Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

ACT inavuna wanachama kutoka CDM tu.

Sijasikia wafuasi wa vyama vingine wakihamia ACT.

Haivuni mwanachama yeyote wa chadema, ni mapandikizi yaliyokuwa na zitto kule chadema yameshindwa kukamilisha mission yao sasa yanarudi kule yalikoandaliwa maana huku yalitupwa kule!!!!
 
ACT ndiyo hamna kitu kabisa! Wanamfata msaliti, ndoto hazita timia kamwe. Tumewalea wenye we hao, wameota mapembe wanajiona wakubwa! Subirini kifo cha mende.
 
acha tabia za kike wewe unaejiita mwanaume wakati mtaani hamna kitu changia mada acha dharau wewe,una mahaba mazito na Act basi na wewe karibu maana umeona donge sana,uko mp nini una hasira sana

Ha,ha,haaaaa,haaaaaaaa.... akili ndogo bana,sasa mbona haya maneno nilishaambiwa siku nyingi sana halafu unayarudia tena nilishayazoea haya.back to the topic naona wote manojiunga huko ni rejects au ni watalikiwa wa hicho chama kingine,halafu wooote lugha zenu ni hizo tu. Halafu mbona unakuwa mkali sana au ndo hiyo kwamba kukataliwa kubaya?? Pole sana
 
Haivuni mwanachama yeyote wa chadema, ni mapandikizi yaliyokuwa na zitto kule chadema yameshindwa kukamilisha mission yao sasa yanarudi kule yalikoandaliwa maana huku yalitupwa kule!!!!

Yaan ACT nawashangaa sana.
Kila dakika ni kuzusha habari tu za wafuasi wa CDM kuhamia ACT. Kwa propaganda hizi wanazidi kutuambia kuwa
1. Adui mkubwa kwao ni CDM.
2. ACT ni tawi la CCM, otherwise wafuasi wa CCM wangehamia ACT.

Time has all the answers we need.
 
Wametumwa na ccm wahakikishe cdm na ukawa wanasambaritika ila wameshindwa

Tena wasipoangalia wataangukia pua uchaguzi wa OCT. ZZK jana aliingia mitini baada ya kushindwa kujibu mvua ya maswali, mojawapo likiwa chanzo chao cha mapato.
 
kwanini alipata msamaha wa rais baada ya kufungwa kwa mauaji ya wangwe ?
 
Hii nayo ni habari? Watu wanatafuta umaarufu kwa kila njia.
 
]Hata Habib Mchange aliitisha vyombo vya habari akasema mauaji yote nchini yamepangwa na Chadema[/COLOR]. Nakumbuka kuwa lile tukio la Mwangosi alisema Chadema waliandaa mpaka mpiga picha ili awe tayari kuchukua kila hatua wakati ambao Chadema wanamshughulikia Mwangosi! Huyu Malya atakuwa anatoa tu remix ambayo original copy haiku-hit kabisa!


Alafu Kova na intelegensia yake hawakuhangaika naye awape Ushahidi wa Maelezo yake.
 
objective yao ni kuangusha chadema, sio kuipinga serikali iliyoko madarakani! poor Tanzania

Hao wanaotangazwa kuwa wameihama chadema ni masalia tu ya wasaliti nasikia.
ACT ni majanga kwa ukombozi wa TZ
 
Back
Top Bottom