Huyu Mbowe anaweza "kummaliza" muda wowote, ana siri kubwa sana kuhusu kifo cha Chacha.
Hivi ule mpango wake na Diallo uliishia wapi? Na atueleze ile laptop ya Wangwe ilifikaje kwa Makamba Sr?
Huyu Mbowe anaweza "kummaliza" muda wowote, ana siri kubwa sana kuhusu kifo cha Chacha.
Mkuu hii kali!Katumwa tena! yarabi!
Hahaha...imenibidi kucheka tu
ACT inavuna wanachama kutoka CDM tu.
Sijasikia wafuasi wa vyama vingine wakihamia ACT.
Sijasikia CCM akihamia ACT.. Ni kutoka CHADEMA tu..
Kwanza deus ni kijana muhuni njaa ndiyo inamsumbua hilo liko wazi ana kaofisi kake pale ilala njaa tupu hilo liko wazi kwanza hana mchango wowote Chadema zaidi ya kupata umaarufu kupitia kifo cha chacha wangwe
Ushauri Wa bure kwako Zitto Zubeir Kabwe, usimpokee DEUS MALLYA ni pandikizi linalokuja kwa kazi moja tu ya kukufinito!. Watch out comrade!
Zzk anazidi kuumbuka,alisema act hajaanzisha yeye lakini jana amekiri wazi kwamba amekianzisha,"chacha died,i won't" zzk anajua jinsi alivyomtumia huyu dogo malya na sasa malya anamfata boss wake act.
Duu sasa hakika chadema inakufa kila leo...