Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Mm nilitegemea kuwepo na subsections za programming languages e.g Assembly,C,C++,Java,Python,C#,PHP and so forth
I'm not sure that will work either. Tulitafutana Developers tukachangishana na kuanzisha forum ila haijawahi take off kwa sababu ya lack of contributors. Watu wako tayari kusaidia maswali lakini wauliza maswali hawapo!

Forum Yenyewe ni hii hapa: Tanzania Technocrats Forums

WhatsApp pia haisaidii. Kama alivyosema njunwa hapo ni vigumu kutafuta topic ambayo imeshajibiwa ikusaidie kwenye WhatsApp. Pia kwa kuwa Programming ni kubwa na pana hamuwezi kuwa na group moja la kutatua kila tatizo.

Baada ya kusema hayo, sioni njia ya kuwasaida developers wa Tanzania kama hawajaamua kuunga mkono juhudi za kuwasaidia. Miaka inasonga na wengine umri uakimbia, who knows when I will wake up next second in heaven and say bye to earth? Na maujuzi yote nitakufa nayo na huko niendako hayatahitajika.

As I said before I have tried every way, laki ndio hivyo tena mwamko sifuri. Nadhani kwanza tuunge mkono juhudi za walioanza. Sio lazima uwe founder ili uache legacy. Hata kuwa contributor pia ni legacy.

Wasalaam!
 
Sifa za wabongo wengi
1. Waoga
2. Hawana uthubutu
3. Wepesi kukata tamaa
4. Hawaangalii kesho, bali wanajali sana leo atapata nini.
5. Wanaogopa kupata hasara, ila wanasahau pia hasara ni somo zuri la kupata faida.

Ila napenda kusema kuwa vyote nakubaliana navyo kwa asilia 100% pamoja na nyongeza ya Mkuu stephot kwamba WABINAFSI

Ingawa huu uzi lengo lake lilikuwa ni kutaka kujua nini tukifanye tuungane, na mimi sijajibu hoja kwa sababu nilikuwa nataka niwajuze na nyie hii habari niliyosoma kutoka AllAfrica.com.

Tukirejea kwenye hoja, binafsi mie ningependa kusema "Wepesi kukata tamaa" ni tatizo langu na nimeona hilo kutoka kwa watu wengi.
Kwa nini mie nimekuwa nakata tamaa mapema kwa maana sijawahi kuwa naweka malengo kwenye kitu vitu ninavyopenda kufanya.

Kitu kimoja nimegundua, kuwa inabidi kuwa na watu munaoendana kitabia na mambo ya kufanya.
Kwa mfano hakuna siku ambayo nilijifunza mengi kama siku niliyokutana na Stefano Mtangoo .. Huyu mtu ni asset moja kubwa sana. Ana mawazo na uelewa mkubwa sana. Amefeli mara nyingi na amejifunza mengi. Mengi nimetoa kwake.

Turudi kwenye mada, ili watu waweze kuungana inabidi tuweze kupata kitu/ vitu vya kutufanya tuweze kuwa pamoja. Mfano, more tech centers isiwe Buni tuu.. Ziwe zaidi ya 50. Hii itasaidia watu kuwa pamoja zaidi na wenye mawazo sawa. Hapo ndio unarudi kwenye "Gov Policy", kusema ukweli sijaona kama tehama ni kipa umbele kwenye mkakati ( naomba nirekebishwe kama sikuona ilipo). Ila hapa ningependa nilaumu makampuni ya mid-size ya IT kwa Tanzania, kwani hapa ndio wao walitakiwa watumie nafasi, kwa ku-host small meetings about tech ili kupromote technology na vile vile kwa wao kujitangaza kwa bureee, na pia kupata talent mpya kwa kampuni zao. Hii natoa challenga kwa kampuni kama Fasthub , Raha , na mengineyo mengi..
Kitu kingine ambacho tunatakiwa kufanya ni "kupromote tech kwa watoto na sio wazee", hii itasidia sana kubadilisha mtazamo wa watu kwa muda mfupi sana.

Nawakubali sana Jumanne wa Buni, J.P, Feruzi wa Kinu, na wengi ambao nimekutana nao.

Safari bado ni ndefu. Tutafika tuu. Tusilaumu kila kitu. Tuwaunge mkono wanaojaribu kufanya vitu.

Source: Tanzania Software Developers Fail to Seize Rare Chance

Dar es Salaam — Tanzanian software developers have missed an opportunity to participate in developing a computer software to help children in the country and elsewhere use digital devices to learn to read and write.

A competition to develop the software through the "Global Learning Xprize" initiative was announced early this year. In the competition developers would use Android to build software that enables children to learn autonomously.

It is being organized by the Xprize Foundation with in collaboration with UN's Educational, Scientific and Cultural Organization (Unesco) and the World Food Programme (WFP). Only foreign developers have participated in the competition.

The focus of the competition is development of an open-source software that will be user-friendly to be installed on tablets that will be used to enhance quality early education, especially for children with limited access to schooling. This way they will be able to teach themselves basic reading, writing and arithmetic.

The top five finalists in the competition will receive $1 million (Sh2 billion) each and their software will be field tested in Tanga and Arusha regions. An estimated 4,000 children across 200 villages will participate in the 18-month field test, each of whom will receive a donated tablet. The organisers have said, however, that no entries were received from Tanzania.

The team whose solution enables the greatest proficiency gains in reading, writing and arithmetic will receive the grand prize of $10 million (Sh20 billion). At the end of the competition, all five solutions will be released as open source, free for anyone to use and adapt.

A total of 136 software developing teams from 33 countries registered for the education technology solutions competition, none of them from Tanzania, although the envisaged software would be field tested in the country.

When The Citizen visited the University of Dar es Salaam's (UDSM) Information and Communication Technology Incubator (Udicti), one of the country's most eminent centres of higher learning, it found out that the potential for technological innovation and software developing is huge.

What is missing is that innovative young people at different levels of education as well as the staying-home ones are not given adequate support due to the government's budgetary constraints and lack of interest by the private sector on technological innovations.

Ms Vidate Msoka, an assistant lecturer at Udicti, said local public and private institutions tended to seek ICT experts from outside the country. "If the government invested more in technology and research, we would have advanced in innovation in new technologies. The potential is there," she added.

Giving examples, she said last year a group of five young Tanzanians participated in a technology competition in Barcelona, Spain, and won.

The competition had two components; acceleration programme and community engagement programme.

The community engagement programme aimed at building innovations that can solve challenges of water and energy sufficiency in Tanzania.

The team prepared a pre-paid water metering system which could operate in two modes; first as a Point of sale (POS) and a household pre-paid meter. When operating as a POS, payments can be made by using coins or through mobile money services.

"This indicates that we have talents. If we invest in them we can be in a position to compete internationally," Ms Msoka noted.

Another development was a web based platform called Agricultural Routine Data System (ARDS) that was established in 2014 by the UDSM's department of Computer Science and Engineering (DoCSE) to help collection and dissemination of agriculture, livestock and fisheries data in Tanzania.

Local government extension officers were trained on how to use the system and it has since helped them analyze information through various analytical tools like pivot tables, data visualization and geographical information system (GIS) plugins.

It has also enabled the users to monitor key indicators within the agricultural sector and track performance in various strategic and operational areas for timely and accurate results.

Despite the huge potential, Tanzania's education system is still a problem; it does not adequately impart students with innovative and entrepreneurial skills, according to Mr Moses Ismail, an academician at Udicti. "Even students with inventive prospects do not receive enough support from the government and society to bring their ideas to fruition," he said.

He explained that another challenge is the gap between the industry and academicians. There is no close contact between the two, something that makes it difficult for academia to know exactly what the other needs in order to fine-tune curricula and the whole system of teaching.

"We academicians are richly aware of different ideas and knowledge that can be used in the field because we conduct multiple researches. This could work out best for the community if the government and other industry stakeholders trusted and consulted academicians and researchers before any implementations," he elaborated.

Udicti has started charting strategies for bridging the gap between academia and the industries. Udicti is currently creating a post-graduate management system through a web portal that will connect scholars and other professions countrywide for idea sharing and execution. This will also help researchers to directly meet and pinpoint actual needs of the society.

It will also help young professionals to cultivate creativity to achieve the goals of their inventiveness. Mr Ismail has asked the government to invest heavily in research by increasing the budget, to facilitate thorough technological explorations and innovations.

a
 
Ila napenda kusema kuwa vyote nakubaliana navyo kwa asilia 100% pamoja na nyongeza ya Mkuu stephot kwamba WABINAFSI

Ingawa huu uzi lengo lake lilikuwa ni kutaka kujua nini tukifanye tuungane, na mimi sijajibu hoja kwa sababu nilikuwa nataka niwajuze na nyie hii habari niliyosoma kutoka AllAfrica.com.

Tukirejea kwenye hoja, binafsi mie ningependa kusema "Wepesi kukata tamaa" ni tatizo langu na nimeona hilo kutoka kwa watu wengi.
Kwa nini mie nimekuwa nakata tamaa mapema kwa maana sijawahi kuwa naweka malengo kwenye kitu vitu ninavyopenda kufanya.

Kitu kimoja nimegundua, kuwa inabidi kuwa na watu munaoendana kitabia na mambo ya kufanya.
Kwa mfano hakuna siku ambayo nilijifunza mengi kama siku niliyokutana na Stefano Mtangoo .. Huyu mtu ni asset moja kubwa sana. Ana mawazo na uelewa mkubwa sana. Amefeli mara nyingi na amejifunza mengi. Mengi nimetoa kwake.

Turudi kwenye mada, ili watu waweze kuungana inabidi tuweze kupata kitu/ vitu vya kutufanya tuweze kuwa pamoja. Mfano, more tech centers isiwe Buni tuu.. Ziwe zaidi ya 50. Hii itasaidia watu kuwa pamoja zaidi na wenye mawazo sawa. Hapo ndio unarudi kwenye "Gov Policy", kusema ukweli sijaona kama tehama ni kipa umbele kwenye mkakati ( naomba nirekebishwe kama sikuona ilipo). Ila hapa ningependa nilaumu makampuni ya mid-size ya IT kwa Tanzania, kwani hapa ndio wao walitakiwa watumie nafasi, kwa ku-host small meetings about tech ili kupromote technology na vile vile kwa wao kujitangaza kwa bureee, na pia kupata talent mpya kwa kampuni zao. Hii natoa challenga kwa kampuni kama Fasthub , Raha , na mengineyo mengi..
Kitu kingine ambacho tunatakiwa kufanya ni "kupromote tech kwa watoto na sio wazee", hii itasidia sana kubadilisha mtazamo wa watu kwa muda mfupi sana.

Nawakubali sana Jumanne wa Buni, J.P, Feruzi wa Kinu, na wengi ambao nimekutana nao.

Safari bado ni ndefu. Tutafika tuu. Tusilaumu kila kitu. Tuwaunge mkono wanaojaribu kufanya vitu.

Source: Tanzania Software Developers Fail to Seize Rare Chance


Nimekuelewa sana mtaalam
 
I'm not sure that will work either. Tulitafutana Developers tukachangishana na kuanzisha forum ila haijawahi take off kwa sababu ya lack of contributors. Watu wako tayari kusaidia maswali lakini wauliza maswali hawapo!

Forum Yenyewe ni hii hapa: Tanzania Technocrats Forums

WhatsApp pia haisaidii. Kama alivyosema njunwa hapo ni vigumu kutafuta topic ambayo imeshajibiwa ikusaidie kwenye WhatsApp. Pia kwa kuwa Programming ni kubwa na pana hamuwezi kuwa na group moja la kutatua kila tatizo.

Baada ya kusema hayo, sioni njia ya kuwasaida developers wa Tanzania kama hawajaamua kuunga mkono juhudi za kuwasaidia. Miaka inasonga na wengine umri uakimbia, who knows when I will wake up next second in heaven and say bye to earth? Na maujuzi yote nitakufa nayo na huko niendako hayatahitajika.

As I said before I have tried every way, laki ndio hivyo tena mwamko sifuri. Nadhani kwanza tuunge mkono juhudi za walioanza. Sio lazima uwe founder ili uache legacy. Hata kuwa contributor pia ni legacy.

Wasalaam!

Utusamahe bure mtaalam maana atujue tulitakalo. 🙂
 
Dah mkuu aise kiukwel na mimi nilikua na idea flan hvi we can do something kwakwel
 
Hakika sisi ni madevelopers wabinafsi. Hadi sasa no progress, kweli Poor produce Poor 🙂
 
Hakika sisi ni madevelopers wabinafsi. Hadi sasa no progress, kweli Poor produce Poor 🙂
Inabidi wewe ndo organize watu...kama ulivokwisha jitolea na kuwaweka katika forum fulani!

Yaani wewe muanzisha thread hii ilibidi ujitolee kutoa guides na kuwapata watu walio na utayari wa kuunga mkono katika kuungana kushare knowledge!
 
Inabidi wewe ndo organize watu...kama ulivokwisha jitolea na kuwaweka katika forum fulani!

Yaani wewe muanzisha thread hii ilibidi ujitolee kutoa guides na kuwapata watu walio na utayari wa kuunga mkono katika kuungana kushare knowledge!

Ni kwel ila niliwaambaia ambao wako interested wanichek fb tuanze mchako wa kushare ideas lakin wamerespond wawil mm nifanyeje hapo mkuu em we sema.
 
Hakika sisi ni madevelopers wabinafsi. Hadi sasa no progress, kweli Poor produce Poor 🙂
tupeane moyo na kuleta mchango chanya..
sio tutupiane vijembe.. na kulaumiana..!!

kwa mfano ungeweza kutengeneza pool hapa ..ya kuomba vitu gani vinaweza vikafanywa ili tuweze kuungana...
naona kuna watu wameenda inbox Detective J na PATO8221, kwa nini wametoka nje ya uzi na kwenda inbox?

Tungeaza kwa kutoa mapendekezo mambo gani yanaweza kufanyika ili devOps waweze kuungana..
 
Back
Top Bottom