Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 48

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
Jack akamtazama daktari aliye pita mbele yao. Akamtazama jinsi anavyo tembea, akatoa simu yake mfukoni na kuitazama video ambayo James alimtumia ikimuonyesha mlipuaji anavyo tembea.
“Hafanani naye”
Jack alizungumza akirudisha simu yake mfukoni.
“Nani”
“Yule jamaaa nilikuwa nina mfananisha na aliye lipua kiwanda.”
Chris akamtazama daktari huyo anaye elekea eneo la maegesho ya magari.
“Kwa kinacho endelea hapa hospitalini kwa nini ana ondoka”
Chris alizungumza huku akianza kupiga hatua za taratibu kumfwatilia daktari anapo elekea na akamuona akiingia ndani ya gari aina ya Harrier.
“Kama ni daktari kweli hato ondoka ila kama ni muuaji tunaye mtafuta basi ata washa gari na kuondoka”
Chris alimuambia Jack aliye simama pembeni yake. Muuaji akawasha gari, akalirudisha nyuma taratibu na kuanza kuondoka eneo la hospitalini.
“Mkuu yule ndio mtu wetu tumuwahi”
Jack na Chris wakakimbilia lilipo gari lao, wakaingia ndani na kuanza kulifwatilia gari la muuaji bila hata ya kuwashirikisha askari walipo eneo la hospitalini hapo.

ENDELEA
Muuajia akatazama kioo cha pemembani cha gari lake na kuona akifwatiliwa na gari la Jack. Akatabasamu.
“Wanakifwata kifo ehee?”
Muuaji alizungumza usoni akiwa amejawa na tabasamu. Akachomoa bastola yake kiunononi na na akaiweka siti ya pembeni. Akaendelea kuendesha gari kwa mwendo wa kawaida.
“Chris jamaa kama engekuwa ni muuaji angesha ongeza mwendo kasi wa gari ni dakika kumi toka tume mfwatilia”
“Boss hisia zangu hazijawahi kwendana vibaya”
Wakashangaa kuiona gari wanayo ifwatilia ikisimama nje ya geti la nyumba iliyoa andikwa kituo cha kulelea watoto yatima.
“Mmmmm”
Jackl aligunza. Geti likafunguliwa na taratibu mtu wanaye daktari wanaye mfwatilia akaingiza gari ndani. Wakasimama nje ya geti huku wakimtazama daktari akishuka ndani ya gari huku watoto kama kumi akimkimbilia huku wakimkumbatia.
“Unaona..”
Jack alimuambia mlinzi wake huku wakishuhudia geti likifungwa.
“Kama huto jali tushuke mkuu”
Jack akajifikiria kwa sekunde kadha akisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amekubali. Wakashuka ndani ya gari, wakatembea hadi katika geti, wakaogonga, malinzi akafungua.
“Habari yako”
“Salama tu. Niwasaidie nini?”
“Ahaa sisi ni wasamaria wema tumekuja kutoa misaada kwenye hichi kituo”
“Ohhooo kiongozi”
Daktari alizungumza akiwafwata getini.
“Waache waingie wapishe”
Jack na mlinzi wake wakaingia ndani.
“Karibuni sana. Watoto wasalimieni wageni wete”
Jack na Chris wakasalimiwa, wakaitikia huku akijilazimisha kutabasamu.
“Karibuni sana”
“Asante sana”
“Karibuni bwana kwenye kituo changu cha kulelea watoto yatima”
“Wewe ndio una kimiliki?”
Jack aliuliza kwa mshangao.
“Ndio mkuu, hapa nina watoto mia moja na themanini. Ambao wapo hapa, wengine kama arobaini wapo katika shule za bweni. Kwa msaada wa wadau wana nisaidia sana katika kuwalea hawa vijana”
“Duuu hongera sana”
“Nashukuru”
“Karibuni ndani”
Wakaingia ndani.
“Huwa kila inapo fika mida ya mchana huwa nina kuja kuwaona. Kujua wana endeleaje na wengine kuweza kutazama afya zao”
“Ohooo”
Wakakutana na wamama wawili. Wakasalimian anao.
“Hawa ni mama zangu ambao. Kipindi nipo mdogo walinilea katika kituo kimoja cha kikatoliki. Niliweka dhamiri kwa MUNGU nikisoma na kupata uwezo wa kimaisha basi nita kuja kuwasaidia wadogo zangu na mungu amenifanikisha”
“Ohooo…..kuna changamoto gani ambazo muna pitia kama kituo?”
“Ni nyingi, moja wapo ni swala zima la kifedha. Watoto wana hitaji kula, kunywa, mavazi. Nimejitahidi wototo wote nimewakatia bima za afya. Ila pia wana hitaji elimu nzuri. Ndio maana nina endelea kushirikisha wadau kadhaa kuona ni jinsi gani tuna songesha hili gurudmu”
“Sawa basi nita toa kiasi kidogo cha fedha. Naweza kupata akaunti ya kituo?”
“Ndio mkuu una weza kupata”
Jack akajipapasa mikononi mwake.
“Simu nimeiacha ndani ya gari naomba ukanichukulie”
Chris akatoka nje alipo liacha gari.
“Unaitwa nani?”
“Mimi ninaitwa dokta Boaz. Huyu mama yangu, anaitwa Bi Zena na huyu hapa anaitwa Bi Sakina.”
“Ni wao wawili tu ndio wana husika katika kutunza hawa watoto?”
“Hapana. Wapo wengi wafanyakazi. Idadi ina fikaka ishirini na moja. Ila hawa mama zungu ndio nimewapa majukumu yote ya kuwasimamia waliopo chini yao”
“Unajua ni wachache sana wenye uwezo wa kufanya vitu kama hivi”
“Ni kweli boss na pole sana kwa kilicho tokea kiwandani”
“Nashukuru”
Chris akarudi akiwa na simu ya Jack. Akampa.
“Nitajie akaunti namba”
Dokta Boaz akataja namba ya akaunti ya benki.
“Nimeingiza kiasi cha milioni tano”
“Asante sana”
Dokta Boaz alishukuru.
“Imefika baba asante”
Bi Zena alizungumza mara baada ya kusoma ujumbe wa benki ukionyesha kiasi cha pesa kilicho ingizwa.
“Familia yangu ina foundation inayo saidia watoto yatima na wale wasio jiweza nita zungumza na mkurugenzi wake. Aunde mahusiano nanyi kisha baada ya hapo watakuwa wana wasaidia katika majukumu machache machache”
“Tuna shukuru sana mkuu”
“Nitumie taarifa za kituo chenu ili nita mtumia mkurugenzi”
“Nakutumia sasa hivi”
Jack akamtajia dokta Boaz namba ya simu na akatuma taarifa za kituo chake.
“Sisi tulikuwa ni wapiti njia tu hivyo tuna omba tuondoke. Siku nikipata muda basi nita kuja kuwatembelea”
“Karibuni sana”
Dokta Boaz na wasimamizi wake wa kitio. Wakawasindika Jack na Chris hadi nje. Wakaingia ndani ya gari.
“Fuc** milioni tano yangu imeenda kiseng** Chris.
“Jack alilalamika.
“Samahani mkuu. Hisia zangu zimekwenda hovyo”
“Khaaa tuondoke Morogoro turudi Dar kichwa changu kimesha choka.”
Jack alizungumza kwa hasira. Dokta Boaz, akafungua mlango wa gari lake, akachukua simu ya ziada na akampigia boss aliye mpatia kazi.
“Eheee nipe taarifa nzuri”
“Taarifa ni mbaya kidogo na ni nzuri sana”
“Ehee nakusikiliza”
Dokta Boaz akatoka nje ya kituo.
“Kwanza nilifanikisha kumchoma sindano ya sumu ambayo nilikuwa na uhakika ita muua. Ila kwa bahati mbaya kwangu ni jamaa ana onekana ana tembea na antidote hivyo sumu iliweza kuondolewa kwa haraka sana mwilini mwake”
“Mmmm ina wezekanaje?”
“Jamaa ni tajiri hivyo kwenye vitu kama hivyo huwa wana jiadhari sana”
“Eehee kwa hiyo hajakufa?”
“Ndio hajakufa. Walianza kuhisi waandishi wa habari na watu madatrai tulio kuwa ndani ya eneo la wodi. Nikawatengenezea mazingira ya kuniona mimi kama muhusika wanaye mtafuta hivyo walinifwatilia kwa kuwa nilisha wasoma akili zao, siku panic zaidi ya kuendesha gari kwa mwendo wa kawaida hadi nikafika katika kituo changu cha watoto yatoma. Naamini hapo ndipo walipo ona kuwa wamekosea.”
“Ehee ikawaje?”
“Kwa aibu ikaabidi washuke na kuja ndani ya kituo na walivyo ona mazingira ya eneo wakaona kabisa kuwa mimi sio muhusika. Jack akachangia milioni tano na ameagiza foundation yao ita kisaidia kituo changu hivyo hapa nina subiria maokoto kutoka kwao. Faida moja ambayo nimeitengeneza katika huu mpango ni kuunda ukaribu naye hivyo kama ni kazi naamini itakuwa na hatua moja kubwa mbeleni. Leo malaika wake amemuokoa ila kesho ata kufa”
“Sawa nimekuelewa. Kwa sasa tengeneza ukaribu naye ikiwezekana wakuingize kwenye familia yao kisha baada ya hapo mpango wa kuwaua uta endelea”
“Sawa mkuu”
“Kitangulizi cha kazi ya kumuua Jack endelea kukizui”
“Sawa boss asante”
Muuaji akakata simu na akarudi ndani ya kituo huku akiamini mpango wake wa kuwafikisha Jack na mlinzi wake katika kituo hicho ulikuwa ni mpango sahihi.
***
Dany kwa akamfungulia mlango Mrs Tiger na akaingia ndani.
“Pole kwa heka heka za leo”
“Nimechoka nahitaji kuoga kwanza”
“Twende nikakuogeshe”
Dany akamshika mrs Tiger mkono na wakapandisha ngazi kuelekea gorofani. Wakaingia chumbani na taratibu Dany akaanza kumvua nguo Mrs Tiger.
“Mume wako ni kweli ana umwa?”
“Swali gani hilo?”
“Samahani”
“Tukiona mimi na wewe, acha kuuliza maswali ya familia yangu au biashara zangu. Labda mimi niwe ndio nimeanzisha hiyo mada tuna elewana”
“Ndio mpenzi”
Mrs Tiger akaelekea bafuni huku Dany akimfwata kwa nyuma. Dany akavua boksa aliyo ivaa na akabaki kama alivyo zaliwa. Taratibu akaanza kumuogesha Mrs Tiger ambaye akili yake wala haipo kwenye eno hilo.
‘Msenge gani amelipua kile kiwanda?’
Mrs Tiger aliendelea kuwaza. Mlio wa simu yake ikamfanya asitishe zoezi la kuoga na akatoka bafuni. Akaitoa simu ndani ya pochi na akaipokea.
“Jack”
“Ulienda kuwaona wagonjwa wa Mloganzila?”
“Ndio nimeenda kuwaona”
“Mimi nipo njiani nina rudi Dar. Kuna mpumavu alinichoma sindano ya sumu”
“Nini sindano ya sumu?”
“Ndio bi mkubwa ingekuwa sina antidote sasa hivi ungeletewa maiti”
“Na hujamjua?”
“Sijamjua mama”
“Chris ana kubalije hilo jambo litokee”
“Kulikwa na tukio la mgonjwa mmoja kufa. Hivyo ule msongamano wa waandishi wa habari katika kushangaa shangaa, muuaji akapata nafasi ya kunichoma sindano.
“Kwa hiyo hivi sasa una jisikiaje?”
“Nipo vizuri. Tumemtafuta muuaji ila sijafanikiwa kumpata”
“Daaa”
“Ndio hivyo mama”
“Huyu adui aliye jitokeza ni nani?”
“Sijui mama na ana onekana ana mapango mbaya na mkubwa sana dhidi ya hii familia. Ila ni swala la muda tu tuta mjua”
“Aiseee”
“Poa badae bi mkubwa”
“Haya”
Mrs Tiger akakaa kitandani akiwa na mawazo.
“Pole mpenzi”
Dany alizungumza kwa sauti ya upole, huku akimtazama Mrs Tiger aliye vurugwa. Mrs Tiger akatafuta namba ya simu ya mtu anaye taka kumpigia katika simu yake.
“Mkuu”
“Upo wapi?”
“Nipo Dar”
“Umeona kilicho tokea kwenye tv?”
“Naona, ni habari inayo tamba kwenye vyombo vya habari hivi sasa”
“Sasa kuna mjinga amekwenda mbali zaidi na ana taka kumua mwanangu kipenzi Jack. Amemchoma sindnao ya sumu”
“Sindano ya sumu?”
“Ndio nataka uanze upelelezi wa haraka ujue ni nani ambaye yupo nyuma ya huu mpango na ukisha mpata mkamate na usimuue nataka nimuona kwanza ni nani na nita muua kwa mikono yangu mimi mwenyewe unanielewa”
“Nakuelewa boss”
Mrs Tiger akakata simu, akamtazama Dany aliye tokwa na macho ya mshangao.
“Unashangaa nini na wewe?”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira, akaiweka simu yake kitandani na akarudi bafuni na akamaliza kuoga. Akatoka bafuni, akamkuta Dany akiwa amekaa kitandani.
“Vaa nguo zake uondoke”
“Ehee….”
“Umenisikia”
“Ila baby nimekuandalia vitu vizuri sana leo. Najua una stress, hasira ya kilicho tokea ila niruhusu nipunguze msogo wako wako wa mawazo”
Dany alizungumza, akashuka kitandani.
“So ukinitomb*** kiwanda changu kita rudi kuwa upya…..Sio?”
Mrs Tiger alimuuliza Dany huku macho yakiwa makavu.
“Hapana mpenzi, najua nita kusahaulisha japo kwa muda haya mawazo unayo yapitia hivi sasa. Nipe nafasi ya mimi kufanya hivyo. Tafadhali mpenzi wangu”
Dany akaanza kuyatomasa maziwa ya Mrs Tiger, taratibu akaanza kumnonya shingo huku vidole vya mkono wake wa kulia akivishusha katika kitumba cha Mrs Tiger na kuanza kukifikicha taratibu.
‘Huyu mpuuzi ni tatizo’
Mrs Tiger alizungumza huku akimtazama Dany anaye jishuhulisha.
“Ngoja nikae kwenye sofa”
Mrs Tiger akaka kwenye sofa huku pochi yake ikiwa pembeni. Dany akapiga magoti mbele yake, akapanua miguu na taratibu akaanza kuinyonya kum** ya Mrs Tiger. Mrs Tiger akamtazama Dany kwa sekudne kadhaa, akatoa bastola ndani ya pochi yake. Bila ya kujiuliza mara mbili, akampiga risasi ya kichwa Dany na akafa hapo hapo.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Akili kubwa aliyo itumia muuaji imewazubaisha Jack na mlinzi wake, na akili hiyo hiyo anataka kuitumia kuwa karibu na Jack pamoja na familia yake ili kama ni kumuua basi wawaue wote je ata weza? Kupenda kwake mapenzi na kujifanya fundi wa kuondoa mawazo ya kumepeleka Dany kuzimu je nini kita tokea? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 49.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 49

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“So ukinitomb*** kiwanda changu kita rudi kuwa upya…..Sio?”
Mrs Tiger alimuuliza Dany huku macho yakiwa makavu.
“Hapana mpenzi, najua nita kusahaulisha japo kwa muda haya mawazo unayo yapitia hivi sasa. Nipe nafasi ya mimi kufanya hivyo. Tafadhali mpenzi wangu”
Dany akaanza kuyatomasa maziwa ya Mrs Tiger, taratibu akaanza kumnonya shingo huku vidole vya mkono wake wa kulia akivishusha katika kitumba cha Mrs Tiger na kuanza kukifikicha taratibu.
‘Huyu mpuuzi ni tatizo’
Mrs Tiger alizungumza huku akimtazama Dany anaye jishuhulisha.
“Ngoja nikae kwenye sofa”
Mrs Tiger akaka kwenye sofa huku pochi yake ikiwa pembeni. Dany akapiga magoti mbele yake, akapanua miguu na taratibu akaanza kuinyonya kum** ya Mrs Tiger. Mrs Tiger akamtazama Dany kwa sekudne kadhaa, akatoa bastola ndani ya pochi yake. Bila ya kujiuliza mara mbili, akampiga risasi ya kichwa Dany na akafa hapo hapo.

ENDELEA
“Fu***”
Mrs Tiger alizungumza huku akili yake ikimkaa sawa. Akanyanyuka na kuuruka mwili wa Dany ambao una endelea kuvuja damu. Akaitafuta moja ya namba katika simu yake.
“Boss”
“Nakutumia location uje kufanya usafi nilipo”
“Sawa boss”
Mrs Tiger akatuma ramani ya eneo alipo.
“Tatizo Dany umeshindwa kusoma alama za nyakati wewe…..Wengine akili zetu zikisha jaa hatupendi huu ujinga”
Mrs Tiger alizugumza mwenyewe. Akaingia bafuni na akaanza kuoga taratibu. Akamaliza kuoga na akavaa nguo zake. Akaaa kitandani kusubiria alio watuma kuja kufanya usafi. Honi ya geti getini ikamfanya kuchukua remote ya tv akaiwasha tv iliyopo ukutani, akaona gari la kampuni ya usafi, akafungua geti kwa kutumia simu yake na gari likaingia ndani geti likajifunga. Akatoka nje na akasalimian ana wanume wanne wanne anao fahamiana nao vyema.
“Karibuni sana”
“Asante sana boss. Uchafu ni mkubwa sana”
“Sio sana”
Mrs Tiger akatangulia ndani na wakaingia hadi chumbani huku wanaume hao wakiwa wamebeba vifaa vya kufanyia usafi.
“Alikuwa ana fanya nini?”
“Alijifanya ana jua sama mapenzi ikiwa kichwa changu kimesha pata moto. Nimemsindikiza kuzimu huko akawe fundi wa kunyonya kum** za kuzimu”
Mrs Tiger akampatia kiongozi wa wafanya usafi kubinda cha fedha la kimarekeni.
“Dola elfu kumi. Hakikisheni kila kitu chake kina potea ikiwemo simu yake hiyo location ya mwisho isome katikati ya jiji kisha ipotee”
“Usijali boss”
“Naondoka?”
“Tuna ifunga na nini nyumba?”
“Nyumba yangu ni smart house hivyo mukisha ondoka kila kitu kita ji lock”
“Sawa”
Mrs Tiger akatoka nje, akaingia ndani ya gari lake na kuondoka kuelekea nyumbani kwake.
***
“Mume wangu pole kwa kazi”
Valetina akamkumbatia Jack mara baada ya kuingia ndani.
“Asante. Mama yupo wapi?”
“Hajarudi”
“Mbona gari zake zipo hapo nje na walinzi wake wapo?”
“Wamesema walimuacha ofisini”
“Sister?”
“Amekwenda Mlimani City kuna vitu vyake amekwenda kununu”
“Amekwenda na nani?”
“Mwenyewe”
“Mpigie simu muambie arudi”
Jack akaelekea moja kwa moja chumbani kwake huku Valentina akimfwata kwa nyuma.
“Ngoja nikuvue”
Valentina alizungumza na akamvua Jack nguo zake.
“Hapa kwenye paja mbona una alama?”
Jack akajitazama eneo la paja laka lake ambapo ndipo sindano ya sumu iliingia.
“Nilijigonga”
Jack akaingia bafuni. Valentina akampigia simu Sophia.
‘Ina maana nimeshindwa kumfahamu aliye taka kuniua?’
Jack aliendelea kuwaza akilini mwake.
‘Ni nani ambaye ana husika katika mpango wa kutaka kuniua na amelipua kiwanda?”
Jack aliwaza huku msongo wa mawazo ukiwa ni mwingi akilini mwake. Valentina akaingia bafuni.
“Wifi yupo njiani ana rudi”
“Sawa”
“Poleni kwa kupoteza wafanyakazi wengi mume wangu”
“Asante”
“Mwili wako mbona wa moto”
Valentina alizungumza huku amimshika shika Jack shingoni mwake.
“Sijisikii sawa ni uchovu”
“Ngoja nikuogeshe”
Valentina akaendelea kumuogoesha Jack hadi akamaliza. Wakatoka bafuni, akamfuta maji na Jack akakaa kitandani.
“Wale madakari wameondoka?”
“Wapo wawili chumbani kwa mzee”
“Kamuite mmoja. Nitolee pensi”
Valentina akamletea Jack pesi na akavaa. Valentina akaelekea chumba alicho lazwa mzee Tiger. Akazungumza na daktari mmoja na akaelekea naye chumbani alipo Jack.
“Ndio boss”
“Ahaa nahitaji nifanyiwe vipimo vya damu.”
Mlango ukafunguliwa na mrs Tiger akaingia.
“Vipi unajisikiaje mwanangu?”
Mrs Tiger alizungumza akiwa amejawa na wasiwasi, akamshika Jack.
“Wa moto sana”
“Ngoja nikachukue vipimo nije kukupima mkuu”
“Sawa”
Daktari akatoka chumbani hapo.
“Antidote haijafanya kazi?”
“Kama isinge fanya kazi hivi sasa ningekuwa marehemu”
“Ngoja kwanza. Mume wangu una nini?”
“Kuna mtu alinichoma sindano ya sumu”
“MUNGU wangu ilikuwaje?”
“Usiwe na wasiwasi mke wangu”
Madaktari wawili wakaingia wakiwa na vibegi vyenye mashine za vipimo. Jack akatolewa kiasi cha damu mwilini mwake, ikaweka kwatika kipimo maalumu na kuanza kupimwa.
Sophia akaingia ndani ya chumba.
“Dogo vipi?”
“Kuna mjinga amenichoma sindano ya sumu”
“Una jisikiaje?”
“Kwa sasa sijisikii poa kivile”
Jack alizungumza huku akihisi nguvu za mwili zikimuishia. Mrs Tiger akawatazama madaktari wanao jadiliana wakitazama mashine inayo soma damu ya Jack.
“Kuna nin?”
“Simu aliyo chomwa ni kali sana na hata antidote imemsaidia kuipunguza makali yake ila sio kuitoa mwilini mwake”
“Najihisi vibaya”
Jack alizungumza huku mapigo yake ya moyo yakiongeza kasi ya kudunda.
“Dokta ana tokwa na jasho”
Valentina alizungumza huku akimtazama mume wake.
“Kwa hiyo tuna fanyaje?”
“Ina bidi tumuwahishe hospitalini”
“Kawaite walinzi……Haraka”
Mrs Tiger alizungumza akihisi kuchanganyikiwa. Akawapigia marubani wa helicopter yao.
“Andaeni helicopter mwanangu ana pelekwa hospitalini”
“Sawa madam”
“Kwa hiyo tuna fanyeje?”
Mrs Tiger alizungumza akihisi kuchnagnyikiwa.
“Nashindwa kupu….mu…..a”
Jack alilalama.
“Kalete oxygen ya dharura”
Daktari mmoja akatoka kwa kukimbia huku akipishana na walinzi wanne wakiwa na Sophia.
“Wasubirie tumuwekee oxygen kwanza”
“Naye kaenda kuchukua wapii…..Ohooo jamani mwanangu”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira. Daktari akarudi akiwa na oxygen ya dharura. Wakamuwekea Jack puani mwake.
“Hamna machelea ya kumbeba?”
Daktari mmoja alizungumza akimtazama Jack ambaye tayari amehsa ya fumba macho yake.
“Tuna weza kumbeba hivi hivi bila ya machela”
Mlinzi mmoja alizungumza. Wakambeba Jack kwa umakini, wakaamtoa ndani na wakamkimbiza hadi ilipo helicopter ya familia ya mzee Tiger. Mrs Tiger, daktari mmoja, Valentina na walinzi wawili wakaingia ndani ya helicopter na kuondoka nyumbani kwa mzee Tiger.
***
“Moyo wangu mbona hauna amani”
“Kwa nini mume wangu?”
“Sijui ila nina poteza amani”
“Labda ni kwa sababu ya kiwanda kuchomwa au Jack kushambuliwa kwa kuchomwa sindnao ya sumu?”
“Hata sijui”
Simu ya James ikaita, akatazama na kwenye kioo cha simu na kuona jina la Sophia. Kwa haraka akaipokea.
“Bro upo wapi?”
“Nipo kwa wife vipi?”
“Dogo asiee hali yake mbaya umebadilika galfa na sasa hivi naelekea hospitalini”
“Jack?”
“Ndio sijui kachimwa sindano ya sumu”
“Hospitali gani?”
Sophia akamtajia James jina la hospitali aliyo kimbiwa Jack.
“Nakuja”
James akakata simu.
“Jack kakimbizwa hospitali. Sindano ya sumu aliyo chomwa imemletea madhara”
“MUNGU wangu. Twende”
James na Rose hawakuwa na muda wa kupoteza, wakaianza safari ya kuelekea hospitalini huku James akiendesha gari kwa mwendo wa kasi.
‘Ni nani huyo ana nilipizia kisasi bila ya mimi kushuhulika?’
Rose aliwaza akilini mwake kwani watesi wake wana tesaka kabla hata ya yeye kuanza kuwatesa.
“Kama wamemshambulia dogo basi familia nzima ipo kwenye hatari”
James alizungumza, akipunguza mwendo huku huku akitaka kulipita gari lililopo mbele yake.
“Kwani mume wangu muna maadui wangapi?
“Kwenye hii familia?”
“Ndio”
“Wengi tu.”
“Mmm......!”
“Yaani mzee alijenga maadui wengi ambao wamesha sikia amelala basi wana jaribu kujiinua mmoja baada ya mwengine. Kwa hili walilo lifanya ni pigo kubwa sana na tusipo kuwa makini lita tuathiri hadi wake zetu”
“Mmmmmm”
“Ndio hivyo mpenzi. Karibu kwenye familia hii.”
James akapata nafasi ya kuzipita gari nne zilizopo mbele yao na akaendelea na safari kwa mwendo wa kasi. Wakafika hospitalini na moja kwa moja wakaulizia wodi ambayo amefikishwa. Wakaelekezwa na nesi, wakaingia ndani ya lift na wakaelekea hadi katika chumba cha matibabu anayo patiwa Jack.
“Madaktari wana semeje?”
James alimuuliza mama yake ambaye macho yamemvimba kwa kulia.
“Sijuiii sijuiii”
Mrs Tiger alilia kwa uchungu. Valentina na Sophia wamekaa kwenye benchi huku Sophia akimbembeleza Valentina.
“Ni mpuuzi gani ana taka kuniulia mwanangu eheee?”
Mrs Tiger alizungumza kwa uchungu kana kwamba Dany aliye toka kumuua ni mtoto wa panya na hana thamani yoyote katika maisha ya wana familia wake.
“James mwanangu. Tumia uwezo wako wa IT kujua ni nani amehusika”
“Najitahidi mama”
“Nakuomba nipo chini ya miguu yako.”
“Mama nina lishuhulikia hilo”
Jame akamuona Chris akifika eneo walipo. Mrs Tiger akanyanyuka na kumfwata Chris alipo, akamzaba kofi la shavuni.
“Jukumu lako kwa mwanangu ni nini eheee?”
Mrs Tiger alifoka akimtazama Chris mlinzi wa Jack.
“Samahani mkuu naomba unisamehe”
“Mwanangu akifa na wewe ufee uannielewa?”
“Mama”
James akamsogeza mama yake.
“Kakae”
Mrs Tiger akaelekea kukaa kwenye benchi.
“Ilikuwaje?”
James alimuuza Chris.
“Muuaji alijichanganya katika kundi la madakatri na waandishi wa habari. Tulijaribu kumtafuta ina onekana baada ya kufanya tukio akawahi kuondoka akijua amesha imaliza kazi”
“Bahati mbaya kamera za hospitalini nyingi ni mbovu hivyo nimeshindwa kupata picha halisi za eneo ambalo mulikuwepo”
“Yule jamaa aliye lipua kiwanda?”
“Sija mpata pia.”
“Ina onyesha alifanya makusudi akijua ni lazima mwana fmailia au wana familia wata kwenda pale na kutekeleza mpango wake”
“Ina wezekana Chris”
Gafla wakaona madaktari wanne wakikimbia kwa haraka na kuingia katika chumba alicho ingizwa Jack jambo lililo mfanya kila mtu kujawa na mshangao kwani kasi yao na wingi wao ni ishara tosha kwamba kinacho endelea ndani ya chumba cha matibabu si kitu kizuri.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Hali ya Jack imebadilika galfa na kuwa mbaya na kutisha je madaktari wata fanikiwa kuyaokoa maisha ya Jack au ndio alicho kifanya Mrs Tiger kwa Dany kina kwenda kumrudia mwanaye? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 50.
 
oyaa hata kama imepita miaka buku huyu Tiger atalipishwa tu. Sema Jack aende abaki kamanda James na mali asichukue
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 49

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“So ukinitomb*** kiwanda changu kita rudi kuwa upya…..Sio?”
Mrs Tiger alimuuliza Dany huku macho yakiwa makavu.
“Hapana mpenzi, najua nita kusahaulisha japo kwa muda haya mawazo unayo yapitia hivi sasa. Nipe nafasi ya mimi kufanya hivyo. Tafadhali mpenzi wangu”
Dany akaanza kuyatomasa maziwa ya Mrs Tiger, taratibu akaanza kumnonya shingo huku vidole vya mkono wake wa kulia akivishusha katika kitumba cha Mrs Tiger na kuanza kukifikicha taratibu.
‘Huyu mpuuzi ni tatizo’
Mrs Tiger alizungumza huku akimtazama Dany anaye jishuhulisha.
“Ngoja nikae kwenye sofa”
Mrs Tiger akaka kwenye sofa huku pochi yake ikiwa pembeni. Dany akapiga magoti mbele yake, akapanua miguu na taratibu akaanza kuinyonya kum** ya Mrs Tiger. Mrs Tiger akamtazama Dany kwa sekudne kadhaa, akatoa bastola ndani ya pochi yake. Bila ya kujiuliza mara mbili, akampiga risasi ya kichwa Dany na akafa hapo hapo.

ENDELEA
“Fu***”
Mrs Tiger alizungumza huku akili yake ikimkaa sawa. Akanyanyuka na kuuruka mwili wa Dany ambao una endelea kuvuja damu. Akaitafuta moja ya namba katika simu yake.
“Boss”
“Nakutumia location uje kufanya usafi nilipo”
“Sawa boss”
Mrs Tiger akatuma ramani ya eneo alipo.
“Tatizo Dany umeshindwa kusoma alama za nyakati wewe…..Wengine akili zetu zikisha jaa hatupendi huu ujinga”
Mrs Tiger alizugumza mwenyewe. Akaingia bafuni na akaanza kuoga taratibu. Akamaliza kuoga na akavaa nguo zake. Akaaa kitandani kusubiria alio watuma kuja kufanya usafi. Honi ya geti getini ikamfanya kuchukua remote ya tv akaiwasha tv iliyopo ukutani, akaona gari la kampuni ya usafi, akafungua geti kwa kutumia simu yake na gari likaingia ndani geti likajifunga. Akatoka nje na akasalimian ana wanume wanne wanne anao fahamiana nao vyema.
“Karibuni sana”
“Asante sana boss. Uchafu ni mkubwa sana”
“Sio sana”
Mrs Tiger akatangulia ndani na wakaingia hadi chumbani huku wanaume hao wakiwa wamebeba vifaa vya kufanyia usafi.
“Alikuwa ana fanya nini?”
“Alijifanya ana jua sama mapenzi ikiwa kichwa changu kimesha pata moto. Nimemsindikiza kuzimu huko akawe fundi wa kunyonya kum** za kuzimu”
Mrs Tiger akampatia kiongozi wa wafanya usafi kubinda cha fedha la kimarekeni.
“Dola elfu kumi. Hakikisheni kila kitu chake kina potea ikiwemo simu yake hiyo location ya mwisho isome katikati ya jiji kisha ipotee”
“Usijali boss”
“Naondoka?”
“Tuna ifunga na nini nyumba?”
“Nyumba yangu ni smart house hivyo mukisha ondoka kila kitu kita ji lock”
“Sawa”
Mrs Tiger akatoka nje, akaingia ndani ya gari lake na kuondoka kuelekea nyumbani kwake.
***
“Mume wangu pole kwa kazi”
Valetina akamkumbatia Jack mara baada ya kuingia ndani.
“Asante. Mama yupo wapi?”
“Hajarudi”
“Mbona gari zake zipo hapo nje na walinzi wake wapo?”
“Wamesema walimuacha ofisini”
“Sister?”
“Amekwenda Mlimani City kuna vitu vyake amekwenda kununu”
“Amekwenda na nani?”
“Mwenyewe”
“Mpigie simu muambie arudi”
Jack akaelekea moja kwa moja chumbani kwake huku Valentina akimfwata kwa nyuma.
“Ngoja nikuvue”
Valentina alizungumza na akamvua Jack nguo zake.
“Hapa kwenye paja mbona una alama?”
Jack akajitazama eneo la paja laka lake ambapo ndipo sindano ya sumu iliingia.
“Nilijigonga”
Jack akaingia bafuni. Valentina akampigia simu Sophia.
‘Ina maana nimeshindwa kumfahamu aliye taka kuniua?’
Jack aliendelea kuwaza akilini mwake.
‘Ni nani ambaye ana husika katika mpango wa kutaka kuniua na amelipua kiwanda?”
Jack aliwaza huku msongo wa mawazo ukiwa ni mwingi akilini mwake. Valentina akaingia bafuni.
“Wifi yupo njiani ana rudi”
“Sawa”
“Poleni kwa kupoteza wafanyakazi wengi mume wangu”
“Asante”
“Mwili wako mbona wa moto”
Valentina alizungumza huku amimshika shika Jack shingoni mwake.
“Sijisikii sawa ni uchovu”
“Ngoja nikuogeshe”
Valentina akaendelea kumuogoesha Jack hadi akamaliza. Wakatoka bafuni, akamfuta maji na Jack akakaa kitandani.
“Wale madakari wameondoka?”
“Wapo wawili chumbani kwa mzee”
“Kamuite mmoja. Nitolee pensi”
Valentina akamletea Jack pesi na akavaa. Valentina akaelekea chumba alicho lazwa mzee Tiger. Akazungumza na daktari mmoja na akaelekea naye chumbani alipo Jack.
“Ndio boss”
“Ahaa nahitaji nifanyiwe vipimo vya damu.”
Mlango ukafunguliwa na mrs Tiger akaingia.
“Vipi unajisikiaje mwanangu?”
Mrs Tiger alizungumza akiwa amejawa na wasiwasi, akamshika Jack.
“Wa moto sana”
“Ngoja nikachukue vipimo nije kukupima mkuu”
“Sawa”
Daktari akatoka chumbani hapo.
“Antidote haijafanya kazi?”
“Kama isinge fanya kazi hivi sasa ningekuwa marehemu”
“Ngoja kwanza. Mume wangu una nini?”
“Kuna mtu alinichoma sindano ya sumu”
“MUNGU wangu ilikuwaje?”
“Usiwe na wasiwasi mke wangu”
Madaktari wawili wakaingia wakiwa na vibegi vyenye mashine za vipimo. Jack akatolewa kiasi cha damu mwilini mwake, ikaweka kwatika kipimo maalumu na kuanza kupimwa.
Sophia akaingia ndani ya chumba.
“Dogo vipi?”
“Kuna mjinga amenichoma sindano ya sumu”
“Una jisikiaje?”
“Kwa sasa sijisikii poa kivile”
Jack alizungumza huku akihisi nguvu za mwili zikimuishia. Mrs Tiger akawatazama madaktari wanao jadiliana wakitazama mashine inayo soma damu ya Jack.
“Kuna nin?”
“Simu aliyo chomwa ni kali sana na hata antidote imemsaidia kuipunguza makali yake ila sio kuitoa mwilini mwake”
“Najihisi vibaya”
Jack alizungumza huku mapigo yake ya moyo yakiongeza kasi ya kudunda.
“Dokta ana tokwa na jasho”
Valentina alizungumza huku akimtazama mume wake.
“Kwa hiyo tuna fanyaje?”
“Ina bidi tumuwahishe hospitalini”
“Kawaite walinzi……Haraka”
Mrs Tiger alizungumza akihisi kuchanganyikiwa. Akawapigia marubani wa helicopter yao.
“Andaeni helicopter mwanangu ana pelekwa hospitalini”
“Sawa madam”
“Kwa hiyo tuna fanyeje?”
Mrs Tiger alizungumza akihisi kuchnagnyikiwa.
“Nashindwa kupu….mu…..a”
Jack alilalama.
“Kalete oxygen ya dharura”
Daktari mmoja akatoka kwa kukimbia huku akipishana na walinzi wanne wakiwa na Sophia.
“Wasubirie tumuwekee oxygen kwanza”
“Naye kaenda kuchukua wapii…..Ohooo jamani mwanangu”
Mrs Tiger alizungumza kwa hasira. Daktari akarudi akiwa na oxygen ya dharura. Wakamuwekea Jack puani mwake.
“Hamna machelea ya kumbeba?”
Daktari mmoja alizungumza akimtazama Jack ambaye tayari amehsa ya fumba macho yake.
“Tuna weza kumbeba hivi hivi bila ya machela”
Mlinzi mmoja alizungumza. Wakambeba Jack kwa umakini, wakaamtoa ndani na wakamkimbiza hadi ilipo helicopter ya familia ya mzee Tiger. Mrs Tiger, daktari mmoja, Valentina na walinzi wawili wakaingia ndani ya helicopter na kuondoka nyumbani kwa mzee Tiger.
***
“Moyo wangu mbona hauna amani”
“Kwa nini mume wangu?”
“Sijui ila nina poteza amani”
“Labda ni kwa sababu ya kiwanda kuchomwa au Jack kushambuliwa kwa kuchomwa sindnao ya sumu?”
“Hata sijui”
Simu ya James ikaita, akatazama na kwenye kioo cha simu na kuona jina la Sophia. Kwa haraka akaipokea.
“Bro upo wapi?”
“Nipo kwa wife vipi?”
“Dogo asiee hali yake mbaya umebadilika galfa na sasa hivi naelekea hospitalini”
“Jack?”
“Ndio sijui kachimwa sindano ya sumu”
“Hospitali gani?”
Sophia akamtajia James jina la hospitali aliyo kimbiwa Jack.
“Nakuja”
James akakata simu.
“Jack kakimbizwa hospitali. Sindano ya sumu aliyo chomwa imemletea madhara”
“MUNGU wangu. Twende”
James na Rose hawakuwa na muda wa kupoteza, wakaianza safari ya kuelekea hospitalini huku James akiendesha gari kwa mwendo wa kasi.
‘Ni nani huyo ana nilipizia kisasi bila ya mimi kushuhulika?’
Rose aliwaza akilini mwake kwani watesi wake wana tesaka kabla hata ya yeye kuanza kuwatesa.
“Kama wamemshambulia dogo basi familia nzima ipo kwenye hatari”
James alizungumza, akipunguza mwendo huku huku akitaka kulipita gari lililopo mbele yake.
“Kwani mume wangu muna maadui wangapi?
“Kwenye hii familia?”
“Ndio”
“Wengi tu.”
“Mmm......!”
“Yaani mzee alijenga maadui wengi ambao wamesha sikia amelala basi wana jaribu kujiinua mmoja baada ya mwengine. Kwa hili walilo lifanya ni pigo kubwa sana na tusipo kuwa makini lita tuathiri hadi wake zetu”
“Mmmmmm”
“Ndio hivyo mpenzi. Karibu kwenye familia hii.”
James akapata nafasi ya kuzipita gari nne zilizopo mbele yao na akaendelea na safari kwa mwendo wa kasi. Wakafika hospitalini na moja kwa moja wakaulizia wodi ambayo amefikishwa. Wakaelekezwa na nesi, wakaingia ndani ya lift na wakaelekea hadi katika chumba cha matibabu anayo patiwa Jack.
“Madaktari wana semeje?”
James alimuuliza mama yake ambaye macho yamemvimba kwa kulia.
“Sijuiii sijuiii”
Mrs Tiger alilia kwa uchungu. Valentina na Sophia wamekaa kwenye benchi huku Sophia akimbembeleza Valentina.
“Ni mpuuzi gani ana taka kuniulia mwanangu eheee?”
Mrs Tiger alizungumza kwa uchungu kana kwamba Dany aliye toka kumuua ni mtoto wa panya na hana thamani yoyote katika maisha ya wana familia wake.
“James mwanangu. Tumia uwezo wako wa IT kujua ni nani amehusika”
“Najitahidi mama”
“Nakuomba nipo chini ya miguu yako.”
“Mama nina lishuhulikia hilo”
Jame akamuona Chris akifika eneo walipo. Mrs Tiger akanyanyuka na kumfwata Chris alipo, akamzaba kofi la shavuni.
“Jukumu lako kwa mwanangu ni nini eheee?”
Mrs Tiger alifoka akimtazama Chris mlinzi wa Jack.
“Samahani mkuu naomba unisamehe”
“Mwanangu akifa na wewe ufee uannielewa?”
“Mama”
James akamsogeza mama yake.
“Kakae”
Mrs Tiger akaelekea kukaa kwenye benchi.
“Ilikuwaje?”
James alimuuza Chris.
“Muuaji alijichanganya katika kundi la madakatri na waandishi wa habari. Tulijaribu kumtafuta ina onekana baada ya kufanya tukio akawahi kuondoka akijua amesha imaliza kazi”
“Bahati mbaya kamera za hospitalini nyingi ni mbovu hivyo nimeshindwa kupata picha halisi za eneo ambalo mulikuwepo”
“Yule jamaa aliye lipua kiwanda?”
“Sija mpata pia.”
“Ina onyesha alifanya makusudi akijua ni lazima mwana fmailia au wana familia wata kwenda pale na kutekeleza mpango wake”
“Ina wezekana Chris”
Gafla wakaona madaktari wanne wakikimbia kwa haraka na kuingia katika chumba alicho ingizwa Jack jambo lililo mfanya kila mtu kujawa na mshangao kwani kasi yao na wingi wao ni ishara tosha kwamba kinacho endelea ndani ya chumba cha matibabu si kitu kizuri.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Hali ya Jack imebadilika galfa na kuwa mbaya na kutisha je madaktari wata fanikiwa kuyaokoa maisha ya Jack au ndio alicho kifanya Mrs Tiger kwa Dany kina kwenda kumrudia mwanaye? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 50.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 50.

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Eneo hili ni private”
Mlinzi alimzuia dokta Boaz.
“Ahaa mimi ni rafiki wa Jack. Naomba uniitie Chris”
“Boss kuna mtu ana kuhitaji. Ana sema ni rafiki wa Jack.”
“Nakuja”
Chris akanyanyuka akatembea hadi eneo la lift. Akashangaa kumuona dokta Boaz.
“Dokta”
“Vipi Chris”
“Safi. Pole bwana nilikuja hapa kumuona mgongwa. Nikasikia kuwa Jack yupo hapa?”
“Ndio amelazwa. Twende”
Wakaanza kutembea kuelekea kilipo chumba alicholazwa Jack, huku Chris muda wote akiwa makini kumchunguza. James akatazama taarifa alizo tumiwa kwenye simu yake.
“Boss”
Chris alimuita James na kumfanya James kunyanyua uso wake na kumtazama Chris. Taratibu akanyanyuka mara baada ya kumuona dokta Boaz akiwa amesimama pembeni ya Jack.

ENDELEA
“Huyu ndio dokta Boaz”
“Karibu sana daktari”
“Asante sana. Poleni sana kwa changamoto iliyo wakuta”
“Tunashukuru”
“Mgonjwa ana endeleaje?”
“Anaendelea vyema. Tuna subiria azinduke”
“Poleni sana tena sana”
“Una hitaji kumuona?”
“Kama ina wezekana”
“Karibu”
James akaingia ndani akiwa ameongozana na daktari Boaz.
“Shikamoo”
“Marahaba.”
“Jamani huyu ana itwa dakatri Boaz kutoka Morogoro. Alihusika katika kuwatiba wagonjwa wete walio lazwa katika hospitali ya mkoa”
“Karibu sana daktari”
Sophia alizungumza.
“Asante sana. Poleni sana”
“Tuna shukuru”
“Umesema umetoka hospitali ya Morogoro?”
Rose alimuuliza dokta Boaz swali.
“Ndio madam. Kuna mgonjwa wangu amelezwa hapa hospitali kutoka mkoa wa Morogoro hivyo, nimekuja kumuangalia. Nilipo fika hapa nikasikia kulazwa kwa Jack hivyo nikaona sio mbaya nije kumuona na yeye”
“Tunashukuru kwa kuja kwako”
Mrs Tiger alizungumza.
“Sawa. MUNGU bariki nitakuja kesho kumuona pale atakapo zinduka”
“Karibu sana”
Dokta Boaz na Chris wakatoka ndani ya chumba alicho lazwa Jack.
“Naomba niwaache na shukurani kwa kuniruhusu kuja kumuona”
“Asante sana”
Chris akaongozana na dokta Boaz hadi katika lift.
“Kesho pajapo majaliwa ya MUNGU”
“Karibu tena”
“Mume wangu huyu jamaa ni dokta kweli?”
Rose alimuulzia James akiwa amesimama pembeni yake.
“Taarifa zake hizi hapa”
James akampa simu Rose na akasoma taarifa alizo tumiwa.
“Daktari wa moyo?”
“Ndio”
“Ila hisi zangu zina muona kama sio mtu mzuri”
“Kwa nini?”
“Mume wangu mimi ni jasusi hivyo nina weza kumjua mtu mzuri na mbaya.”
“Wewe umemjauje?”
“Ngoja Chris aje”
Wakamtazama Chris anaye tembea katika kordo hadi akafika walipo simama.
“Samahani Chris”
“Bila shamahani shemeji”
“Hembu nieleze jinsi mulivyo kutana na huyu daktari”
Chris akamueleza Rose jinsi walivyo kutana na dokta Boaz.
“Mume wangu huyu si mtu mwema. Haiwezekani watu wawili sote tukawa tuna muhusi vibaya. Isitoshe amesema amekuja kumuona mgonjwa hapa hospitalini. Akasikia kuwa Jack amelazwa, hamuoni kama hiyo ni stori ya kutunga”
Rose alizungumza kwa msisitizo.
“Anacho kisema shem ni kitu sahihi. Usikute amekuja kumalizia kazi ambayo aliona imeshindikana”
“Ninyi ndio mwenye taaluma ya upelelezi. Niambieni tuna fanyaje?”
“Kwa nini tusiende kucheki cctv kamera?”
Rose alishauri.
“Za hospitali hii?”
“Ndio.”
“Ngoja nimpigie mmiliki wa hospitali”
James akampigia mmiliki wa hospitali.
“Mzee wangu shikamoo”
“Marahaba James. Poleni sana”
“Tuna shukuru. Upo Dar hii?”
“Hapana nipo Mwanza. Ila kesho nina kuja Dar es Salaam.”
“Mzee wangu nina omba kupitia mfumo wa cctv kamera. Kuna mtu mmoja tuna hitaji kumfwatilia”
“Haina shida James mukifika tu waambieni nimewaagiza”
“Sawa mzee shukrani”
“Baba ana endeleaje lakini?”
“Bado ana umwa”
“Aise nikija nita kuja kuwaona wote”
“Asante sana mzee wangu. Ni kutakie usiku mwema”
“Nawe pia”
James akakata simu.
“Twendeni”
Wakaongozana na Chris hadi controol room.
“Karibuni sana”
“Tuna shukuru. Kuna jambo tuna hitaji kulifwatilia katika kamera zenu, huyu ni mke wangu na huyu ni mkuu wa walinzi, waliopo hapa”
“Karibuni”
“Kamera zote zinafanya kazi?”
“Ndio”
“Naomba nikae”
Mfanyakazi mmoja wa chumba cha kamera akanyanyuka na akampisha James. Hakumaliza dakika hata moja akawa tayari amepata rekodo za jinsi dokta Boaz alivyo fika hospitalini hapo.
“Hii ndio gari yake”
Chris alizungumza. Wakamfwatilia jinsi alivyo kuwa ana zungumza na nesi wa mapokezi.
“Mume wangu hembu weka angle inayo mpiga usoni”
Rose alizungumza na James akakaweka kamera inayo mmulika dokta Boaz usoni mwake.
“Hapa ana muuliza nesi kuhusian ana eneo alipo James na ametueleza kuwa amesikia kuwa James amelazwa hapa. Hiyo ni ni moja”
Rose alifafanua mazungumzo ya dokta James na nesi.
“Endelea kupeleka mbele”
Wakaendelea kumfwatilia jinsi alivyo ingia katika floor waliyopo. James aakakipeleka kipande cha video haraka haraka hadi ikaifka hatua mbayo dokta Boaz akaingia ndani ya lifti, akashuka hadi gorofa ya pili. Wakamfwatilia na akaingia kwenye chumba kimoja cha wagonjwa. Hakumaliza hata dakika tatu, akatoka, akaingia kwenye lift iliyo mfikisha chini. Akatoka, akapitia kitambulisho chake mapokezi na akatembea hadi ilipo gari yake. Akaingia ndani ya gari na akaondoka eneo la hospitalini.
“Tukatazame chumba alicho ingia”
Rose alishauri. Wakaagana na wafanyakazi wanne wa chumba hicho na wakaelekea moja kwa moja hadi katika chumba alicho ingia dokta Boaz. Wakamkuta mzee mmoja akiwa anajisomea biblia. Wakamsalimia.
“Samahani mzee wangu.”
Rose alizungumza akimtazama mzee huyo.
“Kuna daktari amekuja kukuona kama dakika saba hivi zilizo pita?”
“Daktari?”
“Hembu muonyeshe picha”
James akamuonyesha mzee picha ya James.
“Huyu kijana kwani ni daktari?”
“Ahaaaa sisi tunajua ni daktari”
“Hapana. Amekuja na kuingia hapa akaniulizia hali yangu na akaniambiwa kuwa amekosea chumba basi akaondoka”
James na Rose wakatazamana.
“Kwa hiyo hamfahamiani?”
“Simfahamu kabisa”
“Sawa mzee wangu ugua pole na samahani kwa kukusumbua”
“Musijali”
Wakatoka ndani ya chumba.
“Naomba bastola yako”
Rose alizungumza huku akimtazama Chris usoni mwake.
“Shem”
“Mpe”
Chris akachomoa bastola yake ya ziada kiunoni mwake na akamkabidhi Rose.
“Huyu ndio mtu wetu mume wangu. Tumfwatilie”
“Sawa Chris imarisha ulinzi hatuwezi kuondoka wote kwa maana wote tumesha mjua muuaji na wana ndugu wametambulishwa ni mtu salama hivyo waatamruhusu kuingia na akawadhuru”
“Sawa mkuu”
“Pia hakikisha walinzi wana jua. Mumekuja na magari mangapi?”
“Manne”
“Tuna ondoka na moja”
“Ngoja niwaambie washushu funguo……Mmoja alate funguo ya gari chini”
Chris aliwasiliana na walinzi wezake kwa kutumia redio maalumu za kuwasiliana. James akampigia simu Sophia, wakiwa ndani ya lifti.
“Bro”
“Tuna toka na wifi yako”
“Munaenda nyumbani?”
“Hapana kuna mahali tuna elekea mara moja. Tutarudi baadae”
“Sawa”
James akakata simu.
“Mbona hujawaeleza ukweli?”
Chris aliuliza.
“Ila wasipanic”
“Sawa”
Lifti ikafunguka na wakatoka nje. Wakatembea hadi zilipo gari zinazo fanana aina ya Chevrolet Suburban. Mlinzi akafika akiwa ana kimbi ana akamkabidhi James funguo.
“Kuna silaha za ziada?”
James alimuuliza mlinzi aliye leta funguo.
“Ndio kwenye buti”
Wazunguka nyuma ya buti. James akafungua buti.
“Waooo”
“Asanteni. Chris hakikisha kila kitu kina kwenda vyema. Ikiwezekana ulale ndani ya chumba cha James.”
“Sawa boss”
Rose akamrudishia Chris bastola yake.
“Asante shem”
Rose alizungumza huku akichukua bastola nyingine. Akaichomeka kiunoni mwake, James naye akachukua bastola yake na akachomeka kiunoni.
“Nitakuwa nina kupigia wewe”
“Sawa mkuu”
“Ngoja niendesha gari mume wangu”
James akampa Rose funguo na wakaondoka hospitalini.
“Boss kuna nini kina endelea?”
Mlinzi akakuuliza Chris.
“Kuna mambo yao wana yafwatilia”
“Sawa mkuu”
James kwa kutumia simu yake, akaingia katika mfumo wa kamera za zilizo fungwa barabarani.
“Nimempata”
James alizungumza na akamuonyesha Rose barabara aliyopo dokta Boaz. Akawasha taa ya ishara ya kuingia ulilia na kwa kasi akaingia barabara ya upande wa kulia, akawasha za vimweko mweko zinazo tumiwa na wana usalama.
“Kuna haja gani ya kuwasha hizo taa mke wangu”
“Watupishe”
James akamtazama Rose na akatabasamu kwani mke wake amelivalia njuga swala la Jack kuchomwa sndano ya sumu.
***
Dokta Boaz akatazama simu yake inayo ita na akaipokea.
“Boss”
“Simu yako ndogo ninayo kupigi siipati hewani”
“Imeisha chaji na sikubeba chaji yake”
“Umefikikia wapi”
“Nimeingia hospitali na nimemuona mgonjwa. Familia nzima nimeikuta hospitalini”
“Hadi Tiger?”
“Hayupo”
“Yule mshenzi atakuwa ana ume kweli”
“Ina wezekana”
“Na huyo marehemu mtarajiwa?”
“Wamempambania asife. Ila nina panga usiku wa huu asitoboe yeye na familia nzima. Cha kufanya andaa kiasi changu cha pesa tena kilicho nona kwani nina kwenda kuifyeka familia nzima kwa wakati mmoja”
“Sawa pesa haina shida. Hawajakustukia?”
“Hakuna anaye weza kunistukia. Na kuna wakwe wa familia nao nimewakuta pale je niwashuhulikie”
“Ua kila mmoja”
“Kuna walinzi wao”
“Walinzi nao ua si wata jaribu kukuzuia ua wote sitaki abaki atakaye pumua”
“Sawa madam boss”
“Usiniangushe”
“Mbona una sisitiza kana kwamba hii ndio kazi yangu ya kwanza kukufanyia”
“Sawa nasubiria habari nzuri”
Dokta Boaz akakata simu huki akiendesha gari taratibu kwenye foleni.
“Hili jiji la kiseng** sana foleni kila mahali huu ni ujinga”
Dokta Boaz alizungumza, akazatama kioo cha upande wa kushoto kinacho onyesha gari za nyuma na akaona gari inayo waka vimweko mweko vya msafara ikiwa ni ya tatu kutoka gari zilizopo nyuma yake na hakuweza kuwaona waliomo ndani ya gari hilo kwani vioov vyote ni vyeusi.
“Yule mshenzi yule pale tumempata. Ngoja nimpiga mande”
Rose alizungumza hukua kizipiga honi gari za mbele yake na kila dereva aliye ona gari hiyo akasogeza gari yake pembezi zaidi na kuacha upenyo wa gari analo liendesha Rose kupita.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kwa msaada wa taaaluma ya Rose wamefanikiwa kumtambua dokta Boaz ni muaji na ana husika kumchoma Jack sindano. James na Rose wamemfwatilia Boaz je wata fanikia kumkamata? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 51.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 51

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Hakuna anaye weza kunistukia. Na kuna wakwe wa familia nao nimewakuta pale je niwashuhulikie”
“Ua kila mmoja”
“Kuna walinzi wao”
“Walinzi nao ua si wata jaribu kukuzuia ua wote sitaki abaki atakaye pumua”
“Sawa madam boss”
“Usiniangushe”
“Mbona una sisitiza kana kwamba hii ndio kazi yangu ya kwanza kukufanyia”
“Sawa nasubiria habari nzuri”
Dokta Boaz akakata simu huki akiendesha gari taratibu kwenye foleni.
“Hili jiji la kiseng** sana foleni kila mahali huu ni ujinga”
Dokta Boaz alizungumza, akazatama kioo cha upande wa kushoto kinacho onyesha gari za nyuma na akaona gari inayo waka vimweko mweko vya msafara ikiwa ni ya tatu kutoka gari zilizopo nyuma yake na hakuweza kuwaona waliomo ndani ya gari hilo kwani vioov vyote ni vyeusi.
“Yule mshenzi yule pale tumempata. Ngoja nimpiga mande”
Rose alizungumza hukua kizipiga honi gari za mbele yake na kila dereva aliye ona gari hiyo akasogeza gari yake pembeni zaidi na kuacha upenyo wa gari analo liendesha Rose kupita.
ENDELEA
“Tufunike sura zetu hapa kuna watu wengi”
James aliungumza hukua kiangaza angaza eneo kama ata ona kitambaa cha kufunika nyuso zao.
“Wewe subiria ndani”
Rose alizungumza huku akilisukuma ubavuni gari la dokta Boaz na kumfanya dokta Boaz kushtushwa kwani hakutarajia kama gari hiyo ina mfwata yeye. Kwa haraka dokta Boaz akachuka bastola chini ya siti ya gari lake. Akaanza ufyatua risasi kuelekea lilipo gari lililo mbana.
“Nimekuambiaje mume wangu huyu jamaa ni adui”
Rose alizungumza huku akitazama risasi zinavyo piga kwenye kioo cha gari lake ambacho kwa bahati nzuri hakiingizi risasi. James kwa haraka akafungua mlango wa pembeni na akashuka huku bastola yake ikiwa mkononi. Akaanza kujibu mashambulizi ya risasi anazo zifyatua dokta Boaz.
“Fuc***”
Dokta Boaz alizungumza huku akijrusha nje ya gari lake kwani risasi zinazo jibiwa zina mpunyua punyua. Kwa mwendo wa wa kukimbia huku ameinama, dokta Boaz akavuka barabara ya upande wa ili kitendo kilicho mfanya James kuanza kumuungia kwa kumkimbiza. Wananchi walio eneo hilo wakaanza kutawanyika kwa kukimbia kwani milio ya risasi ime wagopesha. Rose akazima gari, akatoka upande wa pili alipo kuwa amekaa James kwani mlango wa upande wake hauwezi kufunguka kutokana na kubanana na gari la dokta Boaz. Akaanza kukimbia uelekeo walio kwenda James na dokta Boaz.
Dokta Boaz akazidi kuikata mitaa kwa kasi iliyo iliyo mshinda James ambaye kwenye kukimbia hana spidi kubwa kama aliyo kuwa nayo dokta Boaz.
“Kaelekea wapi?”
James aliwauliza madereva bodaboda walio kaa kituoni huku akiwa na bastola mkononi.
“Amelekea upande ule”
Madereva wanne wa pikipiki walijibu wakimuonyesha James chochoro aliyo ingia dokta Boaz. Rose akafika eneo hilo.
“Kaenda kule”
James alizungumza huku akianza kasi ya kukimbia, akashangaa kumuona mke wake akimpita kwa kasi ya ajabu. James akaunga kwa nyuma kupita katika mitaa ambayo wasamaria wema wana waelekeza eneo alilo pita dokta Boaz.
“Shitiiii”
Rose alizungumza kwa hasira kwani wametokea barabarani ambapo kuna watu wengi wanao endelea na shuhuli zao.
“Kaelekea wapi?”
James aliifika alipo simama Rose huku akihema sana.
“Amesha tupotea”
Rose alizungumza akiangaza angaza eneo alipo.
“Na kuna watu wengi”
Rose akatoa simu mfukoni mwake.
“Una simu yako hapa?”
“Ndio”
“Nitumie taarifa zake. Turudi zetu”
James akamtumia Rose taarifa za dokta Boaz. Rose akazituma taarifa hizo ofisini kwake.
“Nitafuteni huyo mtu.”
“Sawa mkuu”
“Mtumieni Kamanda wa kikosi maalumu asakwe haraka iwezekanavyo”
“Sawa boss”
Kwa njia za vichochoro wakapita hadi wakafika walipo ziacha gari zao. Wakakuta tayari askari wa jeshi la polisi wamesha fika eneo la tukio huku wengine wakielekeza magari yapite kwa utaratubu kwani gari zao zime sababisha foleni barabarani.
“Habari zenu”
James aliwasalimia askari hao.
“Salama”
“Mimi ndio mmiliki hili gari”
James alizungumza.
“Nyinyi ndio mulikuwa muna shambulian ana aliye kuwa katika hili gari?”
“Ndio”
“Ninyi ni kina nani?”
Simu ya Rose ikanza kuita.
“ACP Habari yako”
“Salama mkuu”
“Naamini umepokea taarifa zilizo tumwa kwako”
“Ndio”
“Nahitaji huyo mshenzi atafutwe. Dar nzima iwe kwenye lock down. Gari zinazo toka nje ya Dar zikaguliwe kuwekwe vizuri barabara ya kutokea ndani ya jiji hili”
“Sawa mkuu”
Rose akakata simu akimtazama askari aliye kuwa ana muhu hoji maswali James. Askari kwa haraka akapuga salute kwani mazungumzo ya Rose na boss wake wa kanda maalumu ameyasikia vyema.
“Mumekagua gari yake?”
“Ndio mkuu”
“Mumepata nini?”
“Ni dawa tu na bomba za sindano”
“Hembu zileteni hapa”
Rose alizungumza kwa sauti ya mamlaka.
“Mke wangu kumbe una cheo?”
Rose akabasamu.
“Kiasi chake”
Askari mmoja akaleta ushahidi wa vitu walivyo vikuta ndani ya gari ya dokta Boaz. Rose akasoma kichupa kimoja kidogo cha dawa.
“Hii ndio simu aliyo mchoma nayo shemeji”
“Hii?”
“Yaah naifahamu ni hatari sana”
“Naomba funguo nisogeze gari”
Rose akajipapasa mifukoni mwa suruali aliyo ivaa, akatoa funguo na akamapa James. Akaingia ndani ya gari na akasogeza gari pembezoni mwa barabara na gari zikaanza kupita
“Muna mtu wa kuweza kupata fingerprint?”
“Hapana”
Rose akapiga simu katika kitendo cha ujasusi anacho fanya kazi.
“Lete timu ya kuweza kukagua finger print na kutumia location”
“Sawa mkuu”
Rose akakata simu. Akamfwata James alipo simamisha gari.
“Vipi?”
“Nahisi kichomi mke wangu. Nimekimbia sana”
“Hahahaa aina bidi tuanze mazoezi ya kukimbia mshikaji wangu….Yaani umekimbia kidogo tu umepata kichomi.”
“Mara ya mwisho kukimbia ni ile siku nilipo kuwa nina toroka nyumbani kwa mzee”
“Doooo”
“Yaani hapa mbavu zote kama zina bana aisee”
“Pole. Ngoja huyu mshenzi apatikane tumbane tujue ni nani aliye mtuma”
“Sawa mke wangu. Asante kwa kuwa nami kwenye hili”
“Usijali mume wangu, ndio nimesha kuwa mkwe wa familia”
“Sawa mke wangu”
***
Dokta Boaz kwa haraka akamchomolea dada mmoja simu ndogo mfukoni mwake bila ya dada huyo kujua. Akaendelea kujichanganya katikati ya watu. Akafika katika duka la nguo. Akanunua nguo mpya.
“Naweza kupata chumba cha kubadilishia?”
“Ndio. Ingia hapo”
Muuza nguo alimuelekeza na akaingia kwenye moja ya chumba. Akabadilisha nguo kisha nguo alizo kuwa amezivaa akaziweka katika mfuko. Akatoka dukani na kuondoka. Kwa kutumia simu aliyo iba akampigia mwana mama aliye mpa kazi.
“Ni mimi”
“Namba ya nani?”
“Nimeiba simu. Wapuuzi wamenishtukia”
“Imekuwaje?”
“Sijui ila wamenishtukia. Kuna msichana mmoja ni mke wa James ana onekana sio mtu wa kawaida”
“Ni jini?”
“Sio jini ila ana onekana ni kama afisa mpelelezi wa ngazi ya juu sana kwani ana umakini ambao wana familia nzima hata huyo Jack mwenyewe hana huo umakini.
“Kaoelewa lini?”
“Hata sijui kwani wao ndio walio nibananisha barabarani”
“Sasa ina kuwaje?”
“Naingia chimbo. Nahitaji kuikamilisha hii kazi”
“Ikiwa wame kustukia?”
“Ndio nina jua nini cha kufanya”
“Kuwa makini”
“Usijali.”
Dokta Boaz akakata simu na akaitupa simu mtaroni. Akamuona mmachinga anaye uza kofia na miwani, akanunua kofia nyeusi na miwani, akavaa. Akafika eneo la waendesha pikiiki wengi.
“Nipeleke Mabibo”
“Sawa”
Akapanda pikipiki na wakaondoka eneo walipo. Mwendo wa dakika ishirini wakafika eneo analo elekea dokta Boaz. Akamlipa muendesha pikipiki kisha akakatiza mitaa hadi akafika kwenye moja ya nyumba. Akagona.
“Nani”
“Ni mimi”
Mlango ukafunguliwa.
“Mbona galfa sana?”
Mwanamke aliye mfungulia mlamgo alizungumza.
“Nahitaji vitendea kazi”
“Una nitisha mbona kama umeharibu”
“Hembu cheki kwenye mtandao wa polisi”
Wakaongozan ana msichana huyo hadi ndani ya chumba cha siri ambacho kina tv kubwa nne zilizo pachikwa ukutani huku kukiwa na computer kubwa mbili zenye CPU zenye wezo wa hali ya juu. Katika chumba hicho kuna makabati ya chuma yenye silaha na vitenda kazi vya aina mbalimbali.
“Una nipa bei gani?”
“Milioni ishirini pamoja na vifaa”
Msichana akava miwani ya kuzuia mwanga wa computer. Akakaa kwenye kiti cha kuzunguka, akaanza kuminya batani za kyebord aliyo iiunganisha na cpu zote.
“Umesha wekwa moste wanted kwani una mishe gani hapa Dar?”
“Kuna fala nimekuja kumuua?”
“Nani?”
“Familia nzima ya Tiger”
“What una kichaa?”
“Kwa nini?”
“Una hisi ni familia ya kawaida ambayo wewe peke yako una weza kupigana nayo. Ona sasa wamesha kuingiza kwenye mfumo ina maaana kutakuwa na oparesheni ya kukusaka wewe kila upande”
Dokta Boaz akatazama picha zake zikiwa zipo kwenye mfumo maalumu wa jeshi la polisi unao husiana na wahalifu hatari wanao sakwa nchi nzima.
“Umeharibu maisha yako kwa pesa kiasi gani?”
“Ndefu”
“Kiasi gani?”
“Jua ni ndefu. Na pia nilisha win kumchoma sindano ya sumu Jack Tiger”
“Amekufa?”
“Amejiwahi”
“Umeona sasa. Hawa watu sio wa kawaida”
“Nisaidie nimalize mission yangu. Duku kamera za hospitali aliyo lazwa”
“Hospitali gani?”
Dokta Boaz akataja hospitali aliyo lazwa Jack.
“Ngoja kwanza”
Msichana huyo mwenye tattoo mikononi mwake kwa njia zake za udukuzi akaingia katika mfumo wa hospitali aliyo lazwa Jack.
“Mmmm”
“Nini?”
“Mfumo wao umalindwa”
“Umelindwaje?”
“Kuna update imefanyika masaa manne mawili na nusu yaliyo pita”
“Nilikuwa hapo hospitali. Ina maana James ndio atakuwa amefanya hiyo update?”
“Ndio maana yake”
“Fuc**”
“Kwa kilicho tokea sidhani kama wana weza kumuacha Jack akaendelea kulazwa hapo hospitalini”
“Ukimaanisha?”
“Wala ni matajiri. Una hisi watakuwa ni wajinga. Kama ni kumuhamisha wata mrudisha katika lile hekalu lao. Kama una mpango wa kuwaua ni lazima uende kwenye jumba lao ambalo ulinzi wake nasikia ni zaidi ya ikulu”
“Mmmmm”
“Ndio ukweli huo. Na sio polisi tu wanao kutafuta”
“Hadi kuna nani?”
“Shirika la ujausi la X”
“Kum****ke aiseee”
“Ulifikiria hili lakini Boaz au pesa ilikutamanisha?”
Dokta Boaz akashusha pumzi nyingi.
“Na usiniambie wewe ndio umehusika katika kulipua kiwanda chao cha sukari”
“Ni mimi”
“Lengo likiwa ni nini?”
“Ili umtoe nyoka shimoni ni lazima umwage petroli chafu kwenye shino lao ndio nilicho taka kukifanya na wakatoka kweli. Nikampata Jack ila akajiwahi kuto kufa ila hali yake ni mbaya sana”
“Sasa uta fanyaje?”
“Nipe hifadhi kwa leo hadi kesho nitakuwa na mpango wa kuwafanyia hawa wapumbavu. Nita waangamiza wote hawato kaa waamini. Hata kama wan amaisha ya kulindwa kulicho watu wowote hapa nchini ila nita waua. Maisha yangu hayawezi kuaribika kirahisi namna hii”
Dokta Boaz alizungumza akitazama picha zake zinavyo zidi kusambawa kwa askari wa jeshi la polisi pamoja na maafisa wa shirika la ujausi la X.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Dokta Boaz ameponea chupu chupu kukamatwa na Rose na James. Ila bahati mbaya kwake sasa hivi atafutwi tu na familia ya Tiger ila anatafutwa na jeshi la polisi pamoja na sirika la ujasi la X je ata fanikisha kuiua familia ya mzee Tiger? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 52.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 52


KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Shirika la ujausi la X”
“Kum****ke aiseee”
“Ulifikiria hili lakini Boaz au pesa ilikutamanisha?”
Dokta Boaz akashusha pumzi nyingi.
“Na usiniambie wewe ndio umehusika katika kulipua kiwanda chao cha sukari”
“Ni mimi”
“Lengo likiwa ni nini?”
“Ili umtoe nyoka shimoni ni lazima umwage petroli chafu kwenye shino lao ndio nilicho taka kukifanya na wakatoka kweli. Nikampata Jack ila akajiwahi kuto kufa ila hali yake ni mbaya sana”
“Sasa uta fanyaje?”
“Nipe hifadhi kwa leo hadi kesho nitakuwa na mpango wa kuwafanyia hawa wapumbavu. Nita waangamiza wote hawato kaa waamini. Hata kama wan amaisha ya kulindwa kulicho watu wowote hapa nchini ila nita waua. Maisha yangu hayawezi kuaribika kirahisi namna hii”
Dokta Boaz alizungumza akitazama picha zake zinavyo zidi kusambawa kwa askari wa jeshi la polisi pamoja na maafisa wa shirika la ujausi la X.
ENDELEA
“Naamini umesha acha wosia kituoni kwako wa nani akirithi na kukiendesha eheee”
Swali la mwana dada huyo likamfikirisha sana dokta Boaz kwani maamuzi yake yana kwenda yana kwend akuathiri hadi kituo cha watoto yatima anao walea.
***
“Mulienda wapi?”
Mrs Tiger alimuuliza James na mkewe. Wakiingia ndani ya chumba alicho lazwa Jack.
“Hajazinduka?”
James aliuliza.
“Bado hajazinduka. Hizo bastola viunoni vipi?”
Sophia aliuliza huku akiwatazama James na Rose viunoni, japo wamefunika na tisheti.
“Yule jamaa aliye kuja hapa akajitambulisha kama rafiki wa Jack sio rafiki yake ni muuaji aliye sababisha hichi kinacho Jack anakipitia hivi sasa?”
“Nini….wewe si ndio uliingia naye?”
Mrs Tiger aliuliza kwa mshangao.
“Ndio niliigia naye kumuonyesha kuwa uliye tarajia afe ana yapambania maisha yake na baada ya hapo Rose kwa kutumia ujuzi wake akanihakikishia kuwa jamaa ni muuaji. Japo ni daktari na tuna uhakika yeye ndio aliye husika katika ulipuaji wa kiwanda cha sukari Morogoro”
“Mume mkamata?”
Valentina aliuuliza macho yakiwa yamemvimba kutokana kwa kulia.
“Hapana ila ana endelea kutafutwa kwani alitutoroka tulipo kuwa tuna mfukuzia”
“Hii ndio sumu ambayo alitumia kumchoma Jack”
Rose alizungumza akitoa kichupa cha sumu iliyo tumika kumudhuru Jack. Mrs Tiger akanyanyuka kwa haraka na akakichukua kichupa hicho. Akakisoma kwa sekunde kadhaa.
“Huyu mshenzi alitaka kumkausha mwangu”
“Una ifahamu?”
Rose alimuuliza Mrs Tiger ambaye ni kama anaye fikiria jambo. Akatingisha kichwa akimaanisha kwamba haifahamu sumu hiyo.
“Kama ni hivyo dogo apelekwe nyumbani jamani. Hapa ana weza kurudi na kumuua”
Sophia alishauri.
“Nyumbani ni hatari zaidi kumrudisha. Abaki hapa na walinzi tumesha waweka tayari kwa chochote kile ambacho kina weza kutokea. Katika hichi chumba hato ingia mtu zaidi ya ndugu, au daktari maalumu wanao muhudumia shem”
“Wifi muuaji ana weza kurudi hapa na akajifanya kama daktari na akamuua?”
“Kuna mitego ya maafisa wa polisi walio valia kiraia wameshambaa kuzunguka hospitali hivyo muuaji hawezi kuingia na hapa kutakuwa ni rahis kwa uangalizi wa madaktari”
James alizungumza na kila mtu akamuelewa.
“James tuzungumze”
Mrs Tiger alizungumza na akatangulia kutoka nje.
“Ndio mama”
“Rose aligunduaje kuwa ni muuaji?”
James akamueleza mama yake kila walicho kifanya.
“Daa! MUNGU ambariki huyu binti.”
“Vipi una hisia zozote za watu ambao wapo nyuma ya huu mpango kwa maan sasa hivi sio kuuliwa Jack pekee bali ni familia nzima”
Mrs Tiger akakaa kwenye benchi. James naye akaka pembeni yake.
“Kama kuna adui ambaye una hisi amekuja kulipa kisasi muda huu tukiwa katika mgawanyiko wa kifamilia niambie. Baba ni mgonjwa, yamejitokeza yaliyo jitokeza bado wamempata Jack. Na inavyo onekana wapo seriously sana mama”
Mrs Tiger akaendelea kujifikiria.
“Kama yupo adui ambaye una jua ni hatari zaidi hembu niambie wote tujue tuna muangalia yupi na yupi. Ubaya kweye hili ni kuwa walisha jipanga kabla yetu sisi”
“Nisiwe muongo. Sifahamu James. Tuna maadui wengi. Mmoja wapo ni wewe pia tulisha kutengeeneza kuwa adui wa hii familia hivyo nachanganyukiwa sijui nani ni nani?”
Mrs Tiger alizungumza machozi yakimlenga lenga.
“Tuna mpata”
“Jitahidi mwanangu na nina omba unisamehe kwa kila kitu nilicho kufanyia”
Mrs Tiger alilia kwa uchungu. Dhambi walizo kuwa wana wanyia wengine hivi sasa zime wageukia wao.
“Huna sababu ya kulia mama”
“Naona MUNGU ana nilipa madhambi niliyo yafanya”
“Pole. Ndio utubu kwa kumaanisha”
Mrs Tiger akajifuta machozi.
“Na kitu kingine. Jitafakari kumuomba msamaha Rose”
Mrs Tiger akamtazama James, kisha akanyanyuka na kuingia ndani ya chumba alicho lazwa Jack. Rose akatoka na kukaa alipo kaa James.
“Vipi kuna update yoyote?”
“Hamna mume wangu”
“Nimechoka”
“Nenda nyumbani kalake”
“Twende wote tukaoge. Unajua tumemwagika jasho”
“Kaage”
James akaingia chumba cha wagonjwa.
“Tuna toka mara moja. Tutarudi baadae”
“Sawa kaka”
Sophia akamtazama kaka yake. James na Sophia wakaondoka hospitalini kwa kutumia gari walilo kuwa wana mfukuzia dokta Boaz.
“Mama umemuliza kuhusiana na adui ambaye ana muhisi?”
“Nimemuuliza ila wapo wengi hata yeye hajui ni nani”
“Ila familia yenu bwana daaa”
“Mbengu za dhambi walizo wafanyia wengine ndio zimesha kuwa na kukomaa hivyo ni muda wa kuvuna walicho panda”
“Sasa kina waathiri hadi ninyi”
“Ndio hatuna namna zaidi ya kupambana na shida zetu
“Pole sana”
Wakafika nyumbani kwa mzee Chiko. Wakaelekea chumbani wote wakiwa wamechoka kwa heka heka walizo zipitia.
“Saa ngapi hapo mume wangu?”
“Kumi usiku”
“Tulale walau hadi saa mbili”
“Sio saa nne. Nimechoka”
James akavua nguo zake zote na akaingia bafuni na kuanza kuoga. Rose akamfwata.
“Mbona una niangalia hivyo?”
“Najaribu kuwaza mipango inayo fwata ya hao maadui”
“Jinsi watakavyo kuja ndivyo tutakavyo wapokea”
“Sawa mume wangu. Awaepushe upande wetu”
“Ata tuepushia”
Wakaendelea kuoga kisha kwa pamoja wakaelekea kitandani na kulala
***
Dokta Boaz akaendelea kujitengeneza muonekano wake wa sura ya bandia.
“Hapo nina onakenaje?”
“Hakuna ambaye ana weza kukufahamu”
“Na hichi kitambi”
“Hapo ni supa kabisa mshikaji wangu kama boss fulani wa serikali”
“Hahahaaaa”
Dokta Boaz akajitazama kwenye kioo jinsi alivyo badilika kwa kiasi kikubwa sana. Akageuza geuka huku akitazama kitambi kikubwa cha plastiki.
“Kaa nikupige picha nikutengenezee kitambulisho cha taifa”
“Poa”
Dokta Boaz akakaa kwenye eneo ambalo nyuma yake kuna kitambaa cha rangi ya blue. Akapigwa picha
“Huja weza kudukua kamera za hospitalini?”
“Usiku mzima nimekuwa nikijaribu ila haijawekezana.”
“James Tiger ndio sababu haya yote. Naye nina takiwa kumundoa kabla sijamfikia yule mwana mama”
“Nakumbuka uliniambia kuwa ana mke ambaye una hisi ni mwana usalama?”
“Ndio na sijui yule mwanamke ni nani?”
“Ina bidi upate picha yake”
“Sawa ita nipasa niende hospitalini nikaanze upelelezi”
“Ila mshikaji wangu una paswa kuwa makini”
“Usijali”
“Polisi na watakuwa aneo la hospitalini”
“Najua ila Polisi in wajinga tu kwangu”
“Haya”
Msichana akamtengenezee dokta Boaz kitambulisho cha taifa. Leseni ya udereva pamoja na kitambulisho cha bima ya afya.
“Nisajlie basi namba ya nida ya jina langu jipya”
“Poa”
“Ila Kipepeo mshikaji wnagu upo vizuri sana kwenye mambo ya IT”
“Asante. Ninacho kupendea wewe hunaga roho mbaya una nilipa pesa nzuri”
“Hahahaa”
“Ndio”
Kipepeo akaendelea kufanya kazi aliyo elekezwa.
“Hapo kazi kwako”
“Ngoja nielekeea hospitalini nita kufahamisha”
“Kuwa makini”
“Usijali”
Dokta Boaz akatoka nje akiwa na muonekano mpya kabisa na tofauti na ule alio ingia nao. Akatembea kwa mwendo wa kuchemea mithili ya mtu aliye pata ajali ya mguu mmoja. Akafika hadi nje ya geti la hospitalini. Akamlipa dereva bodaboda kiasi anacho mdai. Akawatazama wanaume wawili wanao piga stori.
‘Polisi wapo hadi nje ina maana hajaondolewa huyu’
Dokta Boaz alizungumza kimoyo moyo na kwa mwendo wake wa kuigiza akawapita askari hao walio valia sare. Akaendelea kuwapeleleza makachero wa polisi wa wanaume na wasichana. Akafika eneo la mapokezi huku akikoho kohoa.
“Habari yako”
“Salama karibu”
“Asante”
Akajikoholesha kidogo.
“Nahitaji kuonana na daktari”
“Specilist au wa kawaida?”
“Wa kawaida”
“Unatumia bima au cash”
“Bima”
“Sawa kaa kwenye foleni naomba bima yako”
Akamapatia nesi wa mapokezi bima.
“Chukua hapo kadi ya namba”
Akachukua kadi yenye namba hamsini na mbili. Akakakaa kwenye benchi linalo muwezesha kuona kila anaye ingia ndani ya hospitali, anaye ingi ana kutoka ndani ya lifti na anaye pandisha au kushuka ngazi za kuelekea gorofani. Akaiweka vizuri miwani yake aliyo ivaa.
“Leo kuna nini hapa hospitali?”
Mwana mamam aliye kaa mtu wa tatu kutoka alipo kaa alimuuliza mwenzake.
“Kwa nini?”
“Naona kuna walinzi wamevaa suti nyeusi”
“Labda kutakuwa na kiongozi amelazwa hapa”
“Kuna moto wa tajiri amelazwa”
“Mtoto wa tajiri”
“Ndio”
“Tajiri gani?”
“Tiger”
“Mmmmm. Ndio ulinzi wote huu”
“Si kiwanda chao cha sukari kimeungua labda wana chukua tahadhari”
Dokta Boaz akaendelea kutegea sikio lake vyema kuwasikilia wana mama hao. Akagundua miongoni mwa wagonjwa walio kaa kwenye foleni wapo makachero wa polisi.
‘Wajinga wemejipanga hawa’
Dokta Boaz akatoa simu mpya yenye line mpya mfukoni na akaanza kuperuzi katika mitandao ya kijamii. Rose na James wakashuka ndani ya gari. Chris akawafwata walipo simama kwenye gari.
“Karibuni”
“Asante kuna mpya gani?”
“Ulinzi umeimarishwa wa kutosha. Nasubiri timu nyingine ije ichukue zamu za walio kuwepo.”
“Sawa dogo amezinduka?”
“Hadi nina toka juu bado hajazinduka”
“Mmmm mbona kalala sana?”
“Sijui boss”
Mwanaume mmoja akawafwata walipo simama. Akampigia salute Rose.
“Kuna mpya gani?”
Rose alimuuliza mwanaume huyo. Akawatazama James na Chris.
“Zungumza tu”
“Wezetu jeshi la polisi limetupatia makachero ishirini wamesambaa tuna saidiana kufwatilia mienedo ya kila naaye ingia na aliyopo hapa hospitalini”
“Je kuna chochote mulicho gundua?”
“Hadi sasa hapana”
“Endeleani kuwa makini na kila mtu”
“Sawa boss”
“Sisi tupo ndani”
James alimuambia Chris”
“Sawa mkuu”
James akamshika mkono Rose na wakaingia ndani. Dokta Boaz akawaona na kwa haraka akaingia upande wa kamera ya simu yake na akawapiga picha James na Rose wanao elekea katika lifti kwa ajili ya kuelekea gorofani.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Dokta Boaz katika muonekano wake mpya ameshindwa kugundulika hadi na makachero wa jeshi la polisi pamoja na shirka la X na mpango wake ni kuhakikisha ana muua James na mkewe je ata fanikiwa? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 53.
 
Back
Top Bottom