Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Habari wadau wa JF,

Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.

"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"

Mwisho wa Kunukuu.

Na aondoke tu,kwani haiwezekani kuendelea kukaa na vilaza wafuata mkumbo,au waliopo mahali kwa sababu fulani yupo hapo.Toka haraka tu,usitujazie inzi
 
Katumwa aka mchacha wangwe kiongozi mkuu wa ACT- wazalendo
 
Habari wadau wa JF,

Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.

"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"

Mwisho wa Kunukuu.
Mamuluki huyo katumwa na mbowe kuja kuwavuruga na kuwateketeza kama alivyomfanyia chacha wangwe.
 
sheriaa ya mitandao itafunga wengi...kwakwelii magereza yatajaaa
 
Huyu jamaa lazima huko ale sahani moja na roho ya Mwl.Kaijage au Zitto, wawe makini wasije kumfata Chacha mbele za haki.

Deus Malya ni Jasus mzoefu huko anaenda kuwapeleleza kininja kisha awapoteze kama alivyofanya kwa chacha Wangwe.
 
sheriaa ya mitandao itafunga wengi...kwakwelii magereza yatajaaa

Subirini Membe na January washike Nchi hata ukitema kohozi uwani kwako ni Jela tu, watajenga magereza kila kona hadi kwenye kata.
 
Naona target ya act ni chadema wala siyo ccm tena!
 
Ndg minyoo ukuje hapa huyu bwana huwa unamkandia sana
 
Last edited by a moderator:
Chacha Wangwe aliuwawa na ccm

Si kweli aliyemuua chacha wangwe ni mbowe kwa kuwatuma Mnyika, Kagenzi, kilewo , Lema, Mrema wa bungeni na Deus Malya, hii Timu ndiyo ilipanga na kufanikisha kifo cha chacha wangwe .
 
Upuuzi mkubwa. Mallya asiye na attention ya watu ndo anakuwa gumzo. Jana mimi nimetoka CCM kwenda ACT mbona hamnitangazi?
 
Back
Top Bottom