Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
DW inunuliwe!!!!Ikiwa magufuli na nape hawatachukua hatua juu ya Dutch Wells,aidha kwa uchochezi au kununuliwa na wafanyabiashara,bac nitaelewa kuwa wanaochukuliwa hatua kwa uchochezi wanaonewa kwakua ni wapinzani.vinginevyo akubali yy,muhongo,warioba ni waongo wa kitaifa !