Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
David Shilime (Diwani), William Nengo (Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B) na Tiluloza Alfonce (Afisa Mtendaji) wote wa Kata ya Buzilasoga Wilayani Sengerema ni kati ya watuhumiwa 14 wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya Getruda Dotto mkazi wa kijiji hicho wakimtuhumu kwa wizi wa mihogo.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.
Walimtuhumu Getruda kuvamia shamba la Scolastica John ambalo lilikuwa likimiliwa na mume wa marehemu lakini liliuzwa na wanaukoo bila kumshirikisha Getruda siku ya msiba wa mumewe, Ndebete Miharalo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema wanadaiwa kumshambulia kwa fimbo na rungu kisha kumchoma moto kwa vipande vya miti.