white-frank mhiro
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 760
- 166
sina imani na uyu jamaa!!
Kama mabingwa wetu wa sheria hawawezi kuipinga mahakamani itabidi tutafute mbinu zingine, vinginevyo tumekwisha.sheriaa ya mitandao itafunga wengi...kwakwelii magereza yatajaaa
Katumwa tena! yarabi!
Yaan baada ya Zitto ni huyo kanjanga Millya?
Vipi mpango wake na Diallo umeishia wapi?
huu ndo muda wa yule msaliti(yuda) kufamya yake,,,
Tushuhudie kifo kibaya kibaya sana mwaka huu kwa chadema si mnasema zzk si lolote mbele ya chama? Kwa kuwamegea tu ivi mnakumbuka ule waraka mliousambaza makanisani kabla na baada ya uchaguzi? Kitaeleweka tu
Huyu jamaa lazima huko ale sahani moja na roho ya Mwl.Kaijage au Zitto, wawe makini wasije kumfata Chacha mbele za haki.
Hata mimi nimehisi the same.Yaani mchaga ahame chama cha wachaga wenzie?hapana hapa kuna kitu?Zitto awe makini inawezekana kapewa mision nyingine kama ya wangwe.
ACT inavuna wanachama kutoka CDM tu.
Sijasikia wafuasi wa vyama vingine wakihamia ACT.
Mkuu mbona tupo wengi tumevunwa ACT wazalendo
Duu sasa hakika chadema inakufa kila leo...
Muuwaji wa wangwe kajiunga na act... That speaks volumeHabari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.