stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
Zitti amefubaa,
Hujalala tu mkuu,na bado huu ni mwanzo tu saccos yenu itakosa ruzuku mwakani
Zitti amefubaa,
Inasemekana(tetesi) alitumwa na mbowe kumuua Wangwe
haha...tena wakisema hivyo watalazwa njaa..wakihama labda iwe kimya kimya.Itawadrain CCM vibaya.Sijasikia CCM akihamia ACT.. Ni kutoka CHADEMA tu..
Mbowe choo imembana ,ile siri aliyokua anatunza itakuaje sasa?
ACT inavuna wanachama kutoka CDM tu.
Sijasikia wafuasi wa vyama vingine wakihamia ACT.
Khaaah! hata huyo aliekuwa akimponda Zitto kajiunga ACT?
Kumbe Zitto alikuwa na nguvu ana aliungwa mkono na wengi ndani ya chama ndio maana Mbowe akahifia kupiteza kiti.
Naamini chadema watabaki aki na Mzee Mtei.
karibu mzalendo
Habari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.