Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 41

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Poa mwanangu baadae”
“Ngoja mama. Hivi umefanya haya maamuzi ukiwa sawa na utimamu kabisa kabisa au?”
“Ndio mbona hamuniamini jamani”
“Haya”
“Lazima wakwe zangu wajifunze biashara. Hamujaoa wanawake kuja kuwa wamama wa nyumbani, kuwapikia na kuwzalia. Lazima wajue kufanya biashara, wata warithisha watoto wenu. Kama baba yenu alivyo niwezesha mimi na toka mukiwa wadogo mulikuwa muna nishuhudia nikitoka kwa ajili ya kufanya biashara zote za familia. Hivyo warembo wangu hawa ni lazima wachakarike tu”
“Sawa mama nimekuelewa”
“Haya baadae”
Mrs Tiger akamrudishia Valentina simu yake.
‘Mrs Tiger umefanya kosa kubwa kuniweka kwenye kampuni yako. Kama una tarajia mimi niwe chanzo cha kukuongezea utajiri basi sahau kwani nita chukua hata hizo asilimia hamsini zako na hii kampuni itakuwa ni yangu kaa suburie huto amini mama’
Rose alizungumza kimoyo moyo huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu lililo jaa furaha ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kuelewa kilichomo ndani ya moyo wake.

ENDELEA
“Tuondokeni jamani”
Mrs Tiger alizungumza na akaondoka na wakwe zake pamoja na walinzi wao, wakaingia kwenye magari na kuondoka.
“Mama mkwe lini tuna anza kazi?”
Valentina aliuliza kwa shahuku akimtazama Mrs Tiger.
“Hata kesho muna weza kuanza vipenzi vyangu”
“Mimi mama nita omba nipumzike niweze kuisoma vizuri biashara kwani nikiwa kama kiongozi siwezi kwenda kuongoza kitu nisicho kijua”
“Sawa hakuna tatizo Rose chukua muda wako jifunze.”
“Nashukuru mama”
“Mimi nita anza kesho kwa maana nimechoka kukaa nyumbani bila ya kazi”
“Hakuna tatizo ni wewe tu”
Wakafika katika kiwanda kikubwa cha utengenezaji wa vipodozi vya kampuni ya Mrs Tiger. Wakaanza ziara ya kutembezwa na meneja wa kiwanda na kuonyeshwa kuanzia jinsi vipodozi vinavyo andaliwa hadi kutengenezwa na kukamilika.
“Kemikali zinazo tumika ni salama kwa afya ya watumiaji?”
Rose alimuuliza meneja wakitazama mchanganyiko wa mafuta ya kujipaka wanawake.
“Hapan hakuna mdhara boss kila kitu kina pimwa na kina wekwa kwa viwango visivyo na madhara”
Macho ya Mrs Tiger yote yapo kwa mmoja wa wafanyakazi anaye boksi za vipodozi vilivyo kuwa tayari.
“Endeleeni nina kuja”
Mrs Tiger alizungumza na akatoka eneo walipo na akaondoka na mlinzi wake mmoja.
“Kuna makampuni kadhaa ya utengenezaji wa peda zina lalamikiwa kuleta madhara ya saratani za shingo za uzazi za wanawake.Vipi hapa hamjapata malalamiko hayo?”
Rose aliendelea kuuliza maswali ya msingi.
“Kwa kweli bado hatujapata hizo changamoto. Ped zetu zina ubora wa hali ya kuu. Ubora ambao una tambulika kimataifa ndio maana zimekuwa zina weza kupenya katika masoko ya kimataifa na kufanya vizuri. Laiti kama tungekumbana na hizo changamoto sidhana kama hivi sasa tungekua hapa”
“Sawa”
Mrs Tiger akamfwata Dany aliye simama akimsubiria.
“Wewe una fanya nini hapa?”
Mrs Tiger aliuliza kwa mshangao.
“Nina fanya kazi hapa madam”
“Hapa kiwandani?”
“Ndio”
“Una muda gani?”
“Nina miezi nane”
“Nane?”
“Ndio”
“Tuzungumze”
Wakaingia kwenye moja ya ofisi isiyo na mtu na mlinzi wa Mrs Tiger akabaki nje ya ofisi.
“Mbona hukuwahi kuniambia kama una fanya kazi kiwandani?”
“Naomba unisamehe ila nilihisi kuwa nikikueleza kuhusiana nah ii kazi yangu labda una weza kuniacha”
Mrs Tiger akashusha pumzi taratibu.
“Sawa nita kupigia tukutane. Toka ile siku tulipo achana nimekuwa nina pitai changamoto kadhaa hivyo sikuweza kabisa kuwasilan ana wewe”
“Ohooo sawa. Wewe una fanya nini hapa kiwandani?”
“Kiwanda ni changu”
“Chako?”
“Ndio mimi ndio mmiliki wa hichi kiwanda?”
“Duuu mimi basi nina jua ni kiwanda cha muhindi?”
“Huyo muhindi nime muajiri ila kiwanda ni changu mimi”
“Waooo hongera sana mpenzi wangu umejitahidi sana.”
“Mambo madogo haya. Vipi mbo** yangu umesha mpa mwanamke mwengine”
“Toka ile siku sijawahi kutamani mwanamke mwengine kama ni kuitunza nimeitunza kwa ajili yako”
Mrs Tiger akazing’ata lips zake kimahaba.
“Una uhakika?”
“Naapia kwa jina la MUNGU wangu…..Sija mpatia yoyote utamu wako”
“Kama ni kweli nita jua tu”
“Niamini”
Mrs Tiger akafungua pochi yake na kutoa kibunda cha shilingi milioni moja na akampatia Dany kiasi hicho cha pesa.
“Acha kazi leo sitaki kukuona hapa kiwandani”
“Ila nita ishije mimi sijazoea kubweteka tu mpenzi”
“Pesa niliyo kupa mara ya mwisho umeifanyia nini?”
“Kuna kaujezi nina mjengea mama yangu. Hivyo niliweka pesa yote huko”
Mrs Tiger akamtazama Dany machoni na akagundua anacho kizungumza ni cha uhakika.
“Sawa kesho asubuhi tangulia kule tulipo kutana”
“Kesho asubuhi?”
“Ndio”
“Sawa mpenzi”
Dany akataka kumsogelea Mrs Tiger ili ambusu ila akamzuia.
“Kesho. Sitaki mashetani yangu yaamke hapa”
“Wale ulio ongozana nao ni kina nani?”
“Wakwe zangu. Wote wameolewa na wanangu”
“Ohooo sawa”
“Toka kesho asubuhi”
“Yaa saa ngapi?”
“Hata kama saa kumi mbili una weza kufika pale, wewe fika”
“Sawa mpenzi. Nashukuru kwa hiii pesa”
“Usijali nenda”
Dany akawa wa kwanza kutoka ndani ya ofisi. Kisha Mrs Tiger naye akatoka ofisini hapo.
“Samahani mkuu”
“Ulinza?”
“Huyu kijana ni nani?”
“Hupaswi kumjua”
Mrs Tiger akarudi katika ofisi aliyo waacha wakwe zake. Akawakuta wakiendelea kuzungumza na wataaalamu wa utengenezaji wa vipodozi. Rose ambaye ana onekana kuw ana maswali mengi akaendele akuuliza maswali ya kuhitaji kufujau mambo mengi hadi akaridhishwa na kile alicho taka kukifahamu.
‘Ana akili huyu binti sio kama huu Valentina kazi yake ni kucheka cheka tu. Muda wote akili yake inawaza kusagana tu’
Mrs Tiger alizungumza kimoyo moyo kwani toka amerudi ofisini hapo Valentina hajauliza swali lolote kila kincho ongelewa kwake ana ona ni sawa tu. Wakamaliza ziara yao kiwandani na wakaondoka kuianza safari ya kurudi nyumbani.
***
“Umemuacha wapi demu wako?”
James alimuuliza Jack.
“Hotelini. Nimetoka kwenda kuicheki moja ya nyumba hivi nataka kuinunua”
“Nyumba”
“Ndio. Icheki”
James akaichukua simu ya Jack na kuanza kuitazama nyumba ambayo Jack ana taka kuinunua.
“Ni jumba zuri. Lina kwenda kwa kiasi gani?”
“Wametaka dola milioni moja na laki tano”
“Parefu”
“Ndio ila pazuri sana bro”
“Usiniambie unataka kumunulia Vaileth”
“Ndio nataka kumnunulia yeye”
“Dogo vita unayo taka kuitegeneza ni kubwa umeifikiria ni wapi itamalizikia?”
Jack akashusha pumzi taratibu. Wakasitisha mazungumzo yao wakimtazama Sophia anaye kuja aneo walipo.
“Kaka zangu”
“Dada vipi?”
“Poa. Wakezenu bado hawjaarudi tu?”
“Bado. Vipi umepita kumcheki dingi?”
“Ndio nimetoka hapo. Daktari ana sema bado hali yake ni bila bila”
“Sijui kama ata toboa”
Jack alizungumza na wezake wakamtazama kwa mshangao.
“Ndio dingi ana saratani wote tuna jua saratani yake ina kwenda kumuondoa. Kaparalaizi una hisi hapo kuna kutoboa. Mimi kwa upande wangu nimesha jiandaa kuishi bila ya yeye”
“Mimi nilisha jiandaa kuishi bila wao kitambo sana”
Sophia alizungumza.
“Bro un aonaje tukawaambia madaktari wamchome sindano ya sumu ili afe”
“Kweli kaka. Dingi ana teseka tu”
“Kumuua baba ni kipengelea aisee”
“Sio tuna muua bro. Tuna mpumzisha. Sisi ndio wanaye tuna paswa kuamua alalae mazima au aendelee kuteseka na ma oxygen.”
“Tumpe miezi miwili”
“Kwa yote aliyo kufanyia bado una muonea huruma. Bro kweli wewe roho yako ya kizungu”
“Muna jua baba sio mtu hatari kwenye hii familia. Mtu hatari kwetu ni mama yetu muna shindwa kuiona hii picha na kueendelea kuwa hai kwa baba kuna sababisha mchakato wa utapeli wa mama kungojea ngojea”
“Mmmmm”
Sophia aliguna.
“Japo baba amekuambia wewe ndio mrithi wa mali hizi ila amekuambia kwa maneno ila bado hajatia sahihi kukurithisha mali zote na endapo leo mzee ana anguka na kufa mama ana kuwa msimamozi mkuu wa mali za mzee ambapo wewe utakuwa chini yake”
“Umeyajuaje hayo kaka?”
“Jana nilikuwa nimedukua barua pepe ya mzee. Nikakutana na hii email iliyo tumwa miaka kumi na tano kwenda kwa wana sheria wakuu”
James akawaonyesha wadogo zake barua pepe hiyo.
“Nimejaribu kufwatilia ili nitambue kama kuna madiliko yoyote ambayo baba aliyafanya juu ya msiamamo wake huu hakuna so ile wewe ndio mrithi wa maliz za familia ni mali kauli”
“Mama na jua hii?”
Jack aliuliza.
“Sidhani kwa manaa endapo kama mama angesha jua. Sasa hivi kungekuwa na msiba hapa nyumbani.”
James alizungumza na kumfanya Jack kushusha pumzi taratibu.
“Ata kuwa amejua nini kwa mana akama kaaamua kuwapa wake zenu asilimi ishirini na tano za umiliki wake wa kiwanda, usikute ndio ana watoa kwenye mali za ukoo bila ya nyinyi kujua”
Sophia alizungumza.
“Kwa maana imekuwa ni gafla tu kwa yeye kuwapa hizo mali”
James na Jack wakatafakari.
“Unajua hili jambo lina fikirisha kweli. Mke wanguana asilimi aishirini na tano mkeo bro ana asilimi ishirini na tano. Hii ina ogopesha kwa kweli”
“Kuna jambo moja mimi nina liwaza”
“Jambo gani?”
“Ni kama ana taka kumtumia Rose katka kukuza biashara zake”
“Wifi Rose?”
“Ndio sote tuna jua kuwa Rose kwa sasa ndio mmiliki wa makampuni yao ndani ya miezi kipindi kifupi amefanikiwa kusafisha uchafu mwingi katika katika kampuni zao na hivi sasa zina zidi kukua. Naona mama kashaaona Rose ana kwenda kumtengenezea kampini yake na kuvuka viwango vya juu. Hilo ndio ninalo liona kwa haraka haraka”
“Acha tuone ila tuwe makini bro”
“Ndio maana yake.”
James akatoa simu yake mfukoni iliyo ingia ujumbe wa meseji.
“Nakuja”
“Kwema?”
“Ndio kuna notification ya mambo yangu ya kazi imeingia ngoja nikaishuhulikie”
James akaondoka eneo waliko kaa na kuelekea chumbani kwake.
“Dogo chaguo lililo baki ni kumuombea dingi apate walau nafuu urithi hizi mali”
“Ngoja wewe hutaki urithi wa hizi mali?”
“Nimeridhika na maisha yangu. Bishara zangu pia zina nitunza mimi na mwanangu. Kwani toka nilipo zaa na baba wa mwanangu una jua fika kuwa baba na mama ni kama walinitelekeza”
“Naelewa”
“Yaah hivyo nimeridhika”
Jack akampatia Sophia picha.
“Vipi huyo nyumba una ionaje?”
Sophia akatazama picha kumi za nyumba.
“Ni nzuri. Umejenga?”
“Nataka kuinunua”
“Una enda kuishi huko na mkeo au?”
“Hapana”
“Sasa ya nini?”
“Nataka kumunulia Vaileth”
“Vaileth gani?”
“Shemeji yangu”
“Shemeji yako una mnunulia jumba hilo la kifahari kwa nini?”
“Kwa sababu nina mpenda”
“Nini?”
“Ndio nina mpenda Vaileth na una jua hilo”
“Ila Jack una wezaje kumpenda mtu na mdogo wake huoni kama una weza kumchanganya Valentina mtoto wa watu”
“Valentina nikamchanganya?”
“Ndio”
“Mimi na yeye nani ana mchanganya mwenzake”
“Una maanisha nini kusema hivyo?”
Jack akatabasamu.
“Sister najua kinacho endelea kati yako wewe na mke wangu.”
Sophia akatokwa na macho ya mshangao huku mwili ukianza kumtetemeka.
“Najua kuwa Valentina ni demu wako kabla hata sija muoa. Najua munacho kifanya na huwa muna hisi kama sijui kuwa ninyi muna sagana.”
Sophia woga ukazidi kumjaa kwani akili ya mdogo wake Jack ana ifahamu vizuri ni mtu mwenye maamuzi magumu sana na mara kadhaa amemshuhudia Jack akiua watu walio mkosea kitendo kinacho mfanya amuogope sana mdog wake.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack ameamua kumueleza ukweli dada yake, ukweli unao muogopesha sana Sophia je ni kitu gani ambacho kitatokea kati ya dada mtu na mdogo mtu? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 42.
 
1. Jack anakata kichwa cha dada yake
2. James kapata ujumbe mama yao anaenda kugawa tunda la mzee
3. Sophia kapata chance uhuru wa kulana na wifi yake Valentina.
4. Dogo Juma baada ya kumla mrs Tigger ujenzi wa nyumba ya mama yake ukamalizika na yeye akapewa kiwanja.

#ni makadirio yangu tuu for the next season
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 41

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Poa mwanangu baadae”
“Ngoja mama. Hivi umefanya haya maamuzi ukiwa sawa na utimamu kabisa kabisa au?”
“Ndio mbona hamuniamini jamani”
“Haya”
“Lazima wakwe zangu wajifunze biashara. Hamujaoa wanawake kuja kuwa wamama wa nyumbani, kuwapikia na kuwzalia. Lazima wajue kufanya biashara, wata warithisha watoto wenu. Kama baba yenu alivyo niwezesha mimi na toka mukiwa wadogo mulikuwa muna nishuhudia nikitoka kwa ajili ya kufanya biashara zote za familia. Hivyo warembo wangu hawa ni lazima wachakarike tu”
“Sawa mama nimekuelewa”
“Haya baadae”
Mrs Tiger akamrudishia Valentina simu yake.
‘Mrs Tiger umefanya kosa kubwa kuniweka kwenye kampuni yako. Kama una tarajia mimi niwe chanzo cha kukuongezea utajiri basi sahau kwani nita chukua hata hizo asilimia hamsini zako na hii kampuni itakuwa ni yangu kaa suburie huto amini mama’
Rose alizungumza kimoyo moyo huku uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu lililo jaa furaha ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kuelewa kilichomo ndani ya moyo wake.

ENDELEA
“Tuondokeni jamani”
Mrs Tiger alizungumza na akaondoka na wakwe zake pamoja na walinzi wao, wakaingia kwenye magari na kuondoka.
“Mama mkwe lini tuna anza kazi?”
Valentina aliuliza kwa shahuku akimtazama Mrs Tiger.
“Hata kesho muna weza kuanza vipenzi vyangu”
“Mimi mama nita omba nipumzike niweze kuisoma vizuri biashara kwani nikiwa kama kiongozi siwezi kwenda kuongoza kitu nisicho kijua”
“Sawa hakuna tatizo Rose chukua muda wako jifunze.”
“Nashukuru mama”
“Mimi nita anza kesho kwa maana nimechoka kukaa nyumbani bila ya kazi”
“Hakuna tatizo ni wewe tu”
Wakafika katika kiwanda kikubwa cha utengenezaji wa vipodozi vya kampuni ya Mrs Tiger. Wakaanza ziara ya kutembezwa na meneja wa kiwanda na kuonyeshwa kuanzia jinsi vipodozi vinavyo andaliwa hadi kutengenezwa na kukamilika.
“Kemikali zinazo tumika ni salama kwa afya ya watumiaji?”
Rose alimuuliza meneja wakitazama mchanganyiko wa mafuta ya kujipaka wanawake.
“Hapan hakuna mdhara boss kila kitu kina pimwa na kina wekwa kwa viwango visivyo na madhara”
Macho ya Mrs Tiger yote yapo kwa mmoja wa wafanyakazi anaye boksi za vipodozi vilivyo kuwa tayari.
“Endeleeni nina kuja”
Mrs Tiger alizungumza na akatoka eneo walipo na akaondoka na mlinzi wake mmoja.
“Kuna makampuni kadhaa ya utengenezaji wa peda zina lalamikiwa kuleta madhara ya saratani za shingo za uzazi za wanawake.Vipi hapa hamjapata malalamiko hayo?”
Rose aliendelea kuuliza maswali ya msingi.
“Kwa kweli bado hatujapata hizo changamoto. Ped zetu zina ubora wa hali ya kuu. Ubora ambao una tambulika kimataifa ndio maana zimekuwa zina weza kupenya katika masoko ya kimataifa na kufanya vizuri. Laiti kama tungekumbana na hizo changamoto sidhana kama hivi sasa tungekua hapa”
“Sawa”
Mrs Tiger akamfwata Dany aliye simama akimsubiria.
“Wewe una fanya nini hapa?”
Mrs Tiger aliuliza kwa mshangao.
“Nina fanya kazi hapa madam”
“Hapa kiwandani?”
“Ndio”
“Una muda gani?”
“Nina miezi nane”
“Nane?”
“Ndio”
“Tuzungumze”
Wakaingia kwenye moja ya ofisi isiyo na mtu na mlinzi wa Mrs Tiger akabaki nje ya ofisi.
“Mbona hukuwahi kuniambia kama una fanya kazi kiwandani?”
“Naomba unisamehe ila nilihisi kuwa nikikueleza kuhusiana nah ii kazi yangu labda una weza kuniacha”
Mrs Tiger akashusha pumzi taratibu.
“Sawa nita kupigia tukutane. Toka ile siku tulipo achana nimekuwa nina pitai changamoto kadhaa hivyo sikuweza kabisa kuwasilan ana wewe”
“Ohooo sawa. Wewe una fanya nini hapa kiwandani?”
“Kiwanda ni changu”
“Chako?”
“Ndio mimi ndio mmiliki wa hichi kiwanda?”
“Duuu mimi basi nina jua ni kiwanda cha muhindi?”
“Huyo muhindi nime muajiri ila kiwanda ni changu mimi”
“Waooo hongera sana mpenzi wangu umejitahidi sana.”
“Mambo madogo haya. Vipi mbo** yangu umesha mpa mwanamke mwengine”
“Toka ile siku sijawahi kutamani mwanamke mwengine kama ni kuitunza nimeitunza kwa ajili yako”
Mrs Tiger akazing’ata lips zake kimahaba.
“Una uhakika?”
“Naapia kwa jina la MUNGU wangu…..Sija mpatia yoyote utamu wako”
“Kama ni kweli nita jua tu”
“Niamini”
Mrs Tiger akafungua pochi yake na kutoa kibunda cha shilingi milioni moja na akampatia Dany kiasi hicho cha pesa.
“Acha kazi leo sitaki kukuona hapa kiwandani”
“Ila nita ishije mimi sijazoea kubweteka tu mpenzi”
“Pesa niliyo kupa mara ya mwisho umeifanyia nini?”
“Kuna kaujezi nina mjengea mama yangu. Hivyo niliweka pesa yote huko”
Mrs Tiger akamtazama Dany machoni na akagundua anacho kizungumza ni cha uhakika.
“Sawa kesho asubuhi tangulia kule tulipo kutana”
“Kesho asubuhi?”
“Ndio”
“Sawa mpenzi”
Dany akataka kumsogelea Mrs Tiger ili ambusu ila akamzuia.
“Kesho. Sitaki mashetani yangu yaamke hapa”
“Wale ulio ongozana nao ni kina nani?”
“Wakwe zangu. Wote wameolewa na wanangu”
“Ohooo sawa”
“Toka kesho asubuhi”
“Yaa saa ngapi?”
“Hata kama saa kumi mbili una weza kufika pale, wewe fika”
“Sawa mpenzi. Nashukuru kwa hiii pesa”
“Usijali nenda”
Dany akawa wa kwanza kutoka ndani ya ofisi. Kisha Mrs Tiger naye akatoka ofisini hapo.
“Samahani mkuu”
“Ulinza?”
“Huyu kijana ni nani?”
“Hupaswi kumjua”
Mrs Tiger akarudi katika ofisi aliyo waacha wakwe zake. Akawakuta wakiendelea kuzungumza na wataaalamu wa utengenezaji wa vipodozi. Rose ambaye ana onekana kuw ana maswali mengi akaendele akuuliza maswali ya kuhitaji kufujau mambo mengi hadi akaridhishwa na kile alicho taka kukifahamu.
‘Ana akili huyu binti sio kama huu Valentina kazi yake ni kucheka cheka tu. Muda wote akili yake inawaza kusagana tu’
Mrs Tiger alizungumza kimoyo moyo kwani toka amerudi ofisini hapo Valentina hajauliza swali lolote kila kincho ongelewa kwake ana ona ni sawa tu. Wakamaliza ziara yao kiwandani na wakaondoka kuianza safari ya kurudi nyumbani.
***
“Umemuacha wapi demu wako?”
James alimuuliza Jack.
“Hotelini. Nimetoka kwenda kuicheki moja ya nyumba hivi nataka kuinunua”
“Nyumba”
“Ndio. Icheki”
James akaichukua simu ya Jack na kuanza kuitazama nyumba ambayo Jack ana taka kuinunua.
“Ni jumba zuri. Lina kwenda kwa kiasi gani?”
“Wametaka dola milioni moja na laki tano”
“Parefu”
“Ndio ila pazuri sana bro”
“Usiniambie unataka kumunulia Vaileth”
“Ndio nataka kumnunulia yeye”
“Dogo vita unayo taka kuitegeneza ni kubwa umeifikiria ni wapi itamalizikia?”
Jack akashusha pumzi taratibu. Wakasitisha mazungumzo yao wakimtazama Sophia anaye kuja aneo walipo.
“Kaka zangu”
“Dada vipi?”
“Poa. Wakezenu bado hawjaarudi tu?”
“Bado. Vipi umepita kumcheki dingi?”
“Ndio nimetoka hapo. Daktari ana sema bado hali yake ni bila bila”
“Sijui kama ata toboa”
Jack alizungumza na wezake wakamtazama kwa mshangao.
“Ndio dingi ana saratani wote tuna jua saratani yake ina kwenda kumuondoa. Kaparalaizi una hisi hapo kuna kutoboa. Mimi kwa upande wangu nimesha jiandaa kuishi bila ya yeye”
“Mimi nilisha jiandaa kuishi bila wao kitambo sana”
Sophia alizungumza.
“Bro un aonaje tukawaambia madaktari wamchome sindano ya sumu ili afe”
“Kweli kaka. Dingi ana teseka tu”
“Kumuua baba ni kipengelea aisee”
“Sio tuna muua bro. Tuna mpumzisha. Sisi ndio wanaye tuna paswa kuamua alalae mazima au aendelee kuteseka na ma oxygen.”
“Tumpe miezi miwili”
“Kwa yote aliyo kufanyia bado una muonea huruma. Bro kweli wewe roho yako ya kizungu”
“Muna jua baba sio mtu hatari kwenye hii familia. Mtu hatari kwetu ni mama yetu muna shindwa kuiona hii picha na kueendelea kuwa hai kwa baba kuna sababisha mchakato wa utapeli wa mama kungojea ngojea”
“Mmmmm”
Sophia aliguna.
“Japo baba amekuambia wewe ndio mrithi wa mali hizi ila amekuambia kwa maneno ila bado hajatia sahihi kukurithisha mali zote na endapo leo mzee ana anguka na kufa mama ana kuwa msimamozi mkuu wa mali za mzee ambapo wewe utakuwa chini yake”
“Umeyajuaje hayo kaka?”
“Jana nilikuwa nimedukua barua pepe ya mzee. Nikakutana na hii email iliyo tumwa miaka kumi na tano kwenda kwa wana sheria wakuu”
James akawaonyesha wadogo zake barua pepe hiyo.
“Nimejaribu kufwatilia ili nitambue kama kuna madiliko yoyote ambayo baba aliyafanya juu ya msiamamo wake huu hakuna so ile wewe ndio mrithi wa maliz za familia ni mali kauli”
“Mama na jua hii?”
Jack aliuliza.
“Sidhani kwa manaa endapo kama mama angesha jua. Sasa hivi kungekuwa na msiba hapa nyumbani.”
James alizungumza na kumfanya Jack kushusha pumzi taratibu.
“Ata kuwa amejua nini kwa mana akama kaaamua kuwapa wake zenu asilimi ishirini na tano za umiliki wake wa kiwanda, usikute ndio ana watoa kwenye mali za ukoo bila ya nyinyi kujua”
Sophia alizungumza.
“Kwa maana imekuwa ni gafla tu kwa yeye kuwapa hizo mali”
James na Jack wakatafakari.
“Unajua hili jambo lina fikirisha kweli. Mke wanguana asilimi aishirini na tano mkeo bro ana asilimi ishirini na tano. Hii ina ogopesha kwa kweli”
“Kuna jambo moja mimi nina liwaza”
“Jambo gani?”
“Ni kama ana taka kumtumia Rose katka kukuza biashara zake”
“Wifi Rose?”
“Ndio sote tuna jua kuwa Rose kwa sasa ndio mmiliki wa makampuni yao ndani ya miezi kipindi kifupi amefanikiwa kusafisha uchafu mwingi katika katika kampuni zao na hivi sasa zina zidi kukua. Naona mama kashaaona Rose ana kwenda kumtengenezea kampini yake na kuvuka viwango vya juu. Hilo ndio ninalo liona kwa haraka haraka”
“Acha tuone ila tuwe makini bro”
“Ndio maana yake.”
James akatoa simu yake mfukoni iliyo ingia ujumbe wa meseji.
“Nakuja”
“Kwema?”
“Ndio kuna notification ya mambo yangu ya kazi imeingia ngoja nikaishuhulikie”
James akaondoka eneo waliko kaa na kuelekea chumbani kwake.
“Dogo chaguo lililo baki ni kumuombea dingi apate walau nafuu urithi hizi mali”
“Ngoja wewe hutaki urithi wa hizi mali?”
“Nimeridhika na maisha yangu. Bishara zangu pia zina nitunza mimi na mwanangu. Kwani toka nilipo zaa na baba wa mwanangu una jua fika kuwa baba na mama ni kama walinitelekeza”
“Naelewa”
“Yaah hivyo nimeridhika”
Jack akampatia Sophia picha.
“Vipi huyo nyumba una ionaje?”
Sophia akatazama picha kumi za nyumba.
“Ni nzuri. Umejenga?”
“Nataka kuinunua”
“Una enda kuishi huko na mkeo au?”
“Hapana”
“Sasa ya nini?”
“Nataka kumunulia Vaileth”
“Vaileth gani?”
“Shemeji yangu”
“Shemeji yako una mnunulia jumba hilo la kifahari kwa nini?”
“Kwa sababu nina mpenda”
“Nini?”
“Ndio nina mpenda Vaileth na una jua hilo”
“Ila Jack una wezaje kumpenda mtu na mdogo wake huoni kama una weza kumchanganya Valentina mtoto wa watu”
“Valentina nikamchanganya?”
“Ndio”
“Mimi na yeye nani ana mchanganya mwenzake”
“Una maanisha nini kusema hivyo?”
Jack akatabasamu.
“Sister najua kinacho endelea kati yako wewe na mke wangu.”
Sophia akatokwa na macho ya mshangao huku mwili ukianza kumtetemeka.
“Najua kuwa Valentina ni demu wako kabla hata sija muoa. Najua munacho kifanya na huwa muna hisi kama sijui kuwa ninyi muna sagana.”
Sophia woga ukazidi kumjaa kwani akili ya mdogo wake Jack ana ifahamu vizuri ni mtu mwenye maamuzi magumu sana na mara kadhaa amemshuhudia Jack akiua watu walio mkosea kitendo kinacho mfanya amuogope sana mdog wake.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack ameamua kumueleza ukweli dada yake, ukweli unao muogopesha sana Sophia je ni kitu gani ambacho kitatokea kati ya dada mtu na mdogo mtu? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 42.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 42

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Kwa sababu nina mpenda”
“Nini?”
“Ndio nina mpenda Vaileth na una jua hilo”
“Ila Jack una wezaje kumpenda mtu na mdogo wake huoni kama una weza kumchanganya Valentina mtoto wa watu”
“Valentina nikamchanganya?”
“Ndio”
“Mimi na yeye nani ana mchanganya mwenzake”
“Una maanisha nini kusema hivyo?”
Jack akatabasamu.
“Sister najua kinacho endelea kati yako wewe na mke wangu.”
Sophia akatokwa na macho ya mshangao huku mwili ukianza kumtetemeka.
“Najua kuwa Valentina ni demu wako kabla hata sija muoa. Najua munacho kifanya na huwa muna hisi kama sijui kuwa ninyi muna sagana.”
Sophia woga ukazidi kumjaa kwani akili ya mdogo wake Jack ana ifahamu vizuri ni mtu mwenye maamuzi magumu sana na mara kadhaa amemshuhudia Jack akiua watu walio mkosea kitendo kinacho mfanya amuogope sana mdogo wake.

ENDELEA
“Nimekuambia hilo kwa sababu nina hitaji unisaidie jambo moja sister?”
Sophia akazidi kujawa na woga.
“Usiogope bwana najua nimemuoa demu wako. Mimi nimetokea kumpenda mdogo wake nisaidie kumtuliza Rose.”
“Mmmm”
“Niamini ninacho kizungumza nina maanisha. Na nina lengo la kumuoa mdogo wake”
“Mdogo wake?”
“Ndio”
“Kwa nini ikiwa Vaileth ni mwanamke…..”
“Sister hembu acha uswahili, fanya hicho kitu sawa”
“Nitajitahidi”
“Sio utajitahidi nataka ufanye mtulize mtu wako. Nataka ku relax an Vaileth”
“Nimuambie kwamba umejua ukweli?”
“Usimuambie”
“Kwa nini sasa?”
“Ukimuambia ukweli ata umia na kushindwa kuishi na mimi”
“Sasa kwa nini umemuao ikiwa una tambua nina mahusiano naye?”
“Kwa sababu toka nimekuwa naye, mambo yangu yana niendea vyema.”
“Nini?”
“Ndio Valentina ana nyota nzuri sana kwangu na hicho ndio kichochea kimoja wapo kilicho nifanya nimuoe japo pia nina mpenda.”
“Mmmm”
“Usija ukaja kumuambia haya mazungumzo tuta gombana”
“Usijali”
“Endeleeni kufanya mambo yenu kwa kificho sitaki mambo ya kutiana aibu”
“Sawa”
Jack akaondoka na kuelekea katika chumba alicho lazwa baba yake. Akamkuta daktari mmoja akiwa ana endelea kuifwatilia kwa karibu afya ya mzee Tiger.
“Karibu sana boss”
“Nashukuru. Vipi ana endeleaje mzee?”
“Hali yake toka tumefanyia upasuaji ipo vile vile”
“Kuwa muwazi daktari, mzee ata pona?”
“Kusema ukweli kila kitu ni cha kumuomba MUNGU kwani MUNGU pekee yeye ndio mwenye uwezo wa kumrudisha au kumchukua ila kwa upande wetu sisi kama madaktari tumefanya kila kitu kwa ufasaha wa hali ya juu”
Jack akakaa kimya kwa sekunde kadhaa.
“Na mumeweza kuidhibiti saratani yake?”
“Tuna endelea kumchoma sindano alizo kuwa ana chomwa kabala hajakutwa na hili tatizo”
“Sawa. Upo toka muda gani?”
“Nimempokea zamu mwenzangu mchana huu hivyo nita kaa hadi saa nne usiku kisha ata kuja kuchukua zamu mwezangu mwengine kwani ndio utaratibu ambao timejipangia”
“Sawa”
Jack akatoa simu yake na akampiga picha kadhaa baba yake akiwa ana pumulia mashine. Akatoka chumbani hapo, akaituma picha hiyo kwa mwasheria mkuu wa makampuni ya Tiger kisha akampigia.
“Boss”
“Hali ya baba kwa sasa ipo hivyo. Itisha kikao cha wakurugenzi wote wa makampuni nina kikao nao”
“Sawa mkuu”
“Saa kumi kita fanyika ofisini”
“Sawa mkuu”
“Picha niliyo kutumia usiitume kwa mtu yoyote”
“Sawa”
Jery akaelekea chumbani kwa kaka James.
“Nilitaka kukupigia nimetumiwa meseji uwepo wa kikao saa kumi?”
“Ndio bro ni lazima wakurugenzi wote wafahamu hali ya baba kisije kikatokea cha kutokea na mwisho wa siku tukalaumiana”
“Hiyo ndio ajenda kubwa?”
“Ndio bro”
“Sawa. Kumbe sikutolewa kwenye orodha ya wakurugenzi?”
“Naami. Jambo jengine nime mueleza ukweli sister”
“Ukweli gani?”
“Wahusiano yake na mke wangu”
“Ehee amesemaje?”
“Hana cha kusema zaidi ya kuogopa ogoa ila nimemuambia amtulize Valentina ili mimi nipate nafasi ya kuwa na Vaileth”
“Mimi sina neno kwenye hili ili mradi sasa hivi nimekuwa mume wa mtu maisha yangu yana endelea”
Mlango ukafunguliwa.
“Shem”
Jack alizungumza akimtazama akimtazama Rose anaye ingia chumbani hapo.
“Shem za kwako?”
“Salama kabisa shem. Safari yenu imekwendaje?”
“Tumekwenda salama na tumerudi salama”
“Ohoo sawa. Ngoja niwapishe”
Jack akatoa chumbani kwa James. Rose akambusu mumewe mdomoni.
“Vipi?”
“Safi tu mume wangu”
“Mbona uso wako una onekana hauna furaha”
Rose akamtazama Rose kwa sekunde kadhaa.
“Una jua siwezi kukuficha jambo mume wangu”
“Ehee niambie nini shida”
James alizungumza akimshika Rose kiuno.
“Leo asubuhi tulielekea mbugani”
“Kwenye bunga ya wanayama?”
“Ndio. Tulipo toka mazoezi na Vai tukaenda huko. Kusema kweli niemfika kwenye bwawa ambalo gps iliyo pandikizwa ndani ya mwili wa baba ilionekana hapo. Bwana hilo lina mamba ina maanisha kuwa baba yangu……”
Rose akashindwa kujizua na akaanza kulia. Taratibu James akamkumbatia mke wake anaye endelea kulia.
“James nashindwa kukaa hapa kwenu. Napata uchungu, kila nikisema niigize kufurahia hilo nashindwa nashindwa kabisa”
“Naelewa mke wangu”
“Niambie baba yangu na kaka zangu walitupwa kama mizogo kwenye lile bwawa?”
“Sijui mke wangu kwani sija husika kwenye hilo tukio. Maisha yangu yalikuwa ni yangu mimi, sikuwahi kuhusika katika uovu wa aina hiyo”
“Sawa. Naomba uniruhusu niende nyumbani. Kama uta hitaji kuendelea kukaa hapa uendelee kama utataka kuja nyumbani naomba uje”
“Rose”
“James vaa viatu vyangu basi”
“Nakuelewa mke wangu. Naomba unisubirie hadi nitakapo toka kwenye kikao jioni”
“No naomba niende nyumbani. Sitaki kugombana na yoyote. Mimi ni binadamu ila unapo kuwa una waona wahusika walio husika na mauaji ya wazazi na ndugu zako ukwia una cheka nao una hisi ni jinsi gani unavyo weza kuzuia hasira yako?”
“Nimekuelewa. Naomba nikupeleke tafadhali”
“Sawa”
“Umemuaga mama?”
“Sijamuaga. Tuondoke tu”
“Sawa. Ngoja nichukue funguo ya gari”
James akachukua funguo ya moja ya gari lake na wakaondoka nyumbani kwao bila ya kumuaga mtu yoyote.
***
“Siamini mume wangu kama nimekuwa na mimi mkurugenzi wa kampuni ya mama”
Valentina alizungumza akiwa amejifunga taulo akitoka bafuni kuoga.
“Hongera”
“Asante sana mume wangu. Yaani nita fanya kazi kwa bidii kuhakikisha kampuni ina kuwa”
“Tuachane na mambo ya kamapuni. Nataka unizalie”
“Mume wangu si tumepanga tuta zaa baada ya mwaka”
“Ndio ila nimeghairi nenda katoe hicho kitanzi chako”
“Ila mume wangu bwana akili yangu ilisha jipanga katika kufnaya kazi. Ssa hivi kuingia kwenye uzazi ni kitu ambacho sikihitaji kwa sasa?”
“Kwa hiyo tumeaona ili iweje Valentina?”
“Tuwe mume na mke na baadae kama tulivyo panga tuwe na watoto wetu na familia ya furaha.”
“Nataka mtoto. Usha ona mambo yanavyo kwenda ndani ya familia yetu. Mambo yana ingiliana hivyo kesho nenda hospitalini ukatoe hicho kitanzi full stop”
Valentina akamtazama Jack kwa sekunde thelathini.
“Hapana sitoi”
“Nini?”
“Sitoi kitanzani hadi mwaka mmoja uishe kama tulivyo panga. Kwa sasa nataka nitimize malengo yangu Jack. Una malengo yako na mimi pia nina malengo yangu. Siwezi kutoa kitanzi”
Jack akamsogelea Valentina sehemu alipo simama.
“Kesho asubuhi, katoe kitanzi. Sio ombi ila ni amri”
Jack akatoka chumbani na kumfanya Valentina kupigwa na bumbuwazi.
“Amepatwa na nini?”
Valentina alijiuliza na kukosa majibu.
“Jack Jack”
Jack akasimam ana kugeuka, mama yake akamfwata alipo simama.
“Nimeona kuna kikao cha wakurugenzi kuna nini?”
“Nimekiitisha kikao kwa ajili ya kuwaeleza kuhusiana na hali ya mzee?”
“Ndio kifanyike ofisini kwa nini wasije hapa nyumbani?”
“Sawa”
“Waje hapa wamuone kwa macho.”
“Sawa mama. Halafu”
“Ehee”
“Muambie mkweo akatoe kitanzi nataka anizalie”
“Ana kitanzi!?”
“Ndio uzungumze naye”
“Yupo wapi?”
“Chumbani kwangu”
Mrs Tiger akaelekea chumbani kwa Jack na akamkuta Valentuna akiwa na chupi.
“Mamaaa”
“Vaa”
Valentina akavaa suruali aliyo panga kuvaa.
“Ahaa kuna nini mama?”
“Nimekutana na Jack kwenye kordo. Imekuwaje umeolewa ukiwa umekifunga kizazi chako”
“Mama. Makubaliano ya kufunga kizazi yalikuwa ni yangu na Jack. Aliniambia kuwa kwa mwaka mmoja wa ndoa tuishi bila ya kuwa na watoto tufurahie ndoa yetu ila leo ana kuja na kuniambia ana taka nitoe kijiti nimemuambia akili yangu kwa sasa ina waza kufanya kazi kwa nini ana taka nizae ikiwa tulisha kubaliana”
Mrs Tiger akashusha pumzi akimtazama Valentina.
“Mama umenipa majukumu ambayo yana hitaji utulivu. Yana taka niwe msikivu kuhakikisha kwamba nina fikia malengo niliyo yawaza akilini mwangu. Nita fanikishaje malengo yangu ikiwa nina mimba”
“Naomba mwaka huu mmoja tu nifanye malengo yangu mama kisha baada ya hapo nita mzalia watoto awatakao. Tafadhali mama mkwe naomba na mimi nionyeshe uwezo wangu”
“Sawa nimekuelewa. Nita zungumza naye muishi kwenye makubaliano yenu”
“Asante mama mkwe”
Mrs Tiger akatoka chumbani kwa Jack akagonga mlango wa chumba cha James ila hakuitikiwa, akaingia ndani na hapakuwa na mtu.
“Wamekwenda wapi hawa?”
Mrs Tiger akatoka nje.
“Mumemuona James na mkewe?”
“Ndio boss walitoka kama dakika kumi na tano zilizo pita”
“Sawa”
Mrs Tiger akarudi ndani akielekea katika chumba alicho lazwa mume wake na akasalimiana na daktari alie mkuta na akapewa ripoti ya maendeleo ya msaa kadhaa aliyo muacha mumewe.
***
James akasimamisha gari mbele ya nyumba ya mzee Chiko. Rose akajifuta machozi kwani njia nzima amekuwa ni mtu anaye bubujikwa na machozi. Akamtazama James, akatabasamu kisha akashusha ndani ya gari. James naye akashuka ndani ya gari. Wakasalimisha na wafanyakazi wa nyumba ya mzee Chiko, kisha wakaongozana hadi chumbani. James katazama meseji aliyo tumiwa na mwanasheria mkuu wa makampuni kuwa eneo la kikao ni nyumbani kwa mzee Tiger.
“Eneo la kikao linebadilishwa”
“Ni wapi?”
“Nyumbani kwa mzee”
“Sawa nenda tu mume wangu”
“Nitakwenda ila haupo sawa”
“Naomba nilale mume wangu. Kichwa changu kimekuwa kizito sana kwa siku ya leo”
“Sawa. Baadae nitarudi”
“Ukiwa una toka unijulishe”
“Sawa”
James akambusu Rose mdomoni kisha akaondoka nyumbani kwa mzee Chiko. Anko Ally akaingia chumbani kwa Rose.
“Anko”
“Una tatizo gani. Macho yako yamevimba japo ulijitahidi kutuongopea una furaha ila mimi nina kujau vizuri Rose una tatizo gani?”
Rose akamuelezea anko Ally juu bwawa la mamba ambalo ana uhakika ndipo miili ya kaka zake na baba yake ilitupwa.
“Umeolewa na familia ya watu makatili sana walio kuulia baba yako na kaka zako. Utafanya nini?”
“Nataka walipie kwa vifo vya wazazi wangu. Nita hakikisha na wao wana liwa na mamba walio wafuga wao wenyewe. Subiri uone ila kwa sasa ni lazima kila wanacho kimiliki kiwe changu. Hiyo ndio ahadi ninayo kupa anko na mama, baba na kaka zangu huko walipo wata niunga mkono na watakuwa na mimi kwenye haya mapambano.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kwa nini Jack amebadilisha mawazo na ana taka mtoto kwa haraka kutoka kwa Valentina? Rose aa jiapiza kuwaua wana familia ya Tiger na miili yao waliwe na mamba wanao wafuga je ata fanikiwa? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 43.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 43


KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Ukiwa una toka unijulishe”
“Sawa”
James akambusu Rose mdomoni kisha akaondoka nyumbani kwa mzee Chiko. Anko Ally akaingia chumbani kwa Rose.
“Anko”
“Una tatizo gani. Macho yako yamevimba japo ulijitahidi kutuongopea una furaha ila mimi nina kujau vizuri Rose una tatizo gani?”
Rose akamuelezea anko Ally juu bwawa la mamba ambalo ana uhakika ndipo miili ya kaka zake na baba yake ilitupwa.
“Umeolewa na familia ya watu makatili sana walio kuulia baba yako na kaka zako. Utafanya nini?”
“Nataka walipie kwa vifo vya wazazi wangu. Nita hakikisha na wao wana liwa na mamba walio wafuga wao wenyewe. Subiri uone ila kwa sasa ni lazima kila wanacho kimiliki kiwe changu. Hiyo ndio ahadi ninayo kupa anko na mama, baba na kaka zangu huko walipo wata niunga mkono na watakuwa na mimi kwenye haya mapambano.
ENDELEA
Anko Ally akamkumbatia Rose anaye lia kwa uchungu na ikamlazimu kumbembeleza hadi akakaa sawa. Rose akamuelezea anko Ally asilimia ishirini na tano alizo pewa katika kampuni ya Mrs Tiger
“Mbona imekuwa galfa sana?”
“Sijui”
“Isije akataka ukaunganisha kampuni za baba yako na kampuni zake”
“Siku nikifanya hivyo nipige risasi ya mguu kwa maana nitakuwa nimechanganyikiwa kupita hata huko kuchanganyikiwa kwenyewe”
“Sawa kuwa makini sana”
“Sawa anko”
“Utakuwa una ishi huko au hapa?”
“Hadi sasa sija elewa ila nitaamua kuishi hapa nyumbani”
“Mumeo ata kubali kuishi hapa?”
“Sijui ila siwezi kurudi kule nitakuwa nina kwenda kuangalia hali ya yule mzee”
“Mzee gani?”
“Mzee Tiger ame paralaizi”
“Weee?”
“Ohooo mzee kafanyiwa upasuaji wa kichwa jana. Akinyanyuka tena ni miujiza ya MUNGU”
“Yaani kuna nyakati MUNGU ana wafanya maadui zako wana kuwa wana pitia magumu kiasi cha wewe kumshukuru tu MUNGU kwa matendo anayo yafanya”
“Umekula?”
“Toka nimekunywa chai asubuhi sijakula”
“Ngoja nikakupikie kile chakula chako pendwa”
“Asante anko”
Anko Ally akatoka chumbani kwa Rose na kuelekea jikoni.
***
“Wakurugenzi wote wamefika?”
James alimuuliza Jack.
“Ndio wapo kwenye chumba alicho lazwa mzee.”
“Wapo peke yao?”
“Wapo na bi mkubwa. Shem yupo wapi?”
“Nimempeleka kwao kuna vitu ana kwenda kuvifanya”
“Mutakuwa munaishi hapa au?”
“Inabidi nirudi kwangu. Siwezi kukaa hapa aisee”
“Lini?”
“Ngoja kikao kiishe. Wewe si unaendelea kuwatazama hawa wazee?”
“Sina namna”
“Sawa tutangulie basi kwenye chumba cha kikao”
“Yaani wao watukute sisi kaka. Hapana ina bidi wao ndio tukwakute”
“Muambie basi mama yako watoke mzee sio kinyago cha kushangawa muda wote huo”
“Poa”
Jack akamtumia meseji mama yake. Wakurugenzi kumi wakatoka chumba alicho lazwa mzee Tiger na wakaelekea katika chumba cha vikao vya kiofisi.
“Mbona mumesimama hamuingi?”
“Twende”
Wakaongozana na mama yao na uingia katika chuma kinapo fanyika kikao. Jack hakukaa katika kiti ambacho siku zote huwa ana kaa baba yao vinapo fanyika vikao.
“Naamini sote tupo”
Mwanasheria mkuu wa makampuni alizungumza yote ya mzee Tiger.
“Sote tuna weza kuona mwenyekiti na mmiliki wa kampuni hali yake ilivyo. Lazima makampuni yapate kiongozi wa mwisho katika kipindi hichi ambacho mzee hali yake ipo ilivyo”
Mrs Tiger akajiweka vyema katika kiti alicho kikalia akiwatazama wakurugenzi.
“Kabla mzee wetu hajapatwa na maradhi, aliye kuwa ana msaidia katika majukumu yake alikuwa ni kijana wake wa mwisho Jack Tiger.”
“Hivyo basi tukifwata katiba matakwa ambayo mzee aliyehitaji yatekelezwe ikitokea amepata maradhi au amekufa basi mrithi wa kiti chake atakuwa ni Mrs Tiger mke wa mzee”
Jack akashtuka.
“Mrs Tiger ana kuwa ndio msemaji wa mwisho wa kila kila maamuzi yatakayo kuwa yana fanyika katika kampuni zetu hadi pale mzee atakapo rudi katika uhai wake. Na ikitokea mzee akafariki basi Mrs Tiger ndio ata kuwa mmiliki halali wa mali zote za mzee. Hivyo kama mama ata amua kurithisha mali zake kwa wanaye basi maamuzi yana baki mikononi mwake.”
“Hivyo mama kiti kipo kwa ajili yako”
Mrs Tiger akanyanyuka alipo kaa na kukaa katika kiti ambacho mzee Tiger pekee ndio aliye kuwa ana kikalia.
“Sina mengi ya kuzungumza. Utaratibu na uwajibikaji wa kikazi uendelee kama kawaida. Kuumwa kwa mzee kusiwafanye mukajisahau, wote tumefanya kazi na wengi nina amini kwamba muna nifahamu vyema kwani sipendelei masihara linapo kuja swala la kikazi”
“Jambo jengine nina washukuru sana kwa kuja kwenye kikao. Kama kuna mweye swali?”
Jack akanyoosha mkono.
“Ndio Jack zungumza”
“Swali ni kwako mwanasheria. Mimi ndio nilipaswa kuwa mkurugenzi mkuu ina kuwaje ameteuliwa mama?”
“Alikuandaa ila hakusema kwamba uwe mrithi na ushahidi upo”
“Niusikie”
Mwanasheria akatoa simu mfukoni mwake.
“Kuna audio ambayo mzee alinitumia siku mbili nyuma”
“Iwekee tuisikie”
Jack alizungumza kwa hasira. Mwanasheria akaicheza audio.
“Hali yangu kiafya haipo vizuri. Nipo stage ya nne ya saraatani muda wowote nina weza kufa. Kikitokea chochote basi audio hii wasililizishe wanangu na mke wangu”
“James mwanangu wa kwanza nime mfuta kwenye mirathi ya familia yangu. Hata nikifa asipate hata mia moja inayo tokana na ukoo wa Tiger”
Kila mtu akamtazama James ambaye amejikausha.
“James amekwenda kinyume na utaratibu wa familia hii na endapo mtoto anapo saliti ana paswa kwenda kujipambania. Hivyo kila kitu ambacho ana kifanya au ana kimiliki kwa jina la Tiger ikitokea nimekufa basi apokonywe ikiwemo nyumba anayo ishi. Kampuni ya Tec anayo iongoza nayo aondolewe kama mkurugenzi mkuu atauliwe mtu mwengine. Hilo halina mjadala wala maswali ni maamuzi yangu”
“Binti yangu Sophia. Apate urithi wa dola milioni mia moja, akizila akiziendeleza ni yeye na MUNGU wake. Jack ndio mrithi na muendelezaji wa mali zote za Tiger ila ata rithi pale tu mama yake atakapo ridhishwa na utendaji wake kazi. Unajua kidogo Jack kichwa chake kipo race hivyo ukimpa majikumu makubwa bila ya uangalizi basi chochote kina weza kutokea. Ila cha kwanza ni lazima mama yake ajiridhishe. Endapo mama yake asipo ridhika na utendaji wake wa kazi basi mali zibaki kwa mama yake.”
Jack akashusha pumzi nyingi akimtazama mwana sheria. Mwanasheria akaicheza audio yake.
“Kwa kipindi gani awe katika uangalizi?”
“Mama yake atakapo ridhika na utendaji wa mwanaye. Iwe mwenzi mwaka mika ila isizidi mitatu.”
“Je mkeo ata rithi nini?”
“Yeye tayari nilisha mfungulia makapuni hivyo awe msimamizi hadi pale Jack akili yake itakapo mkaa sawa ila Jack akili yake isipo mkaa sawa mama yake ata rithi mali zote”
“Naamini mr Jack utakuwa umepata ushahidi wa kutosha?”
Jack akatingisha kichwa akimaanisha ameelewa.
“Je kuna mwenye swali jengine”
James akasimama.
“Kunazia hivi sasa naomba nijiuzulu kuwa mkurugenzi wa kampuni ya Tec. Barua nita ituma kwako mwana sheria”
James akanyanyuka na akatoka ndani ya chumba. Jack akamfwata kaka yake.
“Bro bro”
“Niambie dogo”
“Una kwenda wapi sasa?”
“Mimi sio mkurugenzi.”
“Mzee najua wakati ana toa mazungumzo hayo alikuwa na hasira. Tukikaa vyema na mama naamini ata rekebisha wosia”
James akatabasamu.
“Kuwa na amani mdogo wangu. Fanya kile ambacho mzee ana kitaka ukikiuka basi itakuchukua miaka mitatu kurithishwa kila kilicho chako”
“Sawa”
Wakamuona daktari akitembea kwa mwendo wa haraka akiwafwata walipo simama.
“Madama yupo wapi?”
“Kuna nini?”
Jack aliuliza.
“Ni mzee”
“Kafanyaje?”
“Naomba muniitie”
Jack akarudi ndani ya chumba cha mkutano, akamuita mama yake kwa ishara na akatoka.
“Kuna nini?”
Mrs Tiger akatoka.
“Kuna nini?”
“Hali ya mzee imebadililika galfa”
Wote wanne wakakimbilia kuelekea katika chumba alipo lazwa mzee Tiger. Wakawakuta madaktari wengine wawili wakipambana kuiweka sawa hali ya mzee Tiger.
“Imekuwaje?”
Mrs Tiger aliuliza.
“Ni presha imempanda madam”
“Imekuwjae ikapanda?”
“Tumemchoma sindano ya kuishusha presha yake”
James akatazama baba yake kwa sekunde kadhaa kisha akatoka.
“Broo vipi nimeona muna kimbia kimbia?”
Sophia alimuuliza James.
“Presha sijui imempanda”
“Presha?”
“Ndio”
Sophia akaingia ndani hapo.
Taratibu hali ya mzee Tiger ikakaa sawa.
“Presha hivi sasa imetulia”
“Ina kuwaje presha ina mpanda?”
Mrs Tiger aliuliza.
“Ina tokea.”
“So kaka sawa?”
Jack aliuliza.
“Ndio sindano tuliyo mchoma ita msaidia kuendelea kukaa sawa”
Sophia akatoka chumbani. Akamuona James akiwa amekaa kwenye kiti huku uso wake ukiwa na mawazo.
“Una tatizo gani kaka?”
“Mmmm?”
“Una mawazo una shida gani?”
“Tutoke nje”
Wakaongozana hadi kwenye eneo la kupumzikia lililo pembezoni mwa bahari.
“Una nini?”
“Mzee ameacha wosia”
“Wosia?”
“Ndio wa maneno.”
“Ehee imekuwaje bro”
“Mama ameachiwa usimamizi wa mali zote na ana paswa ahakikishe kwamba Jack akili yake inakuwa tayari kuachiwa mali ndio amkabidhi mali zote”
“Zote?”
“Ndio”
“Na sisi?”
“Wewe umeachiwa dola milioni mia moja. Ndio utakazo rithi”
“Milioni mia?”
“Ndio”
“Weee kwa hiyo mimi sasa hivi ni milionea wa dolari hahahahaaa”
Sophia alizungumza kwa furaha.
“Ndio uwe na akili ya kuzitumia.
“Kaka hata nikisema nile dola milioni moja kila mwaka ni miaka mia moja, ambayo sinto kuwepo duaniani hivyo mwanangu ata rithi. Wewe je?”
“Mimi sijapewa hata shilingi mia”
“Nini?
“Ndio sijapewa chochote na nimeambiwa mzee akifariki basi niondolewe kwenye nafasi ya ukurugenzi wa kampuni ya Tec hivyo nimeamua ku stap down leo na kurudisha mali zote ambazo zina milikiwa na familia hii, ikiwemo magari na nyumba ile ninayo ishi”
“Hii sio haki kwa nini baba kakufanyia hivyo?”
“Ni kwa sababu ya Rose”
“Mzee ana jielewa kweli. Wewe mwanaye wa kanza na ana shindwa kukurithisha chochote ina maana nguvu kazi yako yote uliyo iweka kuanzisha na kuikuza kampuni ya Tec hadi kuwa na tenda za uundaji wa silaha za kijeshi zenye ubora na kuifanya kuwa ni kampuni ya mabilioni ya dolar leo hii hujapewa chochote hii sio haki”
Rose alilalama. Jack akatabasamu.
“Kuwa na amani dogo”
“Hapana hii sio haki. Huwezi kukosa chochote”
“No no kuwa na amani nilisha jipanga kabla haya yote kutokea. Nina uchumi wangu na nina kampuni yangu ina endelea kufanya kazi na nina utajiri wa kutosha”
“Hata kama wewe ni mtoto wa huu ukoo haiwezekania ukatelekezwa kisa wifi yangu. Kaka ni lazima upate haki yako. Hii mimi sikbalini nayo”
“Nimesomeshwa na huo ndio urithi tosha kwangu. Dogo ukipewa hiyo pesa ifnayie jambo la maana kwani huto kuwa na chako kingine kilicho baki katika huu ukoo”
James akanyanyuka.
“Una enda wapi?”
“Naondoka. Nita rudi kwenye msiba wa mzee kama uta tokea. Kwa sasa nahitaji kuanzisha maisha yangu na mke wangu.”
James alizungumza akijikaza asimwagikwe na machozi ya uchungu kwani juhudi zote alizo zifanya za kuanzisha na kukuza kampuni ya tenkonlojia inayo husika pia na uundaji wa silaha, ameondolewa mikono mitupu bila ya kurithishwa chochote na baba yake.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kibinadamu ina umiza, kuanzisha kampuni yenye jina la usajili wa familia yako, ukaikuza na mwisho wa siku ukaondolewa kwenye urithi ina umiza sana je ni maamuzi gani ambayo James ata yafanya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 44.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 44.

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Kuwa na amani dogo”
“Hapana hii sio haki. Huwezi kukosa chochote”
“No no kuwa na amani nilisha jipanga kabla haya yote kutokea. Nina uchumi wangu na nina kampuni yangu ina endelea kufanya kazi na nina utajiri wa kutosha”
“Hata kama wewe ni mtoto wa huu ukoo haiwezekania ukatelekezwa kisa wifi yangu. Kaka ni lazima upate haki yako. Hii mimi sikbalini nayo”
“Nimesomeshwa na huo ndio urithi tosha kwangu. Dogo ukipewa hiyo pesa ifnayie jambo la maana kwani huto kuwa na chako kingine kilicho baki katika huu ukoo”
James akanyanyuka.
“Una enda wapi?”
“Naondoka. Nita rudi kwenye msiba wa mzee kama uta tokea. Kwa sasa nahitaji kuanzisha maisha yangu na mke wangu.”
James alizungumza akijikaza asimwagikwe na machozi ya uchungu kwani juhudi zote alizo zifanya za kuanzisha na kukuza kampuni ya tenkonlojia inayo husika pia na uundaji wa silaha, ameondolewa mikono mitupu bila ya kurithishwa chochote na baba yake.

ENDELEA
Sophia akabaki akimtazama kaka yake kwa masikitiko makubwa. James akaingia katika gari linalo milikiwa Rose na akaondoka nyumbani kwao.
“Mwanasheria yupo wapi?”
“Kuna nini sister?”
“Haiwezekani kaka James hata kampuni aliyo ianzisha yeye asipewe chochote kitu huu ni uonevu”
Sophia alizungumza kwa hasira na kumfanya Mrs Tiger kutoka ndani ya chumba cha mgonjwa.
“Una piga nini kelele ikiwa una jua baba yako ana umwa”
“Bora afe na upuuzi wake”
“Unasema nini?”
“Bora afe akifa tutapungukiwa na nini. Mbinafsi mkubwa. Hivi ana pata wapi nguvu ya kuto kumrithisha kaka James hata shilingi mia ehee huo ni ubinafsi”
“Sister tulia”
“Nitulie nini…..Mtu ana roho mbaya. Kwanza alitaka kaka auwawe mbili hajampa chochote ana faida gani ya kuishi…..Familia ya ajabu hii upuuzi mtupu”
Sophia akaondoka eneo hilo kwa hasira.
“Mbona James haja panic yeye inakuwaje akasirike kama hivi?”
Mrs Tiger.
“Sio rahisi kuiona hasira ya kaka James. Utakapo iona hasira yake ni kama kilicho wa kuta walinzi walio fariki”
Jack akamuacha mama yake akijitafakari.
***
“Rose yupo wapi?”
“Chumbani kwake mkuu”
James akaeleka moja moja chumbani kwa Rose, akamkuta akiwa amelala usingizi fofofo. Akamtazama kwa sekunde kadhaa. Akamuita kwa sauti ya chini.
“Mmmm”
“Nimerudi”
Rose akamtazama James aliye kaa pembeni yake.
“Saa ngapi sasa hivi?”
“Saa tatu usiku”
“Duuu nimelala sana”
“Toka nilivyo kurudisha hukutoka nje?”
“Sikutoka, nilipo maliza kula nikajibwaga kitandani”
“Pole”
“Asante mpenzi wangu. Mbona macho yamekuvimba na yamekuwa mekundu”
“Hamna kitu mke wangu”
“James usinifiche”
“Kuna kazi nilikuwa nina ifanya kwenye pc hivyo macho kidogo yakakutana na changamoto tu. Kuwa na amani mpenzi”
James akavua nguo zake na kuelekea bafuni kuoga. Rose akajitafakari kwa dakika kadha, akashuka kitandani na akaingia bafuni. Akamkuta James akiwa amesimama mbele ya kioo, hata Rose alivyo ingia bafuni hajamsikia kabisa.
“Una waza nin mume wangu?”
“Umeingia saa ngapi?”
“Nipo kama dakika moja nzima hujaniona….Ni kitu gani ambacho kina kusumbua akili mume wangu?”
Rose alizungumza akimkumbatia James mgongoni.
“Tumeusikiliza wosia wa mzee, amemtumia mwana sheria wa makampuni.”
“Ehee una semaje huo wosia?”
James akamueleza Rose wosio wote alio utoa baba yao.
“Duuu hujapewa chochote?”
“Sijapewa chochote kipenzi. Hata kampuni niliyo ianzisha kwa aide yangu nika ikuza hadi kuwa kampuni kubwa ya kuaminiwa na majeshi ya Afrika kwa ajili ya kuwauzia silaha na tekonolojia za ulinzi. Ila ndio hivyo sina changu mke wangu”
James machozi yakaanza kumbubujika.
“Imeniumiza sana mke wangu”
“Pole babe”
“Ila nitachukua kilicho halali yangu”
“Mume wangu acha kuingia kwenye vita na mdogo wako au mama yako.”
“Unataka nifanye nini?”
“Kwa sasa tuliza akili. Baada ya hapo naamini mama yako au mdogo wako wana weza kukupa kampuni yako”
James akatabasamu.
“Ngoja nioge mke wangu”
“Nakuogesha relax”
Rose taratibu akavua nguo zake na wakaanza kuoga pamoja.
“Mume wangu”
“Naam”
“Tutaishi wapi?”
“Je una hitaji tuondoke nchini?”
“Hapana mume wangu”
“Unajua kuishi ukweni nita kuwa nina wakosea heshima wakwe zangu. Ina bidi tutafute nyumba ya kwenda kuishi”
“Jamani mume wangu hakuna ambaye uta mkosea heshima na isitoshe jumba hili ni kubwa sana kuwaachia wafanyakazi wa ndani si vizuri”
“Ni kweli babe ila kubuka kwamba mimi ni mwanaume. Natakiwa kuwa na mji wangu, ili ikitokea siku nimekufa basi wanangu watakuwa wana weza kurithi. Naomba miezi sita ya kukaa hapa naamini nyumba nitakayo kuwa nime plan kuijenga itakuwa imekamilika”
“Sawa mume wangu. Kaa upendavyo”
Rose alizungumza kimahaba huku taratibu akianza kumshika shika jogoo wa James.
“Unamtaka”
“Sanaaaaa. Tufanyaje tutoe machungu tuliyo nayo”
“Hahahaaaa”
James hakuwa na hiyana na akaanza kumpa penzi zito mkewe huku kila mmoja akionekana kuwa na furaha na kile wanacho kifanya.
***
“Umesha jiandaa?”
Jack alimuuliza Valentina huku akiwa amejilaza pembeni yake. “
“Kujiandaa na nini?”
“Kwenda hospitalini kutoa hicho kijiti”
“Jamani mume wangu mbona unakuwa hivyo, si tulisha panga hili jambo na kulizungumza”
“Nimekuambia nataka mtoto. Mambo ya kupanga sijui nini sitaki kuyasikia unanielewa?”
Jack alifoka akimtazama Valentina hadi akashtuka.
“Jack tafadhali siwezi kufanya kwa sababu wewe una taka. Mimi pia nina maamuzi na mwili wangu kwa nini una nilzimisha….Kama una ona ni rahisi kubeba mimba beba basi wewe”
Jack akanyanyuka kwa haraka na akamkaba koo Valentina.
“Umeinambiaje wewe mseng***”
Valentina akaanza kurusha rusha miguu.
“Nimekuoo kwa garama kubwa halafu una nijifu using** eheee”
Valentina macho yakamtoka huku akianza kumuhisi Israel mtoa roho akimtembelea. Jack akamuachi akooo Valentina na kumfanya aanze kukohoaa machozi yakimwagika.
“Uisiniletee ukum*** kama ulihisi nimekuoa kwa ajili ya kuja kutomb** na mimi bila kunizalia achana na hizo mambo aiseee”
Jack alizungumza kwa hasira akimtazama Valentina anaye tetemeka kwa woga.
“Kesho asubuhi tuna kwenda kutoa hicho kijiti sijui kitanzi unanielewa wewe?”
“Nd….iooo”
“Acha mambo ya kipuuzi. Una hisi umekuja kwenye maisha yangu kutoa toa macho…..Mjinga mmoja wewe”
Jack akafungua kabati, akavaa pensi na tisheti.
“Asubuhi sawa”
Valentina akatingisha kichwa akimaanisha amekubali. Jack akatoka chumbani kwake huku akibamiza mlango. Valentina kwa haraka akavaa nguo ya kulalia, akatoka chumbani kwake na kuelekea chumbani kwa wifi yake huku akilia.
“Kuna nini?”
Sophia aliuliza, akikurupuka usingizi.
“Mdogo wako kataka kuniua”
“Nini!?”
“Amenikaba kooo”
Sophia akatazama alama za vilole vya Jack vilivyo baki shingoni mwa Valentina.
“Kwa nini kakufanya hivi?”
“Ana taka nibebe mima na mimi una jua nimeweka kitanzi. Tulikubaliana nizae baada ya mwaka mmoja ndani ya ndoa ila mwenzangu amebaidila galfa na kuhitaji mtoto”
Sophia akashusha pumzi taratibu.
“Kipenzi una nipenda?”
“Ndio”
“Tafadhali mkubalie mumeo kuzaa hivi sasa”
“Kwa nini babe”
“Usifungue milango ya mumeo kuchepuka na kwenda kutafuta mwanamke mwengine wa kumzalia. Umenielewa?”
“Na kazini?”
“Kazini utakuwa una kwenda. Kwan una tembea na uzuri ni kwamba wewe ni boss hivyo una weza kuamua kwenda au kuto kwenda. Kazi zina weza kufanyikia hapa nyumbani. Umeniona mwenzio nina mtoto wangu ila sio damu ya huu ukoo. Zaa mtoto ambaye ata kuja kuwa mrithi wa hizi mali. Kama umesha anza kuona mumeo ana dai mtoto hivi sasa ana maana kubwa”
Sophia alizungumza kwa sauti ya upole akimtazama Valentina.
“Sawa”
“Sawa.”
“Nenda kazungumze na mumeo”
“Ametoka sijui amekwenda wapi”
“Kampigie simu”
Valentina kashusha pumzi taratibu na akatoka chumbani kwa wifi yake. Jack akaitazama mikono yake huku akizunguka zunguka ufukweni.
“Imekuwaje kuwaje nime mkaba koo mke wangu”
Jack alizungumza mwenywe.
“Sipaswi kumfanyia hivi mke wangu”
Jack aliendelea kuzunugmza mwenyewe. Mlinzi moja akamfwata Jack napo zunguka zunguka
“Boss vipi?”
“Eheee?”
“Kuna usalama?”
“Ndio ndio ndio”
“Ni usiku saa nane hivi sasa”
“Kumbe muda umekwenda hivi?”
“Ndio mkuu”
“Wanawake waseng** sana”
Jack alitukana.
“Kwa nini boss?”
“Mke wangu wa ndoa ana kataa kuzaa na mimi si using** huu”
“Tuna weza kuzungumza”
Jack akamtazama mlinzi”
“Sawa tukae hapa”
Wakaa ufukweni wakitazama mawimbi wa bahari.
“Sababu ya yeye kukataa kuzaa na wewe ni nini?”
“Ahaa tulipo kuwa kwenye uchumba nilimuambia kwamba tukisha funga ndoa tukae mwaka mzima wa kula bata kisha baada ya hapo ndio tuzae. Tukakubaliana na akaweka kitanzi. Hivi sasa mimi nahitaji mtoto yeye ana kataa kwa nini ana kataa”
“Ana simamia makubaliano yenu”
“Sawa ila ana paswa kunisikiliza. Mimi mume wake ndio muamuzi ya mwisho. Kanifanya hadi nimempiga”
“Duuuu”
“Sijawahi kumpiga mwanamke leo ndio mara yangu ya kwanza. Kanivuruga sana”
“Boss”
“Naam”
“Ina bidi umuombe msamaha mkeo. Umemkosea, ili kupata watoto bora ni jambo la ninyi wote kuwa tayari kiakili, kimwili na kimawazo. Ana weza kweli akabeba mimba ila akaichukia mimba na mwisho wa siku akajikuta hata mtoto mwenyewe ana mchukia kwani amekuja kipindi ambacho hakuwa tayari. Hivyo usimlazimishe mwanamke kuzaa kipindi amacho hayupo tayari. Afya ya mtoto ina tegemea na furaha, amani ambayo mama yake anayo”
Jack akashush apumzi taratibu.
“Ila kweli”
“Muache afanye kile ambacho kina mpa furaha. Uka wakati yeye mwenyewe atabeba mimba na ata kuzalia mtoto au watoto watakao kufurahisha maishani mwako”
“Nashukuru sana kwa ushauri wako kaka”
“Karibu tena mkuu”
“Mazingira ya kazi vipi?”
“Usalama upo wa kutosha kabisa”
“Ngoja nikiazungumze naye”
Jack na mlinzi wakanyanyuka walipo kaa na kuondoka eneo hilo. Jack akakutana na Valentina nje akiwa ana mtafuta.
“Nimekutafuta mume wanguna simu yako umeacha ndani”
“Nilikuwa ufukweni”
Valentina akamkumbatia Jack kwa nguvu huku akilia.
“Mume wangu naomba unisamehe kwa majibu yangu mabaya. Nipo tayari kuzaa”
Maneno ya Valentina yaka msisimua mwili mzima Jack na kujikuta akizidi kumkumbatia mke wake kwa hisira kali sana za kimapenzi.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Ushawishi wa Sophia umemfanya Valentina kukubali kuzaa na Jack je ni kwa nini Jack ana taka Valentina tofauti na makubaliano yao? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 45.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 45.

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Mazingira ya kazi vipi?”
“Usalama upo wa kutosha kabisa”
“Ngoja nikiazungumze naye”
Jack na mlinzi wakanyanyuka walipo kaa na kuondoka eneo hilo. Jack akakutana na Valentina nje akiwa ana mtafuta.
“Nimekutafuta mume wanguna simu yako umeacha ndani”
“Nilikuwa ufukweni”
Valentina akamkumbatia Jack kwa nguvu huku akilia.
“Mume wangu naomba unisamehe kwa majibu yangu mabaya. Nipo tayari kuzaa”
Maneno ya Valentina yaka msisimua mwili mzima Jack na kujikuta akizidi kumkumbatia mke wake kwa hisira kali sana za kimapenzi.

ENDELEA
“Kweli upo tayari?”
“Ndio mume wangu…..”
“Isije ukawa una fanya kwa sababu nimekulazimisha?”
“Hapana mume wangu. Nimejifikiria sana nimekubali kuzaa na wewe”
“Asante mke wangu”
Taratibu wakaachiana na wakarudi chumbani kwao. Simu ya Jack ikaanza kuita, kwa haraka akaipokea.
“Mkuu samahani nimekupigia simu muda huu”
“Hizo kelele ni za nini?”
“Kiwanda kinaungua”
“Nini?”
“Kiwanda kinaungua”
“Imekuwaje kiwanda kiungue?”
“Hatujui ni mto ulio anza galfa tu”
“Fuc** nakuja”
Jack akakata simu akiwa amekasirika. Akampigia mlinzi wake.
“Andaa gari tuna elekea Morogoro. Kiwanda kina ungua”
“Sawa mkuu”
Jack akakata simu.
“Mke wangu kiwanda chetu cha Morogoro kina ungua”
“Imekuwaje?”
“Wanadai ina weza kuwa ni shoti hivyo ina bidi nielekee huko”
“Twende wote basi”
“Hapana wewe baki hapa”
Jack alizungumza huku akifungua video anazo tumiwa whatsapp na kuona jinsi kiwanda kinavyo teketea kwa moto. Kwa haraka akaelekea bafuni na kuoga haraka haraa, akabadili nguo.
“Ukifika naomba uniambie”
“Sawa”
Jack akambusu Valentina mdomoni, akatoka chumbani kwake, na kuelekea chumbani kwa mama yake. Akagonga.
“Ingia”
Akaingia, akamkuta mama yake akiwa amekaa kitako kitandani.
“Nimepigiwa simu kiwanda kiwanda cha Sukari kina ungua”
“Ndio nina elekea huko mama”
“Sasa chanzo kitakuwa ni nini?”
“Sijui ila wana hisi ni shoti ya umeme”
“Sawa nenda mwanangu. Si uondoke na helicopter”
“Hapana naenda kwa gari. Morogoro hapo ni chap”
“Sawa unifahamishe”
“Utaniapa update ya mzee ana endeleaje”
“Sawa mwanangu”
Jack akatoka chumbani kwa mama yake, akatoka nje na kukuta mlizi wake akiwa amesha washa gari. Akaingia na kuka asiti ya nyuma na wakaondoka kwa mwendo wa kasi kuelekea kilipo kiwanda. Akampigia simu meneja wa kiwanda.
“Ndio mkuu”
“Zima moto wamesha fika?”
“Ndio wamefika wana pambana na kuuzima moto”
“Vipi kuhusiana na wafanya kazi?”
“Tuna endelea kupambana kuokoa walio kwama ndani”
“MUNGU wanguu…..Kwa idadi ni wangapi?”
“Sijajua mkuu hadi sasa ila shift ya usiku wapo wafanyakazi zaidi ya elfu moja na mia tano na walio toka nje hawazidi mia tatu”
“Sawa nina kuja”
James akakata simu.
“Ongeza spidi kaka”
“Sawa mkuu”
Dereva akazidi kuongeza mwendo kasi wa gari.
***
“Mbona umekaa kuna nini?”
Rose alimuuliza James aliye kaa kitandani huku akitazama simu yake.
“Kiwanda cha sukari Morogoro kina ungua na wafanyakazi wengi wamekwama ndani”
“MUNGU wangu…..imekuwaje?”
“Hata sijui ona”
James akamuonyesha Rose video za cctv kamera zikionyesha eneo la ndani la kiwanda jinsi wafanyakazi walipo maeneo mbalimbali wakiendele kutafuta maeneo ya kutokea. James akashuka kitandani kwa haraka, akachukua laptop yake na akarudi kitandani na kufunua.
“Una taka kufanyaje?”
“Najaribu kufungua mifuno ya kuzima moto ambayo imefungwa ndani ya kiwanda”
James akaingia katika mfumo wa uendeshajiw a kiwanda.
“Mifumo bado haijashambuliwa na moto”
“Kwa hiyo una weza kuiongoza mifumo ya viwanda vyote kupitia laptop?”
“Ndio na mimi ndio niliye itengeneza”
James akaendelea kuifanya kazi yake kwa dakika tatu mifumo ya kuzima moto maji pamoja na gesi ya cabon dioxide, ikaanza kufanya kazi kwa kasi na kusababisha moto mkubwa ambao una waka ndani ya kiwanda kuanza kuzimika.
“Hapa sasa wana weza kutoka”
“Unaweza kutafuta chanzo kujua moto umeshababishwa na nini?”
“Ngoja niangalie”
James na Rose kwa pamoja wakaanza kutafuta chanzo cha moto kilipo anzia. Wakamuona mtu aliye valia kofia ngumu za viwandani, usoni akiwa na barakoa huku amevalia ovaroli la kiwanda na buti za viwandani, akiingia katika chumba cha chanzo kikuu cha umeme. Mtu huyo akiwa na kisanduku cha chuma ambacho kina hifadhia vifaa vya mafundi, akakifungua kisanduku hicho hicho huku akiwa amepiga goti chini, akatoa bomu la kupachika na akalipachika chini ya moja ya mashine inayo dhibiti umeme usiigie kwa nguvu isiyo hitajika ndani ya kiwanda. Baada ya kufanya tukio akatazama saa yake kisha akatoa ndnai ya chumba hicho.
“Mfwatilie”
Rose alizungumza huku wakimtazama mwanaume huyo jinsia anavyo tembea kwenye maeneo ya kiwanda na akafika eneo la lakribu kabisa na kutoka kiwandani. Akaingiza mkono mfukoni wa ovaroli alilo livaa. Baada ya sekunde ishirini king’ora cha hatari kikaanza kulia huku moto mkubwa ukianza kutoka. Akajumuika na wafanyakazi wengine kukimbilia nje na wakamona akitokomea nje ya geti na wafanyakazi wengine wanao kimbia kuyaokoa maisha yao.
“Huyu mtu ni nani?”
“Sijui mke wangu”
“Una weza kuipata sura yake’
“Ngoja ngoja”
James akaendelea kufanya kazi ya kuitafuta sura ya mtu hiyo.
“Ameweza kuifunika sura yake vizuri aisee…..Hata tenkonlojia ina shindwa kumvua barakoa aliyo ivaa.
“Huwezi kumtafuta kupitia macho yake?”
“Macho yako amevalia mboni bandia hivyo sio rahisi kujua ni nani?”
“Mmmm atakuwa ni nani sasa mume wangu”
“Ngoja nimpigie dogo”
James akampigia simu Jack.
“Kaka”
“Upo wapi?”
“Ndio naingia Morogoro sasa hivi ina elekea kiwandani, kiwanda kina waka moto aisee”
“Nimeona kupitia cctv kamera. Na nimesha udhibiti moto kwa mfumo wa maji na hewa ya carbon dioxide”
“Duuu asante sana kaka”
“Sasa moto haujawaka makusudi kuna mtu alitegesha bomu”
“Bomu?”
“Ndio nimekutumia video yake. Nimejaribu kuinyaka sura yake ila nimeshindwa hembu fwatulia kwa vyanzo vyako”
“Shukrani kaka nimeiona video”
“Poa utakapo fikia uta niambia”
“Usijali”
Jack akakata simu na kutazama alicho kifanya mtu huyo. Kwa haraka akamtumia mkuu wa ulinzi wa kiwanda video hiyo kisha akampigia.
“Nimekutumia video umeipata?”
“Imeingai hapa mkuu. Naifungua”
“Fwatilia huyo mtu haraka iwezekanavyo”
“Sawa mkuu”
“Moto?”
“Wa ndani umezima ila wana malizia moto wa nje juu ya paa la kiwanda”
“Sawa mfwatilieni huo jamaa baada ya dakika ishirini nitakuwa nimefika hapo”
“Sawa mkuu”
Jack akakata simu.
“Moto umesababishwa na mtu”
Jack alimuambia mlinzi wake huku akitazama video aliyo tumiwa na James.
“Ni nani”
“Hajajulikana”
“Ni boss James ndio aliye mpata?”
“Ndio”
“Jamaa yupo vizuri kwenye mambo ya tecnolojia?”
“Sana hadi ameshindwa kumpata sura ya huyu muhalifu una maanisha kwamba muhalifu huyu alidhamiria kabisa kufanya hichi alicho kifanya na alijua kabisa kuwa maeneo yana kamera hivyo alicho kifanya yeye ni kuhakikisha ana jiziba di ngozi ya mwili wake, kwa maana ukimuangalia kavaa gloves ngumi mikononi, usoni kavalia barakoa, kofia imekaa vizuri kichwani mwake.
“Duuu. Ina maana atakuwa ni adui mpya?”
“Ina wezekana”
Wakafika eneo la kiwanda na kukuta gari za polisi, zima moto, gazi za wagonjwa na waandishi wahabari wa vyombo mbalimbali wakiwa wana fwatilia kinacho endelea.
“Waandishi wa habari ni wengi vipi una shuka?”
Jack akajifikiria kwa sekunde kadhaa akitazama waandishi wa habari wanavyo rekodi jinsi watu wanavyo endelea kuokolewa.
“Ngoja nisuhuke tu”
Jack akashuka ndani ya gari huku mlinzi wake naye akishuka ndani ya gari. Waandishi wa habari walivyo muona kwa haraka wakamsogelea.
“Ni ni chanzo cha moto huu mkubwa ulio tokea kiwandani?”
Lilikuwa swali la kwanza Jack kuulizwa na mmoja wa waandishi wa habari.
“Kwa kweli sifahamu kwani mimi mwenyewe ndio nimefika hapa nikitokea Dar es Salaam. Sijui ni nini kimetokea na nini kilicho endelea hivyo nina waomba kwa sasa niweze kupata ripoti kamili ya kilicho tokea. Kisha nita zungumza nanyi. Asanteni sana”
Mlinzi wa Jack akawazuia waandishi wasimuulize Jack swali jengine Jack akatembea hadi alipo mkuu wa jehsi la zima moto mkoa wa Morogoro pamoja na mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Morogoro.
“Shikamoni”
“Marahaba Jack karibu sana”
“Asanteni sana. Vipi zoezi”
“Ukoajii una endelea ndani. Walio kuwa wamekwama wamesha tolewa kwa idadi kubwa”
RPC alizungumza.
“Kuna walio fariki?”
“Ni ngumu kudhibitisha kwa sasa ila tayari wagongwa kama kumi na mbili hivi wamesh pelekwa hospitalini hali zao hazipo vizuri”
“Duuu. RPC nakuomba”
Wakasogea pembeni na kumuacha mkuu wa jeshi la zima moto akiwa mwenyewe.
“Kuna footage ya cctv kamera imenasa huyu mtu”
RPC akaichukua simu ya Jack na kutazama kilicho fanywa na mtu asiye julikana.
“Naomba niingizie kwenye simu yangu vijana wangu wamsake aisee. Kumbe kuna mshenzi amefanya ujinga kama huu”
“Ndio hivyo. Tafadhali nina kuomba uchunguzi wa kina uweze kufanyika ili huyu mtu akamatwe”
“Sawa vijana wangu wa upelelezi nina watumia hii video upelelezi ufanyike wa haraka sana”
“Nashukuru”
Akamatumia rpc video hiyo.
“Ngoja nisaidie katika uokozi”
“Vijana wetu wapo ndani wana okoa watu”
Mkuu wa jeshi la zima moto alizungumza
“Usijali, nami nina weza kujwajibika kwa hili”
Jack na mlinzi wake wakajumuika na waokoaji wengine katika kuwatoa watu ndani ya kiwanda huku mali za zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
***
“Kazi nzuri”
“Mimi ni professional kwenye hili”
“Ndio maana nikakupa hii kazi. Mzigo wako ulio salia”
Mwnaume aliye husika na ulipuzi wa kiwandha cha sukari, akapoke amfuko wenye vibunda vya pesa. Akatazama vibunda hivyo kumi vya milioni kumi kumi.
“Nashukuru”
Alizungumza akimtazama mwana mama aliye kaa siti ya nyuma gari aina ya Land Cruiser 300. Huku mlipuaji akiwa ndani ya gari yake aina ya Toyota Harrier na gari hizo mbili zime simama usawa mmoja unao wawezesha kuzungumza.
“Nina kazi nyingine ya kukupatia”
“Kazi gani?”
Mwana mama akatoa picha katika pochi yake. Akampatia mlipuzi wa kiwanda. Akaitazama picha hiyo.
“Anaitwa Jack mtoto wa mzee Tiger. Jambo zuri nimeona kwenye vyombo vya habari kuwa yupo kiwandani hapo. Una weza kwenda kumaliza”
“Dau lake”
“Milioni mia tatu. Hapa sina ila una weza kuitekeleza kazi yako au nikuingizie benki?”
“Una jua sipokei pesa benki wala kwenye mtandao wa simu”
“Sawa nimekuelewa. Tukutane saa mbili asubuhi ofisini kwangu. Nita tanguliza milioni mia mbili kisha mia million mia moja nita imalizia kama hii niliyo imalizia”
“Sawa nita ifanya kazi baada ya kupokea mzigo”
“Poa hakikisha ana kufa”
“Sijawahi kukufanyia kazi mbovu.”
“Baadae”
Mwana mama huyo taratibu akapandisha kioo cha gari lake na akaondoka eneo la barabara ya vumbi walipo simama. Aliye kabidhiwa kazi ya kumuua Jack akawasha gari lake, akaligeuza na akaelekea muelekeo tofauti na muelekeo ambao mwanamama aliye mpa kazi ameelekea.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kiwanda cha sukari kinacho milikiwa na Tiger family kimewaka moto. Mwana mama ametoa kazi ya kiwanda hicho kuunguzwa na ametoa kazi ya Jack kuwawa je mwana mma ahuyo ni nani na aliye pewa kazi ata weza kumuua Jack? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 46.
 
Huyu mama anayemtuma huyo mlipuzi sijui atakuwa nani! Na inaonekana ana mpunga mrefu
Ni Mama Yake Jack, anayetumwa ni Danny mchepuko wake.
Mama aliamua kuwaondosha wote arithi Mali zote za mumewe MR Tiger.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 46

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Nina kazi nyingine ya kukupatia”
“Kazi gani?”
Mwana mama akatoa picha katika pochi yake. Akampatia mlipuzi wa kiwanda. Akaitazama picha hiyo.
“Anaitwa Jack mtoto wa mzee Tiger. Jambo zuri nimeona kwenye vyombo vya habari kuwa yupo kiwandani hapo. Una weza kwenda kumaliza”
“Dau lake”
“Milioni mia tatu. Hapa sina ila una weza kuitekeleza kazi yako au nikuingizie benki?”
“Una jua sipokei pesa benki wala kwenye mtandao wa simu”
“Sawa nimekuelewa. Tukutane saa mbili asubuhi ofisini kwangu. Nita tanguliza milioni mia mbili kisha mia million mia moja nita imalizia kama hii niliyo imalizia”
“Sawa nita ifanya kazi baada ya kupokea mzigo”
“Poa hakikisha ana kufa”
“Sijawahi kukufanyia kazi mbovu.”
“Baadae”
Mwana mama huyo taratibu akapandisha kioo cha gari lake na akaondoka eneo la barabara ya vumbi walipo simama. Aliye kabidhiwa kazi ya kumuua Jack akawasha gari lake, akaligeuza na akaelekea muelekeo tofauti na muelekeo ambao mwanamama aliye mpa kazi ameelekea.

ENDELEA
“Boss una hisi ataweza kumuua Jack?”
“Acha tusubirie”
Mwana mama aliye toa kazi alizungumza huku akiwa na furaha moyoni mwake.
***
Hadi ina fika saa kumi na mbili alfajiri uokoaji wa wafanyakazi wote ndani ukawa umekamilika.
“Boss nimepoke ripoti kutoka hospitalini. Wafanyakazi wawili wamefariki kwa majeraha ya moto, wengine mia na ishirini wana endelea kupatiwa matibabu hospitali ya mkoa. Wengine kumi na moja wamesafirishwa kuelelea Mloganzila kwa ajili ya matibabu. Hali zao ni mbaya”
Maneja wa wa kiwanda alizungumza huku akimtazama Jack usoni mwake.
“Duuu…..Mpatie hiyo ripoti RPC na ina bidi nielekee hospitali kwenda kuwaona hao wagonjwa.”
“Sawa boss”
“Tutaongozana kwenda hospitalini”
“Sawa”
Denzel akampigia simu mama yake.
“Ehee vipi?”
“Moto umezimika ila kuna majeruhi wengi na vifo vya watu wawili”
“Huyu uliye nitumia kwenye video bado hajakamatwa?”
“Bado ana endelea kutafutwa”
“Atakuwa ametumwa na nani?”
“Hili swali tuta muhoji mara baada ya kukamatwa kwa sasa mimi siwezi kujua au kuhisi ni nani amemtuma”
“Au ni shemeji yako Rose?”
“Kwa nini Rose?”
“Kwa sababu ana taka kulipa kisasi?”
“Kama ni kisasi Rose hawezi kwend akulipiza kisasi kwa watu wasio na hatia ni kama ana hitaji kulipiza kisasi ata kilipiza kwetu na pia sio yeye kwani hiyo kazi bro James ameniambia ameifanya na mke wke kumsaka huyo mlipuaji na hata mfumo wa dharura wa kujizima kwa moto ndani ya kiwanda yeye ndio aliye u activate kwani ulipata hitilafu.”
“Jitahidini hili ni tikisiko kubwa sana kwenye kampuni zetu”
“Ndio hivyo askari na mamlaka nyingine wana mtafuta huyo mlipuzi”
“Basi hiyo taarifa isiwafikie waandishi wa habari”
“Haito wafikia kwa sasa kwani ni lazima upelelezi wa kina uweze kufanyika”
“Sawa tujaribu kugaramia mazishi ya hao wafanyakazi pamoja na hao majeruhi”
“Poa huyo mwanamke ameamka?”
“Sijamuona si unajua ni alfajiri hii. Kila mtu bado yupo chumbani kwake”
“Poa baadae”
Jack akakata simu, akatoka nje ya kiwanda. Akamfwata RPC alipo simama.
“Nimepokea ripoti ya awali Mr Jack”
“Ndio mkuu. Hapa nahitaji kueleke hospitalini kuangalia wagonjwa’
“Tuongozane”
“Sawa”
Jack akaingia ndani ya gari lake na mlinzi wake huku RPC na wasaidizi wake wakiingia ndani ya magari yao na safari ya kelekea hospitali ya mkoa wa Morogoro ikaanza.
“Boss kwa ile video ina onyesha kwamba huyu ni mtu aliye tumwa kuja kuitekeleza hii kazi”
“Hata mimi nina ona. Swali la kujiuliza ni nani ambaye ata kuwa amemtuma?”
“Huyu ana weza kuwa ni adui mpya”
“Ngoja”
Jack akampigia simu James.
“Dogo”
“Bro vipi umeendelea kuifanyia kazi video ya jamaa?”
“Nimeifanyia kazi ila jamaa ana onekana ni special killer ila kitu ambacho tunacho weza kukitilia umakiini kwa sasa ni jinsi anavyo tembe. Nakutumia video hapo muna paswa kuwa makini kuweza ku notes utembeaji wake”
“Sawa bro”
“Kuwa makini. Kama ameweza kulipua kiwanda, kuna weza kuwa na mpango mwengine mbaya sana”
“Sawa bro”
Jack akakata simu huku akitazama video aliyo tumiwa na kaka yake ambayo ipo katika mfumo wa 3D ina yonyesha utembeaji halisi wa mtu aliye husika katika tukio la ulipuaji wa kiwanda.
***
“Aliye fanya huo ulipuaji ina wezekana akawa yupo afte hii familia”
Rose alizungumza huku akinywa chai.
“Ina wezekana kwa maana hii familia kwa kipindi kirefu imekuwa ikitawala biashara zake kwa kutengeneza maadui wapya kila siku. Ina wezekana adui huyu akawa ni adui wa mzee. Amesikia mzee ana aumwa hivyo aina kuwa rahisi kwa wao kuanza kushambulia”
“Nani ata kuwa ametoa siri ya mzee kuumwa?”
“Wale wakurugenzi wa jana walio kuja nyumbani hakuna wa kumuamini pale. Kwa maan akikao kimfanyika jana jioni. Usiku wa kuamkia leo kuna fanyika tukio kama lile huoni kama itakuwa ni mpango wa haraka ulio pangwa”
“Ila ina onekana ni mpango wa siku kadhaa nyuma kwa maana jamaa ameingia kiwandani kabla ya jana”
“Ila kweli”
“Adui huyu ni mtu anaye familia nzima”
“Ila kwa msaada wangu huu umefika mwisho”
“Kwa nini mume wangu”
“Mimi nasaidia kama nani?”
“Mmmm”
“Usigune mke wangu niambie nina saidia kama nani ikiwa sihitajiki kwenye urithi wa hii familia. Hivi sasa sipaswi kufikiria sana kuhusian ana wao, nifikirie kuhusiana maisha yetu mimi na wewe”
“Sawa mume wangu”
James akaitazama simu yake inayo ita. Akaipokea.
“Shikamoo”
“Marahaba. Vipi?”
“Poa mumeamkaje na wifi yangu?”
“Sisi tupo poa kabisa”
“Nasikia kiwanda cha Morogoro kimelipuka?”
“Ndio”
“Umeona dhambi zao za uzulumishaji. MUNGU hapendi dhambi zao washenzi hawa”
“Ahaa ndio hivyo mdogo wangu”
“Na wasipo weza kuelewa hii dhambi waliyo kufanyia basi mali zote zita teketea bila ya wao kujua”
“Tuwaombee isiwe hivyo”
“Khaaa wana boa.”
“Haya bwana.”
“Muna kuja leo?”
“Hapana.”
“Mimi nataka kuondoka hapaa nirudi zangu Arusha. Harusi iliyo nileta imeisha”
“Baki baki hapo uwe unanipa update za hali ya mzee”
“Kaka kwa ulicho fanyiwa bado una taka kuendelea kujua hali ya huyu mchawi”
“Wewe baki hapo uangalie mwenendo wa mambo sawa”
“Kwa heshima yako nabaki”
“Nashukuru”
“Poa asubuhi njema”
Sophia akakata simu akimtazama mama yake aliye valia vizuri akishuka kwenye ngazi.
“Shikamooo”
“Marahaba. Umesikia habari ya kiwanda cha sukari Morogoro kuungua?”
“Nimesikia”
“Ndio nina elekea huko hivyo naomba ufanye uangalizi wa hali ya baba yako”
“Kwani madakatri wake hawapo?”
“Wapo ila wewe ni mwana familia. Fwatilia hali ya baba yako. Mimi acha nikafwatilie mambo mengine kwani wagonjwa wapo Mloganzila ni lazima nionekane pale tuonyeshe tuna jali watumishi wetu”
“Kuwajali watumishi ni kipaumbele ila kumjali kaka James haina maana?”
“Mbona una anzisha mada hizo asubuhi yote hii?”
“Sio kama nina anzisha ila nina kuambia ukweli”
“Niache niende Sophia sitaki kupigizana makelele na wewe asubuhi asuubhi”
Sophia akamtazama Valentina anaye shuka kwenye ngazi.
“Baade”
Mrs Tiger akatoka nje, akafunguliwa mlango wa gari na mlinzi wake, akaingia ndani ya gari na kuondoka nyumbani kwake na msafara wa gari tatu.
“Mbona umekasirika asubuhi asubuhi hii kipenzi”
“Nifwate”
Sophia akatangulia chumbani kwake na Valentina akamfwata kwa nyuma.
“Funga mlango”
Valentina akafunga mlango kwa ndani. Sophia akamshika mkono Valentina na akatembea naye hadi kitandani.
“Nifanye hasira zangu ziishe”
“Hasira za nini kipenzi”
“Hii familia ina nifanya niwe mwenda wazimu.”
Sophia alizungumza huku akimvua Valentina nguo moja baada ya nyingine.
***
Mlipuaji wa kiwanda akasimamisha gari lake taratibu kwenye maegesho ya magari ya madaktari, katika hospitali ya mkoa wa Morogoro. Akatazama video katika online tv moja ikimuonyesha Jack akiwa ana watembea majeruhi wa kiwandani hapo. Akavaa koti jeupe, akavalia kitatambulisho kinacho muonyesha ni daktari wa hospitalini hapo. Akavaa miwani kubwa kidogo. Kwa kutumia bomba jembamba la sindano, akavuta kiwango cha sumu katika kichupa kidogo kisha akafinguka sindano ya bomba hilo kwa kifuniko maalumu, akaiweka sindano ndani ya mfuko wa koti jeupe alilo vaa. Akawatazama askari walio zagaa eneo hilo pamoja na waandishi wa habari pamoja na ndugu wa wagonjwa walio kusanyika hospitalini hapo. Akashuka ndani ya gari, akaminya batani ya kufunga gari lake. Akabadilisha mwendo wa kutembe tofauti na mwendo ambao aliuutumia kiwandnai. Akawaonyesha kitambulisho askari walio simama katika lango wa kuingilia ndani ya hospitali kwani ulinzi umeimarishwa na jeshi la polisi kutokana na wingi wa watu walio fika hospitalini kuweza kujua hali za ndugu zao.
“Pole sana dada yangu”
Jack alizungumza huku akiwa amemuinamia mwanamke mmoja aliye lazwa kitandani.
“Asante sana”
“Unajisikiaje?”
“Maumivu bado nina yasikia katika mbavu”
“Pole sana utapatiwa hudumu zote unazo zihitaji”
“Asante sana”
“Huyu ndio mmilikiw akiwanda chetu”
Meneja alizugumza akijichekesha chekesha”
“Ohooo asante sana boss”
“Umeingiziwa pesa ya kujiuguza kwenye akaunti yako hivyo usiwe na wasiwasi wa kujiuguza hata utakapo toka hapa hospitalini”
“Nashukuru sana”
“Ugua pole”
“Nashukuru sana”
Jack akahamia kitanda kingine cha mgonjwa na akazungumza naye na akaendelea kufanya zoezi hilo kwa wagonjwa wengine kumi na tano walio lazwa katika wodi ya wanawake.
“Tumebakisha wodi ngapi?”
“Mbili boss”
“Tuelekeeni huko”
Wakatoka wakiwa wameongozana na waandishi wa habari walio ruhusiwa kuingia katika wodi ambazo wagojwa wake hawajapata madhara makubwa ya kuungua.
Muuaji akamuona Jack akiingia katika wodi nyingine taratibu akafwata kwa nyuma akiwa na kundi la madaktari wanao elekea katika wodi anayo elekea Jack. Akaingia ndani ya wodi na kuona jinsi Jack anavyo zungumza na waandishi wa habari, mlinzi wake akiwa makini kwa kila aliye mzingira Jack.
Jack akaendelea kuzugumza na mgonjwa mmoja baada ya mwengine kama alivyo fanya katika wodi tatu walipo lazwa majeruhi.
“Pole sana mzee wangu”
“Nashukuru saa boss”
“Umeumia wapi?”
“Mguu wangu wa kushoto ndio umevunjika, katika kurupushani za kukimbia nja, wafanyakazi tulipigana vikumbo. Nilianguka chini kwa bahati mbaya nikakanyagwa na wezangu”
“Pole sana ila mguu umesha patia watibabu?”
“Ndio nimesha fungwa ogo hili nina jifikiria jinsi nitakavyo anza maisha mapya ya kujiuguza”
“Huna haja ya kuata wasiwasi. Kwani kila mfanyakazi aliye kuwa katika shifti ya usiku amepewa kiasi cha pesa cha kujitazamia kwenye kipindi chote cha kuumwa na kila mmoja ata tibiwa na mishahara yake ata ipata kama ilivyo kuwa kawaida.”
“Asante sana boss MUNGU akubariki”
“Amen”
Muuaji akamfikia Jack karibu huku akiwa amesimama pembeni ya daktari mwengine.
“Kuna mgonjwa huku hali yake imebadilika”
Mgonjwa mmoja alizungumza kwa nguvu na kuwafanya watu wote kutazama kitanda ambacho mgonjwa hali yake imebadilika, jinsi anavyo rusha rusha miguu.
“Waandishi wa habari tafadhali tuna omba mutoke nje tafadhali sana”
Daktari mmoja alizungumza kwa upole, umakini wa mlinzi wa Jack ukahamia kwa waandishi wa habari wanao ombwa kutoka ndani ya wodi. Muuji kwa haraka akaingiza mkono wa kulia ndani ya mfuko wa koti, akafungua kifuniko cha bomba la sindano, waandishi kadhaa wakamzonga zonga Jack ambaye naye macho yake yote yapo kwa mgonjwa aliye anaza kupatiwa huduma ya kwanza na madaktari. Muuajia akamchoma sindano ya paja la mguu wa kulia Jack na kaisukuma dawa kwa haraka, kitendo kilicho chukua senkunde moja.
“Aiiiii……”
Jack akajishika eneo la paja lake kwa bahati nzuri standa ya kamera ya mmoja wa wandishi imemgusa katika paja lake.
“Samahani boss”
Muandishi wa habari alizungumza mara baada ya kugundua standa yake imemgusa Jack.
“Usijali”
Jack alizungumza huku akitembea kuelekea katika eneo analo patiwa mgonjwa huduma ya kwanza na madaktari.
“Tunaomba musirekodi tafadhali”
Daktari mmoja alizidi kusisitiza. Jack akatazama jinsi mgonjwa anavyo patiwa matibabu ila kwa bahati mbaya mgonjwa hakumaliza hata dakika mbili akakata roho kitendo kilicho mfanya Jack kushusha pumzi yingi akiona huruma kwani jamaa aliye fariki ni kijana mdogo sana.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Kazi ya muuaji ya kumchoma sindano ya sumu Jack imekamilika je ita mchukua Jack muda gani hadi kujihisi ana sumu ndani ya mwili wake je Jack ata fanikiwa kupona au ata kufa? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 47.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 47

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Waandishi wa habari tafadhali tuna omba mutoke nje tafadhali sana”
Daktari mmoja alizungumza kwa upole, umakini wa mlinzi wa Jack ukahamia kwa waandishi wa habari wanao ombwa kutoka ndani ya wodi. Muuji kwa haraka akaingiza mkono wa kulia ndani ya mfuko wa koti, akafungua kifuniko cha bomba la sindano, waandishi kadhaa wakamzonga zonga Jack ambaye naye macho yake yote yapo kwa mgonjwa aliye anaza kupatiwa huduma ya kwanza na madaktari. Muuajia akamchoma sindano ya paja la mguu wa kulia Jack na kaisukuma dawa kwa haraka, kitendo kilicho chukua senkunde moja.
“Aiiiii……”
Jack akajishika eneo la paja lake kwa bahati nzuri standa ya kamera ya mmoja wa wandishi imemgusa katika paja lake.
“Samahani boss”
Muandishi wa habari alizungumza mara baada ya kugundua standa yake imemgusa Jack.
“Usijali”
Jack alizungumza huku akitembea kuelekea katika eneo analo patiwa mgonjwa huduma ya kwanza na madaktari.
“Tunaomba musirekodi tafadhali”
Daktari mmoja alizidi kusisitiza. Jack akatazama jinsi mgonjwa anavyo patiwa matibabu ila kwa bahati mbaya mgonjwa hakumaliza hata dakika mbili akakata roho kitendo kilicho mfanya Jack kushusha pumzi yingi akiona huruma kwani jamaa aliye fariki ni kijana mdogo sana.

ENDELEA
Taratibu daktari akamfunika shuka mgonjwa aliye fariki. Jack akapepesuka kidogo ila mlinzi wake akamdaka.
“Vipi?”
“Najisikia vibaya ngoja nitoke nje”
Jack akatangulia mlinzi akifwata kwa nyuma. Wakafika nje huku Jack akihisi mwili wake damu kumchemka sana.
“Nahisi joto”
“Joto?”
“Ndio”
Jack akafungua kifungo kimoja cha shati.
“Ni kwa sababu ya yule jamaa kufa au?”
“Ina wezaekana”
“Mmmmm sio kawaida mkuu kwa maana ni wengi wamefia mikononi mwako, ina wezekanaje ikawa una ogopa kwa huyu”
“Naomba maji”
Meneja wa kiwanda akafika walipo simama.
“Kalete maji ya kunywa”
Mlinzi alimtuma meneja. Meneja akaondoka kwa mwendo wa haraka.
“Hii si kawaida”
“Kwa nini?”
“Naanza kuona kizunguzungu”
“Isije ikawa ni sumu boss?”
“Sumu?”
“Ndio umegusana na watu kadhaa hapa”
“Twende kwenye gari. Nishike mkono sihitaji wanione nina pepesuka”
Mlinzi akamsika Jack mkono huku muaji akiwashuhdia kwa mbali. Akatoa simu yake mfukoni mwake na kuwapiga picha kadhaa.
‘R.I.P Jack sikutarajia kama kazi yangu ingekuwa ni nyepesi kiasi hichi. Akili kubwa mwangu.’
Muuaji alizungumza kimoyo moyo. Mlinzi akafungua mlango wa nyuma wa gari na akamuingiza Jack anaye zidi kutokwa na jasho jingi. Akamakalisha Jack kwenye siti, kisha kwa haraka akazunguka nyuma ya gari na akachukua kisanduku kikubwa kilicho tengenezwa kwa plastiki ngumu, akarudi alipo mkalisha Jack. Akamafungua kisanduku, akachukua bomba la sindano lenye dawa yake ndani.
“Nichome hapa”
Jack alizungumza huku macho yakiwa tayari yametawaliwa na uwekundu. Mlinzi akamchoma sindano ya paja Jack na akaisukuma wada yote na akaichoa sindano.
“Kumbe mupo huku?”
Meneja alizungmza huku akihema.
“Asante”
Mlinzi alizungumza huku akipokea chupa ya maji. Akafigua, akampa Jack na akaanza kuyanywa maji hayo kwa kasi hadi akamaliza chupa yote ya lita moja na nusu.
“Boss ana tatizo gani?”
“Hana tatizo”
Meneja akashindwa kuuliza swali jengine.
“Hakikisha wagonjwa wote wana simamiwa, walio fariki familia zao ziongezwe bonuss. Usizidise namba ya uongo kwani tuta kuwa tuna fwatilia hili jambo kwa umakini”
“Sawa mkuu”
“Tuondoka”
Mlinzi akafunga kisanduku cha dawa.
“Kiweka hapa”
Jack alizungumza na mlinzi akakiweka kisanduku pembeni yake.
“Nenda”
Meneja akaondoka.
“Kuna mtu amenichoma sindano ya sumu”
Jack alizungumza akijisikia unafuuu, kwani antidote aliyo chomwa ina nguvu ya kuua sumu ya kila aina na imekuwa ni utaratibu wake wa kutembea na dawa za kila aina kwani endapo ata kumbwa na janga lolote basi ana weza kujipatia huduma ya kwanza.
“Unajisikiaje?”
“Nafuu….Sumu imesha anza kuondoka mwilini”
“Kwa nini tusimtafute muuaji hapa hapa kwa maana endapo ata kuona ata changanyikiwa na mpamgo wake utakuwa umekwisha”
“Una bastola ya ziaza”
“Ninayo”
“Naiomba”
Mlinzi wake akampatia bastola.
“Naomab silencer”
Akapatiwa kiwambo cha kuzuia sauti, akaifunga mbele ya bastola kisha akaichomeka kiunoni mwake. Akatazama sindano kadhaa ndani ya kisanduku, akachukua sindano ya kuupa mwili nguvu, akajichoma katika paja na baada ya dakika mbili akahisi nguvu kubwa mwilini mwake. Akafungua vifungo vya shati lake.
“Tukamtafute ata kuw amiongoni mwa wale waandishi wa habari”
“Saa boss”
Wakashuka ndnai ya gari na kuanza kutembea kuelekea katika wodi waliyo toka,
“Haiwezekani”
Muuaji alizungumza huku simu ikiwa sikioni mwake.
“Haiwezekani nini?”
“Nakupigia boss”
Muuaji alizungumza huku akimtazama Jack na mlinzi wake wakiingai ndani ya wodi ya wagonjwa tena Jack akiwa mzima wa afya.
‘Inawezekanaje ikiwa sumu niliyo mchoma ni hatari sana na ina ua ndani ya dakika kumi tu?’
Muuaji alijiuliza na kukosa jibu. Waandishi wa habari wakaanza kumsonga tena Jack waliye amini kwamba ameondoka. Macho ya Jack na mlinzi wake kwa sasa yakawa yahazingatii kuwatazama wagonjwa na yakawa yana tazama sura za waandishi wa habari hao.
‘Huyu kwa sasa ana paswa kuuliwa na bastola.’
Muuaji akaondoka eneo la jengo wodi na kuelekea lilipo gari lake, akaingi andani ndnai, akachukua bastola yake. Akaifunga kiwambo cha kuzuia sauti, akahakikisha amekikaza vyema, kisha akaichomeka kiunoni mwake, akaifunika na shati pamoja na koti jeupe alilo livaa, akashuka ndani ya gari na kuelekea katika wodi alipo Jack.
***
“Watalazwa kwa muda gani?”
Mrs Tiger alimuuliza daktari.
“Vidonda vya kuunga na moto huwa vina chukua muda mrefu hadi kupona. Hivyo tunaendelea kuwapa uangalizi wa hali ya juu”
“Sawa nawaomba muwafwatile hali zao”
“Usijali mkuu”
“Niwatakie kazi njema”
“Nawe pia”
Mrs Tiger akatoka na walinzi wake nje ya hospitali ya Mloganzila. Akawakuta waandishi wa habari wakimsubira. Wakasogelea.
“Waachieni”
“Mrs Tiger kwanza pole kwa ajali ya moto iliyo tokea katika kiwanda chenu cha sukari”
“Nashukuru sana”
“Je hadi sasa vifo ni vingapi na majeruhi ni wangapi?”
“Ripoti ya vifo, majeruhi na walio nusurika vita tolewa na mamlaka husika”
“Chanzo cha moto ni nini?”
“Hadi hivi sasa hatujatambua ila uchunguzi una endeele uatakapo malizika pia mamlaka zinazo husika na uchunguzi huo zita zungumza.
“Mrs Tiger tuna sikia kwamba. Mzee Tiger ameparalaizi je ni kweli?”
Swali hilo likamfanya Mrs Tiger kumtazama muandishi wa habari huku akitabasamu.
“Sio kweli. Ila mume wangu ana umwa hayupo sawa ndio maana katika hili jambo hamjamuona”
“Tuna sikia James Tiger hajapewa mirathi Je ni kweli?”
“Hahaaa ni stori za uongo na isitoshe ila mtoto wangu ana miliki vitu vyake. Hatuna mirathi kwenye familia yangu. Asanteni jamani”
Walinzi wakawazuia waandishi wa habari kuendelea kumuhoji Mrs Tiger na akaingia ndani ya gari lake.
“Hawa wapumbavu wemepata wapi habari za mume wangu kuparalaizi?”
Mrs Tiger alizungumza kwa kukasirika.
“Ina wezekana wakurugenzi walio fika jana wamevujisha taarifa hizo”
Mlinzi wake alijibu.
“Peleleza na ujue ni nani amevujisha taarifa”
“Sawa boss”
“Nipelekeni kwenye maegesho ya ofisi”
“Sawa”
Mrs Tiger akatoa simu katika pochi na akatoa simu mfukoni mwake.
“Vipi?”
“Poa kipenzi nakutazama hapa kwenye tv”
“Umefika?”
“Ndio”
“Nakuja muda si mrefu”
“Sawa”
Mrs Tiger akakata simu. Wakafika katika jengo la ofisi za kampuni yake ya vipodozi. Gari zikasimama katika maegesho ya chini ya gorofa hiyo.
“Nendeni nyumbani nahitaji kuwa peke yangu”
“Sawa mkuu”
Walinzi wa Mrs Tiger wakaondoka. Mrs Tige akaingia katika gari lake jengine ambalo husimama katika maegesho ya ofisini kwake na akaondoka kuelekea katika nyumba yake ya siri kwa ajili ya kuonana na Dany,
***
“Kuzungumza uongo ndio kitu anacho kiweza huyu shetani”
Sophia alizungumza huku wakitazama mahojiano ya mama yake kwenye tv.
“Kwa nini una sema hivyo”
“Tuachane naye.”
Sophia akabadilisha chanel.
“Sijampigia mume wangu na kumuuliza ana endeleaje”
“Kampigie”
“Umeridhika?”
“Ndio kipenzi na hasira imeniisha”
Valentina akambusu Sophia mdomoni, akashuka kitandani, akavaa nguo zake na akatoka chumbani kwa wifi yake. Akaingia chumbani kwake na kukaa kitandani. Akaichukua simu na kutazama jumbe kadhaa zilizo ingia. Hapakuwa na ujumbe wowote kutoka kwa Jack. Akamapigia simu.
“Mume wangu”
“Ngoja nakupigia kuna jambo nafanya”
“Upo poa lakini?”
“Ndio. Nakupigia”
Jack akakata simu
“Boss na hisi hawa waandishi wa habari hawahusiki.”
“Chriss tuwafwatilie hawa madaktari”
“Sawa boss”
Jack na mlinzi wakaendelea kuwafwatilia madakatri ila hakuwa na daktari waliye mtilia shaka. Wakatoka nje ya wodi.
“Samahani”
“Daktari mmoja aliwafwata.
“Bila samahani”
“Kuna mtu muna mtafuta?”
Jack na mlinzi wake wakamtazama daktari.
“Hapana”
“Sawa”
Daktari akaondoka. Jack akampigia simu James.
“Bro”
“Vipi”
“Aisee kuna fala amenichoma sindano ya sumu nilipo kuwa wodini. Ndnai ya wodi hakuna kamera ninayo hisi yule muuaji ana weza kuwa amejichanganya kati ya wanadishi wa habari na madakatri. Una weza kudukua kamera za hii hospitali”
“Ngoja niangalie. Asiee pole sana”
“Nashukuru sana bro”
Jacka akakata simu.
“Tumesimama eneo lipo open sana boss”
“Muuaji hawezi kuniua kwenye eneo lenye macho ya watu wengi. Ndio maana hata mpango wake wa kunichoma sindano aliufanya nikiwa nimezongwa zongwa na watu”
‘Wana nitafuta hawa’
Muuaji alizungumza huku akitoka ndani ya wodi wagonjwa. Akapia mita kadhaa katika eneo alilo simama Jack na mlinzi wake.
Jack akamtazama daktari aliye pita mbele yao. Akamtazama jinsi anavyo tembea, akatoa simu yake mfukoni na kuitazama video ambayo James alimtumia ikimuonyesha mlipuaji anavyo tembea.
“Hafanani naye”
Jack alizungumza akirudisha simu yake mfukoni.
“Nani”
“Yule jamaaa nilikuwa nina mfananisha na aliye lipua kiwanda.”
Chris akamtazama daktari huyo anaye elekea eneo la maegesho ya magari.
“Kwa kinacho endelea hapa hospitalini kwa nini ana ondoka”
Chris alizungumza huku akianza kupiga hatua za taratibu kumfwatilia daktari anapo elekea na akamuona akiingia ndani ya gari aina ya Harrier.
“Kama ni daktari kweli hato ondoka ila kama ni muuaji tunaye mtafuta basi ata washa gari na kuondoka”
Chris alimuambia Jack aliye simama pembeni yake. Muuaji akawasha gari, akalirudisha nyuma taratibu na kuanza kuondoka eneo la hospitalini.
“Mkuu yule ndio mtu wetu tumuwahi”
Jack na Chris wakakimbilia lilipo gari lao, wakaingia ndnai na kuanza kulifwatilia gari la muuaji bila hata ya kuwashirikisha askari walipo eneo la hospitalini hapo.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack ameponea chupu chupu kufa kwa sumu. Baahati nzuri kwake na bahati mbaya kwa muuaji ni kuweza kumgundua na kuanza kumfwatilia je wata fanikiwa kumkamata muuaji huyo? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 48.
 
Back
Top Bottom