Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Hamjui kuwa wengi tumejiunga na cdm kwa ushawishi wa zitto?sasa mnataka tuondoke kumfuata Zitto kutoka ccm wakati tulikuwa cdm?Lawama ziende kwa mbowe slaa na lisu mtoa p.o.vu
Anayosema Zitto na yanayofanywa na wafuasi wake ni vitu viwili tofauti.

Zitto siku zote muda utakuwa unakuumbua.Unasema adui yenu si UKAWA ila ni CCM lakini wacha tusubiri kusika huyu jamaa atasema nini.

Wakati unasema nyie kama ACT hamtaki kuangaika na wapinzani ila kauli ya huyu itakuwa kinyume kwani niwazi anapanga kuisema vibaya CHADEMA.

Zitto bora uwe unakaa kimya tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nn watu wenye akili kupoteza mda wenx kujadili kikundi kiitwacho act.? Jadili namna cdm itakavyo ingia ikulu 2015
 
Ha,ha,haaaaaa, na wewe mwalimu uko act..!!??? Kumbe hiki chama kimejaza wahanga wa mapenzi duuuuh!! Mods nawashauri threads zooote zinazohusu hiki chama zipelekwe MMU tafadhali sana

acha tabia za kike wewe unaejiita mwanaume wakati mtaani hamna kitu changia mada acha dharau wewe,una mahaba mazito na Act basi na wewe karibu maana umeona donge sana,uko mp nini una hasira sana
 
Mbona wanahama watu duni tu, MTU aliye timamu hawezi kujiunga na hilo tawi la ccm
 
acha tabia za kike wewe unaejiita mwanaume wakati mtaani hamna kitu changia mada acha dharau wewe,una mahaba mazito na Act basi na wewe karibu maana umeona donge sana,uko mp nini una hasira sana

NILIJUA WA KIKE NIKAMPUUZA KUMBE ni dume ila nahisi kuna tatizo mahali.

MAANA ANAJICHEKESHA CHEKESAHA SANA.
 
Hawa bana sio wapinzani bali ni kigenge cha watu wanaotaka ni wenye nia na wanatumika kuudhoofisha upinzani au mfumo wa vyama vingi kwa ujumla wake!!
 
Tunaomjua Mallya hatuhangaiki nae na ACT endeleeni kujidanganya
 
Hata Habib Mchange aliitisha vyombo vya habari akasema mauaji yote nchini yamepangwa na Chadema. Nakumbuka kuwa lile tukio la Mwangosi alisema Chadema waliandaa mpaka mpiga picha ili awe tayari kuchukua kila hatua wakati ambao Chadema wanamshughulikia Mwangosi! Huyu Malya atakuwa anatoa tu remix ambayo original copy haiku-hit kabisa!
 
Back
Top Bottom