Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Mimi nafikiri kila mtu aweke skills zake tujuane kama mtoa hoja alivyosema hapo juu.
 
Wabongo bhana mnapanga kuanzisha group sijui la watsapp wakati huu uzi tu pekee tukiamua kuutumia vizuri hapa hapa tunaweza kufahamiana vizuri tu. Tuache kucomplicate mambo wakati solution rahisi bado hatuja zitumia. Tufahamiane hapa hapa thn mchezo ukikolea ndio tutajua tunaenda na step ipi ya kufahamiana kiundani zaidi na hata kupiga kazi pamoja.
 
Kwa mawazo kama haya naanza kuona dalili za Tanzania kusonga mbele.Ni mawazo mazuri kweli kabisa bila kuungana hamna maendeleo.Kwa mawazo yangu ingetengenezwa group/organisation/Thread kwa ajili ya information sharing baadae madeveloper ktk hiyo organisation wakutane
Watengeneze project ya maana.
 
Ungana kwanza na watu wasiokua developers lakini wana idea za nguvu, halafu hapo wafuate developers. Mara nyingi sisi developers huwa hatuna ideas nzuri, lakini ukikutana na great thinkers huko nje wasiokua developers wanaibuka na idea ambayo mkiungana vizuri mnafaulu pamoja.

Ndio mikakati ambayo nimeitumia sana kwetu Kenya.
 
Ungana kwanza na watu wasiokua developers lakini wana idea za nguvu, halafu hapo wafuate developers. Mara nyingi sisi developers huwa hatuna ideas nzuri, lakini ukikutana na great thinkers huko nje wasiokua developers wanaibuka na idea ambayo mkiungana vizuri mnafaulu pamoja.

Ndio mikakati ambayo nimeitumia sana kwetu Kenya.
mimi niliuliza kama tunao jifunza tunaruhusiwa naona wameuchuna kabisa!
 
Nina ndugu yangu nilimuunganisha na kazi ya graphics ofisini kwangu... akawa anafanya kazi hiyo kila kwenye events kuu za kitaifa. Siku aliyokuja kupata pesa aliyokuwa anadai... kanichinjia baharini na undugu ukafia hapo. Haya mambo ya kuwa makini nayo... linapokuja suala la maslahi. Lazima kuwe na mikataba. Otherwise kuna mwingine anatumia advantage kama mnavyofahamu. Asilimia kubwa ya binadamu wana tabia ya ubinafsi. But I support the idea... though mimi ni employee.
 
Kenya wana kutu inaitwa technology incubators ihub na pivot, sisi watanzania tunaweza pia.

Let's be organized.
Mkuu hizo ict hub bongo zipo. Mfano ni Kilihub, sijui kinu. Nenda pale Kijitonyama Ally Hassan Mwinyi road ofisi za Sayansi kuna hiyo incubator.
 
Kama kuna software inayo support whatsapp tofauti na bluestack. Ningeneze group tujaribu kushare ideas kama MK254 alivyokuoa maelezo. Mm binafsi nimemuanga mkono, maana alichokizungumza ni kwel kabisa.
 
Kama kuna software inayo support whatsapp tofauti na bluestack. Ningeneze group tujaribu kushare ideas kama MK254 alivyokuoa maelezo. Mm binafsi nimemuanga mkono, maana alichokizungumza ni kwel kabisa.
The best way ya kushare hizo ideas ni kwenye forums...hayo mambo ya groups ni Blah blah I have been into several groups ila none of them are productive,there are not set rules ku govern hicho kitu mwisho wa siku group litabaki la kuulizana maswali kama...Ukitaka kuficha whatsapp last seen unafanya je?
Hivi RAM ni nn?
 
The best way ya kushare hizo ideas ni kwenye forums...hayo mambo ya groups ni Blah blah I have been into several groups ila none of them are productive,there are not set rules ku govern hicho kitu mwisho wa siku group litabaki la kuulizana maswali kama...Ukitaka kuficha whatsapp last seen unafanya je?
Hivi RAM ni nn?

Ingekuwa poa sana kama tungekuwa na forums yetu ya kufanya haya mambo.
 
Wakuu na mimi nipo najifunza languages...mpaka sasa nimesoma html na css nataka nianze js! Kama kuna project naomba mni include ili niweze pata uzoefu na mazoezi zaidi..
 
Yote yanawezeana, Mm nadhan kila mmoja wetu aanze kujitambulisha kwa skills zake ili iwe rahisi kujuana na anafit sehemu fulani.
 
Back
Top Bottom