Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Ni kwel ila niliwaambaia ambao wako interested wanichek fb tuanze mchako wa kushare ideas lakin wamerespond wawil mm nifanyeje hapo mkuu em we sema.
Mkuu mi nakuonea huruma sana, kwa sababu dhamira yako ni nzuri ila sasa wabongo ndo tatizo. Mi nakushauri hivi, kwanza kabisa tengeneza developer forum na kama ipo, weka categories utakazoona zinafaa kwa wabongo na kisha arika developers waliochangia hapa kwenye hii thread wakupe ushauri kuhusu hiyo forum yaani nini kiwepo na nini kinapaswa kisiwepo, baada ya kumaliza hiyo kazi yaani ikiwa imekamilika, utakuja kutuambia ili sisi tukusaidie kuitangaza kwenye magroup ya whatsapp, fb nk. Baada ya hapo tutafanya tathimini ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa tuone kama juhudi zimezaa matunda, pia tukiendelea kuiboresha zaidi. Kuanzisha group fb sioni mantiki yoyote maana huko kuna magroup kibao yanayofanania na ulichoanzisha, sasa kwa sababu watu wana experience ya ubovu wa hayo magroup wanaona ni yale yale tu ndo maana unaona hakuna mwamko huko.
Pia huko fb kuna limitations nyingi sana, mfano kama mtu ana project yake anataka kuileta ili watu waiendeleze inamuwia vigumu kuupload mafile fb mfano rar files, zip files nk. Kitu kingine watu wanakosa category zao za professionalism kwa sababu fb hakuna mpangilio maalumu wa kupost content za aina moja, mfano kama kuna post 2000 halafu kuna mtu anatafuta project ya C++ halafu ipo index ya 1899 ni vigumu sana kuipata, ila kama ni forum ni rahisi kwa sababu anaenda kwenye category au subcategory na kuipata moja kwa moja
 
Sifa za wabongo wengi
1. Waoga
2.Hawana uthubutu
3.Wepesi kukata tamaa
4.Hawaangalii kesho, bali wanajali sana leo atapata nini.
5.Wanaogopa kupata hasara, ila wanasahau pia hasara ni somo zuri la kupata faida.
Asante nimejifunza kitu hapa
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Tuanzeni upya kufirikia hili swala la kuungana na kufanya projects kama developers. Nakujiajiri pia
 
Mim dev wa php,mysql,html5,css3,js,Ajax,json,erlang,
mnesia,java basic
 
Una nia nzur sana Lakini shida yetu ss baadh ya wa tz( sio wote)ni kulalamika na kutoa sababu za kutokujituma.watu wanasema kuwa hamna investements sasa unataka investements alf hujaanza hata mstari mmoja wa code na hauna business plan.Mbna Steve Jobs hakulalamika pale alipokosa nafasi ya kusoma chuo Bali alijituma??Wengine wanalalamika miundombinu ya ki teknolojia ni mibovu ndo maana ,Mbna wakina Ken Thompson na Dennis Ritchie waliweza kutengeneza version ya kwanza ya UNIX kwenye DEC-PDP 7 ambayo ilikuwa na 4K main memory tu???Tunabidi tuabdilike aisee lasi hvo wakenya watatuacha mbali sana
 
Mimi siyo developer nafanya programming za program zinazo run kwenye terminal ila change yangu mm ninawafundisha wadogo zangu na marafiki zao programming idi waje ku aspire kuwa ma developer
 
Kwaalie tayari anitafute tufanye project.
 
Usisubiri mtu akutafute. Fanya kwa uwezo ulio nao sasa. Mengine ni mbele kwa mbele!

Kuna project imejitokeza hapa karibuni yakufanya kutoka kwa client nasiwez kukataa ila bado na project nyingne nafanya ndo maana nasema aliyetayari anitafute.
 
Kuna project imejitokeza hapa karibuni yakufanya kutoka kwa client nasiwez kukataa ila bado na project nyingne nafanya ndo maana nasema aliyetayari anitafute.
Badala ya hiyo option, outsource hiyo kazi mgawane na hao utakaowapa.

Kwa Bongo utasubiria sana!
 
Stefanoo. OK ntawambia nimeicheki mna categories nzuri sna ila naona wachangiaji wachache
 
du nimejitahidi kutembelea idea mojs baada ya ingine nimegundua kitu
  1. watu wanaogopa kuibiwa ideas
  2. watu hawajiamini
  3. wengine ni vipaji majina
  4. alafu wengi sio wakweli
kama kuna mtu yuko interested mimi naomba niwape idea
  1. tutengeneze operating system
  2. open source api ya Voda na airtel
  3. kama mtaji upo tutafute soko tuwe tuna assemble ata laptop

ni hayo tu kwa sasa ivi kama kuna web developer mnakaribishwa kwa project yangu ya kutengeneza Ecommerce website
 
  1. Srebrina. Inaonekana unatumia sana php ww ndo maana mawazo yako yako simple simple
 
Ni kweli sasa tatizo ni watu wanaongea tu alafu hawaoneshi proceed yoyote

proceeds zpo mbna kama hyo website ya technocrats hapo juu ni proceed nzuri na developers wapo wengi sana Lakini huwezi ona wanajitangaza kwa sababu wengi hawafanyi kwa ajili ya opern source
 
Back
Top Bottom