Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 32

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Hata mimi nina amini hilo”
James akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa.
“Usirudi kwenye maisha yale ambayo baba ana taka uyaishi. Ni maisha mabaya sana mdogo wangu. Una weza kuhisi una pendwa ila una jitengenezea uadui usio na sababu ya msingi”
“Ni kweli bro.”
“Tuna paswa na sisi kuwa na familia zetu. Tusiabudu utajiri ambao una matatizo chungu nzima, damu za watu wengi zina mwagika bila sababu ya maana hivo acha hayo maisha”
“Kuanzia hivi sasa nimeyaacha”
“Una mjua baba yako na mama yako. Ukiwaambia umeyaacha wayatakayo hivi una geuka kuwa adui yao. Yaani wazazi wana taka hadi kuniua ni kitu cha ajabu sana”
“Tuachane na hayo bro. Naweza kukusimamia harusi yako?”
James akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa bila ya kumpatia jibu la moja kwa moja kwani endapo wazazi wao wata baini Jack amehusika katika kusimamia harusi yao, basi uadui mpya utazaliwa katika ya Jack na wazazi wake.

ENDELEA
“Unajua ni nini kitakacho kukuta kwa baba yako na mama yako?”
“Usiwe na shaka bro. Lazima tujue kujisimamia sisi wenyewe”
“Sawa. Nashukuru kwa kuwa upande wangu”
“Usijali bro”
Jack akanyanyuka, akafungua mlango na kumpa ishara mchungaji Kimarao na Valentina. Wakarudi ofisini.
“Mke wangu tuna simamia harusi ya shemeji yako. Eti mchungaji si sawa?”
“Ndio ni sawa. James kamleta bi harusi wako”
“Sawa mchungaji”
James akatoka chumbani hapo. Baada ya dakika tano akarudi akiwa ameongozana na Rose. Akamtambulisha Rose kwa Valentina na Jack. Machungaji Kimaro akawapatia mafundisho ya ndoa kwa muda mufupi kisha wakaingia kanisani na ibada ya ndoa ikaanza wakiwa watu watano pekee. Ndoa ya James na Rose ikafungwa.
“Tupige picha ya ukumbusho”
Jack alimuambia mchungaji Kimaro na akawapiga picha wakiwa wamesimama madhabahuni.
“Hogereni sana. Nimefurahi kuwa mchungaji niliye wafungisha ndoa zenu”
“Tuna shukuru sana mchungaji. Japo yangu haina shamra shamra kama ya mdogo wangu”
“Hahahaaa. Tuta fanya sherehe bro”
“Nashukuru sana dogo. Mchungaji nakuingizia sadaka yangu na mke wangu kwenye akaunti ipi?”
“Kuna ile lipa namba ya kanisa pale una weza kulipia tu pale”
“Sawa na wewe namba yako si inapokea pesa?”
“Ndio James”
“Bro fanya hivi, ngoja mimi nilipe sadaka kwa maana si una jua wapambe walipo kwenye mitandao wata fwatilia na kuona p[esa imeingizwa wapi.”
“Sawa dogo. Lipa tano tano kwa kila namba”
“Poa bro”
Jack akalipa milioni tano katika namba ya lipa namba kisha milioni tano nyingine akamuigizia mchungaji Kimaro katika namba yake binafsi. Wakaagana na mchungaji Kimaro na wakaondoka kanisani kwa kutumia gari la Rose huku James na James wakiwa wamekaa siti ya mbele.
“Una mpango gani bro”
“Naondoka nchini na mke wangu”
“Usiniambie?”
“Nataka huu upepo upite kwa sasa. Sihitaji kugombana na yule mzee na mama. Nahitaji watu waishi kwa amani.”
“Una elelea nchi gani?”
“Kwa sasa sijapanga”
“Sawa bro una pendelea sherehe ifanyike wapi?”
“Kwa leo sherehe ita fanyika siku nyingine mdogo wangu. Tuna hitaji kupumzika”
“Jamani shemeji tufurahie sherehe yenu”
“Mume wangu leo siku yetu haijirudii tufurahie ndoa yetu japo na wana familia”
Rose alizungumza.
“Twende nyumbani tukafurahie”
“Sawa”
James akamkubalia Rose.
“Tuelekea nyumbani kwa mzee Chiko”
“Sawa broo”
Jack akendesha gari hadi nje ya geti kuu la nyumba ya mzee Chiko ikiwa ndio mara yake ya kwanza kufika katika nyumba hiyo. Walinzi wawili wenye bunduki wakafika upande wa dereva alipo kaa Jack. Taratibu Rose akashusha kioo cha upande wake.
“Ni mimi”
“Ohoo sawa boss”
Mlinzi aliye jibu akatoa ishra kwa walinzi wengine wanne wa getini na geti likafunguliwa. Jack akaingiza gari ndani. James akamuelekeza kwa kusimamisha gari hilo. Wakashushuka ndani ya gari.
“Karibuni sana”
“Asante sana shem”
Wafanyakazi wakiongozwa na anko Ally wakawapokea James na Rose kwa kuwapigia makofi.
“Asanteni sana”
Rose alizungumza akiwa na furaha. Jack na mke wake wakakaribishwa sebleni. Anko Ally akampa ishara Rose na wakaelekea jikoni.
“Samahani Rose kama nina kuingilia maamuzi yako. Ila yule kijana ana fanya nini hapa?”
“Jack?”
“Ndio”
“Ndio best man wa harusi yetu”
“Upo seriously kweli? Yule kijana ni hatari sana. Ndio anye ongoza oparesheni zote za baba yake.”
“Anko watu wana badilika”
“Wana badilika kweli?”
“Ndio acha wamekuja kufurahia nasi kisha wata ondoka. Kuwa na amani”
“Nawaambia walinzi waongeze umakini naye. Tusijisahau”
“Sawa.”
Rose akatoka jikoni hapo.
“Mke mwezangu apo wapi hawa waume zetu?”
“Wamechukuana huko wamesema wana kwenda kwenye garden”
“Ohooo karibu nikuonyeshe onyeshe mazingira”
“Asante”
Rose na Valentina wakatoka nje ya nyumba na akaanza kumuonyesha mazingira ya nyumba hiyo.
“Najisikia vibaya sana kukaa hapa”
“Kwa nini dogo”
“Nikikumbuka ule usiku katika bwawa la mamba na picha nilizo ziona ukutani. Moyo wangu una jikuta ukiwa umejawa na uchungu na majuto sana”
“Sio wewe. Ulifanya kwa sababu ya matakwa ya baba”
“Yaani naumia bro. Natamani kukiri kwa sehemu kilicho tokea”
“Usifanye hilo. Kausha kama vile hakijatokea kitu”
“Sawa broo”
“Ila kama kweli umeombewa na moyo wako umeamua kubadilisha vitendo vyako tafadhali sana usirudi kwenye maisha ya nyuma”
“Hapa nina mpango wa kujenga nyumba kwenye kile kiwanja changu kule Mbweni”
“Ila kumbuka kuna jaa maji pale kipindi cha mvua”
“Natafuta kampuni ya kichina ambayo ita nijiengea nyumba hata zikinyesha mvua kubwa maji yasijae kabisa kwenye eneo la nyumba yangu”
“Itakuwa ni garama”
“Bora garama kaka kuliko hasara nitakayo kuja kuipata. Nataka niondoke kwenye roof ya wazazi.”
“Kuwa makini na mama”
“Kwa nini?”
“Mama ndio mtu hatari sana na ana ushawishi mkubwa sana kwa baba. Mama roho yake ni chafu kwa maana sidhani kama kuna mama ambaye duniani ana furahia mwanaye auwawe”
“Usemalo ni kweli”
“Yaa kuwa naye makini mmno”
James akaoa simu yake mfukoni inayo ita.
“Umefika getini?”
“Ndio”
“Mpe mlinzi”
“Boss”
“Mruhusini kuingia”
“Sawa boss”
James akakta simu.
“Ngoja nikampokee Sophia”
“Sitser amekuja?”
“Ndio ametoka Arusha na ndege. Yupo getini”
“Sawa bro nipo hapa”
James akaondoka aneo hilo. Akakutana getini na Rose pamoja na Valentina wakiwa wana tembea tembea.
“Wifi yako amefika”
“Yupo wapi?”
“Ndio nina enda kumchukua getini”
“Mke mwenzangu ngoja nikampokee wifi yangu.”
“Mume wangu yupo wapi jamani?”
“Ukipita nyuma kule uta mkuta”
“Sawa”
Valentina akaelekea eneo alipo elekezwa na akamkuta Jacka akwa ameshika chupa ya bia.
“Mbona kama huna furaha mume wangu”
“Kwa nini mke wangu?”
“Uso wako unaonekana tu huna furaha.”
“Nipo sawa”
James na Rose wakamtazama Sophia anaye ingia getini akiwa na pochi yake yake.
“Waooooo. Kaka yangu huyo”
James akakumbatiana na Sophia.
“Sister huyu ni mke wangu anaitwa Rose. Rose huyu ni mdogo wangu anaye nifwata mimi anaitwa Sophia amerithi jina kutoka kwa bibi yetu mzaa baba”
“Kaka yangu unajua kuchagua. Umeoa mwanamke mzuri sana…..Wifi karibu katika ukoo wetu”
“Asante wifi”
Wakakumbatiana kwa furaha.
“Asante sana. Karibu nyumbani”
“Nashukuru sana”
Wakatembea kuingia ndani.
“Baby mama ana nipigia”
Valentina alizungumza akimuonyesha Jack namba ya mama mkwe wake.
“Usipokee”
“Sijawahi kuto mpokelea”
“Ukipokea wana weza kutrace eneo ulipo na ikawa ni shida kwa watu wengine”
“Jamani mume wangu sasa nafanyaje?”
“Ikikata plane mode”
“Mmmmmm”
“Ndio si umetoka na mimi.”
“Eheee hawa wapo”
Sophia alizungumza huku akimshangaa Jack na Valentina.
“Tupo wifi”
Sophina na Valentina wakakumbatiana.
“Shikamoo wifi”
“Marahaba.”
“Shikamoo sister”
“Marahaba. Munaendeleaje?”
“Tunamshukuru MUNGU”
“Wifi karibu ndani”
“Asante sana wifi yangu. Wifi twende”
Sophia akamshika mkono Valentina na Rose na wakaondoka eneo hilo.
“Sijui kwa nini wazazi wana taka kuiondoa hii furaha tuliyo nayo.”
Jack alizungumza na akanywa bia yake kidogo.
“Wazazi wetu wana abudu utajiri kuliko utu. Ndio maana wapo radhi kufanya chochote kwa yoyote ili mradi utajiri wao ubaki. Najua wana kuambia kwamba wewe ndio mrithi ila kuwa makini kwenye hatua zako za kurithi hizo mali”
“Wewe hutaki share ya utajiri wa familia?”
“Hapana. Mimi ni mtoto wa kwanza hivyo kwenye maisha yangu nimekuwa nikipambana kutafuta mali zangu ndio maana niliamua kusoma sana na kuwa mgunduzi wa silaha na program za teknolojia. Nilijua ipo siku ita fika kita charuka kama hivi”
“Ohooo sawa kaka hongera sana”
“Nashukuru”
Jack akatao simu yake mfukoni inayo ita.
“Mama ana piga”
“Mpokelee umsikize”
Jack akapoke simu na akaweka loud speaker.
“Mupo wapi ninyiii”
Mrs Tiger alizungumza kwa sauti ya ukali.
“Nimeamua kutulizana na mke wangu sehemu tulivu vipi?”
“Rudini nyumbani baba yenu ameanguka ofisini kwake na sijui amepitwa na kitu gani. Nampigia daktari aje naye haji”
“Ameanguka kateleza au?”
“Sijui mimi nimekuta kaanguka chini daktari ndio yupo njiani ana kuja”
“Sawa nita rudi. Nipo mbali tuvumilie”
“Mbali wapi jamani munanichia hili jamani”
“Mama si upo na walinzi na wafanyakazi wa ndani. Muangalie bwaana sisi tutarudi baadae”
Jack akakata simu.
“Nendani”
“Hapana”
“Kwa nini?”
“Bro kama nilivyo kueleza walitaka kumchukua mke wangu, nikajiwahi kanisani na nikaombea. Naahisi japo sina uhakika kuwa baba wata mchukua balada ya mke wangu”
James akamtazaa Jack.
“Kwa jinsi ninavyo mpenda mke wangu siwezi kukubali akafa kijinga kisa mali za familia”
“Nimekuelewa dogo.”
“Akifa naamini hizi kelele zeote zitaisha bro.”
“Usimuombee afe bwana”
“Bro mpaka mtu ana kushawishi umuue ndugu yako wa damu una hisi ni mtu sahihi kweye maisha yako? Ni ukatili ulio pita kiwango aiseee……Bora kuua mtu mwengine kuliko ndugu yako wa damu. Nilikuwa nina shidwa sana kwani ukiangalia yale maisha yetu ya utotoni aisee ilikuwa ni ngumu sana bro”
Jack alizungumza akimaanisha anacho kizungumza na akamfanya James kulengwa lengwa na machozi ya furaha kwani upendo alio uwekeza moyoni mwa mdogo wake leo hii una muepusha na kifo.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Taarifa ya mzee Tiger kuanguka na akiwa ofisini kwake inakuwa ni taarifa ya furaha kwa Jack ambaye ana amini mke wake ataendelea kuwa hai je Mzee Tiger ata kufa? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 33.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 33

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Kwa nini?”
“Bro kama nilivyo kueleza walitaka kumchukua mke wangu, nikajiwahi kanisani na nikaombea. Naahisi japo sina uhakika kuwa baba wata mchukua balada ya mke wangu”
James akamtazaa Jack.
“Kwa jinsi ninavyo mpenda mke wangu siwezi kukubali akafa kijinga kisa mali za familia”
“Nimekuelewa dogo.”
“Akifa naamini hizi kelele zeote zitaisha bro.”
“Usimuombee afe bwana”
“Bro mpaka mtu ana kushawishi umuue ndugu yako wa damu una hisi ni mtu sahihi kweye maisha yako? Ni ukatili ulio pita kiwango aiseee……Bora kuua mtu mwengine kuliko ndugu yako wa damu. Nilikuwa nina shidwa sana kwani ukiangalia yale maisha yetu ya utotoni aisee ilikuwa ni ngumu sana bro”
Jack alizungumza akimaanisha anacho kizungumza na akamfanya James kulengwa lengwa na machozi ya furaha kwani upendo alio uwekeza moyoni mwa mdogo wake leo hii una muepusha na kifo.

ENDELEA
“Tuendelee na furaha bro leo ni siku yako”
Jack alizungumza kwa sauti na akanywa bia yote aliyo ishika mkononi mwake.
“Mbona una nikwepa kwepa una nini?”
Sophia alimuuliza Valentina.
“Jamani wifi si tupo kwa watu”
“Sasa kila mtu si ananifahamu kwamba mimi ni wifi yako”
“Kuna maongezi nita hitaji kuzungumza na wewe”
“Mazungumzo gani?”
“Sherehe ikiisha”
“Naamini una nielewa sipendi kuwekwa roho juu namna hiyo. Hembu niambie muda huu”
“Tukaongelee nje”
“Sawa”
Wakatoka nje wakatafuta eneo lisilo na watu na wakasimama.
“Unaangalia nini?”
“Naangalia kama kuna kamera kwa maana kwa muda nilio kaa hapa nimeona kamera nyingi kwenye hii nyumba”
Valentina alizungumza na akamtazama Sophia usoni mwake.
“Ulitaka kuniambia nini?”
“Wifi naomba haya mauhusino yetu yaishie hapa. Sihitaji kuwa msagaji tena”
Sophia macho yakamtoka kw amshangao.
“Una wazimu?”
“Sina wazimu ninacho kuambia ni kweli. Najua unanipenda na nina jua nina kupenda ila naomba tuishie hapa. Nimeamua kuyabadili maisha yangu nahitaji kuwa mke wa mdogo wako na sio wewe. Tunacho kifanya hichi ni dhambi hata mbele za MUNGU na hakimpendezi kabisa. Hivyo tafadhali naomba tubaki kama mtu na wifi yake”
“Hahahaa. Unanitania”
Sophia alizungumza huku akicheka.
“Sitanii nipo seriously kwenye hili.”
“Valentina acha utani wako basi”
“Sikutanii wifi. Namaanaisha naomba unisamehe kwenye maamuzi yangu. Ila ukweli nimefika mwisho”
Valentina akamaliza kuzungumza na akaondoka, akamuacha Sophia akilengwa lengwa na machozi. Sherehe ya harusi ikaanza kufanyika huku James na Rose wakiwa wametawaliwa na furaha kubwa.
***
“Daktari ni nini?”
Mrs Tiger alimuuliza daktari mara baada ya kumaliza kumuhudumia mzee Tiger kwa kumuwekea mashine za kumsaidia kupumua.
“Mzee amepatwa na kiharusi”
“Nini?”
“Ndio madam. Hivyo tunahitaji kumfanyia vipimo zaidi ikiwezekana afanyiwe upasuaji kwani changamoto kama hii huwa inaanzia kichwani na inavyo onekana kutakuwa na itilafu katika mishipa yake ya kichwa”
Mrs Tiger machozi yakaanza kumlenga lenga huku akimtazama mlinzi mkuu wa mzee Tiger.
“Mbona alikuwa vizuri leo siku ilipo anza eheee?”
Mrs Tiger alizungumza akilia.
“Ina wezekana kwa nje ana weza kuwa ni mzima ila kwa ndani kichwa chake kikawa kimetawaliwa na wimbi kubwa la mawazo ambayo yamepelekea mishipa yake ya damu kichwani kupasuka. Inabidi mukae kama familia ili ikiwezekana mukubaliane katika kumfanyia upasuaji”
Mrs Tiger akajifuta machozi.
“Na upasuaji ina bidi uwe wa haraka iwezekanavyo la sivyo tuna weza kwenda kumpoteza mzee”
“Sawa”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi. Akampigia simu Valentina ila simu ya Valentina haipatikani, akampigia simu Jack ikaita kidogo ila ikakata.
“Kwani hawajaenda na walinzi hawaaa”
Mrs Tiger alimuuliza mlinzi wa mzee Tiger.
“Walitoka wenyewe”
Mrs Tiger akaondoka nje ya chumba alicho lazwa Mr Tigr ambacho kipo ndani ya kasri lao. Akampigia simu Sophia. Simu ya Sophia ikaita kwa sekunde kadhaa kisha ikapokelewa.
“Upo wapi?”
“Unataka nini?”
“Baba yanu ameanguka na kuparalazi. Hali yake ni mbaya na ana takiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka.”
“Nini?”
“Ndio bado yupo nyumbani.”
Mrs Tiger akafuta machozi yanayo mbubujika na akaingia chumbani kwake. Akakumbuka wiki kadhaa jinsi familia yake iliyo tawaliwa na furaha. Ila leo hii familia imeparanganyika kwa maamuzi yao ya hasira ambayo hapo mwanzo yalipaswa kutumia akili tu kuweza kusuluhisha changamoto zao.
‘Nimefanya nini mimi……’
Mrs Tiger alizidi kulia kwa uchungu akijilaumu huku akitamani kurudisha siku na masaa nyuma kusuhulisha changamoto iliyo mkuta mume wake.
***
Sophia akamfwata James na Jack sehemu waliyo simama na wakasogea pembeni.
“Kuna nini dada?”
Jack aliuliza.
“Mama amenipigia simu. Baba ameparalaizi”
“Ameparalaizi!?
James aliuliza kwa mshangao.
“Ndio na ana paswa kufanyiwa upasuaji.”
“Naona huo upasuaji hauna haja. Apumzike tu”
Jack alizungumza na kumfanya Sophia kushangaa.
“Kumbuaka hapa tuna mzungumzia baba yako kipenzi.”
Sophia alizungumza kwa mshangao.
“Kama MUNGU ameamua kumpumzisha ampumzishe tu. Sisi hatuwezi kuzuia. Baba leo hii amesababisha kaka yetu ana ishi kiwoga woga akiogopa kuuliwa na familia yake.”
Jack alizungumza kwa msisitizo.
“Haijalishi Jack ila yule ni baba yetu. Makosa aliyo yafanya hatupaswi kuyahukumu”
“So unataka bro arudi kwenye lile kasri ili auwawe?”
“Nisikilizeni”
James alizungumza.
“Jacka najua una jua ni kwa nini baba amefaya hivyo. Kwa sasa tuzingatie hali yako”
“Bro kwa hiyo unataka kumpoteza mkeo? Kwa maana yule mama yetu naye ni jini mnyo damu”
“Hatupaswi kukimbia tena”
“Bro kuna vikosi vinakusaka kila sehemu wewe na mkeo”
Jack alizungumza kwa msisitizo.
“Wana jadiliana nini?”
Rose alimuuliza kwa kunong’oneza Valentina aliye simama pembeni yake.
“Ina onekana kuna kikao cha kifupi cha familia”
Rose na Valentina wakawatazama James na wadogo zake jinsi wanavyo zungumza.
“Ila wewe si una ongoza watu wote wa mzee. Wapigie simu na wasitishe msako wa kunitafuta”
“Kuna wanao nisikiliza na kuna wale ambao hawaezi kunisikiliza kutokana wana fanya kazi moja kwa moja na baba”
“Najua una jua nini cha kufanya Jack”
James alizungumza na kumfanya Jack kushusha pumzi nyingi.
“Dogo wazuia wote waache kumsaka bro na mkewe”
“Ngoja niangalie nini cha kufanya”
Jack akatoa simu yake mfukoni na akampigia mkuu wa oparesheni ya kumsaka James na Rose.
“Ndio boss”
“Sitisheni oparesheni ya kumtafuta James na Rose”
“Naweza kuuliza kwa nini?”
“Hiyo ni amri yangu. Waambie vijana wako wote warudi kwenye majukumu yao”
“Sawa mkuu.”
Jack akakata simu.
“Hawa ni wale ninao wamudu. Kuna wale wanao pokea amri kutoka moja kwa moja kwa baba.”
“Tutajua nini cha kufanya ila kwa sasa tushikamena kama familia. Waite mawifi zako”
James alimtuma Sophia.
“Bro una uhakika na maamuzi yako?”
“Ndio”
“Wale watu ni washenzi. Hawato jizuia kufanya watakacho hadi pale amri ya baba itakapo toka”
“Usijali dogo”
Valentina na Rose wakafika eneo walilo simama.
“Najua tupo katikati ya furaha. Ila kuna tatizo limetokea”
James alizungumza
“Tatizo gani?”
Rose aliuliza akiwa amejawa na wasiwasi.
“Baba ameparalaizi. Hivyo unahitajika upasuaji wa haraka sana kuweza kufanyiwa”
“Yupo wapi?”
Valentina aliuliza.
“Yupo nyumbani”
“Mke wangu najua hili jambo limekaa vibaya kwa upande wetu kutokan ana kilicho nikuta. Ila ina bidi nifike nyumbani”
“Na mimi nina kuja?”
James akamtazama Rose kwa mshangao.
“Nimesha kuwa mkwe wa hii familia na hili tatizo ni la kifamilia hivyo nami nahitajika kuhusika”
“Shem….ahaa…”
Jack alijing’ata ng’ata.
“Shem najua kila kitu, mume wangu alisha nieleza hivyo hatuwezi kukimbia hata kwenye matatizo ya kifamilia”
“Wifi yangu twenda nita kulinda hakuna mpuuzi yoyote atakaye kusumbua”
“Sawa wifi”
“Ina bidi tuwaage hawa tuna sherekea nao”
“Sawa”
James akamshika mkono Sophia na wakafika mbele ya wafanyakazi wa nyumba ya mzee Chiko.
“Jamani tuna penda kuwashukuru sana kwa kutuunga mkono katika sherehe yetu ndogo ambayo tumeifanya. Tuna waomba muendelee kuburudika na sisi kuna mahala tuna elekea mara moja”
Rose alizungumza.
“Sawa boss”
Anko Ally akampa ishara Rose na wakasogea pembeni.
“Samahani sipaswi kuuliza kila kitu ila una eleke wapi?”
Rose akashusha pumzi taratibu.
“Kuwa na amani. Tuna toka kifamilia”
“Nenda basi na walinzi”
“Hakuna haja ya kwenda nao. Ni jambo la kifamilia”
“Una uhakika Rose”
“Kuwa na amani anko najua una jali sana kuhusiana na usalama wangu ila kuwa na amani hakuna baya ambalo lina weza kunipata”
Anko Ally akashusha pumzi taratibu.
“Beba basi hata bastola ya kujilinda. Siwaamini hawa”
“Kuwa na amani haina haja ya kufanya hayo yote anko. Endeleeni kuburudika sawa”
“Sawa. Ila kama kuna lolote baya lita kutokea nakuomba sana unitumie hata meseji. Nitachukua vijana wetu wote na wata wasambaratisha hawa watu”
“Usijali anko baadae”
Rose akajumuika na mume wake. Wakatoka nje ambapo wengine wamesha tangulia. Jack akasimamisha gari mbele ya Valentina na Sophia. James na Rose akafika eneo hilo. James akapanda siti ya mbele huku Sophia na mawifi zake wakikaa siti ya nyuma. Wakaondoka katika kasri la mzee Chiko na kuiaza safari ya kuelekea nyumbani kwao.
“Hivi ni hospitali gani ina weza kufanya upasuaji mzuri?”
James aliiliza.
“Zipo nyingi mbona kaka”
Sophia alijibu
“Ina bidi tumpatie daktari bora sana wa upasuaji”
“Kuna daktari mmoja bingwa wa oparesheni hizo yupo nchini South Korea tuna weza kumuita na timu yake ikaja hapa Tanzania kwa ajili ya upasuaji huo”
Rose alizungumza.
“Kama ni hivyo wifi wasiliana naye”
“Ngoja tujue kwanza mahitaji ya ugonjwa wake kisha ndio mambo mengne yaendelee”
James alizungumza. Wakafika katika kasri la mzee Tiger. James akashusha pumzi nyingi huku akitazama geti linavyo funguka taratibu. Jack akaendesha gari katika barabara inayo elekea katika jumba lao. Kwa mwendo wa dakika tano wakafika katika eneo la amegesho.
“Kuweni na amani hakuna wa kuwagusa”
Jack alizungumza akiwa wa kwanza kushuka ndani ya gari. James akamtazama mke wake aliye kaa siti ya nyuma
“Usiogope”
James alimuambia Rose. Wakashuka ndani ya gari na kuingia ndani. Kila mfanyakazi anaye jua kinacho endelea ndani ya famila kuhusiana na James akajawa na mshangao. Wakawakuta madaktari wanne wa familia wakiwa wana jadiliana. Wakasalimiana nao.
“Madam Jack amekuja”
Mpambe wa Mrs Tiger alimuambia.
“Sawa”
“Ila amekuja na James”
“James”
“Ndio”
Mrs Tiger akanyanyuka kwa haraka kitandani alipo kaa akatoka chumbani kwake na mpambe wake na wakashuka kutoka gorofani hadi sebleni. Mrs Tiger akazidi kushangaa kumuona James na Rose. Akatembea hadi walipo wanapo zungumza na madakari.
“Naombeni mutupishe”
Mrs Tiger alizungumza akimtazama Rose na James kwa macho ya hasira.
“Kama una cha kuzungumza zungumza mbele ya kila mtu mama.”
Jack alizungumza akimtazama mama yake usoni.
“Hamjanisikia. Nimesema tupisheni”
Mrs Tiger alizungumza kwa ukali.
“Hakuna mtu kutoka. Mama zungumza unacho taka kuongea, sioni haja ya madakatari na walinzi wa mzee kutoka. Kama kuna jambo lolote unalo taka kuongea ongea nao”
Mrs Tiger akafumba macho huku akitemeka kwa hasira.
“Nitawafuta kazi wote….nimesema tokeni”
“Mimi ndio boss na mimi ndio mmiliki wa hadi eneo ulilo simama mama. Hivyo kama mtu unataka kupoteza kazi yako. Piga hatua hata moja utokea hapo ulipo simama”
Kauli ya Jack ikazidi kuwaacha njia panda kuanzia madaktari, walinzi na wafanyakazi wa ndani huku Mrs Tiger akzidi kuvurugwa akili yake kwa maamuziya Jack.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Mrs Tiger ana kutaa na upinzani mkali kutoka kwa mwanyae kipenzi Jack ambaye sasa ana onyesha yupo upande wa James na mkewe Rose je nini ambacho kita tokea ndani ya familia ya mzee Tiger? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 34.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 34
.

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Naombeni mutupishe”
Mrs Tiger alizungumza akimtazama Rose na James kwa macho ya hasira.
“Kama una cha kuzungumza zungumza mbele ya kila mtu mama.”
Jack alizungumza akimtazama mama yake usoni.
“Hamjanisikia. Nimesema tupisheni”
Mrs Tiger alizungumza kwa ukali.
“Hakuna mtu kutoka. Mama zungumza unacho taka kuongea, sioni haja ya madakatari na walinzi wa mzee kutoka. Kama kuna jambo lolote unalo taka kuongea ongea nao”
Mrs Tiger akafumba macho huku akitemeka kwa hasira.
“Nitawafuta kazi wote….nimesema tokeni”
“Mimi ndio boss na mimi ndio mmiliki wa hadi eneo ulilo simama mama. Hivyo kama mtu unataka kupoteza kazi yako. Piga hatua hata moja utokea hapo ulipo simama”
Kauli ya Jack ikazidi kuwaacha njia panda kuanzia madaktari, walinzi na wafanyakazi wa ndani huku Mrs Tiger akzidi kuvurugwa akili yake kwa maamuziya Jack.

ENDELEA
Mrs Tiger akamtazama Jack kwa hasira na akaondoka na mpambe wake akimfwata kwa nyuma.
“Huyu mtoto ameanza kuota mapembe eheee?”
Mrs Tiger alizidi kufoka kwa hasira, akaingia chumba alichopo Mzee Tiger.
“Na wewe una fwata nini ondoka”
“Samahani madam”
Mrs Tiger akasogea katika kitanda alicho lazwa.
“Mume wangu una ona wanao…..Wameungana wapumbavu hawa……Jack hasikii wala kuambiwa amakuja na kaka yake na yule malaya tuliye mkataza kuolewa kwenye hii familia”
Japo mzee Tiger hawezi kuongea ila uso wake ukaonyesha mikunjo inayo ashiria ni hasira na amekasirishwa na taarifa hiyo.
“Ndio mume wangu na James amekataa kweli kunisikiliza mbele za watu ana nifukuza na kuniona mimi kama mpumbavu”
Mrs Tiger alizidi kujilalamisha mbele ya mumewe ambaye kuzungumza hawezi kutokana na kuparalaizi.
“Shem kuwa na amani”
Jack alimuambia Rose.
“Sawa shem”
“Poleni eehee mzee ana changamoto ni ipi?”
James aliwauliza madaktari.
“Changamoto iliyo pelekea mzee hadi kuparalaizi ni mshipa wa damu umepasuka kichwani na kupekekea kuparalaizi. Hivyo tuna hitaji familia iruhusu afanyiwe upasuaji wa haraka japo hali yake ya kiafya sio nzuri”
“Sio nzuri kivipi?”
Sophia aliuliza.
“Hatujajua kama alisha waeleza ila ina bidi mutambue”
“Tuelezeni tu”
Sophia alizungumza.
“Mzee ana saratani”
“Saratani!?”
Sophia aliuliza kwa mshangao.
“Ndio ipo stage ya tatu kuelekea stage ya nne”
“Fuc**”
“Hivyo hata upasuaji wake ni asilimia hamsini kwa hamsini kwa yeye kuweza kupona”
“Upasuaji utafanyika wapi?”
James aliuliza.
“Hospitalini mkuu”
“Tupeni muda wa kujadiliana”
Jack alizungumza.
“Sawa boss”
“Baby nenda na mke mwenzio mukapumzike”
“Sawa.”
Valentina na Rose wakaondoka sebleni hapo huku Jack na ndugu zake wakiingia katika moja ya chumba cha wageni.
“Mbona hamjashtuka kusikia kama mzee ana saratani”
“Mimi nina jua”
Jack alizungumza.
“Hata mimi nina jua na nilisha andaa program ambayo ingemsaidia kupambana na saratani yake ila mwisho wa siku akafanya alicho kifanya”
“Hiyo program ipo?”
Sophia aliuliza.
“Ndio ipo”
“Kama unaweza kumuwekea baba na apone”
“Hakuna haja”
Jack alizungumza an kuwafanya ndugu zake kumshangaa.
“Ndio hakuna haja kwa sababu maisha yangu yameharibiwa na huyu mzee. Familia imekwenda kuparanganyika kwa sababu ya huyu mzee. Tumuache apumzike kwa amani ya bwana”
“Jack huyu ni baba?”
Sophia alizungumza kwa sauti ya huzuni.
“Najua ni baba ila alipo kuwa ana nipa oda ya kumuua bro alikuwa ni nani?”
Sophia akakaa kimya.
“Mzee kafika hatua ya kupumzika tumuache apumzike”
Jack alizungumza kwa msisitizo.
“Hata kama baba ni mbaya kiasi hicho ila sio sawa kwa sisi kumfanyia hivi apate huduma na kama kufa afe kwa mpamgo wa MUNGU eti kaka James?”
James akakaa kimya.
“Halafu Jack wewe ndio mtoto kipenzi wa baba, imekuwaje unataka kumfanyia hivi ehee?”
“Sister kuna siri huzijui za hizi familia hivyo ni bora kuacha sadaka iondoke na aliye ianzisha”
“Sadaka sijakuelewa Jack”
“Bro nimueleze”
“Mueleze ana paswa kujua ukweli”
James akashusha pumzi taratibu.
“Ipo hivi. Watoto wa kwanza wa ukoo huu huwa wana takiwa kufa wakiwa na umri wa miaka arobaini na mbili. Hapaswi kuoa wala kuwa na watoto ndio maana una muona kaka yetu hadi sasa hivi yupo hivi”
“Mmmm!”
“Usishangae usione utajiri huu, nyuma kuna kafara kubwa na kafara moja wapo ni bro na ina paswa mtoto wa pili wa kiume ambaye ndio ana kuwa mrithi wa mali ana muua ndugu yake akishindwa basi mke wa huyo mrithi wa mali ana kufa”
“Unataka kusema Valentina ata kufa?”
“Tena saa kumi na mbili leo”
“NINI?”
Sophia aliuliza kwa mshtuko huku akimtazama Jack.
“Ndio ukweli huo dada mkubwa. Na ilinilazimu kukimbilia kanisani kwenda kuonana na mchungaji na MUNGU alivyo kuwa wa ajabu akanikutanisha na bro akiwa na ajiandaa katika kufunga ndoa”
“Umejuaje hayo yote?”
“Yapi?”
“Hayo ya mkeo kufa?”
“Siku tatu nyuma nilikwenda katikati ya bahari na baba.”
“Ehee ikawaje?”
Jack akamuelezea Sophia kila kilicho tokea alipo kuwa baharini.
“MUNGU wangu kumbe utajiri wote huu ni wa kishetani”
“Ohoooo naona nilivyo jiwahi tu kanisani. Mzee huku nyuma kapigwa kikumbo kama hicho hali tete”
“Mmmm hadi naogopa mwenzenu”
“Usiogope hiyo ndio dunia tunayo ishi”
James alizungumza.
“Kwa hiyo tuna fanyaje?”
“Mimi kama mimi ushauri wangu ni kumuacha wamchukue wenyewe wanao mchukua. Sisi tukaushe kimya kwani mimi sina mpango wa kumuua mtu tena hususani ndugu yangu. Sijui ninyi wakubwa zangu”
“Tuna paswa kumuita mchungaji”
James alizungumza.
“Mchungaji aje kufanya nini?”
“Kumuombea tu. Una jua kila mtu alikuwa ana ishi kwenye kifungo chake. Wewe umeishi kwenye kifungo cha mauaji ila una roho nzuri. Mimi nimeishi kwenye kifungo cha uzinzi, nikisema nitoe idadi ya wanawake nilio lala nao wana jaa hata basi tano ila sikuwahi kunufaika na chochote. Na wewe Sophia hadi sasa hivi huna mbele wala nyuma hujui hata unacho kitaka kwenye maisha yako upo upo hivyo vyote ni vifunguo ambavyo vimesababishwa hawa sijui niwaite majini au mashetani wana jua wenyewe ila ukiangalia kwenye uhalisia ni kuwa familia yetu ni kipengele”
“Baba ata kubali hata huyo mchungaji aingie humu”
Sophia aliuliza.
“Mimi ndio ninao wasimamia hawa”
Jack alijibu.
“Basi ngoija nimpigie”
“Mama yenu ata kubali?
James aliuliza, kila mmoja akakaa kimya.
“Tuwaache madakari wafanye kazi yao. Tukumuingiza mchungaji kwenye haya matatizo ina weza kumgarimu hata huduma yake. Mama yenu amesha panic hapa akili yake imesha waka moto kwani hata huu ugomvi wa mimi kumuoa Rose yeye ndio aliye mchochea mumewe”
“Duuu!”
Jack alishangaa
“Ndio hivyo tuwaruhusu madaktari wafanye kazi yao”
“Sawa bro”
“Sister”
“Mimi sawa”
Wakatoka ndani ya chumba cha wageni na wakaelekea katika chumba alicho lazwa baba yao. Wakamkuta mama yao akiwa amekaa pembeni ya kitanda.
“Wewe mchawi ndio umesababisha haya yote. Usinge mleta yule mwanamke mchawi hivi sasa baba yako asinge kuwa kwenye hii hali”
Mrs Tiger alizungumza akifoka akimsogelea James alue simama katikati ya wadogo zake.
“Mama acha basi ujinga”
Sophia alizungumza kwa kufoka.
“Sio ujinga. Mume mleta mwanamke shetani ona matatizo yanayo iandama hii familia eheee?”
“Umemaliza mama?”
James alimuuliza mama yake.
“Sijamaliza hadi uondoke nyumbani kwangu.”
“Hapa ni kwetu. Sisi sote tuna haki ya kuishi hapa”
Jack alizungumza.
“Mume wangu una msikia Jack mwanao. Amekutana na huyu mtu amembadilisha akili yake na amekuwa mpumbavu”
Mzee Tiger akakabaki akimtazama James kwa hasira.
“Hembu acha kuongea sana. Tuna hitaji kuzungumza na baba yetu nipishe”
Sophia akampiga kikumbo mama yake.
“Unanipiga kikumbo?”
“Ndio kwa hiyo una takaje”
“Nitakupiga mshenzi wewe”
“Jaribu kama mwanamke kweli. Mama gani usiye jitambua. Mam aunaye shabikia wanao kuuana halafu ua jiita mama. Acha ujinga wako bwana”
Sophia akasimama pembeni ya kitanda cha mama yake.
“Siku akili yako itakapo kurudia uta jikuta umeisambaratisha hii familia kwa ujinga wako mama. Siku zote mama husimama na wanaye. Siku zote mama huwa upande wa wanaye. Ila mama wa aina yako wewe umekuwa ni mpuuzi mpuuzi, una kera kwa kweli”
James akampita mama yake alipo kaa na akasimama pembeni ya baba yake.
“Badilisha mwenendo wako mama. Umetulea mwenyewe ila huwezi kutuingiza kwenye shimo ambalo wewe na baba munataka kudumbukia. Sisi ni watu wazima na kila mmoja ana yapenda maisha yake na familia yake aliyo ianzisha”
Jack mara baada ya kuzungumza akampita mama yake alipo simama na akasimama pembeni ya kaka yake.
“Mzee kama wanao tumekubaliana madakatri wakufayie upasuaji”
Jack alizungumza akimtazama baba yake anaye pumulia hewa ya oxygen.
“Hivyo mzee kama una jiungamanisha na MUNGU wako jiugamanishe naye kwani asilimia za kupona wewe ni asilimia hamsini na asilimia za kushi nazo ni asilimia hamsini”
Mrs Tiger akageuka na kuwatazama James na ndugu zake.
“Na saratani yako uliyo nayo ndio ina zidi kuwaweka katika asilimi achache za kupona”
“Wewe saratani?”
Mrs Tiger aliulzia kwa msisitizo.
“Ndio mama. Mumeo ana cancer”
Mzee Tiger akafumba macho kwani siri yake ambayo hakuwahi kumuambia mkewe leo imewekwa wazi.
“Tiger anacho ongea Jack ni ukweli?”
Mzee Tiger akafumbau macho yake.
“Muda huu sio muda wa kupanic wala kugombana mama. Ni muda wa kuangalia hali ya afya ya baba. Ujinag jinga mwengine tuache jamani sawa”
Jack alizungumza kwa msisitizo. James akayatazama macho ya baba yake yanauyo itazama pete ya James kidoleni, kila mtu kaagundua jinsi mzee Tiger anavyo tazama pete hiyo kwa hasira.
“Nimeoa baba ndoa ya kanisani”
Mzee Tiger akatamani anyanyuke amzabe hata makofi James.
“Najua hujapenda ila ifike hatua ukweli uwe wazi”
Mzee Tiger machozi ya hasira yakaanza kumbubujika.
“Najua imekuumiza ila maisha yangu na furaha yangu ni muhimu kuliko mila na desturi za huu ukoo”
Maneno ya James yakazidi kumtoa machozi mzee Tiger.
“Dogo wapigie waje”
“Sawa bro”
Jack akampigia simu mke wake.
“Njooni alipo lazwa baba”
“Sawa”
“Wanakuja”
“Kina nani wana kuja?”
“Uta waona shida yako ni nini mama?”
Jack alizungumza. Baada ya dakika tatu mlango ukafunguliw ana akaingia Valentina huku nyuma yake akifwatiwa na Rose.
“Amefwata nini huyu binti”
Mrs Tiger akataka kunyanyuka ila Sophia akamzuia na kurudisha kitandani alipo kaa. Taratibu Rose na Valentina kila mtu akasimama pembeni ya mume wake.
“Baba, mama huyu ni Rose mke wangu, mama wa wanangu. Mwanamke wa ndoto zangu ambaye nimefunga naye ndoa masaa kadhaa yaliyo pita. Poleni sana kwa kuto waalika hapo mwanzo kushuhudia ndoa yangu na mke wangu. Ila ilibidi nimuoe bila uwepo wenu ninyi ila mdogo wangu na mkewe walikuwa wasimamizi wa ndoa yetu.”
Mzee Tiger akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa na mashine inayo hesabu mwenendo wa mapigo ya moyo ya mzee Tiger ikaanza kutoa mlio wa hatari huku asilimia za mapigo ya moyo zikionekana zikishuka kwa haraka sana.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Mzee Tiger na mkewe wanazidi kuvurugwa na watoto wao. Ndoa ambayo yeye na mkewe walikuwa wana ipinga, imefungwa hali ya mzee Tiger itakuwaje? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 35.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 35

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Uta waona shida yako ni nini mama?”
Jack alizungumza. Baada ya dakika tatu mlango ukafunguliw ana akaingia Valentina huku nyuma yake akifwatiwa na Rose.
“Amefwata nini huyu binti”
Mrs Tiger akataka kunyanyuka ila Sophia akamzuia na kurudisha kitandani alipo kaa. Taratibu Rose na Valentina kila mtu akasimama pembeni ya mume wake.
“Baba, mama huyu ni Rose mke wangu, mama wa wanangu. Mwanamke wa ndoto zangu ambaye nimefunga naye ndoa masaa kadhaa yaliyo pita. Poleni sana kwa kuto waalika hapo mwanzo kushuhudia ndoa yangu na mke wangu. Ila ilibidi nimuoe bila uwepo wenu ninyi ila mdogo wangu na mkewe walikuwa wasimamizi wa ndoa yetu.”
Mzee Tiger akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa na mashine inayo hesabu mwenendo wa mapigo ya moyo ya mzee Tiger ikaanza kutoa mlio wa hatari huku asilimia za mapigo ya moyo zikionekana zikishuka kwa haraka sana.

ENDELEA
Mlango wa chumba ukafunguliwa na wakaingia madaktari wakikimbia kwani mfumo wa mashine ya oxygen anayo itumia mzee Tiger imeunganishwa na app zilizopo kwenye simu zao hivyo inavyo tokea dharura ya mgonjwa kwa haraka wana pata ujumbe.
“Sogeeni”
Daktari mkuu wa familia alizungumza. Wakasogea pembeni na kuanza kumpatia huduma ya kwanza mzee Tiger. Mrs Tiger akaendelea kulia huku akitazama madaktari wanavyo pambana kuyaweka sawa mapigo ya moyo ya mzee Tiger. Wakachoma sindano na taratibu mapigo yake ya moyo yakaarudi na kukaa sawa.
“Mzee amepata presha kama kuna mazungumzo yanayo muweka kwenye hii hali nina waomba yasiendelee”
Daktari alizungumza akimtazama James na wadogo zake.
“Na tuna hitaji kumfanyia upasuaji wa haraka kwani kwa hali ya presha anayo ipaa inazidi kuifanya damu kumwagika katka ubongo”
Daktari alizungumza.
“Mfanyieni”
James alizungumza.
“Maandalizi yafayike haraka”
Daktari aliwafahamisha wezake. Hapakuwa na muda wa kupoteza maandalizi ya kumfanyia upasuaji mzee Tiger yakaanza huku jopo la madaktari wengine likiaongezeka. Ikawalazimu James na wezake kusubiria nje ya chumba upasuaji ukiwa una fanyika.
“Endapo mume wangu akifa. Ninyi wawili sinto waacha hai haki ya MUNGU nina apia, sinto waacha hai”
Mrs Tiger alijiapiza akimtazama James na Rose.
“Mama nguvu unayo itumia kumtishia kaka na mkewe, ungeitumia katika kumuomba MUNGU amuepushe baba na kifo kwa maana jinsi anavyo sumbuliwa na hilo tatizo jipya pamoja na sataratani yake, sidhani kama ata toboa”
Maneno ya Jack yakamfanya Mrs Tiger kuondoka eneo hilo.
“Shem usiwe na shaka hakuna ambacho mama ata kifanya kwako sawa”
“Sawa shem”
“Tupo chumbani”
James alizungumza, akamshika mke wake mkono na akaelekea chumbani kwake.
“Mbona una shusha pumzi nyingi namna hiyo?”
“Mmmm nina wasiwasi mume wangu. Tusimchukulie mama yako poa ujue, ana weza kufanya chochote watu tuka mshangaa. Mulicho muonyesha mbele yake pamoja na mzee kime waumiza sana”
“Achana naye”
“Mume wangu tusipuuzie kila kaulia nayo izungumza mama yako. Kauli nyingine ana maanisha. Kama ni vipi tuondoke tu tuta pewa matokeo ya kinacho endelea”
Rose alizungumza akiwa amejawa na wasiwasi.
“Tafadhali”
“Sawa tuta ondoka na ili tuondoke kwa usalama ina tupasa tuwe na msaada wa dogo”
“Zungumza naye”
“Sawa. Walau ukione chumba changu ambacho toka nilipo kuwa mtoto mdogo nilikuwa nina ishi humu”
“Kizuri?”
“Japo now sio chumba changu tena.”
“Hizi ni picha zako za utotoni?”
“Ndio”
“Ulikuwa mzuri”
“Hahahahaa nimesha zeeka hivi sasa?”
“Wala hujazeeka. Una onekana kama kijana wa miaka ishirini na tano”
“Doooo”
“Ndio ukweli kipenzi changu”
“Asante babe”
James alizungumza na akaendelea kumuonyesha mke wake picha mbali mbali kipindi akiwa mtoto mdogo.
***
“Upo wapi?”
Mrs Tiger alizungumza machozi yakimwagika.
“Nakuja”
Mrs Tiger akakata simu na akabadilisha nguo. Akachukua pochi yake na funguo ya gari lake na akatoka chumbani kwake huku kichwani akiwa amevalia kofia kubwa ya duara pamoja na miwani nyeusi.
“Unakwenda wapi?”
Sophia alimuuliza mama yake.
“Nikuambie ninapi kwneda wewe ni mume wangu?”
“Mumeo amelala pale hivyo nina haki ya kukuuliza ni wapi unapo kwenda.”
Mrs Tiger akamsogelea Sophia.
“Koma mwanazo ni leo na mwisho ni leo usiniulize ni wapi ninapo kwenda”
“Okay safari njema”
Mrs Tiger akatembea kwa mwendo wa haraka na akatoka nje.
“Mama yako ana toka”
“Ana kwenda wapi?”
“Kwa madai yake hataki kuulizwa. Hembu mzuie ana ajenda zake za siri naona huu ndio muda ambao ana taka kuutumia kuzifanya”
“Poa siser”
Jack akakata simu na akapiga simu kwa walinzi wa getini.
“Ndio mkuu”
“Mama asitoke”
“Una sema?”
“Zuieni gari la mama lisitoke”
“Sawa mkuu”
Mlinzi akakata simu akitazama gari la Mrs Tiger linalo endeshwa kwa mwendo wa kasi kuelekea walipo getini. Mrs Tiger akakanyaga breki hadi tairi zikaburuzika kwani alitegemea walinzi wata fungua geti wakimuona akiwa mbali.
“Mbona hamufungui geti ninyi?”
Mrs Tiger alifoka.
“Samahani mkuu nimepewa maelekezo tusifungue geti”
“NINI nani kawapa?”
“Boss Jack”
“Ana wazimu. Ana jua nina kwenda wapi?”
“Tafadhali wasiliana naye”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi zilizo changanyikana na hasira. Akampigia simu Jack.
“Mama”
“Una wazimu. Kwa nini una waambia walinzi wanizuie kufungua geti?”
“Baba ana fanyiwa upasuaji una kwenda wapi?”
“Nina kwenda kwa nabii kuiombea hii familia. Unataka baba yako afie kitandani eheee?”
“Muambie nambii aje hapa nyumbani”
“Jack umechanganyikiwa wewe?”
“Mama sija changanyikiwa. Ila hakuna mwana familia yoyote kutoka nje sawa mama”
Mrs Tiger.
“Hapa ni kwangu nina uhuru wa kutoka muda nitakao mimi na kurudi muda nitakao mimi”
“Mama elewa ninacho kuambia kwamba hakuna kutoka na ukilazimisha kutoka nita waambia walinzi wapige risasi gari lako usinilazimishe kufanya hayo maamuzi”
Mrs Tiger akamtazama mlinzi aliye simama pembeni ya gari lake ambaye ana sikia kinacho endelea.
“Tafadhali mama”
Mrs Tiger akakata simu, akageuza gari kwa mwendo wa kasi na kurudi katika maegesho ya magari yake. Akashuka akiwa na hasira akaingia ndani hadi nje ya chumba alichopo Jack na mke wake. Akamshika Jack mkono na wakaosega pembeni kutoka alipo kaa mke wake.
“Una tatizo gani wewe? Kaka yako amekulisha kitu gani wewe?”
Mrs Tiger alizungumza kwa sauti ya kunong’ona.
“Mama tafadhali sana nakuomba sana naomba ukaushe tupo kwenye kipindi ambacho wana familia wote tuna takiwa kuwa hapa. Kama mzee ata toboa basi tuwepo kama ata kufa basi sote tuwepo mambo ya kutoka toka ikiwa na wewe ndio mwenye mume una zingua. Mpigie nabii wako aje hapa kuomba”
Mrs Tiger akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa.
“Sijapenda?”
“Hii haina swala la kupenda au kuto kupenda. Hili ni swala la kifamilia”
“Nataka huyo kama yako na mkewe waondoke”
“Una hisi ni na akili ndogo kama hiyo. Kwa sasa nahitaji familia kuungana. Sihitaji marafakano yasio ya sababu ya msingi ambayo wewe ndio chanzo”
“Mimi chanzo?”
“Ndio wewe ndio chanzo. Wewe ndio umeifikisha familia hapa. Kama mama ulikuwa na nafasi nzuri ya kumshawishi baba kumkubali Rose kwenye hii familia namaini leo baba asinge kuwa amelazwa pale. Ila ushawishi wako mbovu umesababisha leo hii hali kuwa kama ilivyo”
“Ila kumbuka baba yake ni adui yetu. Adui wa hii familia”
“Kumbuka ulivyo husika kumkata makend* yake na hivi viganja vyako mama. Umesahau?”
Mrs Tiger akakaa kimya.
“Sasa hivi kaushau, mtoto wa watu ana pitia magumu mama kausha basi”
“Una muonea huruma?”
“Sio namuonea huruma. Ila tunapaswa kuwa na haya. Wewe na mwenzio ndio muliwasukumiza katika bwawa la mamba wakiwa hai. Unajizima data?”
Mrs Tiger akaondoka eneo hilo na kuelekea chumbani kwake.
“Mama ana shida gani tena?”
“Kichwa chake kina pata moto”
“Sikutarajia kumuona mama akiwa kwenye hizi kelele. Nilikuwa nina muona mstarabu sana”
“Thubutu, huyo ndio mama yetu. Una paswa kuwa na digrii ya kumzoea”
“Itakuwaje kwa mke mwenzangu si atakuwa na woga”
“Naye ana paswa kuwa na moyo wa uvumilivu.”
Wakaendelea kusubiria oparesheni inayo endelea ndani ya ofisi. James na mkewe wakafika eneo hilo/
“Dogo sisi tuna hitaji kutembea”
“Kwa nini bro”
“Shemeji yako ana hofu”
“Shem kuwa na amani hakuna cha kukudhuru.”
“Namuogopa mama”
“Kuwa na amani mama hana tatizo”
“Kweli?”
“Yaah kweli hana tatizo. Tusubirie tuone mzee ana toboa au laa”
“Sawa shem”
“Baby nenda kamtembeze tembeze mwenzio ayaone mazingira ya nyumba”
“Sawa”
Valentina wakaondoka na Rose na kuwaacha James na Jack nje ya mlango wa chumba cha upasuaji.
“Shemeji yako yupo?”
“Ahaa amekwenda kwao kwanza, tulivyo rudi tu kesho yake akaenda kwao”
“Usianiambie mulivyo kuwa Dubai pia uli mla?”
“Weee acha tu. Mtoto mtamu yule aisee. Yaani ana pigo fulani hivi lazima uchanganyikiwe”
Wote wakacheka kwa nguvu.
“Yaani yule mtoto ana joto la kufa mtu”
“Kuliko dada yake?”
“Kuliko dada yake aisee.”
“Kuwa makini ni ndugu”
“Mmmm halafu hii game ya mwisho nilimwaga ndani”
James akamtazama Jack kwa mshangao.
“Tulikuwa tumelewa”
“Oya usije ukamjaza mimba”
“Naliwaza hilo sana mwanangu. Sijui akipata mimba itakuwaje?”
“Ni kipengele hicho ujue.”
“Ila akipata mimba fresh bwana kikubwa anizalie mwanangu”
“Ila ni mzuri hata akizaa sio mbaya.”
“Nimefikiria jambo moja”
“Jambo gani?”
“Hizi tabu zikisha isha nataka kumuoa”
“Umechanganyikiwa au?”
“Kaka sijachanganyikiwa. Nataka awe mke wangu. Siwezi kuruhusu mjinga mjinga mmoja akaja akamchukua”
“Sema umependa”
“Ni kweli nimempenda Vaileth”
James akatabasamu.
“Basi fanya kile kinacho kupa furaha. Usiogope”
“Shida ni kwamba dada yake akifahamu inakuwaje bro”
“Huo ndio mtihani aisee”
“Tena ngoja nimpigie”
Jack akampigia simu Valentina.
“Mke”
“Niambie kipenzi changu”
“Kipenzi na sio mume
“Jamani haya niambie mume wangu?”
“Njoo Dar”
“Lini?”
“Leo”
“Leo?”
“Ndio nakutumia pesa ya ndege. Njoo”
“Nikija nina muambia nini dada?”
“Ukija nita kuambia ni hoteli gani kwanza ufikie”
“Una nyegee ehee?”
“Zimefanya kujaa”
“Dadeki ngoja nijiandae kwa maana hatuto iba iba nitakuwa nina kupa kwa uhuru”
“Wacha weeee”
“Ndio nataka unifanye hadi pawake moto”
“Wachaaaa weee, nakutumia pesa uje”
“Sawa kipenzi changu”
Jack akakata simu na akamtumi pesa ya nauli ya ndege Vaileth.
“Kuna kitu nimegundua kwako”
“Kitu gani bro”
“Una furaha sana ukiwa na Vaileth kuliko Valentina”
“Yahaa na kuna kitu nimekijua nimekaa nacho moyoni na ndio kimenifanya niwe na Vaileth”
“Kitu gani dogo?”
Jack akamtazama kaka yake.
“Nimegundua mke wangu ana sagana na sister Sophia”
James macho yakamtoka kwa mshangao, japo ana fahamu mdogo wake Sophia ana mahusiano ya kimapenzi na wifi yake ila hakutarajia kama mwenye mke Jack aana weza akawa ana jua swala hilo na akawa kimya kama vile hajui chochote kile.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack na ndugu zake bado wana mkabia juu mama yao hadi kutoka nje ya nyumba wamemzuia. Jack ana fahamu ukweli mkewe Valentina ana mahusiano ya kimapenzi na Sophia dada yake kwa nini amekaa kimya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 36.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 35

KILA KILICHO ANDIKWA KATIKA HADITHI HII NI UTUNZI HAKIENDANI NA KISA CHOCHOTE KILICHO WAHI KUTOKEA MAHALA POPOTE ASANTE
*************************************************************************************

ILIPOISHIA
“Uta waona shida yako ni nini mama?”
Jack alizungumza. Baada ya dakika tatu mlango ukafunguliw ana akaingia Valentina huku nyuma yake akifwatiwa na Rose.
“Amefwata nini huyu binti”
Mrs Tiger akataka kunyanyuka ila Sophia akamzuia na kurudisha kitandani alipo kaa. Taratibu Rose na Valentina kila mtu akasimama pembeni ya mume wake.
“Baba, mama huyu ni Rose mke wangu, mama wa wanangu. Mwanamke wa ndoto zangu ambaye nimefunga naye ndoa masaa kadhaa yaliyo pita. Poleni sana kwa kuto waalika hapo mwanzo kushuhudia ndoa yangu na mke wangu. Ila ilibidi nimuoe bila uwepo wenu ninyi ila mdogo wangu na mkewe walikuwa wasimamizi wa ndoa yetu.”
Mzee Tiger akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa na mashine inayo hesabu mwenendo wa mapigo ya moyo ya mzee Tiger ikaanza kutoa mlio wa hatari huku asilimia za mapigo ya moyo zikionekana zikishuka kwa haraka sana.

ENDELEA
Mlango wa chumba ukafunguliwa na wakaingia madaktari wakikimbia kwani mfumo wa mashine ya oxygen anayo itumia mzee Tiger imeunganishwa na app zilizopo kwenye simu zao hivyo inavyo tokea dharura ya mgonjwa kwa haraka wana pata ujumbe.
“Sogeeni”
Daktari mkuu wa familia alizungumza. Wakasogea pembeni na kuanza kumpatia huduma ya kwanza mzee Tiger. Mrs Tiger akaendelea kulia huku akitazama madaktari wanavyo pambana kuyaweka sawa mapigo ya moyo ya mzee Tiger. Wakachoma sindano na taratibu mapigo yake ya moyo yakaarudi na kukaa sawa.
“Mzee amepata presha kama kuna mazungumzo yanayo muweka kwenye hii hali nina waomba yasiendelee”
Daktari alizungumza akimtazama James na wadogo zake.
“Na tuna hitaji kumfanyia upasuaji wa haraka kwani kwa hali ya presha anayo ipaa inazidi kuifanya damu kumwagika katka ubongo”
Daktari alizungumza.
“Mfanyieni”
James alizungumza.
“Maandalizi yafayike haraka”
Daktari aliwafahamisha wezake. Hapakuwa na muda wa kupoteza maandalizi ya kumfanyia upasuaji mzee Tiger yakaanza huku jopo la madaktari wengine likiaongezeka. Ikawalazimu James na wezake kusubiria nje ya chumba upasuaji ukiwa una fanyika.
“Endapo mume wangu akifa. Ninyi wawili sinto waacha hai haki ya MUNGU nina apia, sinto waacha hai”
Mrs Tiger alijiapiza akimtazama James na Rose.
“Mama nguvu unayo itumia kumtishia kaka na mkewe, ungeitumia katika kumuomba MUNGU amuepushe baba na kifo kwa maana jinsi anavyo sumbuliwa na hilo tatizo jipya pamoja na sataratani yake, sidhani kama ata toboa”
Maneno ya Jack yakamfanya Mrs Tiger kuondoka eneo hilo.
“Shem usiwe na shaka hakuna ambacho mama ata kifanya kwako sawa”
“Sawa shem”
“Tupo chumbani”
James alizungumza, akamshika mke wake mkono na akaelekea chumbani kwake.
“Mbona una shusha pumzi nyingi namna hiyo?”
“Mmmm nina wasiwasi mume wangu. Tusimchukulie mama yako poa ujue, ana weza kufanya chochote watu tuka mshangaa. Mulicho muonyesha mbele yake pamoja na mzee kime waumiza sana”
“Achana naye”
“Mume wangu tusipuuzie kila kaulia nayo izungumza mama yako. Kauli nyingine ana maanisha. Kama ni vipi tuondoke tu tuta pewa matokeo ya kinacho endelea”
Rose alizungumza akiwa amejawa na wasiwasi.
“Tafadhali”
“Sawa tuta ondoka na ili tuondoke kwa usalama ina tupasa tuwe na msaada wa dogo”
“Zungumza naye”
“Sawa. Walau ukione chumba changu ambacho toka nilipo kuwa mtoto mdogo nilikuwa nina ishi humu”
“Kizuri?”
“Japo now sio chumba changu tena.”
“Hizi ni picha zako za utotoni?”
“Ndio”
“Ulikuwa mzuri”
“Hahahahaa nimesha zeeka hivi sasa?”
“Wala hujazeeka. Una onekana kama kijana wa miaka ishirini na tano”
“Doooo”
“Ndio ukweli kipenzi changu”
“Asante babe”
James alizungumza na akaendelea kumuonyesha mke wake picha mbali mbali kipindi akiwa mtoto mdogo.
***
“Upo wapi?”
Mrs Tiger alizungumza machozi yakimwagika.
“Nakuja”
Mrs Tiger akakata simu na akabadilisha nguo. Akachukua pochi yake na funguo ya gari lake na akatoka chumbani kwake huku kichwani akiwa amevalia kofia kubwa ya duara pamoja na miwani nyeusi.
“Unakwenda wapi?”
Sophia alimuuliza mama yake.
“Nikuambie ninapi kwneda wewe ni mume wangu?”
“Mumeo amelala pale hivyo nina haki ya kukuuliza ni wapi unapo kwenda.”
Mrs Tiger akamsogelea Sophia.
“Koma mwanazo ni leo na mwisho ni leo usiniulize ni wapi ninapo kwenda”
“Okay safari njema”
Mrs Tiger akatembea kwa mwendo wa haraka na akatoka nje.
“Mama yako ana toka”
“Ana kwenda wapi?”
“Kwa madai yake hataki kuulizwa. Hembu mzuie ana ajenda zake za siri naona huu ndio muda ambao ana taka kuutumia kuzifanya”
“Poa siser”
Jack akakata simu na akapiga simu kwa walinzi wa getini.
“Ndio mkuu”
“Mama asitoke”
“Una sema?”
“Zuieni gari la mama lisitoke”
“Sawa mkuu”
Mlinzi akakata simu akitazama gari la Mrs Tiger linalo endeshwa kwa mwendo wa kasi kuelekea walipo getini. Mrs Tiger akakanyaga breki hadi tairi zikaburuzika kwani alitegemea walinzi wata fungua geti wakimuona akiwa mbali.
“Mbona hamufungui geti ninyi?”
Mrs Tiger alifoka.
“Samahani mkuu nimepewa maelekezo tusifungue geti”
“NINI nani kawapa?”
“Boss Jack”
“Ana wazimu. Ana jua nina kwenda wapi?”
“Tafadhali wasiliana naye”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi zilizo changanyikana na hasira. Akampigia simu Jack.
“Mama”
“Una wazimu. Kwa nini una waambia walinzi wanizuie kufungua geti?”
“Baba ana fanyiwa upasuaji una kwenda wapi?”
“Nina kwenda kwa nabii kuiombea hii familia. Unataka baba yako afie kitandani eheee?”
“Muambie nambii aje hapa nyumbani”
“Jack umechanganyikiwa wewe?”
“Mama sija changanyikiwa. Ila hakuna mwana familia yoyote kutoka nje sawa mama”
Mrs Tiger.
“Hapa ni kwangu nina uhuru wa kutoka muda nitakao mimi na kurudi muda nitakao mimi”
“Mama elewa ninacho kuambia kwamba hakuna kutoka na ukilazimisha kutoka nita waambia walinzi wapige risasi gari lako usinilazimishe kufanya hayo maamuzi”
Mrs Tiger akamtazama mlinzi aliye simama pembeni ya gari lake ambaye ana sikia kinacho endelea.
“Tafadhali mama”
Mrs Tiger akakata simu, akageuza gari kwa mwendo wa kasi na kurudi katika maegesho ya magari yake. Akashuka akiwa na hasira akaingia ndani hadi nje ya chumba alichopo Jack na mke wake. Akamshika Jack mkono na wakaosega pembeni kutoka alipo kaa mke wake.
“Una tatizo gani wewe? Kaka yako amekulisha kitu gani wewe?”
Mrs Tiger alizungumza kwa sauti ya kunong’ona.
“Mama tafadhali sana nakuomba sana naomba ukaushe tupo kwenye kipindi ambacho wana familia wote tuna takiwa kuwa hapa. Kama mzee ata toboa basi tuwepo kama ata kufa basi sote tuwepo mambo ya kutoka toka ikiwa na wewe ndio mwenye mume una zingua. Mpigie nabii wako aje hapa kuomba”
Mrs Tiger akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa.
“Sijapenda?”
“Hii haina swala la kupenda au kuto kupenda. Hili ni swala la kifamilia”
“Nataka huyo kama yako na mkewe waondoke”
“Una hisi ni na akili ndogo kama hiyo. Kwa sasa nahitaji familia kuungana. Sihitaji marafakano yasio ya sababu ya msingi ambayo wewe ndio chanzo”
“Mimi chanzo?”
“Ndio wewe ndio chanzo. Wewe ndio umeifikisha familia hapa. Kama mama ulikuwa na nafasi nzuri ya kumshawishi baba kumkubali Rose kwenye hii familia namaini leo baba asinge kuwa amelazwa pale. Ila ushawishi wako mbovu umesababisha leo hii hali kuwa kama ilivyo”
“Ila kumbuka baba yake ni adui yetu. Adui wa hii familia”
“Kumbuka ulivyo husika kumkata makend* yake na hivi viganja vyako mama. Umesahau?”
Mrs Tiger akakaa kimya.
“Sasa hivi kaushau, mtoto wa watu ana pitia magumu mama kausha basi”
“Una muonea huruma?”
“Sio namuonea huruma. Ila tunapaswa kuwa na haya. Wewe na mwenzio ndio muliwasukumiza katika bwawa la mamba wakiwa hai. Unajizima data?”
Mrs Tiger akaondoka eneo hilo na kuelekea chumbani kwake.
“Mama ana shida gani tena?”
“Kichwa chake kina pata moto”
“Sikutarajia kumuona mama akiwa kwenye hizi kelele. Nilikuwa nina muona mstarabu sana”
“Thubutu, huyo ndio mama yetu. Una paswa kuwa na digrii ya kumzoea”
“Itakuwaje kwa mke mwenzangu si atakuwa na woga”
“Naye ana paswa kuwa na moyo wa uvumilivu.”
Wakaendelea kusubiria oparesheni inayo endelea ndani ya ofisi. James na mkewe wakafika eneo hilo/
“Dogo sisi tuna hitaji kutembea”
“Kwa nini bro”
“Shemeji yako ana hofu”
“Shem kuwa na amani hakuna cha kukudhuru.”
“Namuogopa mama”
“Kuwa na amani mama hana tatizo”
“Kweli?”
“Yaah kweli hana tatizo. Tusubirie tuone mzee ana toboa au laa”
“Sawa shem”
“Baby nenda kamtembeze tembeze mwenzio ayaone mazingira ya nyumba”
“Sawa”
Valentina wakaondoka na Rose na kuwaacha James na Jack nje ya mlango wa chumba cha upasuaji.
“Shemeji yako yupo?”
“Ahaa amekwenda kwao kwanza, tulivyo rudi tu kesho yake akaenda kwao”
“Usianiambie mulivyo kuwa Dubai pia uli mla?”
“Weee acha tu. Mtoto mtamu yule aisee. Yaani ana pigo fulani hivi lazima uchanganyikiwe”
Wote wakacheka kwa nguvu.
“Yaani yule mtoto ana joto la kufa mtu”
“Kuliko dada yake?”
“Kuliko dada yake aisee.”
“Kuwa makini ni ndugu”
“Mmmm halafu hii game ya mwisho nilimwaga ndani”
James akamtazama Jack kwa mshangao.
“Tulikuwa tumelewa”
“Oya usije ukamjaza mimba”
“Naliwaza hilo sana mwanangu. Sijui akipata mimba itakuwaje?”
“Ni kipengele hicho ujue.”
“Ila akipata mimba fresh bwana kikubwa anizalie mwanangu”
“Ila ni mzuri hata akizaa sio mbaya.”
“Nimefikiria jambo moja”
“Jambo gani?”
“Hizi tabu zikisha isha nataka kumuoa”
“Umechanganyikiwa au?”
“Kaka sijachanganyikiwa. Nataka awe mke wangu. Siwezi kuruhusu mjinga mjinga mmoja akaja akamchukua”
“Sema umependa”
“Ni kweli nimempenda Vaileth”
James akatabasamu.
“Basi fanya kile kinacho kupa furaha. Usiogope”
“Shida ni kwamba dada yake akifahamu inakuwaje bro”
“Huo ndio mtihani aisee”
“Tena ngoja nimpigie”
Jack akampigia simu Valentina.
“Mke”
“Niambie kipenzi changu”
“Kipenzi na sio mume
“Jamani haya niambie mume wangu?”
“Njoo Dar”
“Lini?”
“Leo”
“Leo?”
“Ndio nakutumia pesa ya ndege. Njoo”
“Nikija nina muambia nini dada?”
“Ukija nita kuambia ni hoteli gani kwanza ufikie”
“Una nyegee ehee?”
“Zimefanya kujaa”
“Dadeki ngoja nijiandae kwa maana hatuto iba iba nitakuwa nina kupa kwa uhuru”
“Wacha weeee”
“Ndio nataka unifanye hadi pawake moto”
“Wachaaaa weee, nakutumia pesa uje”
“Sawa kipenzi changu”
Jack akakata simu na akamtumi pesa ya nauli ya ndege Vaileth.
“Kuna kitu nimegundua kwako”
“Kitu gani bro”
“Una furaha sana ukiwa na Vaileth kuliko Valentina”
“Yahaa na kuna kitu nimekijua nimekaa nacho moyoni na ndio kimenifanya niwe na Vaileth”
“Kitu gani dogo?”
Jack akamtazama kaka yake.
“Nimegundua mke wangu ana sagana na sister Sophia”
James macho yakamtoka kwa mshangao, japo ana fahamu mdogo wake Sophia ana mahusiano ya kimapenzi na wifi yake ila hakutarajia kama mwenye mke Jack aana weza akawa ana jua swala hilo na akawa kimya kama vile hajui chochote kile.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack na ndugu zake bado wana mkabia juu mama yao hadi kutoka nje ya nyumba wamemzuia. Jack ana fahamu ukweli mkewe Valentina ana mahusiano ya kimapenzi na Sophia dada yake kwa nini amekaa kimya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 36.
Shusha vitu goma liishe
 
Back
Top Bottom