Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Amka kwenye hiyo ndoto uendelee na issues zako!!Duu sasa hakika chadema inakufa kila leo...
Amka kwenye hiyo ndoto uendelee na issues zako!!Duu sasa hakika chadema inakufa kila leo...
Habari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.
Kwa mwendo huu ACT itachukua dola
Mamuluki huyo katumwa na mbowe kuja kuwavuruga na kuwateketeza kama alivyomfanyia chacha wangwe.Habari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.
Huyu jamaa lazima huko ale sahani moja na roho ya Mwl.Kaijage au Zitto, wawe makini wasije kumfata Chacha mbele za haki.
sheriaa ya mitandao itafunga wengi...kwakwelii magereza yatajaaa
Katumwa aka mchacha wangwe kiongozi mkuu wa ACT- wazalendo
Inasemekana(tetesi) alitumwa na mbowe kumuua Wangwe
Chacha Wangwe aliuwawa na ccm
Haichukui dola wala paundi
Naona target ya act ni chadema wala siyo ccm tena!
mnaufurahia usaliti,ngoja mpandikiziwe mashushu ili muionje tamu ya usaliti ambayo sisi kwetu ni kitu kidogo munoo ,,ew mugaabo
Katumwa tena! yarabi!