Jack. Jack akatembea hadi dirishani na akachungulia eneo la ufukwe wa bahari ambapo kuna bar ambayo rafiki zake na wageni wengine wapo. Akavaa nguo haraka haraka na akaelekea eneo walipo rafiki zake. Akasalimiana nao kwa kukumbatiana.
“Naona ndugu yetu umeamua kutukimbia kwenye ubachelor”
“Bakini humo acha mimi nikaone maisha ya ndoa yapoje?”
“Hakuna ambaye tuna muhoji na akasema kwamba maisha ya ndoa ni matamu”
“Doooo kila mtu na mtu wake bwana. Yakinishinda si natoka bwana”
Wote wakacheka.
“Vipi mumepata huduma nzuri?”
“Nzuri sana hata kwenye hoteli za nyota tano hatupati huduma kama hizi”
“Sawa sawa”
“Jack japo una ishi Tanzania ila maisha yako mazuri sana”
“Kwa nini?”
“Hili eneo ona lilivyo kubwa. Jumba la baba yako limejengwa kama ikulu ya Marekani tena ikulu ya Marekani ni ndogo ujue”
“Kwa mtu wan je ana weza kusema maisha ni mazuri sana ila kwa mimi kusema kweli nina ona ni maisha ya kawaida sana”
“Vipi hugongi maji siku hizi?”
“Kwa leo hapana. Nahitaji kukipambazuka akili yangu iwe vyema, nisije kuamka na hang over nikatia aibu kwenye sherehe.”
“Piga hata bia mbili mshikaji wetu”
“Hapana. Naomba munielewe hilo”
“Tuna heshimu mawazo yako bro”
Jack akamuona James akikatiza akielekea ndani.
“Samahani nina kuja”
Jack akanyanyuka na akamkimbilia James.
“Bro bro”
“Vipi, tumekutafuta hatujakupata?”
“Nilikuwa nina malizia kuunda mfumo mahari wa ulinzi kuanzia wa anga”
“Sawa kuna ishu naomba unisaidie”
“Ishu gani?”
Akamuonyesha picha ya mtoto wa Chiko.
“Nataka kupata taarifa za huyu binti”
“Ni nani?”
“Mtoto wa Chiko”
“Kwanza mumempata Chiko?”
“Yupo kuzimu kwa sasa”
“Weee”
“Na wanaye watatu wa kiume. Tuliwakuta kwenye kiota kimoja kama mandege John tukawabeba wote na wote wameliwa na mamba”
“Khaaa nani katoa oda ya wao kuliwa na mamba?”
“Bi mkubwa”
“Una jua tumezaliwa na shetani mdogo wangu……Wameliwa wakiwa hai au wamekufa”
“Wakiwa hai, tena Chiko akishuhudia mwanaye mmoja baada ya mwengine akiliwa kisha bi mkubwa akamkata makend** yake na mamba wakayala”
“Duuu”
“Sasa ana hatari gani?”
“Ana somea upelelezi South Korea hivyo ina bidi tujihami mapema”
“Nifwate”
Wakaelekea katika ofisi ya James.
“Yule dogo?”
“Nimemfungua kwenye chumba hapo kwanza akili imkae sawa”
“Sasa wa kazi gani si umuue”
“Hapana. Nahimuhitaji kwa kazi zangu”
“Kazi zako mtu kama yeye ni hatari bro. Ana weza kujifanya ni mnyenyekevu kwako na baadae akakugeuka kumbuka tumemchukua kwa njia ya kumteka”
“Usijali nitajua jinsi ya kucheza na akili yake”
James alizungumza huku akikaa katika kiti cha kuzunguka. Akawasha computer yake.
“So unataka kujua nini kuhusina ana yeye?”
“Nijui tu taarifa zake ambazo una weza kuzipata kwenye data base za serikali hususani kwenye majeshi huko”
“Ngoja niangalie”
“Halafu kuna kitu nilisahau kukusikilizisha”
Jack akamsikilizisha James mazungumzo ya mzee Chiko na wanaye.
“Umesikia wanasema wata leta drone zenye silaha zenye umbo la ndege?”
“Nimesikia ila hakuna kitakacho weza kuingia”
“Una uhakika?”
“Asilimia mia moja. Hapa nilikuwa nina fanya testing ya mfumo wa ulinzi wa anga pamoja na walinzi wa raisi kila kitu kipo vizuri”
“Sawa nitafutie huyu binti aisee ameninyima usingizi. Nilijua kwamba Chiko tumemmaliza kumbe kizazi chake bado kipo”
James akaanza kuifanya kazi aliyo pewa na mdogo wake. Hakumaliza dakika tano taarifa za mtoto wa kike wa Chiko zikapatikana.
“Anaitwa Rose Lupini…Mbona hana ubini wa Chiko?”
James aliuliza.
“Lupin ni kabila gani hilo?”
“Sijui dogo. Kuna koo zina majina ya ajabu. Muulize baba”
Jack akampigia baba yake.
“Ndio”
“Baba una fahamu jina la Lupini, lina husiana nini na Chiko?”
“Lupin ni ukoo wa marehemu mke wa Chiko mbona umeuliza?”
“Huyu mtoto wa Chiko ana itwa Rose Lupini ndio maana imekuwa ni ngumu kuweza kujua kama ana mtoto mwengine wa kike”
“Kwa nini alimficha huyo binti yake?”
“Sijui baba”
“Tafuta na ujue ukweli. Naanza kuiona hatari kama alivyo sema huyo mtu wako kuwa kuna hatari ina onekana mbeleni”
“Sawa baba”
James akakata simu na uendelea kusoma taarifa za Rose na kitu kilicho zidi kumchanganya yeye na kaka yake ni kuto kuona ni chombo gani cha ulinzi na usalama anacho fanyia kazi.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Taratibu wameanza kujua taarifa za mtoto wa kike wa Chiko. Ni kwa nini mzee Chiko amemficha binti yake na ni kwa nini taarifa zake hazionyeshi ni wapi anapo fanyia kazi? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 09.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 09

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Anaitwa Rose Lupini…Mbona hana ubini wa Chiko?”
James aliuliza.
“Lupin ni kabila gani hilo?”
“Sijui dogo. Kuna koo zina majina ya ajabu. Muulize baba”
Jack akampigia baba yake.
“Ndio”
“Baba una fahamu jina la Lupini, lina husiana nini na Chiko?”
“Lupin ni ukoo wa marehemu mke wa Chiko mbona umeuliza?”
“Huyu mtoto wa Chiko ana itwa Rose Lupini ndio maana imekuwa ni ngumu kuweza kujua kama ana mtoto mwengine wa kike”
“Kwa nini alimficha huyo binti yake?”
“Sijui baba”
“Tafuta na ujue ukweli. Naanza kuiona hatari kama alivyo sema huyo mtu wako kuwa kuna hatari ina onekana mbeleni”
“Sawa baba”
James akakata simu na uendelea kusoma taarifa za Rose na kitu kilicho zidi kumchanganya yeye na kaka yake ni kuto kuona ni chombo gani cha ulinzi na usalama anacho fanyia kazi.

ENDELEA
“Sasa mbona taarifa zake za kufanya kazi katika chombo cha ulinzi na usalama hazipo?”
Jack alimuuliza James.
“Wakati mwengine kuna wapelelezi taarifa zao ni ngumu sana kuweza kuzipata kwa maana utendaji wao wa kazi ni wa siri sana”
James alijibu akimtazama Jack.
“Sasa bro ina bidi utumie uwezo wako wa kudili na wanawake, akija basi umtongoze”
“Halafu!?”
James aliuliza kwa mshangao.
“Tumjue”
“Ukitaka familia nzima tuuwae ni huyu mwanamke ni kujaribu kumuweka karibu kwa kigezo cha kumpenda. Mimi sio mpelelezi, hivyo siwezi kujua mbinu za kumchunguza yeye ila yeye ni mpelelezi na ana uwezo wa kutuchunguza sisi tena kwa haraka sana. Hivyo ni vyema tukaepukana naye kabisa yaani.”
“Sawa bro acha nione mambo yatakavyo kuwa kwani hata mzee haitaji tumshuhulikie”
“Poa poa”
“Nikalale”
“Huendi kula bata na washikaji zako?”
“Hapana kesho ni siku muhimu sana kwangu hivyo sipaswi kulewa”
“Sawa dogo kapumzike. Kama nita pata chochote nita kueleza”
“Poa”
Jack akaelekea chumbani kwake. Akajizala kitandani huku akiwaza maisha mapya ya ndoa anayo kwenda kuifungua masaa machache yajayo.
***
Rose Lupin akamuona mzee mwenye mvi akiwa amekaa kwenye benchi kwenye bustani kubwa. Akavua headphone alizo zivaa masikioni mwake huku jasho likimwagika mwilini mwake kwani ni kawaida yake kufanya mazoezi ya kukimbia kila ifikapo saa kumi na moja asubuhi. Akakaa pembeni ya mzee huyo. Ambaye ni Mtanzania.
“Shikamoo”
“Marahaba. Unaendeleaje?”
“MUNGU ni mwema, nina pambana kwa kweli”
“Sawa. Kuna tatizo limejitokeza nchini Tanzania”
“Tatizo gani?”
Mzee akatoa simu yake mfukoni na kumuonyesha Rose Lupin video.
“Night Club ya baba yako jengo lake limeliuliwa. Ukisogeza mbele uta ona video ya moja ya cctv ya siri ina onyesha jinsi baba yako, na kaka zako wote watatu wakiingizwa katika magari tofauti wakiwa wamezimishwa. Na hadi sasa haifahamiki ni wapi ambapo wapo. Kama wapo hai au wamekufa”
Rose akatazama video hiyo huku macho yakimtoka.
“Nimesha kuombea ruhusa chuoni. Una mwezi mmoja wa kwenda Tanzania kuchunguza kilicho tokea”
“Baba yangu ana maadui wengi sana ambao amewatengeneza kwenye maisha yake. Miongoni mwa maadui zake watakuwa wamehusika na hili”
“Ndio maana imetolewa amri wewe mwenyewe kuchunguza kinacho endelea.”
“Sawa mkuu”
Mzee huyo akato bahasha nyeup katika koti la suti yake.
“Kuna tiketi ya ndege ina ondoka saa moja asubuhi. Kwa kuepuka adui wa baba zako kujua una rudije. Ukifika Nairobi, utajua jinsi gani ya kuingia nchini Tanzania”
“Nita rudi na ndege hii hii niliyo panda. Hakuna wa kunifanya chochote”
“Usijiamini sana. Kwnai baba yako na ulinzi wake wote, kimetokea cha kutokea”
“Kwa ujuzi wako ni watu gani ambao ana uadui nao sana?”
“Sina taarifa sahihi. Kachunguze”
“Sawa. Nashukuru”
“Kuwa makini Rose”
“Usijali. Tutaonana nikimaliza upelelezi wangu”
“Sawa”
Rose akasimama akiwa na bahasha yenye tiketi yake. Akavaa headphone zake na kuanza kukimbia kurudi katika eneo analo ishi. Dakika kumi zikamtosha kufika katika eneo alilo panga na hakuwa na muda wa kupoteza. Kwa haraka akaingia bafuni na kuoga haraka haraka. Akatoka bafuni, akiwa amejifunga taulo kifuani. Akafungua kabati la nguo, akatazama nguo ya kuvaa, akachuku suruali nyeusi pamoja na shati la mikono mirefu. Akavaa kofia nyeusi, kisha chini akavalia raba nyeupe. Akafungua safebox kwa kuingiza namba za siri. Akatoa hati zake za kusafiria, akachukua kiasi chote cha pesa kilichopo katika safebox yake. Akaitazama bastola ambayo ipo ndani safebox.
‘Baki huku’
Alizungumza, akatazama picha aliyo piga na wazazi wake pamoja na kaka zake wakiwa bado wadogo. Akairudisha picha hiyo ndani ya safebox kisha akaifunga. Akaweka hati za kusafiria katika begi la mgongoni. Akaweka nguo nne tu ndani ya beki, akaweka laptop, chaji ya laptop pamoja na chaji ya simu. Akachukua kitabu cha hadithi ambayo bado hajamaliza kukisoma, akakiweka ndani ya begi kisha akaiweka simu yake mfukoni, bahasha yenye tiketi pia akaiweka mfukoni, akavaa smart watch, akatoka eneo analo ishi, akakodisha taksi ikampeleka moja kwa moja hadi katika uwanja wa ndege wa Incheon. Akamlipa dereva kwa ku scan code inayo rahisisha huduma za malipo. Akashuka ndani ya gari na akelekea moja kwa moja eneo la ukaguzi, akakaguliwa na akarudishiwa hati yake ya kusafiria. Akajumuika na abiria wengine kuelekea katika ndege wanayo ondoka nayo kuelekea nchini Tanzania.
‘Moyo wangu umekuwa mzito naamini kuna jambo baya zaidi limemkuta baba na ndugu zangu. Endapo kuna yoyote ata kuwa amehusika katika hili, sinto muacha salama. Naapa sinto muacha salama’
Rose Lupin alijiapiza huku akikaa kwenye siti ya ndege yake na kusubiria muda wa ndege kuondoka.
***
“Wooo. Umependeza sana mwanangu”
Mama Jack alizungumza akimtazama Jack aliye valia suti iliyo mpendeza sana.
“Asante mama”
“Mmmm unanukia vizuri”
“Hii pafyum nili iandaa maalumu kwa siku ya leo. Vipi huko nje”
“Kila kitu kipo vizuri. Watu wamesha jipanga muna subiriwa maharusi tu”
“Sawa mama”
Jack na mama yake wakatoka nje ya chumba cha Jack wakakutana na James, best man wa Jack, vijana wa Jack pamoja na rafiki zake kutoka nchini Marekani, wote wakiwa wamevalia suti zinazo fanana huku ni Jack pekee suti yake ikiwa na fanana na best man wake. Wakaelekea katika eneo la bustani kubwa iliyo pembezoni mwa bahari, huku wageni waalikwa wakiwa wamekaa kwenye viti. Wagani waalikwa wakasimama Jack na wezake wakiwa wana ingia eneo hilo. Jack na best man wake wakasimama pembeni ya mchungaji atakaye fungisha ndoa yao.
“Umependeza sana”
“Asante mchungaji”
Hazikuisha dakika kumia Valentina akaingia akiwa ameongozana matron wake.
‘Nina mke mzuri sana’
Jack alijisema kimoyo moyo kimtazama Valentina aliye pendeza kuanzia kupambwa usoni hadi gauni la harusi. Ibada ya harusi ikaanza huku utaratibu wa kidini ukifwata. Wakavishana pete za garama kudhibitisha kwamba sasa ni rasmi ni mume na mke. Baada ya ndoa kufungwa sherehe ilafanyika katika ukumbi mkubwa ulipo ndani ya eneo la jumba la kifahari la mzee Tiger huku watu mashuhuri wakihuduria sherehe ikiwemo raisi.
“Hongereni sana”
Raisi alizungumza huku akipeana mkono na Jack kisha akampa mkono Valentina
“Tuna shukuru sana muheshimiwa raisi.”
“Mukawe na ndoa njema yenye furaha”
“Asante sana”
“Mapumziko yenu mumepanga kwenda wapi?”
“Dubai”
“Ohoooo basi mukitoka Dubai mupite na Zanzibar muendelee na mapumziko kuna eneo nimewaandalia kama zawadi yangu”
“Asante sana muheshimiwa raisi”
“Muda wangu ni mdogo. Acha nikaendelee na majukumu”
“Sawa.”
Wakapena mikono. Raisi akaagana na wageni wengine na majira ya saa nne usiku akaondoka katika makazi ya katika nyumba ya mzee Tiger.
***
“Simasha gari hapo”
Rose Lupin alimuambia dereva taksi aliye mkodisha akitokea uwanja w andege.
“Hii club ilikuwa imejaa laana bora ilivyo anguka”
Dereva taksi alizungumza na kumfanya Rose asite kidogo kushuka ndani ya gari.
“Laana gani?”
“Kabla haijafungwa kwa ajili ya matengenezo. Bwana hii Club uchafu wa kila iana ulikuwa una fanyika hapa. Yaani humo ndani, wanawake na wanaume wana cheza uchi uchi. Watu wana fanya mapenzi hadharani. Wanawake kwa wanawake, wanaume kwa wanaume yaani ni laana”
“Wewe umeyajuaje hayo wakati ni members pekee ndio huingia humo?”
“Kuna tajiri wangu mmoja alikuja akanilipia siku niingie kwamaana yeye hapa ni mwana chama aisee ni laana juu ya laana”
“Okay”
Rose akashuka ndani ya gari. Akatazama jengo la gorofa mbili ambalo ndio ilikuwa ni club ya usiku ya baba yake ikiwa imeanguka. Akatembea hadi eneo ambalo gari zilizo mbeba baba yake na ndugu zake zilikuwa zimesimama. Akarudi ndani ya gari, akaingia na kuondoka eneo hilo. Akafika katika makazi ya baba yake ambapo ni jumba kubwa la kifahari.
“Wewe ni nani kwenye hii familia?”
Dereva taksi aliuliza. Rose akamlipa kiasi alicho kubaliana naye.
“Usipende kujua mambo mengi”
Rose akashuka ndnai ya gari akiwa na begi lake mkononi. Kamera ya getini ikammulika na taratibu geti likafiungua. Akaingia.
“Karibu sana boss”
Mlinzi mmoja anaye linda getini alizungumza huku akipokea begi la Rose.
“Nashukuru. Usalama wa hapa nyumbani?”
“Upo wa kutosha”
Rose akatazama jumba la wazazi wake ambalo ni goroga nne kwenda juu.
“Walinzi wengine wapo wapi?”
“Walitoka na mzee jana na walifia ndani ya club”
Rose akashusha pumzi taratibu.
“Hapa nyumbani mupo wangapi?”
“Nane”
“Nita hitaji kuzungumza nanyi badae”
“Sawa mkuu”
“Nipe tu begi langu”
Akakabidhiwa begi lake na akatembea hadi katika lango kuu la kuingia ndani ya nyumba hiyo. Lango likafunguliwa na akatoka mzee wa makamu sawa na baba yake.
“Anko shikamoo”
“Marahaba Rose. Karibu sana”
“Asante”
“Mbona hukunipigia simu nije kukuchukua?”
“Sikutaka watu wajue kama nimerudi”
“Ohoo”
Rose na mzee huyo wakaingia ndani. Akakuta watumishi sita wa ndani ya nyumba hiyo, wanne wakiwa wamma na wawili wakiwa wanaume wa kamao ambao toka akiwa binti mdogo walikuwa ni watumishi wa nyumba hiyo huku wakisimamiwa na mtumishi mkubwa ambaye ndio mzee aliye mfungulia mlango.
Akawasalimia wote huku akipeana nao mikono.
“Pole kwa safari”
“Asante sana”
“Nikupokee begi nilipekeke chumbani”
Rose akampatia mwana mama huyo begi. Siku zote watumishi hao wamekuwa wakimlea toka akiwa binti mdogo hata mama yake alivyo fariki, watumishi hao waliendelea kumlea na ana waheshimu sana.
“Niambie ni nini kimetokea anko Sele”
Rose alizungumza huku akitembea kuelekea katika ofisi ya nyumbani hapo kwa baba yake.
“Kusema kweli mzee jana alikuwa ni mtu mwenye furaha sana. Hakuonyesha dalili yoyote mbaya kusea kwmaba labda kuna watu wabaya wana muwinda na kamawa kawaida aliondoka na walinzi wake asubuhi”
“Kaka zangu?”
“Nao waliondoka kama kawaida kila mtu kwa wakati wake”
“Katika kipindi cha hivi karibuni hapakuwa na adui yoyote anaye iwinda familia yangu?”
“Hapana. Laiti angekuwepo ningejua”
“Wao alio iwinda?”
Mzee Selemani akaka kimya kwa sekunde kadhaa.
“Una waza nini?”
“Baba yako miezi kama mitatu nyuma aliweza kumuhonga dereva anaye endesha gari la kampuni ya Tiger na wakauchukua mzigo wa huo ila dereva alisha toroka”
“Mzigo wa nini?”
“Dawa za kulevya”
“Baada ya kifo cha mama, baba si aliachana na hiyo biashara?”
“Hakuacha ila aliifanya kwa kifocho sana wewe usifahamu.”
“Kwa hiyo kwa kipndi chote alikuwa ana fanya?”
“Ndio”
“Baada ya kuchukua huo mzigo wamiliki wake ni kina nani?”
“Tiger yule mzee bilionea ndio anaye miliki kampuni zote za Tiger ndani na nje ya nchi. Walikaa kimya sana na hawakuonyesha dalili yoyote ya kujali kilicho tokea. Juzi baba yako nilimsikia akiongea katika simu ila hakunishirikisha”
“Akiongea nini?”
“Alikuwa ana panga mpango wa kwenda kuishambulia harusi ya kijana wa Tiger aliye panga kufunga ndoa leo na jana mchana walishambulia na bomu lililo jaa mabomu kwenye fukwe ya nyumba ya Tiger na habari sikupata nini kimetokea. Usiku wake jengo zima la Club likalipuliwa na miili iliyo kutwa mule baada ya kifusi kutolewa ni miili ya walinzi pekee alio kuwa nao ila baba yako na kaka zako hawapo ila simu zao zimekutwa ndani ya jengo la Club.
“Kwa nini baba aifanyie hayo yote hiyo familia?”
“Kwa sababu ndio wapinzani wakubwa wa kibiashara kwa familia yako.”
“Una picha ya huyo bilionea Tiger?”
“Ndio”
Anko Sele akatoa simu yake mfukoni na akaiweka picha yam zee Tiger n aakamuonyesha Rose Lupini aliye itazama picha hiyo.
‘Hawa watakuwa ndio wamehusika na utekaji wa familia yangu….Nita kula nao sahani moja ila kwa akili sana’
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Ndo ya Jack na mke wake imefanikiwa bila ya shambulizi lolote ila bahati mbaya wapelelezi wake hawajampatia taarifa ya uwezo wa Rose nchini Tanzania na tayari Rose amesha muhisi mzee Tiger kuhusika na utekaji wa baba yake na kaka zake je nini kita tokea? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 10.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 10

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Akiongea nini?”
“Alikuwa ana panga mpango wa kwenda kuishambulia harusi ya kijana wa Tiger aliye panga kufunga ndoa leo na jana mchana walishambulia na bomu lililo jaa mabomu kwenye fukwe ya nyumba ya Tiger na habari sikupata nini kimetokea. Usiku wake jengo zima la Club likalipuliwa na miili iliyo kutwa mule baada ya kifusi kutolewa ni miili ya walinzi pekee alio kuwa nao ila baba yako na kaka zako hawapo ila simu zao zimekutwa ndani ya jengo la Club.
“Kwa nini baba aifanyie hayo yote hiyo familia?”
“Kwa sababu ndio wapinzani wakubwa wa kibiashara kwa familia yako.”
“Una picha ya huyo bilionea Tiger?”
“Ndio”
Anko Sele akatoa simu yake mfukoni na akaiweka picha yam zee Tiger n aakamuonyesha Rose Lupini aliye itazama picha hiyo.
‘Hawa watakuwa ndio wamehusika na utekaji wa familia yangu….Nita kula nao sahani moja ila kwa akili sana’

ENDELEA
Rose alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kutazama picha ya mzee Tiger.
“Unahisi nini?”
Anko Sele aliuliza.
“Huyu mzee kuna uhakika amehusika katika kupotea kwa baba na kaka zangu”
“Sina uhakika”
“Nitafutie taarifa kamili ya huyu mzee na family ayake nzima”
“Nitajitahidi”
“Mbona una sema uta jitahidi?”
“Ni familia inayo ishi kisiri sana na katika kila watu kumi unao kutana nao babarani basi wawili kati ya kumi ni wapasha habari wao”
“Ina vutia. Wewe nitafutie habari zao”
“Sawa boss”
“Naenda kupumzika?”
“Chakula”
“Hivi sasa ni saa tisa usiku siwezi kula chohote na nilicho kila ndani ya ndege kina nitosha”
“Sawa boss”
“Kikao na wafanyakazi wote nitakifanya saa mbili asubuhi”
“Sawa boss”
“Unaweza kwneda”
Mzee Sele akatoka ofisini na mzee Chiko na akamuacha Rose peke yake. Akaanza kupita faili moja baada ya jengine la biashara za baba yake. Hadi ina fika alfajiri ya saa kumi ma moja akawa amemaliza kupitia faili zote za biashara alizo zikuta katika faili la mafaili lililomo nyumbani mwa baba yake. Akatoka ofisini na moja kwa moja akaeekea chumbani kwake kujipumzisha
***
Taratibu Jack akaanza kumnyonya maziwa Valentina naa kumfanya afumbue macho kutoka usingizini.
“Saa ngapi mume wangu”
“Sasa hivi ni saa kumi na moja na dakika mbili”
Jack alizungumza akitazama saa yake ya mkononi. Akayapanua mapaja ya Valentina na kuendelea kumnyonya papuchi taratibu. Vilio vya kimabaha vya Valentina vikamfanya Jack kuongeza utundu wa kuyonya papuchi ya mkewe.
“Nipe mume wangu”
Valentina alizidiwa na utamu. Taratibu Jack akapiga magoti huku Valentina akiwa ameyapanua mapaja yake. Akamzamisha jogoo wake taratibu na kuianzisha mechi kwa mwendo wa taratibu huku kiubaridi cha asubuhi kikizidi kuichangamsha miili yao. Kadri mechi ilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi kasi ya mechi ilivyo zidi kuongezeka. Kila mmoja ana furahia jinsi mwenzake anavyo mpatia. Valentina kwa mara mbili mfululizo akafika kileleni huku Jack naye akifunga goli moja. Wakakumbatiana kwa nguvu huku Valentina akiwa amemkalia Jack mapajani.
“Mume wangu una ni fuc** vizuri”
“Kweli?”
“Sanaa yaani nina changanyikiwa kwa penzi lako”
“Wewe ni mtamu mke wangu. Endapo kuna mpumbavu akikuiba basi nita muua”
“Hakuna wa kukuiba mume wangu na jinsi watu wanavyo kuogopa, aisee ndio unanifanya nizidi kuwa salama”
“Wapo watakao jizima data”
“Uta wawasha”
Wote wakacheka. Taratibu Valentina akajinyanyua mwilini mwa Jack na akaendelea kumkalia mapajani.
“Tuna ondoka na ndege ya saa ngapi?”
“Mchana”
“Kumbe nina muda wa kulala kwa maana jana tumecheza sana mziki hadi tumekuja hapa na kuishia kulala tu”
“Siku yetu ya ndoa ni moja na ndio imesha pita. Furaha tuliyo isherekea jana ndio imepita hivyo mke wangu”
“Kwa kweli. Jack”
“Naam”
“Nashukuru kwa kunichagua katika wanawake wengi na kunifanya niwe mke wako wa ndoa”
“Asante na wewe kuniheshimiwa na kunifanya niwe mume wako”
“Karibu”
Valentina akambusu Jack katika lips zake kisha akashuska kitandani na kuelekea bafuni. Jack akaichukua simu yake na akakutana na meseji nyingi kwa upande wa whatsapp na upande wa kawaida. Akafungua meseji za upande wa kawaida na nyingi ni kutoka kwa watu wanao mfahamu, ambao wamemtimia meseji kwa lengo la kumpongeza huku wengine wakisifia harusi yao kuwa nzuri sana na ya kuvutia. Jack akaiweka simu yake alipo itoa na akaingia bafuni. Akamkuta mke wake wakiwa ameka katika sink la choo akijisahidia haja ndogo.
“Nina meseji kibao za kujibu”
“Kutoka wapi?”
“Kwa watu walio hudhuria”
“Walifurahia ucheshi wetu wa jana”
“Hakika”
“Washa hiter mume wangu, kwa maana maji ni ya baridi sana”
“Ndio mazuri miili ina changamka”
“Weee nataka nirudi kulala sina mpango wa kuamka sasa hivi”
“Mimi nataka niende gym kidogo”
“Sawa mimi nilale lale hadi saa moja hivi ndio niamke”
“Umeridhika lakini?”
“Sana mume wangu….Show nyingine tukaifanyie dubai kwenye lile gorofa refuu kuliko yote duniani”
“Hhahahaa”
Wakaoga kwa pamoja, Valentina akarudi kulala kitandani. Jack akavaa nguo za mazoezi pamoja na raba za mazoezi. Akavaa headphone na akatoka chumbani kwake huku ukimya katika nyumba yao ukiwa umetawala kwani watu wengi wamelala. Akatoka nje ambapo walinzi wana endelea kuimarisha ulinzi. Akaanza kukimbia kwa mwendo wa taratibu kuelekea katika jengo lenye gym ambalo lipo kama mita hamsini kutoka ilipo nyumba yao kubwa. Akaingia ndani ya jengo la gym. Akawasha taa na kutazama vifaa vya mazoezi zilivyo pangwa katika mpangilio mzuri. Akapanda katika mashine moja ya kukimbilia(tredmil) na taratibu akaanza kukimbia huku akisikiliza mziki masikioni mwake.
Mlango wa kuingia Gym ukafunguliwa na akaingia Vaileth akiwa amevalia suruali ya mazoezi iliyo mbana na kitisheti kilicho baba na kuzifanya chuchu zake saa zita kuchoroka vizuri huku makalio yake makubwa nayo yakiwa yamechoroka na suruali aliuo ivaa.
“Shem kumbe upo huku”
Jack akapunguza mwendo wa mashine ya kukimbia na akavua headphone zake.
“Umeamkaje Vai”
“Salama shem vipi wewe?”
“Nipo huku. Asubuhi yote hii mbona umeamka?”
“Sijapata usingizi hivyo nikaona nije kufanya mazoezi.”
Vaileth alizungumza kwa sauti nyororo ya kumtega mwanaume yoyote rijali. Akatembea hadi alipo Jack anaye yembea kwa mwendo wa tarajibu huku nguo zake zote zikiwa zimelowana na jasho.
“Shem kusema kweli nashindwa kujizuia hisia zangu juu yako. Nakupenda Jack”
Vaileth akajaribu kuushika mkono wa kulia wa Jack ila akauchanisha haraka na akazima mashine.
“Nisikilize. Nmemuoa dada yako na hii ni pete niliyo mvisha jana ukishuhudia. Nina mpenda Valentina siwezi kumsaliti hususani na ndugu yake wa tumbo moja”
Jack alizungumza kw amsisitizo.
“Kama ulikuwa na mawazo kuwa ipo siku utakuwa na mimi tafadhali futa akilini mwako. Na utakapo endelea kunisumbua sinto kuwa na budi kumuambia dada yako ukweli wote”
“Una hisi ata nifanya nini?”
Vaileth alizungumza kwa kujiamini.
“Sijui”
“Shem Valentina ni dada yangu namjua in and out. Nina yajua mambo yake ambayo wewe huyajui na hatopendezwa siku ukayajua hivyo hata ukimuambia hato fanya chochote”
Jack akamtazama Vaileth anaye zungumza kwa kujiamini.
“Mambo gani?”
“Mambo yake ya sirini ambayo mimi kama mdogo wake nina yajua.”
“Basi kama ni hivyo kaa mbali na mimi dogo. Kama una hisi kutoa siri za dada yako zita nifanya nimuache au nimchukie hell no hakuna kitu kama hicho. Endelea kufanya mazoezi yako”
Jack akapiga hatua ili aondoke ila Vaileth akamuwahi kumzuia na kaamnyonya denda kwa nguvu na kumfanya Jack kumsukuma kidogo aanguke.
“Nitakuvunja mpumbavu wewe”
Jack alizungumza kwa hasira akitaka kumpiga makofi Vaileth.
“Una nichukuliaje mimi eheee?”
Vaileth akajikunyata kwani Jack amefura hasira huku akijifuta lipsi zake.
“Cheza na wanaume wote ila usicheze na mimi. Malaya mkubwa wewe”
Jack akachukua simu yake alipo iweka juu ya tredmil na akatoka ndani ya gym akiwa amekasirika.
‘Ana nionaje huyu demu?’
Jack alijiuliza akiwa amesimama nje ya jengo la gym.
‘Ana nichukuliaje huyu? Ana niona mimi mzembee heee?’
Jack aliendelea kuwaza.
“Hei”
Jack alimuita mmoja wa walinzi walio karibu na jengo la gym
“Ndio boss”
“Asiingie mtu humu ndani. Hata akija mke wangu usimruhusu kuingia labda baba na mama”
“Sawa mkuu”
Jack akarudi ndani na akamkuta Vaileth akiwa amekaa kwenye moya ya bechi la mazoezi machozi yakimbuujika. Akamshika mkono na kumsimamisha. Hakuzungumza chochote zaidi ya kuendelea kumkokota hadi katika moja ya bafu la kiume.
“Si unanitaka mimi, nitakupa unacho kitaka”
“Kweli shem”
Jack hakujibu zaidi ya kumvua Vaileth suruali yake na bikini aliyo iva kisha na yeye akavua bukta aliyo ivaa.
“Shika ukuta”
Vaileth akafanya kama Jack alivyo muagiza, akabong’oa kidogo. Jack akamzamisha jogoo wake katika papuchi ya Vaileth. Jack akajawa na mshangao ulio mfanya atulie kwa dakika nzima hadi Vaileth akamgeukia.
“Vipi babe”
Vaileth alizungumza kwa sauti ya mahaba.
‘Mpuuzi mbona ana kum** tamu hivi? Sijawahi kutana na kum** kama hii’
Jack alizungumza huku akianza kumpelekea moto Vaileth ambaye hakutana kuonekana mzembe, akazidi kukata viuno vilivyo mpagawisha Jack hadi akasahau kama ni muda mchache san aulio pita ametoka kufanya mapenzi na mke wake wa ndoa.
“Lala chini shem”
Jack akatii kwa haraka Vaileth akamkalia huku akiwa amempa mgongo na kumfanya Jack ayatazame makalio ya Vaileth yanavyo tikisika.
“Ulikuwa wapi siku zote ehee?”
Jack alijikuta akitokwa na maneno. Kwa haraka Vaileth akageuka na akatazamana na Jack aliye lala chini. Vaileth akaivua tisheti yake iliyo mbana na maziwa yaliyo simama yakazidi kumchanganya Jack.
‘Kikao cha mwisho cha wanaume nilicho kihudhuria kimenisaidia aisee’
Jack lazungumza huku akitazama mikono yake miwili iliyo nyanyuliwa na Vaileth ikishikishwa maziwa yake na akaanza kuyatomasa.
“Yaminye sana babe….aisiis….a.a..tamu….tamu nakojo………”
Vaileth alilalama huku papuchi yake ikebana na kumfanya Jack kuzidi kupata utamu. Vaileth akajilaza kifuani mwa Jack huku jasho likimwagika.
“Piga magoti”
“Ngoja kwanza shem mwili hauna nguvu”
Vaileth alizungumza huku akitetemeka kwa raha aliyo ipata. Jack taratibu akamlaza chini Vaileth akaendelea kumpelekea moto huku sauti za mahaba zikitawala ndani ya bafu zima. Wakajikuta wakifika kileleni kwa pamoja huku kila mmoja akiwa na furaha.
“Dubai twende wote”
“Shem”
“Ndio fanya unavyo fanya Dubai twende wote”
“Passport yangu nimeiacha nyumbani itakuwaje?”
“Kuna watu nita wasiliana nao wata kukatia ya chap chap. Ila nahitaji hili jambo liwe la siri kati yangu mimi na wewe tuna elewana?”
“Siri yako ipo salama”
“Mshawishi dada yako jinsi unavyo weza kumshawishi kisha yeye ata kuja kuniomba mimi”
“Sawa”
“Vaaa chap chap saa kumi na mbili wamesha anza kuamka”
Kila mtu akavaa nguo zake bila hata ya kuoga.
“Nikuulize kitu shem”
“Niulize”
“Ume enjoy”
“Sana”
“Kweli”
“Sitaku kukusifia bichwa likaftuka sasa hivi. Kikubwa jua nime enjoy”
“Asante shem”
Vaileth akamkumbatia Jack.
“Naanza kutoka mimi kisha wewe uta nifwata”
“Sawa”
Jack akatoka eneo la gym na hapakuwa na mtu yoyote.
“Una weza kutoka”
Vaileth akatoka.
“Nenda kapumzike”
“Asante kwa kukata kiu yangu”
Vaileth akatembea huku akimfanya Jack akimtazama makalio yake yanavyo tikisika.
‘Hili toto tamu sana isee. Nilijua mke wangu ni mtamu sana ila mdogo wake amemzidi sana.’
Simu ya Jack ikaanza kuita na akaipokea.
“Ndio”
“Boss nimekutumia meseji toka usiku ila naona hujaifungua”
“Ina husian na nini?”
“Yule demu uliye nitumia picha ameingia nchini Tanzania. Japo amejaribu kukwepa sana cctv kamera za uwanja wa ndege ila kamera moja ya nje ya uwanja wa ndege imefanikiwa kumnasa na hata taksi aliyo ipanda nje ya uwanja wa ndege nayo tumeinasa. Nimekutumia taarifa zote kwenye simu yako”
“Asante sana nita kuona baadae”
“Nashukuru sana mkuu”
Jack akakata simu na akafungua meseji aliyo tumiwa na mkurugenzi wa ulinzi. Akaiona video ya Rose akitoka uwanja wa ndege na kuingia ndani ya gari.
‘Karibu sana Tanzania Rose’
Jack alizungumza huku akiliki yake ikianza kufikiria jinsi ya kupambana na mtoto wa pekee wa marehemu mzee Chiko.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Siku ya kwanza ndani ya ndoa ndio siku ya kwanza Jack kumsaliti mke wake kipenzi Valentina ila mbaya zaidi Rose mtoto wa mzee Chiko tayari amesha fika nchini Tanzania je nini kita tokea? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 11.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 11
ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Boss nimekutumia meseji toka usiku ila naona hujaifungua”
“Ina husian na nini?”
“Yule demu uliye nitumia picha ameingia nchini Tanzania. Japo amejaribu kukwepa sana cctv kamera za uwanja wa ndege ila kamera moja ya nje ya uwanja wa ndege imefanikiwa kumnasa na hata taksi aliyo ipanda nje ya uwanja wa ndege nayo tumeinasa. Nimekutumia taarifa zote kwenye simu yako”
“Asante sana nita kuona baadae”
“Nashukuru sana mkuu”
Jack akakata simu na akafungua meseji aliyo tumiwa na mkurugenzi wa ulinzi. Akaiona video ya Rose akitoka uwanja wa ndege na kuingia ndani ya gari.
‘Karibu sana Tanzania Rose’
Jack alizungumza huku akiliki yake ikianza kufikiria jinsi ya kupambana na mtoto wa pekee wa marehemu mzee Chiko.

ENDELEA
“Hahahahahahaa”
Kicheko cha James kikamshtua Jack aliye katika msongo wa mawazo. Jack akazidi kushanga kumuona aka yake akitoka eneo bafu za gym hiyo. Akaa pembeni ya Jack huku akimpiga piga begani mwake.
“Ulikuwa humu ndani?”
“Yaah jana nililewa sana nikaja kupumzikia huku”
“Katika bafu za gym?”
“Ndio mdogo wangu upo vizuri. Yaani una kula dada na mdogo wake….Hahahaaaa wewe noma”
“Ikae moyoni basi, dogo alianza choko choko mwenyewe”
“Ungemuacha ungedhalilisha ukoo. Siri yako ipo salama ila kuwa makini ndugu wale”
“Usijali. Umetuona tukifanya”
“Kwa macho sijawaona ila kwa makelele tu nimeyasikia na nikawachungulia mulivyo toka…Hahahaaaaa”
James akafurahi sana akanyanyuka.
“Nikatafute supu nitoe pombe kichwani”
“Bro usimuambie yoyote aisee:
“Siri yako ipo salama mdogo wangu.”
James akatoka ndani ya gym. Hamu ya Jack kuendelea kufanya mazoezi ikamuisha, akarudi chumbani kwake na akakuta bado Valentina amelala. Akavua nguo za mazoezi, akaingia bafuni, akaoga na kujisafisha kila sehemu ya mwili wake, akahakikisha harufu ya pafyumu aliyo jipulizia Vailet yote ina muisha mwilini mwake. Akatoka bafuni, akavaa nguo nyingine na akajipulizia pafyum yake.
“Mbona una jipulizia pafyum nyingi hivyo mume wangu”
“Kwa nini?”
“Mmm hadi imeniamsha?”
“Nataka tu ninukie si una jua mimi bwana harusi mpya”
“Hahaa halafu ina nukia vizuri mume wangu. Umeinunua wapi?”
“Mama yangu wa ubatizo alitoka Italy amekuja nayo”
“Mbona mimi hakuniletea jamani”
“Sijui”
“Saa ngapi?”
“Saa moja kasoro”
“Niamke”
“Lala, watu bado wamelala.”
“Nataka nikaandae kifungua kinywa mume wangu”
“Pumzika”
“Sawa”
Jack akabeba nguo zake za mazoezi.
“Nitatoka naenda mjini mara moja kisha baadae nita rudi. Kuna mambo nataka nikaweka sawa ofisini”
“Sawa mume wangu”
Jack akachukua funguo ya gari lake na akatoka chumbani kwake. Akazipelekea nguo zake katika chumba maalumu cha kufua nguo.
“Boss karibu”
“Asante naomba nifulie hizi”
Akamkabidhi mfanyakazi anaye shuhulika na ufuaji wa nguo za nyumba nzima.
“Sawa”
“Ziweka sasa hivi”
“Sawa boss”
Jack akashushudia jinsi nguo zake zinavyo wekwa ndani ya mashine na zikaanza kufuliwa. Akatoka ndani ya chumba hicho.
“Unatoka?”
“Shikamoo sister”
“Marahaba. Unaenda wapi asubuhi yote hii?”
“Kuna mambo nataka nikayaweke sawa ofisini. Si unajua baadae nina elekea Dubai”
“Nimechoka kukaa Tanzania, vipi na mimi niunge msafara?”
“Wakwenda Dubai?”
“Ndio”
“Ongea na wifi yako akikubali tuna enda kwa maana asije kuona ana banwa banwa”
“Limeisha hilo young bro. Unarudi muda gani?”
“Kwenye saa nne hivi”
“Poa kuwa makini.”
“Usijali sister”
Jack akelekea moja kwa moja eneo lilipo gari lake. AKaingia ndani ya gari na akaondoka nyumbani kwao. Sophia akaingia chumbani kwa Jack.
“Wifi”
“Tulia wewe. Mumeo ameondoka”
“Mmmmmm….umemuona?”
“Ndio nime muona. Sasa sikia nimemuambia kwamba nita enda nanyi dubai na amesema nije kuzungumza na wewe”
“Unataka tukamatwe eheee?”
“Hawezi kutukamata. Vipi amekutomb**?”
“Ndio”
Jibu la Valentina likamfanya Sophia kukaa kimya kwa sekunde kadhaa.
“Umekasirika”
“Amezitoa nyege zote”
“Wewe ndio ulizotoa yeye kazimalizia”
“Poa baadae”
“Sasa umenunua”
“Sija nuna mazingira hayaruhusu”
“Poa hata kiss”
Sophia akamsogelea Valentina na akamnyonya denda kisha akatoka chumbani kwa Jack.
***
“Nani?”
“Ni mimi”
“Ingia”
Anko Sele akaingia ndani ya chumba cha Rose.
“Wakurugenzi wote wamefika wapo katika chumba cha mkutano”
“Sawa nina kuja”
“Utakunywa kwanza kifungua kinywa?”
“Hapana”
“Sawa”
Anko Sele akatoka nje. Rose akajitazama mbele ya kioo jinsi alivyo vaa kaunda suti nyeusi uliyo mpendeza na kulichora umbo lake jembamba litokanalo na mazoezi makali anayo yafanya. Akavaa saa yake mkononi na akatoka chumbani mwake na moja kwa moja akaeelekea ofisini kwa baba yake. Akachukua moja ya faili, akatoka nalo na akaingia katika chumba ambacho mikutano ya wafanyakazi hufanyika.
“Asante anko”
Rose alizungumza huku akikaa kwenye kiti alicho andaliwa na anko Sela. Akawatazama wakurugenzi w akampuni sita zinazo milikiwa na baba yake.
“Wengi kati yenu hamunijui au mutakuwa munanisikia si ndio?”
“Ndio”
“Naitwa Rose mtoto wa mwisho wa mzee Chiko. Mutakuwa mumesikia kilicho tokea kwa baba na kaka zangu kupotea na hawajulikani ni wapi walipo. Ila hilo halito zuia majukumu mengine kuendelea kamakawaida”
“Nahitaji ripoti ya mauzo ya kampuni munazo zisimamia kwa kipindi cha mwaka mzima. Naamini mulipewa ripoti hiyo na anko”
“Ndio”
“Naziomba hapa mezani kwangu”
Kila mkurugenzi akanyanyuka na faili lake mkononi. Wakayaweka mafaili yao eneo Rose alilo wahitaji wayaweke.
“Munivumile kwa nita hitaji kupitia faili moja baada ya jengine”
Rose akaanza kusoma faili ya kampuni yao inayo simamia hoteli tatu za hadhi ya nyota tano. Ambazo hoteli hizo zote zipo mikoa mitatu tofauti. Akaliweka faili pembeni, akafungua faili la kampuni ya usafirishaji inayo toa mizigo kutoka chini na kuileta nchini Tanzania. Akaendelea kukagua ripoti za kampuni zote sita kisha akawatazama wakurugenzi hao.
“Kuna mapunguvu makubwa kwa kila kampuni. Ninacho kijua mimi na nilicho kiona hapa ni vitu viwili tofauti. Hivyo basi kila mmoja wenu akarudishe kile alicho kiiba ndnai ya kampuni za baba yangu”
“Madam ila kampuni tuna ziendesha kwa uaminifu na hata mzee ana ridhika na utendaji wetu wa kazi”
“Mzee!”
“Ndio”
“Mimi ni nani?”
“Ahaa binti wa mzee”
“Na ndio mmiliki wa hizo kampuni. Kampuni zote ambazo baba alikuwa ana zisimamia zina milikiwa na mke wake na mrithi wa kampuni hizo ni mimi. Hivyo mimi ndio boss wenu halisi. Japo sikuwa nje ya nchi ila kwenye kila kampuni nina watu wanao nipata taarifa za kila kinacho endelea. Kila linalo fanyika hivyo nina wapa saa ishirini na nne kila mmoja akarudishe kile alicho kiibia kampuni.”
Wakurugenzi wakatazamana.
“Mimi si mtu rahisi kama munavyo fikiria. Ukishindwa kufanya ninacho kiagiza basi mujue kitakacho wkauta hakita kuwa kitu kuzuri. Sitaki kuwaambia ni kiasi gani mumeiba. Sasa karudishe kiasi tofauti na ulicho kiiba. Huto kaa muamini nini kinawakuta. Asanteni kwa kuja kwenu muna weza kwenda”
Wakanyanyuka huku kila mmoja tumbo likimvuruga kwani hakuna aliye tarajia na spana alizo kutana nazo.
“Wewe ni jasiri kama mama yako”
Mzee Sele alizungumza huku akitabasamu.
“Asante anko Sele. Nashukuru pia mama alivyo hitaji nilelewe kwenye maisha ya kuto onekana kama ilivyo kuwa kwa ndugu zangu”
“Ni binti yake wa kike wa pekee na alikupenda sana. Na hata alivyo nikabidhi majukumu ya kukuangalia nilihakisha una kuwa vyema na kutimiza malengo yako”
Rose akamtazama anko Sele ambaye amehusika sana katika malezi yake ya kuanzia kipindi mam ayake ana fariki huku kaka zake na baba yake wakiwa wapo busy na majukumu ya biashara.
“Nashukuru kwa kila jambo. Je hapa walinzi wa nyumbani kuna changamoto yoyote wanazo pitia?”
“Kwa kweli hakuna. Kila mmoja ana ishi vizuri kama familia na wana furahia maisha ya hapa nyumbani”
“Sawa sawa. Bonus kama alivyo kuwa ana toa mama?”
“Mmm zile zilipungua si una jua mzee si mtu wa kujali kivile”
“Basi nitazirudisha ina maana miaka yote hiyo muna ishi bila bonus”
“Hazikuwepo”
“Duuu. Waambie wafanyakazi wote nijumuike nao mezani tupate chai kwa pamoja kabla ya sijaendelea na majukumu mengine”
“Sawa”
Rose akakusanya mafaili yote. Akayapelekea ofisini kwa baba yake kisha akaelekea eneo la kulia chakula. Akaipokea simu yake.
“Mkuu nina update mpya”
“Niambie”
“Katika gari zilizo mteka mzee tumegundua gari moja wapo ina milikiwa na kampuni ya Tiger, japo walizifunga namba bandia ila gari hiyo imesha wahi kuonekana katika baadhi ya maeneo ya hapa mjini.
“Shukrani kwa taarifa au kuna nyingine?”
“Ni hiyo mkuu”
“Asante”
Rose akakata simu huku akitazama wafanyakazi wa nyumbani kwao wakika katika viti ishirini vilivyo izunguka meza hiyo ndefu. Akawasalimia wote kwa maana kiumri yeye ndio mdogo kuliko watu wote humo ndani.
“Nmefurahi kuwaona kwa mara nyingine”
“Asante sana mkuu”
“Muniite jina langu Rose. Sipendelei sana kuitwa boss au mkuu”
Wafanyakazi wakatabasamu.
“Kwanza swala la baba na kaka zangu hadi sasa hivi hakuna ambaye ana tambua ni wapi walipo. Watu wetu wana endelea kuwatafuta na kujua ukweli wa kilicho wakuta. Nina waomba kila mmoja kwa upande wake awe mtulivu kwani hakuna mabadiliko yoyote ya kiutumishi yatakayo jitokeza kwenu. Maaana nahisi wengi mutakuwa muna waza itakuwaje, mzee ameondoka, tuta lipwaje na mambo kama hayo. Kiufupi kila kitu kita kwenda kama kawaida”
“Asante sana Rose”
“Jambo jengine ni kuhusiana na bonus ambazo mama alikuwa ana walipa kabla hajafariki. Bonus zote zita rudi na nita walipa bonus za kuanzia January mwaka huu hadi mwezi huu wa hivi sasa”
Wote wakapiga makofi kwa furaha.
“Anko Sele ata nipatia idadi ya kila mmoja anacho paswa kulipwa basi hadi kufika jioni ya leo kila mtu ata pata pesa yake. Kwa kipindi cha nyuma toka mama ameondoka duniani, nita waomba mutusamehe tu kwa maana maisha yangu asilimia kubwa yamekuwa ni masomoni”
“Usijali Rose sisi tuna amani na tuna furaha. Upendo wako ni kama ulivyo kuwa upendo wa mama yako”
Mwana mama mmoja wa makamo alizungumza akimtazama Rose.
“Asante jamani tuanzeni kula. Tusali”
Rose akaombea kifungua kinywa na wakaanza kula pamoja utaratibu wa kula na wafanyakazi ulikuwa una fanya mama yake kabla hajafariki.
Simu ya Rose ikaingia ujumbe wa mseji, whatsapp. Akaufungua ujumbe huo na akaziona picha za Jack.
‘Yupo mjini hivi sasa nina mfwatilia mkuu nifanye nini?’
Rose akamalizia kunywa chai kisha kisha akasimama.
“Natoka jamani baadae”
“Sawa”
Akatembea hadi kwenye kabati la kuhifadhia funguo za magari. Akatazama funguo kadhaa kisha akachukua funguo moja na akaelekea eneo la gereji. Akaminya batani ya moja ya funguo aliyo ichukua. Gari moja aina ya Range Rover Sport toleo jipya ikawasha taa. Akaingia ndani ya gari hilo, akaliwasha na kuona mafuta yakiwa yamejaa tanki. Geti la gereji likafunguka na taratibu akaondoka nyumbani kwao huku akimpigia simu mtu anaye mfwatilia Jack.
“Ndio mkuu”
“Mfwatilie hadi anapo kwenda nina kuja kukutana naye uso kwa uso.”
“Sawa mkuu”
Rose akakata simu na akazidi kuongeza mwendo kasi wa gari lake kuwahi kule anapo elekea Jack.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Rose ameweka mtu wa kumfwatilia Jack na amepanga kwenda kuonana na Jack uso kwa uso je ata fanikiwa kuonana na Jack? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 12.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 12

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
‘Yupo mjini hivi sasa nina mfwatilia mkuu nifanye nini?’
Rose akamalizia kunywa chai kisha kisha akasimama.
“Natoka jamani baadae”
“Sawa”
Akatembea hadi kwenye kabati la kuhifadhia funguo za magari. Akatazama funguo kadhaa kisha akachukua funguo moja na akaelekea eneo la gereji. Akaminya batani ya moja ya funguo aliyo ichukua. Gari moja aina ya Range Rover Sport toleo jipya ikawasha taa. Akaingia ndani ya gari hilo, akaliwasha na kuona mafuta yakiwa yamejaa tanki. Geti la gereji likafunguka na taratibu akaondoka nyumbani kwao huku akimpigia simu mtu anaye mfwatilia Jack.
“Ndio mkuu”
“Mfwatilie hadi anapo kwenda nina kuja kukutana naye uso kwa uso.”
“Sawa mkuu”
Rose akakata simu na akazidi kuongeza mwendo kasi wa gari lake kuwahi kule anapo elekea Jack.

ENDELEA
Afisa usalama anaye mfwatilia Jack. Akamshuhudia Jack akisimisha gari lake nje ya mgahawa wa kisasa. Jack akashuka ndani ya gari na kuingia ndani ya mgahawa.
“Bwana harusi mpya”
Mzee mmoja alizungumza na kumfanya Jack atabasamu. Mzee huyo aliye mkuta amekaa akanyanyuka na wakapeana mkono na Jack.
“Shikamoo”
“Marahaba. Vipi mbona umemkimbia mke wako kitandani asubuhi yote hii ikiwa wewe ni bwana harusi mpya mjini hapa”
“Hahaaa kuna maisha baada ya ndoa. Majukumu ni lazima yaendelee”
“Ni kweli. Niambie”
“Naondoka nchini. Naombau jicho langu katia biashara zote. Umefanya kazi baba kwa kipindi chote na hata sasa umefanya kazi na mimi hivyo naomba kwa kipindi hichi unipatie update ya kila kinahco tokea katika biashara za familia”
“Sawa nita simamia hilo”
“Ni hayo tu nilitaka tuyaongee kwa maana kama unavyo jua mzee ame stape down”
“Sawa hakuna tatizo”
“Una weza kwenda ngoja niagize kifungua kinywa”
“Sawa Jack nikutakie mapumziko mema”
“Nashukuru mzee”
Wakaagana na mwanasheria wa familia. Akaagizia sambusa mbili na chai ya maziwa. Akiwa ana kunywa akamuona Rose akiingia ndani ya mgahawa huo na kitu cha kushangaza Rose akatembea hadi alipo.
“Habari yako kaka”
“Safi tu habari ya wewe?”
“Nzuri”
Jack akawapa ishara wafanyakazi wawili wa mgahawa huo anao umiliki, ambao ni walinzi wake, watulie.
“Naweza kukaa”
“Yes unaweza kuketi”
Jack akamtazama Rose anaye vuta kiti na kukaa.
“Naitwa Rose naamini wewe ni Jack”
“Jack nani?”
“Jack Tiger”
“Nakusikiliza Rose”
“Baba yangu ni mzee Chiko na kaka zangu ni wale watatu”
“Ohooo hivi mzee Chiko aa mtoto wa kike?”
“Ndio na mtoto wake wa mwisho”
“Sifahamu”
“Ina onekana una ifahamu vyema familia yetu?”
“Mmmm mzee wako na mzee wangu ni marafikia japo ni wapinzani katika biashara kadhaa”
“Vyema. Baba yangu amepotea tokaea usiku wa kuamkia jana. Kama mpinzani wake wa kibiashara una weza kuhisi baba yangu ata kuwa wapi?”
Jack akacheka kidogo.
“Una umri gani sister?”
“Umri wangu haukuhusu”
“Okay….Sijawahi kukutana na baba yako ndnai ya miezi kama nane hivi. Mbili ana walinzi na ni mtu mzima na mimi sihusiki kabisa kwenye ulinzi wake. Why un akuja kuniuliza mimi kuwa yupo wapi?”
“Kwa sababu nafahamu familia yako imehusika kumteka?”
“Familia yangu?”
“Ndio”
“Una ushahidi?”
Rose akamtazama Jack.
“Una ushahdi?”
“Sina ila nita upata tu. Najua biashara chafu munazo zifanya. Nita hakikisha wewe na familia yako nzima muna anguka chini. Nakuapia hilo”
“Unapokuwa mpelelezi siku zote muna fundishwa kuweza kuziongoza hisia zenu. Nashindwa kuelewa ni kwa nini una shindwa kuongoza hisia zako na umekuwa ni mtu wa kupanic.”
Rose akashtuka.
“Usishtuke kwa sababu tana fahamu kila kitu kuhusiana na wewe. So jitahidi sana unapo kwenda kumshutumu mtu uwe na uhakika wa kile unacho mshutumu. Kampuni za baba yako bado zina kuhitaji hivyo usijaribu kuziangusha kwa hisia zako. Na kingine cha kukuongezea. Ungejua aliyo yafanya baba yako juu ya familia yangu usinge kuwa nan guvu ya kuja na kujaribu kuropoka mbele yangu. Kwani tungehitaji kulipa kisasi hata wewe usinge ikanyaga ardhi ya Tanzania kwani ndani ya ndege uliyo ipata na siti uliyo ikaa ungesha uliwa”
Rose ubaridi wa woga ukaanza kumuingia huku hasira na jazba alizo kuja nazo kuonana na Jack zote zikianza kuyanyuka.
“Sijui unanielewa binti…No Rose Lupin”
Rose akashusha pumzi nyingi akimtazama Jack.
“Kitu cha kukusaidia ni kwamba baba yako, nguvu ya pesa ili mlevya. Akataka kugombana na kila mtu. Hata wale ambao hawakuwa na mpango naye alifanya chokochoko ili mradi tu ajulikane yupo. Sisi nikiri kwamba hatuja jishuhulisha kabisa na baba yako. Japo siku moja kabla ya ndoa yangu alitushambulia na ushahidi wa kufanya hivyo upo”
Jack akatoa simu mfukoni mwake na akamuonyesha Rose video ya mdukuzi jinsi alivyo kuwa ana hojiwa. Rose akazidi kushangaa.
“So baba yako ametuchokoza tukakaa kimya. Ila swala la kupotea kwake na mengine yanayo endelea katika club yake sisi hatuhusiki kabisa. Na nina rudia endapo tungekuwa tuna husika. Hata wewe usinge ikanyaga ardhi ya nchi hii. Haijalishi wewe ni nani.”
Jack akanyanyuka.
“Kitu kingine muambie agent wako anaye nifwatilia awe makini wakati mwengie ata kufa na kumuacha mke na wanaye wawili. Mkubwa ana miaka sita na mdogo miaka mitatu. Bado ni wadogo na wana mtegemea.”
Jack akamkonyeza Rose na akaanza kutembea kuelekea mlangoni. Rose akasimama kwa haraka na akatoka nje ambapo tayari Jack ametoka.
“Jack”
Jack akasimama na kumgeukia. Rose akatembea hadi alipo Jack.
“Haijalishi ni nguvu kiasi gani muliyo nayo wewe na familia yako kiasi cha kuyajua maisha ya kila mtu ila nikuahidi dhamira yangu haito ishia hapa. Nita jua ukweli tu”
Jack akatingisha kichwa.
“Una mwanaume”
“Nini?”
“Nakuuliza una mwanaume?”
Rose akabaki akimshangaa Jack.
“Una nyeg*. Zina kufanya una kuwa mwenye hasira. So tafuta mwanaume akupeleke moto nyeg* zikuishe uache kisirani”
Rose akakunja ngumi ziganja vyake. Akatamani kumpiga Jack kofi kwani dharau anayo muonyesha imepita kiwango.
“Namba yangu unayo. Siku ukihitaji msaada wa kutolewa hizo nyeg** basi nita kufanyia bure sinto kuchaji hata shilingi mia”
“Una nichukuliaje wewe?”
Rose alifoka.
“Binti wa kitajiri. Aliye toka masomoni kuja kurithi mali za baba yake. Hajui games za mjini zinavyo chezwa na anacho kifanya yeye ni kuparamia vitu. Kuwa muangalifu, unayo yaona hivi sasa sivyo jinsi yalivyo”
Jack akaminya funguo ya gari lake na likajiwasha akiwa nje ya gari. Akafungua mlango na kuingia ndani ya gari na akaondoka kwa mwendo wa kasi eneo la mgahawa na kumuacha Rose akitetemeka kwa hasira.
“Mkuu kwema?”
Afisa usalama aliye kuwa ana mfwatilia Jack akasimama pembeni ya Rose kwani alikuwa ana shuhudia akiwa ndani ya gari mazungumzo ya Jack na Rose.
“Tuelekee ofisini”
Rose akatembea hadi lilipo gari lake, akaingia na wakaondoka eneo la mgahawa huku afisa wake akimfwata kwa nyuma. Wakfika katika ofisi za ujasusi ambazo Rose ana fanyia kazi, wakashuka ndani ya magari na kila kutembea kuelekea ndani huku Rose akisalimiana na maafisa wezake. Wakaigia ndani ya lift.
“Jaa alikuwa ana fanya nini?”
“Amejua una mfwatilia na amekuonya usimfwatilie kwani amesema utawaacha mke na wanao wawili. Mmoja miaka sita na mwengine miaka mitatu”
“MUNGU wangu amejuaje?”
“Sijui”
Wakatoka ndani ya lift na Rose akaelekea moja kwa moja hadi kwa mkurugenzi wa shirikala ujasusi.
“Rose karibu sana”
“Asante mkuu shikamoo”
“Marahaba. Habari za South Korea?”
“MUNGU ni mwema nimerudi salama”
“Amen”
“Kaa”
Rose akakaa kwenye moja ya kiti kilichopo mbele ya mez aya mkurugenzi.
“Vipi umefikia wapi kufahamu kuhusiana na baba yako?”
“Kuanguka kwa gorofa ya baba yangu, pamoja na kupotea kwao nina hisi familia ya Tiger ime husika. Nimetoka kukutana na kijana wake yule wa mwisho Jack. Kusema kweli nina uhakika wamehusika”
Rose alizumza akimtazama mkurugenzi wake.
“Rose”
“Ndioo”
“Hao watu ulio wataja. Kusema kweli, kupambana na hao jamaa kupitia haki ni uongo”
“Una maanisha?”
“Namaanisha kwamba. Watu hao ndio wenye nchi. Wana nguvu kuliko hata serikali iliyo madarakani. Silaha, mifumo ya kiulinzi sijui ya anga, na vinginevyo wao ndio wasambazaji namba moja. Yaani ni sawa sawa sasa hivi umuambie raisi wa Marekani Trump amkamate Elion Mask ni uongo. Hakuna kitakacho fanyika”
Rose akashusha pumzi.
“Sasa nina elewa”
“Una elewa nini?”
“Ndio maana wana taarifa zangu ikiwa nimejaribu sana kujificha”
“Ohooo jamaa familia yao ilikita mizizi toka kipindi cha mzee Tiger mwenyewe. Akamrithisha mwaaye ambaye naye kwa sasa amemrithisha huyu mdogo Jack. So una weza kuona ni kizazi na kizazi kina rithi nguvu ambayo ilisha wekwa toka huko nyuma”
“Kwa hiyo baba yangu siwezi kumpata?”
“Ishu sio kumpata. Ishu je you hai yeye na kaka zako”
Rose akahisi kama emepigwa na shoti. Macho ya mshangao yakamtoka.
“Usiweka matumaini ya ndugu zako na baba yako kuwa hai kwa kweli. Siku zote hawa watu wanao jaribu kuingia katika hii familia huwa wana potea katika mazingira ya kutatanisha. Mazingira ambayo yana ogopesha”
Rose akazidi kunyong’onyea kwani aliamini boss wake ata mpa faraja ila amezidi kumnyong’onyeza.
“Rose, baba yako aliazisha vita mbaya sana ambayo sijui alikuwa ana lenga kitu gani”
“Vita gani?”
“Moja aliteka gari la mizigo la Tiger na kuiba mzigo wote. Oparesheni hiyo ilisimamiwa na kaka zako. Mchana wa kuamkia jana, akatua boti yenye mabomu kwenye fukwe ya Tiger. Bahati mbaya ile boti lilipuka na kusbabaisha majeruhi ya walinzi wa Tiger. Hiyo kama kulikuwa na ugomvi nyuma ya baba yako na hii familia basi una paswa kutafuta chanzo cha ugomvi. Ila ukiangukia kwenye kilicho tokea basi ina weza kuyapelekea maisha yako kuwa mafupi sana”
Rose akatulia.
“Nina voice note ambayo nilitumiwa. Ni mazungumzo ya mwisho ya baba yako na kaka zako kabla hawajapotea”
Mkurugenzi akaweka sauti ya mazungumzo ya mzee Chiko na wanaye jinsi walivyo kuwa wana sherekea kilicho tokea. kwa familia ya Tiger. Akasikiliza mpango mwengine ambao baba yake alikuwa ana panga kuishambulia familia ya Tiger.
“Kwa nini baba alikuwa na lengo gani la kufanya hivi?”
“Sijui. Kama unata kupambana nao. Pambana nao nje ya majukumu yako ya kiusalama. Usihusishe shirika la kijausi na vita hivi. Ila mimi nakushusuri usi rithi vita usiyo ijua.”
“Sawa mkuu. Naomba hiyo voice”
“Nakuingizia”
“Nakuomba niende”
“Upo sawa?”
“Hapana ila nina hitaji kupumzika”
“Sawa. Kapumzike”
Rose akanyanyuka na kuondoka ofisini kwa boss wake.
“Kaendelee na majukumu yako nita kupigia”
“Sawa boss”
Rose akaachana na afisa aliye mpa kazi ya kumfwatilia Jack. Akaingia ndani ya lifi akashuka hadi gorofa ya chini.
‘Baba kwa nini umefanya ujinga kama huu?’
Rose aliwaza huku akiingia ndani ya gari lake na akaondoka ofisini. Akiwaza jambo akilini mwake na kuendelea kuendesha gari kuelekea anapo pawaza akilini mwake.
***
“Umekutana naye?”
Mzee Tiger alizungumza huku akitembea kwa mwendo wa taratibu katika trademil na earpords zake akiwa amezivaa masikioni na akizungumza na Jack kupitia earpords hizo.
“Ndio baba. Ana onekana kupanic”
“Muache ila macho yetu yahakikishe yana kuwa kwake masaa ishirini nan ne”
“Sawa ila nina mpango naye?”
“Mpango gani?”
“Nita kueleza”
“Sawa.”
Mzee Tiger akagusa earpods ya sikio lake la kulia na simu ikakatika. Mlinzi wake akamfwata hadi katika mashine.
“Mkuu kuna mgeni nje ya geti kuu”
“Mgeni gani?”
“Wana sema kuna binti anaitwa Rose Lupin ana hitaji kuzungumza na wewe”
Mzee Tiger akamtazama mlinzi wake kwa sekunde kadhaa.
“Mruhusini na aletwe huku”
“Sawa mkuu”
Mlinzi wa geniti alijibu mara baad ya kuwasiliana na mlinzi namba moja wa mzee Tiger kwa kupita redio maalumu walizo valia earphone masikioni mwao. Rose akaamrishwa kushuka ndani ya gari lake. Akakaguliwa kama ana silaha ila hakuwa na silaha. Akapandishwa ndani ya gari jengine akiwa na walinzi wanne wenye silaha na safari ya kuelekea lilipo jengo la gym ikaanza.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Rose ameamua kuelekea nyumbani kwa mzee Tiger mara baada ya kutoka ofisini. Je ni nini kilicho mpeleka nyumbani kwa mzee Tiger na kwa nini ana taka kuonana na mzee Tiger? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 13.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 13

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Mpango gani?”
“Nita kueleza”
“Sawa.”
Mzee Tiger akagusa earpods ya sikio lake la kulia na simu ikakatika. Mlinzi wake akamfwata hadi katika mashine.
“Mkuu kuna mgeni nje ya geti kuu”
“Mgeni gani?”
“Wana sema kuna binti anaitwa Rose Lupin ana hitaji kuzungumza na wewe”
Mzee Tiger akamtazama mlinzi wake kwa sekunde kadhaa.
“Mruhusini na aletwe huku”
“Sawa mkuu”
Mlinzi wa geniti alijibu mara baad ya kuwasiliana na mlinzi namba moja wa mzee Tiger kwa kupita redio maalumu walizo valia earphone masikioni mwao. Rose akaamrishwa kushuka ndani ya gari lake. Akakaguliwa kama ana silaha ila hakuwa na silaha. Akapandishwa ndani ya gari jengine akiwa na walinzi wanne wenye silaha na safari ya kuelekea lilipo jengo la gym ikaanza.

ENDELEA
“Shuka”
Mlinzi mmoja wa mzee Tiger alizungumza na Rose Lupin akashuka ndani ya gari. Wakaingia ndani ya jengo la Gym. Wakatembea hadi alipo mzee Tiger na walinzi wake wengine.
“Shikamoo”
“Marahaba karibu”
“Asante. Mimi niaitwa Rose Lupin ni binti wa mzee Chiko naamini una mfahamu”
“Ndio na hata wewe pia nina kufahamu”
“Nashukuru sana kwa hilo”
“Nikusaidie nini binti?”
Mzee Tiger akamtazama Rose.
“Ahaa nimekuja kuomba masamaha kwa matendo ambayo familia yangu, hususani baba na kaka zangu waliweza kuwafanyia. Kwa kweli si matendo ya kiungwana. Wameiumiza familia yako kwa kiasi fulani nina kiri kwa ukosefu wa makosa yao na nina waomba muwasamehe sana”
“Makosa gani binti mbona sikuelewi?”
Mzee Tiger alizungumza kama haelewi chochote. Rose akavuta pumzi nyingi na akamtazama mzee Tiger.
“Kwanza baba aliteka gari lako na kuchukua mzigo wako. Sijui ni mzigo gani ila aliuchukua yeye?”
“Kusema kweli nilisaheme hilo”
“Jengine nina sikia kwamba alituma mtu kujitoa muhanga na boti iliyo kuwa umejaa mabomu hivyo ililipuka siku moja kabla ya harusi ya kijana wako”
“Kumbe baba yako ndio ana husika?”
“Ndio. Najua umewalipizia kisasi kwa kile walicho kifanya. Nakuomba sana mzee wangu uwasamehe?”
“Binti yangu kusema kweli nisiwe muongo. Sijafanya lolote kwa baba yako au kaka zako. Ushindani wa kibiashara wao waliuchukulia kama uadui wa kutaka kutoana roho ila cha kumshukuru MUNGU ni kwamba amenipa moyo wa kusamehe”
“Ina maana hauhusiki na kupotea kwao?”
“Kwani wamepotea!?”
Mzee Tiger alijifanya kushangaa.
“Ndio wamepotea na mara ya mwisho walikuwa katika jengo la club ya usiku ya baba iliyo kuwa ina fanyiwa matengenezo na ina sadikika iliwekewa mabomu na kulipuliwa na jengo zima likaanguka”
“Aisee pole sana kwa kila kilicho tokea. Nikuahidi kwamba nita tumia vyanzo vyangu kuhakikisha kwamba tuna fahamu ni wapi walipo”
“Nashukuru sana. Naweza kukupatia namba zangu za simu endapo uta fahamu chochote utanifahamisha?”
“Bila shaka”
Mlinzi wa mzee Tiger akamapatia mzee Tiger simu. Rose akamtajia mzee Tiger namba yake ya simu.
“Nita kupigia nikifahamu lolote”
“Asante sana mzee wangu”
“Shukrani na karibu tena”
“Asante”
“Una hitaji kupata kifungua kinywa?”
“Hapana hapana nimeshiba nina jisikia vizuri sasa”
“Ohoo sawa. Karibu tena binti yangu”
“Nashukuru”
Walinzi wakatoka na Rose ambaye akaendelea kutazama mazingira ya eneo la nje ya makazi ya mzee Tiger. Wakaingia ndani ya gari la walinzi, likaendeshwa hadi getini. Rose akashuka ndani ya gari na akaingia ndani ya gari lake na kuondoka.
‘Subiri hamto kaa muamini kitakacho wakuta.’
Rose alijiapiza kimoyo moyo huku akilini mwake akianza kupanga mikakati ya jinsi gani ya kulipiza kisasi chake.
***
“Mbona una furaha sana Vaileth”
“Ahaa….moyo wangu una amani dada yangu ameolewa na ana amekuwa mke wa tajiri mtoto”
“Hahahaa una wazimu wewe”
“Natamani na mimi niende huko munapo kwenda?”
“Wapi?”
“Dubai dada”
“Mmmmm ujue huu ni wakati wa sisi kwenda kupumzika na mume wangu. Sidhani kama ata furahi kuona wewe una kuwepo”
“Jamani muombe shemeji”
“Ila wewe si umezoeana naye. Muombe”
“Wewe umekubali?”
“Unajua siwezi kukukatalia mdogo wangu kipenzi”
Valentina alizungumza kwa furaha.
“Mpigie basi shem kwa maana asubuhi nilimuona akitoka na gari”
“Ngoja nimpigie”
Valentina akampigia simu James.
“Simu yake ina ita”
“Ehee MUNGU naomba anikubalie”
Vailteth alijifanya akisali.
“Mrembo wangu”
“Upo wapi mume wangu?”
“Ndio nina toka ofisini hapa nimesha maliza majukumu. Vipi?”
“Nina ombi kutoka kwa shemeji yako”
“Shemeji yangu nani?”
“Vaileth”
“Ana taka nini?”
James alizungumza huku akiingia ndani ya gari lake, akaliwasha na kuanza kuliendesha kwa mwendo wa taratibu.
“Ana omba ajumuike nasi kwenda Dubai”
“Leo?”
“Ndio mume wnagu”
“Daa mbona nimesha fanya booking ya ndege na tuna ondoka baada ya masaa manne”
“Mume wangu najua una watu wanao weza kuongeza tiketi nyingine”
“Wifi yako Sophia uliongea naye?”
“Ndio aliniomba naye aje nasi na nimemkubalia”
“Sawa acha nione nini nita kifanya. Ana passport sasa?”
Denzel alizungumza huku akitazama passport aliyo mtengenezea Vaileth.
“Eti una passport?”
“Nimeisahau nyumbani”
“Sasa una hisi utaenda Dubai na kitambulisho cha kura au……”
Valentina alizungumza kwa kukereka.
“Hana bwana”
“Muambie anitumie majina yake kamili na namba ya Nida nita mtafutia passport ya chap chap”
“Sawa mume wangu. Nakupenda”
“Nakupenda pia”
Valentina akakata simu.
“Una bahati sana shemeji yako ana connection. Mtumie taarifa zako na namba yako ya Nida akutengenezee nyingine”
“Wooyooo kwa hiyo nina enda Dubai”
“Jishaur nita kuacha. Mashangazi wameondoka?”
“Kwa jinsi walivyo lewa hakuna hat ammoja aliye ondoka”
Mlango wa chumba cha Valentina ukafunguliwa na akaingia mama James.
“Mama shikamoo”
Valentina na Vaileth walisalimia kwa pamoja.
“Marahaba wanangu munaendeleaje?”
“Salama tu mama”
“Ningekuwa na mtoto mwengine wa kiume hakika ningemshauri akuoe Vaileth”
Wote wakacheka.
“Mumeamkaje lakini?”
“Kusema kweli tuna mshukuru MUNGU tumeamka wenye nguvu na afya kubwa kabisa”
“Nimekuja kukuona mkwe wangu.”
“Asante mama kwa upendo wako”
“Mumeo bado hajarudi?”
“Bado”
“Akirudi muembie anitafute”
“Sawa mama”
“Mumepata kifungua kinywa?”
“Ndio mama tumeshapata”
“Sawa”
Mama Jack akatoka chumbani.
“Mama yako mkwe ana kupenda sana”
“Sana. Yaani nina shukuru MUNGU sana kupata mama mkwe kama huyu. Ina bidi nawe sasa uolewe mdogo wangu”
“Mmmm wewe umebahatika mimi siwezi kukurupuka kwenye hili”
“Kwa nini?”
“Wewe mwenyewe una jua kuwa wanaume wa sasa wamejaa tamaa. Hususani kwa wanawake wazuri kama sisi wata tumia kingono mwisho wa siku wata tuacha kama vile hakuna kinacho tokea.”
“Ila usemanyo ni kweli”
“Vipi dada kale kamchezo una kaendeleza?”
Swali la Vaileth likamfanya Valentina kukaa kimya akimtazama mdogo wake usoni.
“Ukimya una maanisha kuwa hujaacha?”
“Ukisha ingia ni ngumu kutoka”
“MUNGU wangu dada. Siku kumeo akijua itakuwaje?”
“Sijui kwa kweli. Sijui itakuwaje, najaribu kuacha ila nina shindwa mdogo wangu”
“Mmmm! Kwani sasa hivi upona na nani?”
“Sina mtu, ila kuna wakati nina kaa na kutamani kufanya kile ambacho nina fanya”
“Ina kupasa ukutane na mwanasikolojia dada”
“Mmmm”
“Ndio ina maana huna hisia kabisa na mumeo?”
“Hisia ninazo ila ni tofauti kama pale ninapo kuwa na mwanamke mwenzangu”
Vaileth akamtazama dada yake kwa uso ulio jaa huruma ila moyoni mwake amejawa na furaha kwani dada yake kuendelea kuwa na matumaini ya kimapenzi na wanawake wezake ndio ita zidi kumpa nafasi yeye kuendelea kufurahia utamu wa penzi la James.
“Nakuonea huruma dada yangu”
“Nikibeba mimba naamini hii hali itaniisha”
“Una uhakika?”
“Nahisi hivyo”
“Mmmm sawa MUNGU akutangulie dada yangu”
“Amen”
Kwa pamoja wakakumbatiana.
“Nakupenda sana dada yangu”
“Nakupenda pia mdogo wangu”
“Ngoja nikajinadae”
“Waage mama na baba tu. Wengine achana nao una jua jinsi walivyo jawa na wivu”
“Yaani weee acha tu. Ungeona walivyo kuwa wamejawa na roho za chuki wakati una olewa usinge sema”
“Achana nao ndio nimeolewa katika familia ya kitajiri acha wapambane na hali zao”
Wote wakacheka. Vaileth akatoka chumbani kwa dada yake. Akampigia simu James.
“Niambie”
“Asante kwa kunikubalia”
“Utamu wako ndio umenipagawisha. Ndio maana nimekukubalia”
“Kweli?”
“Ndio sijawahi kupata kum** tamu kama yako”
“Utaendelea kuipata Dubai kila utakapo itaka”
“Wacha weee”
“Ndio”
“Poa baadae”
James akaata simu huku akitazama gari mbili nyeusi zinazo mfwatilia toka alipo toka ofisini. Akatafuta moja ya namba katika simu yake na akaipiga.
“Boss”
“Kuna wajinga wana nifwatilia. Nakuja uelekeo wenu, wawakeeni mtego”
“Sawa boss”
James akakta simu na kuanza kuendesha gari kwa mwendo wa kasi na kuzifanya gari zinazo mfwatilia kwa nyuma nazo kuongeza mwendo.
“Hawa wapuuzi ni kina nani?”
James alizungumza huku akitoa bastola yake chini ya siti ya gari. Akawaona watu waliopo gari ya mbele wakijitokeza ndani ya magari wakiwa na bunduki mikononi mwao na kuanza kulishambulia gari la James. Risasi zikaendelea kupiga katika vioo vya gari la James.
“Wajinga muna maliza risasi zenu bure gari yangu ni bullet proof”
James alizungumza kwa kujiamini huku akiipigia tena namba aliyo ipigia awali.
“Mkuu”
“Wapuuzi wana nishambulia hivyo jiandaeni”
“Sawa”
James aendesha kwa umbali wa kilomita moja zaidi kisha akaacha barabara ya lami na kuendelea kuiendesha gari yake katika barabara ya vumbi huku gari hizo mbili aina ya Ford Ranger zikiendelea kumfukuzia. Akawasha taa eneo ambalo lina geti la wavu na geti likafunguliwa na akaingiza gari kwa mwendo wa kasi sana.
Gari mbili zinazo mfukuzia zikafunga breki na kusimama karibu na eneo ambalo James ameingiza gari.
“Ametukimbia leo ila……”
Kingozi wa watu wanao mshambulia James alizungumza. Kabla hata hajamalizia sentensi yake, mvua ya risasi ikaanza kumiminika katika gari zao kutokea kila kona ya eneo hilo ambalo ni la msitu. Wanaume nane, wanne wakiwa gari ya mbele na wanne wakiwa gari ya nyuma. Hawakupata nafasi kabisa ya kujiteea kwani risasi zilizo shambulia gari zao, ziliwpaat wote na kuwaua.
“Acheni kushambulia”
Sauti ilisikika na kikosi James kikaacha kufyatua risasi. James akatoka ndani ya kambi akiwa ameongozana na makamanda wake wawili huku kila mmojaa kiwa na bunduki mikonini mwake. Wakazifikia gari za watu hao na wakafungua milango na kukuta maiti tu zikivuja damu.
“Hawa wajinga ni kina nani?”
James alizungumza akiwatazama wanaume hao.
“Sifahamu mkuu”
“Kagueni vitambulisho vyao”
Maiti zote zikashushwa ndnai ya magari na kuanza kukaguliwa.
“Hakuna mwenye vitambulisho”
“Ndani ya gari kagueni”
James alitoa maelekezo na gari zote zikakaguliwa na hapakuwa na gari yenye kitambulisho cha aina yoyote ile.
“Huyu mmoja ana hii tattoo bosi”
James akaitazama tattoo iliyo chora mmoja wa maiti. Akaipiga picha kwa simu yake, kishaa kazipiga pich amaiti zote.
“Hakuna hata mmoja mwenye simu. Ina onekana hawa jamaa wamekodishwa na walipewa kazi maalumu ya kukua mkuu.”
Kiongozi wa makamanda wanao fanya kazi chini ya James alizungumza na kumfanya James kutazama mfananisho wa tattoo aliyo ichora mwanaume huyo mwilini mwake na tattoo aliyo ipata katika mtandao inayo onyesha kundi la watu wanao miliki aina hiyo ya tattoo, linatokea nchini Kenya.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. James amepunyuka chupu chupu kuuwawa na watu asio wajua. Je watu hao ambao mmoja wao ana onekana ametoka nchini Kenya ni kina nani na kwa nini wametaka kumuua? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 14.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 14

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Kagueni vitambulisho vyao”
Maiti zote zikashushwa ndnai ya magari na kuanza kukaguliwa.
“Hakuna mwenye vitambulisho”
“Ndani ya gari kagueni”
Jack alitoa maelekezo na gari zote zikakaguliwa na hapakuwa na gari yenye kitambulisho cha aina yoyote ile.
“Huyu mmoja ana hii tattoo bosi”
Jack akaitazama tattoo iliyo chora mmoja wa maiti. Akaipiga picha kwa simu yake, kishaa kazipiga pich amaiti zote.
“Hakuna hata mmoja mwenye simu. Ina onekana hawa jamaa wamekodishwa na walipewa kazi maalumu ya kukua mkuu.”
Kiongozi wa makamanda wanao fanya kazi chini ya Jack alizungumza na kumfanya Jack kutazama mfananisho wa tattoo aliyo ichora mwanaume huyo mwilini mwake na tattoo aliyo ipata katika mtandao inayo onyesha kundi la watu wanao miliki aina hiyo ya tattoo, linatokea nchini Kenya.

ENDELEA
Jack akasogea pembeni huku akiwa ameiweka simu yake sikioni.
“Baba upo eneo zuri?”
“Ndio napata kifungua kinywa hapa na mama yako”
“Usimuonyesha hali yoyote ya kushtuka. Ila kuna wahuni wamenivamia na kunishambulia. Nipo kwenye base yetu ya Kisarawe”
Mzee Tiger akanyanyuka mezani huku akimtazama mke wake kwa tabasamu. Akasogea pembeni eneo ambalo mke wake hawezi kumsikia.
“Upo salama?”
“Nipo salama baba. Ila tumewaua”
“Nakuja”
Mzee Tiger akakata simu na akarudi alipo kuwa amekaa.
“Kuna nini?”
“Ahaa ni Jack kuna ishu alikwenda kuishuhulikia hivyo nina kwenda kuonana naye”
“Tiger usinidanganye….Ni mwaka wa arobani na nipo na wewe nakujua kuliko ninavyo ujua mgongo wangu. Niambie Jack amekutwa na nini?”
Mzee Tiger akasubiria muhudumu anaye leta mayai ya kukaanga aliyo agizwa na mke wake, aweke sahani na akaondoka.
“Amevamiwa na wajinga. Lakini yupo salmaa katika base ya Kisarawe”
“Twende”
Mama Jack akanyanyuka na kuwa wa kwanza kutembea kuelekea nje. Mzee Tiger naye akafwata. Akakuta mke wake akiwa amesha funguliwa mlango wa garila mzee Tiger analo tumi akatika matembezi yake. Wakaingia ndani ya gari na walinzi wao wawili huku gari mbili wakiongozana nazo. Moja ikiwa imetagulia mbele ikiwa na walinzi na nyingine ikifwata kwa nyuma ikiwa na walinzi.
“Mpigie Jack”
Mzee Tiger akmapigia simu James.
“Baba”
“Upo salama?”
“Nipo salama mama”
“Ni kina nani?”
“Mmoja wao ana tattoo ambayo ina tumika na kikundi kimoja cha wahalifu nchini Kenya. Nimetuma picha zake kwa washirika wetu wa nchini Kenya hivyo wana nitafutia taarifa zake”
“Wafanye hivyo kwa maana mshenzi huyo nita hakikisha wao na familia zao wote wanakufa”
Mama Jack alizungumza kwa hasira.
“Tutawapata tu mama”
“Tuna kuja tupo njiani”
Mama Jack akakata simu na safari ikaendelea akiwa amefura hasira.
“Usikasirike sana na inavyo onyesha watu hao ni wageni kwenye hii nchi kwani kama Jack alikimbilia kwenye base basi wasinge mfwata hawakujua kinacho wafwata”
“Kwa nini sasa wanataka kumuua mwanangu?”
“Mimi na wewe wote hatujui”
Mzee Tiger akamsogelea mkewe karibu na akamnyonya denda na kumfanya ashusha pumzi nyingi.
“Kuwa na amani mtoto yupo salama”
“Sawa”
Wakafika katika eneo la kambi ya vikosi vyao vya walinzi wanapo patiwa mafunzo hadi kuhitimu na kuwa walinzi kamili wa familia ya mzee Tiger.
“Upo salama mwanangu”
Mama Jack alizungumza huku akimkumbatia mwanaye.
“Nipo salama kabisa mama.”
Jack akaachina na mama yake, akapeana tano na baba yake. Wakatazama miili ya marehemu iliyo lazwa chini ikiwa imejaa risasi katika miili yao.
“Yaani nina shukuru MUNGU nimetoka na hii gari. Laiti kama nisinge toka na hii gari hivi sasa ningekuwa na hali mbaya”
“Namba zao za magari mumecheki zimesajiliwa kwa jina nani?”
Mzee Tiger aliuliza.
“Namba zote ni feki. Hakuna hata moja ambayo imesajiliwa”
“Ulio watumia picha?”
“Bado hawajarudisha majibu”
“Hii ni hatari mwanangu. Ina bidi usitishe safari ya kuelekea Dubai”
Mama Jack alizungumza akiwa na hofu.
“Mama Dubai nita kwenda kuwa na amani”
“Amani ikiwa umepunyuka kuuwawa. Tuna paswa kujua hawa ni kina nani na nani amewatuma”
Gari za polisi zikafika eneo la tukio akiwemo RPC wa mkoa wa Pwani”
“Mzee Tiger shikamoo”
“Marahaba. Kwenye harusi ulikuja kweli?”
“Ndio mzee wangu nilikuja. James hapa amenipigia simu na kunielezea kilicho tokea. Nikaona niwahi haraka sana eneo la tukio”
“Nawashukuru sana kwa kuja.”
“Upo salmaa kijana?”
“Nipo salama RPC”
“Vijana wangu ina bidi wachukue maelezo yako”
“Hakuna tatizo”
Jack akasogea pembeni na askari wawili na kuanza kuwaelezea kilicho tokea.
“Siku hizi muna mruhusu Jack kutembea bila ya walinzi mzee?”
RPC aliuliza.
“Amekuwa ni mbishi na hapendelei kuwa na walinzi”
“Mmmm hali yake ya kiusalama ni ndogo sana. Maadui ni wengi msisitizeni kuwa na walinzi hata wawili watakao kuwa wana msaidia kumpatia back kwenye mambo kama haya”
“Kwa kilicho tokeaa naamini ata amini”
“Iwe hivyo kwa maana wamemsubiria ametoka nje ya mkoa wa Dar es Salaam ndio wamekufa kumfanyia varangati huku”
“Kwa kweli. Tuta litazamia hilo”
“Mama poleni”
“Asante sana”
James akarudi walipo simama wazazi wake na RPC.
“Tayari”
“Sawa. Je umefahamu ni kina nani hawa?”
“Hapana ila huyu mmoja, hii tattoo ina tumiwa na kundi moja la kihalifu ambalo lipo nchini Kenya.”
“Ina maana ni watu walio kodishwa kutoka nje ya nchi?”
“Ndio”
“Kama gari zao zina vibao vya namba za usajili za hapa Tanzania ina ashiria kwamba mpakani walivuka zikiwa na namba za usajili za Kenya. Hembu fungueni bonet muangalie chases namba”
RPC alizungumza na ukaguzi ukaanza haraka. Haikuchukua hata dakika moja kupata namba za gari zote mbili.
“Tuta shirikiana na wezetu kuweze kujua hizi gari zimesajiliwa wapi kama ni za hapa Tanzania tutafahamu na ni kama ni za Kenya pia tuta fahamu.”
“Tutashukuru sana”
“Kijana”
“Ndio mkuu”
“Kwa ststus ya familia yako. Hembu sasa hivi jiadhari kuwa mwenyewe. Haijalishi una uwezo wa kupambana kiasi gani ila kuwa na walinzi walau wawili watatu hivi, wewe ni back up kwako.”
“Sawa mkuu nitafanya hivyo”
“Usizunguke mwenyewe. Kwa maana huwezi kujua maadui zako ni kina nani na wana mpango gani na wana kuja kwa staili gani”
“Kwa hili nita kuwa na walinzi”
RPC akatoa ishara kwa vijana wake na miili ikaanza kukusanywa mmoja baada ya mwengine. Ikapakizwa katika gari za polisi na ikaondolewa eneo hilo. RPC akaaga na kuondoka na vijana wake wawili alio kuwa amebaki nao eneo hilo.
“Hizi gari ziwekwe kwenye karakana”
Mzee Tiger alitoa maagizo kwa mkuu wa kambi.
“Sawa mkuu”
“Ingia kwenye gari twende nyumbani. Mmoja aendesha gari yake”
Mzee Tiger mara baada ya kutoa maelezo hayo, wakaingia ndani ya gari na Jack na kuondoka naye eneo hilo.
“Mke wangu sikukuambia ila Rose mtoto wa Chiko alikuja”
“Nyumbani kwangu?”
“Ndio”
“Kufanya nini?”
“Alikuwa kuwaombea msamaha baba yake na kaka zake kwa yale waliyo tufanyia”
“Isije ikawa yeye ndio amewatuma watu kumuua mwanangu?”
“Sio yeye mama”
“Una amini nini kama siso yeye?”
Mama Jack aliuliza kwa kufoka.
“Mama hizi vita vya kuviziana na kushambuliana ni mambo ya kibiashara. Tuta jua tu wahusika wa hili ni kina nani kuwa na amani mama”
“Napataje amani ikiwa una ona adui ana kusogelea. Chiko yeye alianza chokochoko ikiwa sisi tulikuwa hatuna habari naye kabisa”
Mama James alilalamika.
“Kwa hiyo umemuambiaje?”
“Nimemuambia kuwa sisi tulisha wasamehe na awe na amani kwa maana hatuhusiki katika upotevu wao”
Mama Jack akashuhsa pumzi nyingi.
“Akilete ujinga. Nita dili naye mimi mweyewe”
Mama Jack alijiapiza huku gari zikiingia kwa kasi katika geti kubwa la jumba lao la kifahari. Gari zikasimama.
“Usishuke kwanza”
Mzee Tiger alimzuia James kushuka.
“Usije ukamueleza mke wako, dada yako kilicho tokea”
“Sawa baba”
“Umenielewa?”
“Nimekuelewa siwezi kuwaambia”
“Dubai bado una hamu ya kwenda?”
Mama Jack alimuuliza Jack.
“Ndio mama. Kama vile hakuna kilicho tokea. Kikubwa nita ongeza umakini wangu na familia yangu kwa maana sister Sophia ameomba na yeye kwenda nasi”
“Wapi?”
Mama Jack aliuliza kwa msisitizo.
“Dubai”
“Hapaswi kwenda”
Mama Jack alizungumza kwa msisitizo huku mumewe akiwa kimya.
“Mama nimesha mkubalia.
“Una jua maana ya honey moon? Ni mke na mume tu ndio wana paswa kwenda. Yeye ni kipi cha maana kina mpeleka. Aache upumbavu wake”
Mama Jack akashuka ndani ya gari.
“Huyo ndio mama yako bwana”
“Akimkatalia dada, atajisikia vibaya?”
“Hayo ni mambo yenu na mama yenu. Mimi sihitaji kuyaingilia. Ila hakikisha una kuwa makini”
“Sawa baba”
Mzee Tiger akashuka ndani ya gari na Jack naye akashuka. Akatemba hadi eneo lilipo gari lake lililo kuwa lina endeshwa na mlinzi. Akafungua mlango na akachukua hati ya kusafiri ya Vaileth na akaiweka mfukoni.
“Dogo kuna ishu gani?”
James alizungumza akimfwata Jack aliye simama pembeni ya gari yake.
“Kwa nini?”
“Nimeona gari yako ana endesha mlinzi”
“Kuna wahuni wamenivamia nikiwa njia na kunisambulia kwa risasi. Nikawalengesha katika base ya Kisarawe na wameuwawa. Picha zao hizi hapa”
Jack akamuonyesha picha hizo James. Akazitazama.
“Siwajui”
“Kuna huyu ana tattoo hii nimegundua kuwa ina tumiwa na kundi la wahalifu nchini Kenya”
“Kundi gani?”
“Wanajiita Black Mau Mau”
“Mmm! Hilo ni kundi hatari sana Kenya”
“Najua. Hizi ni chases namba za gari zao ziangalie basi”
“Twende”
Wakaongozana na James hadi katika ofisi yake.
“Niiingizie hizo picha zao”
Jack akamtumia James picha zao za majambazi walio mvamia na akaanza kuzitafuta katika mtandao.
“Kama wametuma watu wa kukuua dogo. Una hisi safari ya Dubai ni salama?”
“Itakuwa ni salama tu”
“Mmmmmm! Una onaje ukaacha huu upepo ukapita?”
“Nisipo kwenda wata hisi nian waogopa. Acha niende”
James akamtazama mdogo wake na akakosa cha kumshauri kwani Jack akishikilia msimamo wake hashauriki.
***
Mrs Tiger akaingia chumbani kwa Sophia na akamkuta akimalizia kuweka nguo katika begi.
“Mama umenishtua. Si ubishe hodi jamani”
“Unajiandaa una enda wapi?”
“Naongozana na Jack na mkewe kwenda Dubai”
“Kufanya nini?”
“Jamani mama si nina enda mapumzikoni jamani”
“Wewe wewe…..Ndo ya mdogo wako haina hata siku. Usitake kwenda kuivuruga unanielewa”
“Mama…”
“Hakuna cha mama. Baba yako hajakufikishia ujumbe?”
Sophia akaka kimya.
“Una jisikiaje na hizo tabia zako za kijinga eheee….Ingekuwa yule binti sio furaha ya Jack ningekataa katu katu asiolewe na kijana wangu. Ila tabia zako chafu unataka kwenda kumfanyia hadi kwenye ndoa yake si ndio”
Sophia akamtazama mama yake kwa macho makali.
“Sitaki nikuone una kwenda nao wala wewe ukanyaga Dubai katika kipindi hichi wanacho kwenda”
“Nita kwenda”
“Unasemaje wewe?”
Mama Jack akataka kumpiga kofi Sophia ila akamdaka mkono.
“Mama mimi ni mtu mzima. Na isitoshe huyo baby boy wako ndio amenichukulia mwanamke wangu. Valentina ni mwanamke wangu kabla hata hajakutana na huyo Jack wako. So siwezi kumuacha, ata endelea kuwa wangu kama una taka furaha na vita ndani ya familia yako nenda kamuambia Jack kwamba nina msaga mke wake na sito ruhusu amchukue nenda”
Sophia alizungumza kwa msisitizo na akaushusha chini kwa nguvu mkono wa mama yake alio udaka usimpige kibao na kumfanya Mrs Tiger kupigwa na bumbuwazi kwani anacho kizungumza binti yake Sophia ni laana tupu.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kuwajua walio mvamia bado imekuwa ngoma ngumu kwa Jack na wazazi wake je wata fanikiwa kuwajua walio mvamia? Ni nini Mrs Tiger ata kiamua ikiwa binti yake wa kike ana mahusiano ya kimapenzi na mke wa mwanaye? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 15.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 15

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
Sophia akamtazama mama yake kwa macho makali.
“Sitaki nikuone una kwenda nao wala wewe ukanyaga Dubai katika kipindi hichi wanacho kwenda”
“Nita kwenda”
“Unasemaje wewe?”
Mama Jack akataka kumpiga kofi Sophia ila akamdaka mkono.
“Mama mimi ni mtu mzima. Na isitoshe huyo baby boy wako ndio amenichukulia mwanamke wangu. Valentina ni mwanamke wangu kabla hata hajakutana na huyo Jack wako. So siwezi kumuacha, ata endelea kuwa wangu kama una taka furaha na vita ndani ya familia yako nenda kamuambia Jack kwamba nina msaga mke wake na sito ruhusu amchukue nenda”
Sophia alizungumza kwa msisitizo na akaushusha chini kwa nguvu mkono wa mama yake alio udaka usimpige kibao na kumfanya Mrs Tiger kupigwa na bumbuwazi kwani anacho kizungumza binti yake Sophia ni laana tupu.

ENDELEA
“Hivi kweli wewe ni mwanangu au nilibadilishiwa hospitalini wakati wa kujifungua……?”
Mrs Sophia walizungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Hii ni laana gani una ileta kwenye familia yangu”
“Ndio nipo hivyo….Una hisi mambo unayo yafanya wewe na baba si laaana eheee? Muna hisi ukatili na uchafu wote munao ufanya kwenye hii dunia, ninyi mupo sahihi. Toka chumbani kwangu nijiandae nita kwenda na hakuna wa kunizuia mama”
Mrs Tiger akaishiwa pozi.
“Toka bwana mama”
“Nita mueleza baba yako”
“Mumbie una hisi mimi nina muogopa au yeye ni nini ata kifanya. Una ijua akili yangu mama”
Mrs Tiger akatoka chumbani kwa Sophia, akitembea kwa mwendo wa kasi. Akaelekea moja kwa moja chumbani kwake. Akamkuta mume wake wake akizungumza na simu.
“Sawa mutanipatia taarifa kamili”
“Nashukuru”
Mzee Tiger akakata simu akimtazama mke aliye fura kwa hasira.
“Kuna nini?”
“Ni hilo jini lako”
“Nani?”
“Sophia”
“Mumesha kerana”
“Sio kukerena mume wangu. Nimemkataza kwenda Dubai ila ameng’ang’ania kwenda na ana sema kwamba hamuachi wifi yake kwa sababu Jack ndio aliye mpokonya huyo mkwe wetu”
Mzee Tiger akashuha pumzi nyingi.
“Nenda kaongee na mwanao. Sitaki vita za kipumbavu ndani ya familia yetu. Tafadhali mume wangu”
Mzee Tiger akavua shati lake na akabaki tumbo wazi. Akamsogelea mke wake alipo simama.
“Watoto wamesha kuwa watu wazima. Hili analo lifanya Sophia na wifi yake ipo siku Jack ata kuja kulitambua na akisha lijua yeye Jack ndio atakuwa na maamuzi ya kufanya.”
“Huoni kwamba wata gombana?”
“Mara ngapi walisha gombana?”
“Ila hii ni tofauti. Ni ugomvi wa mapenzi.”
“Mke wangu hawa ni ndugu, una weza kuniambia kwamba sasa hivi uta toka hapa na kwenda kumuambia Jack kuwa mkewe ana mahusiano na wifi yake. Acha kitokee cha kutokee cha kutokea kisha baada ya hapo ndio tuta ingilia kati”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi.
“Daa mwanangu ameoa mwnaamke mshenzi”
“Tulisha jua hilo mapema ila tukashindwa kulizuia kwa sababu ya furaha ya Jack. Acha hatima ifanye kazi yake”
“Sawa”
Mzee Tiger akaanza kumnyonya denda mke wake. Taratibu wakakokotana hadi kitanda. Mrs Tiger akajilaza chali huku akimtazama mume wake anavyo mvua suruali aliyo ivaa. Baada ya kumvua mumewe suruali, mzee Tiger na yeye akaivua suruali yake. Kwa haraka haraka akamzamisha jogoo wake katika kitumbua cha mke wake. Hakumaliza hata dakika tatu akamwaga huku akihema na kumfanya mke wake kushusha pumzi nyingi huku hali hiyo ya mumewe kuwahi kufika kileleni ikimkera ila kutokana na mapenzi aliyo nayo dhidi ya mumewe hana cha kufanya na katika maisha yao yote ya ndoa hakuwahi hata siku moja kumsaliti mume wake.
***
“Hizi gari zimesajiliwa kwa usajili wa Japan bado”
James alizungumza akimuonyesha Jack usajili wa kampuni iliyo uza magari hayo.
“Haionyesih imeuzwa nchi gani?”
“Hapa kwa usajili bado hazionyeshi labda tuna weza kuwaandikia barua pepe na kuona hizi gari ziliuzwa kwenda nchi gani?”
“Fanya hivyo bro. Mimi muda wa kuelekea Air port umekaribia acha nikaoge niondoke.”
“Kwa yaliyo tokea bado una hamu ya kuondoka?”
“Ndio”
“Dogo una moyo wa ajabu sana aisee. Mimi nisinge toka hata nje”
“Kuwa makini aisee”
“Tuwe makini sote. Angalia ishu zao za kwenda Club hizo zisije kukutokea puani aisee sasa hivi tuna maadui wengi na wana jidhihirisha live live”
“Sawa dogo nimekuelewa”
“Poa bro. Acha nikajiandae”
“Kuna laptop fulani nahitaji ukifika Dubai niakutumia unichukulie”
“Poa poa”
Jack akatoka ofisini kwa kaka yake na moja kwa moja akaelekea chumbani kwake. Akamkuta Velentina akiwa amesha jiandaa.
“Umerudi muda gani?”
“Muda mrefu kidogo nilikuwa nipo na bro”
“Kaoge basi. Muda umesha wadia?”
“Sawa. Mpatie mdogo wako passport yake”
“Asante mume wangu kwa kutujali”
“Usijali babe. Wifi yako umezungumza naye?”
“Hapana”
Jack akavua nguo zake na akaingia bafuni. Kumbukumbu za shambulizi alilo fanyiwa zikaendelea kujirudia akilini mwake.
‘Hawa wapuuzi ni kina nani?’
Jack aliendelea kuwaza ila hakupata jibu kwani uchunguzi bado una endelea. Akamaliza kuoga na akarudi chumbani kwake. Akava anguo ambazo mkewe amemuandalia.
“Shem amesha jiandaa?”
“Sio kujiandaa tu. Amesha toka nje na mabegi yake ana tusubiria ndani ya gari”
“Duuu”
Mlango ukagongwa.
“Ingia”
Jack alizungumza na akaingia Sophia akiwa amesha jiandaa.
“Nikajua bado hamjajiandaa”
“Sisi tupo tayari wifi”
“Sawa tuna wangoja nje”
“Sister”
Jack akamfwata Sophia alipo simama.
“Vipi umezungumza na bi mkubwa?”
Jack aliuliza kwa kunong’oneza.
“Nimeongea naye. Achana naye bwana”
“Mmm”
“Kuwa na amani dogo”
“Sawa”
“Nawasubiria wifi”
Sophia akatoka.
“Kuna nini babe, mbona umenong’oneza shem”
“Ahaa…kuna ishu nilikuwa nina muuliza tu”
“Sawa mume wangu”
Jack akavaa viatu, na akaanz akuburuza begi kuelekea nje. Wakamkuta mzee Tiger na mkewe wakiwasubiria.
“Tuwatakie safari njema. Mukifika musisite kutufahamisha jamani”
“Sawa mama”
Valentina alijibu, akakumbatian ana mama mkwe wake.
“Kuna timu ya walinzi ita wapokea Dubai, nimesha walipa hivyo wata kuwa nanyi”
“Sawa baba asante.”
“Nikutumia picha zao kwa maana wasije wakaja watu wengine ikwa shida”
“Sawa mzee”
“Nenda kafurahie maisha”
Jack akakumbatiana na baba yake. Wakaingia ndani ya gari na wakaondoka kuelekea uwanja wa ndege.
***
“Rose kuna mgeni”
“Ni nani anko?”
“Ni rafiki wa mzee”
“Sawa ninakuja”
Rose akaacha kupitia faili zilizopo juu ya ofisi ya baba yake iliyopo katika nyumba yao. Akatoka nje ya ofisi na akafika sebleni. Akamkuta mzee ambaye mara ya mwisho kumuona ni miaka mitano iliyo pita.
“Shikamoo”
“Marahaba. Umekuwa mdada mkubwa”
“Hhahaaa asante. Za miaka?”
“Safi tu”
“Upo Tanzania au?”
“Mimi nina ingia na kutoka. Unajua sasa hivi makazi yangu ni Marekani.”
“Ohoo kumbe. Karibu sana”
“Asante sana. Tuna weza kuongelea nje?”
“Bila shaka”
Wakatoka nje na kukaa eneo la kupumzikia.
“Mimi na baba yako mara nyingi tulikuwa tuna penda kukaa hili eneo na kuzungumza”
“Nakumbuka, nilikuwa nina waona ona”
“Sawa binti yangu. Natambua hivi sasa upo kwenye kipindi cha kitendawili cha kumtafuta baba na kaka zako”
“Ndio na hata vyombo vya usalama vimetoa ripoti na kusema hawajui ni wapi walipo.”
“Pole sana binti yangu”
“Nashukuru”
“Katia mwili wa baba yako na hata mwili wangu. Tuna gprs ambazo hudumu kwa miaka mitano mitano. Huwa zina tusaidia pale tunapo tafutwa na watu katika wakati wa matatizo basi iwe raisi kuonekana. Uwezo wa kujua ni wapi alipo mwenzako ni mimi na baba yako pekee ndio huwa tuna weza kutafutana.”
“Eheee niambie mzee wangu location ya mwisho ina onyesha alikuwa wapi?”
Mzee huyo akatoa simu yake mfukoni na akamuonyesha Rose eneo la mwisho ambalo baba yake alikuwepo.
“Hapa ni wapi?”
“Zoom”
Rose akavuta kwa karibu eneo ambalo ndio la mwisho kuonekana.
“Ni bwawa”
“Na lina mamba?”
“Lipo wapi?”
Mzee huyo akakaa kimya kwa sekunde kadhaa akimtazama Rose.
“Niambie ni wapi?”
“Eneo hilo ni linamilikiwa na familia ya Tiger”
Rose macho yakamtoka kwa mshangao.
“Kwa njia ya satellite tumegundua kuwa eneo lililo zunguka bwawa hilo ni eneo la mbuga ya wanyama. Japo wamejaribu sana eneo hilo kulificha na kuto weza kuokenaka kirahisi katik satellite ila ilinilaizmu kuwaomba baadhi ya rafiki zangu wanao fanya kazi NASA kuweza kupata msaada wa kujua eneo hili lina nini kwa maana katika satellite za kawaida halionekani”
“Ina maana…….”
Rose aliungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Ndio binti yangu. Watakuwa wametupwa kwenye hili bwawa la mamba kwani gprs inaonyesha location yake ya mwisho ni humo ndani ya bwawa la mamba”
Rose akahisi tumbo likimuua, machozi yakaanza kumwagika.
“Pole sana binti yangu.”
“Nita waua hawa washenzi…..Haki ya MUNGU Nita waua”
Rose alizungumza akilia kwa uchungu sana.
“Najua una uchungu mwingi san ana una hamu ya kulipiza kisasi kwao ila tafadhali kwa sasa ina bidi tuumie akili kubwa kwani hawa ni watu wenye nguvu na wenye ushawishi”
“Lazima nitawapatia uchungu”
“Kivipi?”
“Subiri utaona. Nita hakikisha wana pata uchungu kama huu ninao upata mimi. Naenda kuiharibu ule familia”
Rose aliendelea kujiapiza na kumfanya rafiki wa baba yake kumuonea huruma.
“Nita kusaidia katika mpango wa kulipiza kisasi”
“Wewe umekuwa rafiki wa baba kwa kipindi gani?”
“Toka tuna soma shule ya sekondari. Tulisoma shule moja, tukaa meza moja. Tukalala deka moja hivyo ni rafiki yangu wa muda mrefu”
“Sawa baba, na familia ya Tiger wana ugomvi gani hadi baba kuamua kufanya matukio kadhaa kwa familia ya Tiger”
“Swali zuri”
“Mzee Chiko ambaye ni baba mzazi wa baba yako. Wewe ni babu yako huwezi kumtambua kwa sababu umezaliwa tayari amesha fariki. Aliuwawa na baba mzee Tiger ambaye ni baba wa huyu mzee Tiger. Hapo Mwanzo walikuwa ni marafiki sana hawa wazee. Walikuwa wana saidiana kwenye biashara zao na kuanzisha makampuni mengi sana. Tamaa ya kiuchumi zikaingia kati, wakaanza kugombana, kuwindana na mwisho wa siku babu yako akauwawa. Na asilimia kubwa ya utajiri na makampuni mzee Tiger mwenyewe akayamiliki na familia ya baba yako ikapata asilimia ishirini na tano tu ya mapato yote. Na baba yako alishindwa sana katika kesi ya kufwatilia mali zao. Ikamtafuna sana baba yako na akaamua kupambana. Alimuoa mama yako kwa sababu kwao mama yako walikuwa na nguvu kubwa ya kiuchumi. Wakasaidiana na mama yako kupandisha uchumi na kufungua makampuni mengingine yaliyo leta ushindani na familia ya Tiger ila haukuwa ushindani wenye nguvu kwani Tiger walijikita sana kiuchumi. Kisasi cha baba yako kiliendelea kudumu na mara kadhaa alijaribu kulipa kisasi kumuua huyu Tiger aliye rithi mali za baba yake ila akashindwa na mara ya mwisho alinishirikisha mpango wa kuwashambulia siku ya harusi ya kijana wa Tiger na mwisho wa siku tukasikia tulicho kisikia. Hivyo binti yangu hiyo ndio sababu iliyo mfanya baba yako apambane na familia ya Tiger. Ila ameshindwa na kama tunacho kifikiria ni kweli, kuwa ameuwawa kwa kuliwa na mamba basi itakuwa ni tukio baya na la kuumiza sana tena sana”
Rose akajifuta machozi yake.
“Na kuahidi sinto fanya kama baba yangu. Nitakacho kifanya nita washa moto utakao isambaratisha ile familia na nita chukua kile kilicho chetu. Nakuahidi hilo”
Rose alizungumza kwa msisitizo na akilini mwake akaanza kupanga mpango mpya wa kulipa kisasi katika familia ya mzee Tiger.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Rose sasa ameweza kujua ukweli wa nini kilitokea katika familia yake. Anapanga mikakati mipya ya kulipiza kisasi katika familia ya Tiger je nini kita tokea? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 16.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 16

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
Hapo Mwanzo walikuwa ni marafiki sana hawa wazee. Walikuwa wana saidiana kwenye biashara zao na kuanzisha makampuni mengi sana. Tamaa ya kiuchumi zikaingia kati, wakaanza kugombana, kuwindana na mwisho wa siku babu yako akauwawa. Na asilimia kubwa ya utajiri na makampuni mzee Tiger mwenyewe akayamiliki na familia ya baba yako ikapata asilimia ishirini na tano tu ya mapato yote. Na baba yako alishindwa sana katika kesi ya kufwatilia mali zao. Ikamtafuna sana baba yako na akaamua kupambana. Alimuoa mama yako kwa sababu kwao mama yako walikuwa na nguvu kubwa ya kiuchumi. Wakasaidiana na mama yako kupandisha uchumi na kufungua makampuni mengingine yaliyo leta ushindani na familia ya Tiger ila haukuwa ushindani wenye nguvu kwani Tiger walijikita sana kiuchumi. Kisasi cha baba yako kiliendelea kudumu na mara kadhaa alijaribu kulipa kisasi kumuua huyu Tiger aliye rithi mali za baba yake ila akashindwa na mara ya mwisho alinishirikisha mpango wa kuwashambulia siku ya harusi ya kijana wa Tiger na mwisho wa siku tukasikia tulicho kisikia. Hivyo binti yangu hiyo ndio sababu iliyo mfanya baba yako apambane na familia ya Tiger. Ila ameshindwa na kama tunacho kifikiria ni kweli, kuwa ameuwawa kwa kuliwa na mamba basi itakuwa ni tukio baya na la kuumiza sana tena sana”
Rose akajifuta machozi yake.
“Na kuahidi sinto fanya kama baba yangu. Nitakacho kifanya nita washa moto utakao isambaratisha ile familia na nita chukua kile kilicho chetu. Nakuahidi hilo”
Rose alizungumza kwa msisitizo na akilini mwake akaanza kupanga mpango mpya wa kulipa kisasi katika familia ya mzee Tiger.

ENDELEA
“Sawa naamia vizuri taaluma uliyo jifunza”
“Ndio”
“Je utafanya mazishi ya baba na kaka zako au?”
“Muda bado wa kufanya hivyo. Nahitaji waishi kwa kuamini sijui chochote kile”
“Sawa nimekuelewa. Naomba nikaendelee na majukumu mengine na kama nilivyo kueleza. Endapo utakuwa na changamoto yoyote utakayo hitaji basi wasiliana nami”
“Namba yako ndio ile ile ya siku zote?”
“Ndio binti yangu”
“Sawa nashukuru kwa kunifungua macho”
“Usijali”
Wakanyanyuka na kupeana mikono. Akamsindikiza rafiki wa baba yake hadi nje. Akaingia ndani ya gari lake na akaondoka eneo hilo na walinzi. Anko Ali akasimama pembeni ya Rose.
“Baba na kaka zangu wameuwawa”
Rose alizungumza kwa sauti ya chini. Taarifa ikamshtua Anko Ali.
“Una sema?”
“Baba na aka zangu wameuwawa na si tu wameuwawa, bali wametupwa katika bwawa la Mamba wanao fungwa na familia ya Tiger”
“MUNGU wangu!”
“Habari hii sitaki kuisikia kwa mtu yoyote yule. Habari hii ibaki kwako pekee. Usionyeshe kama kuna chochote kimetokea. Maisha yaendelee kama kawaida tuna elewana anko?”
“Ndio Rose nimekuelewa”
Rose akapiga moja ya namba katika simu yake.
“Umepata chochote?”
“Ndio leo kuna house party nyumbani kwa yule jamaa uliye niambia nimfwatilie”
“Wana patikana vipi wasichana wanao elekea katika hiyo house party?”
“Kuna agent ndio humpelekea wanawake hao”
“Niweke kwenye list ya hao malaya wanao kwenda kumstarehesha”
“Sawa”
Rose akakata simu na kuingia ndani na kumuacha anko Ali akishangaa.
***
“Mbona mbio mbio una elekea wapi?”
“Naelekea kwangu mama. Hapa watu wamesha anza kutawanyika dogo na mkewe ndio hao wamesha elekea zao Dubai. Sina cha kufanya hapa”
“Sawa ila mambo ya kwenda club achana nayo?”
“Usijali mama siwezi kwenda Club. Dogo amenieleza kilicho mkuta. Nikitoka hapa moja kwa moja kwangu”
“Walinzi wako?”
“Mama una jua siku zote siwezi kuishi hayo maisha. Siku zote napenda kuishi kawaida hivyo sihitaji bwana walinzi”
“James”
“Ndio mama bwana kuwa na amani bwana”
James akambusu mama yake mdomoni na kutoka nje.
“Huyu mtoto huyu….Hapo ana wahi wanawake tu”
Mrs Tiger akaipokea simu yake.
“Shosti nimesha fika ulipo niambia”
“Sawa nakuja”
Mrs Tiger akaelekea chumbani kwake. Akachukua funguo ya gari lake na kuelekea eneo zilipo gari zake nne anazo pendelea kuzitumia. Akaingia katika Mercedes G Wagon Brabus iliyo tengenezwa kwa ajili yake. Akafungua mkoba wake wa thamani kubwa aina ya Gucci. Akatazama vibunda vya pesa vilivyomo ndani ya mkoba huo. Akavuta pumzi nyingi na kuishisha kwa nguvu. Akawasha gari lake na kuondoka katika makazi yake bila ya kuwa na mlinzi yoyote.
“Mbona mapigo yangu ya moyo yana nienda spidi hivi?”
Mrs Tiger alizungumza peke yake akiendelea kuendesha gari lake. Akampigia simu mume Mzee Tiger.
“Mke”
“Usha panda ndege?”
“Ndio napandisha ngazi za ndege yetu. Kuna nini?”
“Moyo wangu tu hauna amani”
“Kuwa na amani mke wangu. Kesho nitakuwa Tanzania”
“Kuwa makini”
“Usijali mke wangu. Nakupenda”
“Nakupenda pia mume wangu”
Mrs Tiger akakata simu akiendelea kendesha gari lake kwa mwendo wa kasi. Akafika katika nyumba yake ya siri ambayo hata mume wake wala wanaye hawajui kama ni mali yake. Akasimamisha gari pembeni ya gari la rafiki yake. Akajifikiria kwa sekunde kadhaa na akashuka ndani ya gari akiwa na mkoba wake. Akaingia sebleni.
“Karibu shosti yangu”
“Asante….nahisi joto….”
“Kwa nini…Ac mbona ni kali”
“Una jua sijawahi kufanya hichi kitu”
“Naelewa. Hadi una fanya ina maana umezidiwa”
“Yaah…..Vipi yupo wapi?”
“Chumbani”
Mrs Tiger akatoa kibunda cha pesa za kimarekani.
“Dollar elfu tano hiyo”
“Asante rafiki yangu. MUNGU akubariki”
“Ni msiri?”
“Sana na nimemsomesha kwa kila kitu”
“Umemueleza endapo ata fungua kinywa chake ata potea”
“Ana jua somo zima.”
“Na haya ni majibu yake ya hospitalini”
Rafiki wa Mrs Tiger akampatia karatasi yenye majibu ya vipimo. Akaisoma.
“Sawa una weza kwenda”
“Asante”
Rafiki wa Mrs Tiger akaondoka kanika nyumba hiyo ya kisasa ambayo ina gorofa moja juu. Mrs Tiger akaanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani. Akafika katika mlango wa chumba, akajifikiria kisha akaufugua na kuingia chumbani. Akamkuta kijana mrefu aliye jazia kifua chake kwa mazoezi huku muonekano wake ukiwa ni wa kuvutia.
“Karibu sana”
Kijana huyo alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kaa na kumfanya Mrs Tiger kushusha pumzi nyingi. Mrs Tiger akamtazama kijana huyo jinsi alivyo mzuri.
“Unaitwa nani?”
“Daniel ila wengi wananiita Dany”
Mrs Tiger akatembea hadi kitandani na kukaa.
“Simama hapo mbele yangu”
Dany akaasimama mbele ya Mrs Tiger. Akamtazama kuanzia juu hadi chini.
“Vua tisheti yako”
Dany akavua tisheti yake iliyo mbana vyema mwili wake. Mrs Tiger akatokwa na macho ya mshangao kuona jinsi mwili wa Dany ulivyo gawanyika gawanyika kwa mazoezi. Wengi hupendelea kuziita six pack.
“Vua suruali yako”
Dany akavua suruali yake na akabaki na boksa. Mrs Tiger akameza mate mengi kwani jogoo mkubwa wa Dany amejichora vizuri katika boksa.
“Una nifahamu?”
“Nina kuona kwenye mitandao na halfa kubwa kubwa”
“Mume wangu una mfahamu?”
“Ndio”
“Kabla hatujaendelea na chochote, endapo uta toa siri hii ya hichi kinacho fanyika hapa. Basi tambua wewe na familia yako nzima nita waua. Unanielewa?”
“Nina kuelewa vyema na kuwa na amani sinto weza kutoa hii siri”
Mrs Tiger akameza mate mengi. Kwani toka amefunga ndoa na mume wake hajawahi siku hata moja kumsaliti wala kumtamaini mwanaume mwengine. Akashusha tena pumzi kwani hofu na wasiwasi vimemtawala.
“Vua boksa”
Dany akavua boksa. Mrs Tiger macho yakamtoka kwa mshangao kwani jogoo wa Dany ni mkubwa.
‘MUNGU wangu nita muweza kweli huyu?’
Alijisema kimoyo moyo.
“Mbona una wasiwasi Baby
Dany alizungumza huku akipiga hatua taratibu kumsogelea Mrs Tiger, kitandani alipo kaa.
“Hujawahi kukutana na mbo** kubwa kama hii?”
Mrs Tiger akashindwa kujibu kwani tayari jogoo wa Dany yupo mbele yake, huku akinesa nesa karibu na uso wake. Dany akamshika kidevu Mrs Tiger ambaye mikono ina mcheza.
“Kuwa na amani nita kupa kitu ambacho hujawahi kupewa”
Akamnyonya denda zito Mrs Tiger na kumfanya azidi kusisima mwili wake. Akaanza kumfungua vifungo vya shati lake alilo livaa. Mrs Tiger akaendelea kukaa kimya. Akavuliwa shati lake na akabaki na sidiria. Dany akamvua mrs Tiger sidiria. Japo ni mama wa miaka stini ila maziwa yake bado yamesimama vizuri, yote ni kutokana na kujitunza kwake mwili na ana tumia garama kubwa kujitunza mwili wake na kumfanya asionekane kama mtu mzima.
“Una mawaziwa kama binti wa miaka kumi na tano una tumia kitu gani?”
Dany alizungumza kwa sauti ya mahaba akiendelea kuyatomasa maziwa ya mrs Tiger ambaye mdomo wake umekuwa ni kama umejaa mate, na ana shindwa kujibu anacho ulizwa. Dany akaanza kuyanyonya maziwa ya Mrs Tiger na kumfanya azidi kuchanganyikiwa kwa raha ambazo mara ya mwisho kuzipata ni miaka ishirini iliyo pita mume wake kipindi hicho damu ikiwa bado ina mchemka ila toka ameanza kuugua surari na umri wake kusogea mbele, maisha yake ni kupewa kigoli kimoja kikizidi sana ni dakika kumi hivyo ni mara nyingi amejikuta akiwa anashindwa kufurahia tendo la ndoa.
Dany akamfungua kifungo cha suruali yake. Mrs Tiges akamdaka Dany mkono.
“Acha”
“Eheee”
“Niache….”
Mrs Tiger akanyanyuka huku na akaanza kutembea hadi kwenye friji ndogo iliyomo ndani ya chumba hicho. Akafungua na akachukua chupa ndogo ya pombe kali wicky.
“Hujawahi kumsaliti mume wako?”
Dany aliuliza akimtazama Mrs Tiger.
“Ndio hata siku moja. Mume wangu ndio mwanaume wangu wa kwanza. Katika maisha yake yote amenitunza, amenijali na sijawahi hata siku moja kumsaliti. Hajanifanyia jambo lolote baya ambalo lina nifanya leo hii nifanye dhambi hii ya kumsaliti”
Mrs Tiger alizungumza kwa sauti ya kutetemeka yenye woga ndani yake na hofu.
“Najua kwa mara ya kwanza ina weza ikawa ni ngumu. Ila ukizoea uta kuwa una fanya kwa furaha”
Mrs Tiger akamtazama Dany, kisha akaka kwenye sofa. Akafungua kifuniko cha chupa hiyo na akapiga pafu mbili za pombe hiyo anayo ipendelea.
“Akijua ata tuuaa”
“Hawezi kujua babe”
Dany akamsogelea Mrs Tiger kwenye sofa.
“Au uta muambia?”
Dany aliuliza huku akipiga magoti mbele ya Mrs Tiger.
“Nyinyi vijana hamuaminiki”
“Hadi nimekuja kuonana na wewe ina maana nimeaminiwa na uliye mtuma si rafiki yako?”
“Ndio”
“Basi amini siri zote zipo salama”
Dany akamfungua kifungo cha suruali Mrs Tiger na akaanza kumvua suruali yake taratibu huku Mrs Tiger mapigo ya moyo yakimuenda kasi kutokana na woga. Akapiga funda jengine la pombe kali.
“Una ngozi nyororo kama ya mtoto mdogo”
Dany alizungumza huku akiyapapasa mapaja ya Mrs Tiger. Akaitanua miguu ya Mrs Tiger na akapiga busu chupi iliyo funika kitumbua cha Mrs Tiger kilicho lowana na ute ute utokanao na hamu. Akaivua chupi hiyo nyeupe na akainusa.
“Kum** yako ina nukia vizuri”
Mrs Tiger akashindwa cha kujibu. Taratibu Dany akaanza kunyonya kitumbua cha mrs Tiger na kumfanya aanze kutoa miguno ya kimapenzi. Dany akazidi kuongeza ufundi wa kumnyonya Mrs Tiger hadi akamnyonya mkund** na kuzidi kumchanganya mama wa watu ambaye raha kama hizo alisha zisahau. Dany akajiridhisha Mrs Tiger amesha iva kwa ajilia ya kuliwa. Taratibu akaanza kukisugua kichwa cha jogoo wake katika kitumbua cha Mrs Tiger na kumfanya azidi kutoa miguno ya kimapenzi. Taratibu akamzamisha jogoo katika kitumbua cha Mrs Tiger kwa utamu alio upata hadi chupa ya pombe kali ikamponyoka na ikaanguka chini na pombe yote ikamwagika.
‘Hapa ndipo kwa mimi kutoka kimaisha. Nikimnyoosha vizuri huyu mama nina kuwa tajiri mjini hapa’
Dany alizungumza huku akizidi kumpelekea moto Mrs Tiger ambaye raha za mapenzi zina mfanya ana lia kama mtoto mdogo. Kwa mara kadhaa akakajikuta akifika kieleleni kitua mbacho alisha kisahau kwa miaka ishirini.
***
Rose akajitazama jinsi alivyo jipamba. Kwa make up aliyo jitengeneza ni ngumu sana kujulikana kama ni yeye. Wigi alilo livaa pia lina mfanya aonekane ni watofauti sana. Akajitazama rangi yam domo iliyo mkolea vyema. Akajiridhisha yupo tayari kwa kazi iliyopo mbele yake. Akashuka ndani ya gari lake, akasimama pembeni na hazikuisha dakika tano gari aina ya Toyota Alphad ikasimama mbele yake, Mlango wa nyuma ukafunguliwa na akaingia ndani ya gari hilo. Akawatazama wasichana wengine sita alio wakuta ndani ya gari hiyo ambao nao pia wamejiremba na kupendeza. Akawasalimia wasichana hao na safari ikaendelaa. Kwa mwendo wa dakika ishirini, wakawa wamefika katika jumba la kifahari linalo milikiwa na James.
“Huyu ni mteja wangu namba moja. Sinto hitaji malalamiko yoyote kutoka kwake. Chochote atakacho kitaka mukifanye tuna elewana”
Manamama aliye kaa siti ya mbele akiwa na dereva alizungumza.
“Sawa madam”
Wasichana wote walijibu huku Rose akitajibu kimya kimya. Wakashuka ndani ya gari na wakaingia ndani jumba la James.
“Warembooo karibuni sanaaaaa”
James alizungumza kwa furaha hukua kishuka kwenye ngazi akiwa amevalia boksa pekee na mkononi mwake akiwa na chupa ya pombe kali ikimaanisha tayari kichwa chake kimesha waka moto.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kwa mara ya kwanza katika maisha yake ya ndoa Mrs Tiger amemsaliti kimapenzi mume wake na bahati mbaya amekutana na Dany anaye taka kutoka kimaisha kwa Mrs Fire je nini ata kifanya? Rose ana amejichanganya katika kundi la machangudoa wanao kwenda kumfurahisha James Tiger je nini ata kifanya ndani ya jumba la James Tiger? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 17.
 
Back
Top Bottom