Deutch Welle-Swahili: Njaa Sengerema yasababisha familia kuhamia kwa mwenyekiti wa kijiji

Kijiji cha Isome sengerema wanaisoma sasa, sijui hicho kijiji nao walikuwa wapiga dili au nikauli za kukomoana!
Wababa mumefanya vema kukimbia familia zenu, maana mungesema wangesema hamtaki kufanyakazi, na uzuri hao wakezenu ndo waliomchagua m/kiti huyo na selikali hii ambayo aitambui njaa na ukosefu wa pesa.
Walikuwa wanakula hela za wapiga dili. Kwani serikali haikujua tunaishi kwa kutegemeana? Makosa yalikuwa pale alipoamua kununua ndege badala ya kuwawezesha wananchi wavijijini.

Kosa jingine kukazana na pool table za mijini, unasahau vilabu vya pombe za vijijini. Eti hamna pombe saa za kazi, huko bila pombe shambani hamna kinachoendelea.
 
Ikiwa magufuli na nape hawatachukua hatua juu ya Dutch Wells,aidha kwa uchochezi au kununuliwa na wafanyabiashara,bac nitaelewa kuwa wanaochukuliwa hatua kwa uchochezi wanaonewa kwakua ni wapinzani.vinginevyo akubali yy,muhongo,warioba ni waongo wa kitaifa !
 
Watasema: "Mbona kina Mama hawa (pichani) wanaonekana wana afya?" Wataongeza: Ni njama za Wafanya biashara na wana siasa wasioitakia mema Serkali... watasema pia "Hii picha ilipigwa mwaka 1970....." Na mambo kama hayo...
 
Hiyo DW inajulikana ndiyo "sauti" ya watu wenye misimamo inayokinzana na serikali ya Tanzania, sijui wana maslahi gani na nchi hii? Anaejua anijuze
_20170120_181248.JPG
 
Nimemsikia mama mmoja wa Sengerema akihojiwa na sauti ya Ujerumani kuhusiana na balaaa njaaa.Amedai anakaaa kwa siku nne bila kula watoto wanalia vibaya na wamelazimika kuhamishia familia zao kwa mwenyekiti wa kijiji baaada ya waume kuzikimbia familia zao.Daaah kama hali itaendelea hv itanibidi tu nihamie chato tukamalizie ujenzi wetu wa chato international airport.
Huyo mama atafutwe AWEKWE SEHEM SALAMA kwa MAHOJIANO
 
Kwa Kutumia Simu yangu na Earphone mda huu naskiliza DW huku nikiingiza transaction za biashara katika mfumo wa Komputa.

Nawasihi msikilize hii redio habari zake ziko tofauti sana na Redio Uhuru ambayo hutangaza kwa kuogopa.

Pia Vituo vingine vimeshaingia woga baada ya Kupigwa Mkwara.

Reucherau
Nchini Tanzania,wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.

Naona chadema walikoenda kumshtaki Magu ndo nchi zao zinatumia vyombo vyao vya habari kuichafua image ya nchi ili ionekane serekali imeshindwa!.
JP kanyaga twende ili waendelee kuisoma namba.
 
Burundi watu wameanza kufa kwa njaa na burundi ni majirani zetu ukame ukiwa kule na kwetu ni sawa serikali ya burundi imeshaomba msaada kwetu tunasubili tani hewa milion 1.5 kutoka serikalini
 
Hawana maslahi yoyote yale zaidi ya kutangaza ukweli wa yale yanayojiri nchini ikiwemo uwepo wa njaa.

Hiyo DW inajulikana ndiyo "sauti" ya watu wenye misimamo inayokinzana na serikali ya Tanzania, sijui wana maslahi gani na nchi hii? Anaejua anijuze
 
Na utandawazi huu utaficha wapi ukweli zama hizi??

Big mind hapo ktk picha kuna nn?haya niyawazayo ni hakika au mzugo wangu tu?Naona simba dume kampanda simba jike!hivyo kwa sentensi rahisi ni kuwa:

*Simba wanakula uroda/wanapeana uroda
*Simba wapo kushiriki tendo la ndoa
*Simba wanafanya ngono.
*Simba wametopea kwenye huba.
Simba dume anauingiza uume wake kwa simba jike!..

Siku njema mkuu.
 
Kwa Kutumia Simu yangu na Earphone mda huu naskiliza DW huku nikiingiza transaction za biashara katika mfumo wa Komputa.

Nawasihi msikilize hii redio habari zake ziko tofauti sana na Redio Uhuru ambayo hutangaza kwa kuogopa.

Pia Vituo vingine vimeshaingia woga baada ya Kupigwa Mkwara.

Reucherau
Nchini Tanzania, wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.

Huyu mrush.matangazo yao doto bulengu usishngae siku si nyingi hjulikani aliko maana naona yeye ndo anarusha sana matangazo ya njaa huko d.w
 
Kwa Kutumia Simu yangu na Earphone mda huu naskiliza DW huku nikiingiza transaction za biashara katika mfumo wa Komputa.

Nawasihi msikilize hii redio habari zake ziko tofauti sana na Redio Uhuru ambayo hutangaza kwa kuogopa.

Pia Vituo vingine vimeshaingia woga baada ya Kupigwa Mkwara.

Reucherau
Nchini Tanzania, wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.

Huyu mrush.matangazo yao doto bulengu usishngae siku si nyingi hjulikani aliko maana naona yeye ndo anarusha sana matangazo ya njaa huko d.w
 
Back
Top Bottom