Hahaha, hii ndio Tanzania bhana, kutana na wasomi wachambuzi...wenye "njaa" na walio "shiba"
Kuna kipindi niliwahi kumuona uswahilini akila kilaji......
Bongo hapa watu wana namna nyingi za kutafuta maisha...JK huko alipo atakuwa ana mengi Sana kuyasimulia
Kuna post umereply hapo juu kuhusu jamaa kuwa wakala wa kanisa imenishangaza! Nasoma sana maandiko yako humu jamvini, na naweza sema kuwa ur better than that!
Nimeangalia mahojiano hayo, sijaona baya lolote kwa jamaa, na amejaribu kuponda kimtindo tawala hizi za Africa mashariki kuhusu tume za uchaguzi na matumizi ya vyombo vya dola kama polisi kuwanyanyasa wapinzani!
Watu wa aina hii wasikushangaze sana kwani Tanzania wapo wengi wengi sana. Mfumo wetu wa utawala na ulimbukeni wa wa wananchi ndio unawafanya wa-survive. Tena wana maisha mazuri mara mia ya mtu anayechapa kazi. Umeshamsikia mtu anayeitwa LeMutuz? Unajua anafanya kazi gani? Kina Pasco wana kazi gani? List ni ndefu mno na na wengi wamejipachika kwenye siasa. Kwa kifupi mfumo wetu wa maisha hauko fair. Unatoa nafasi kubwa kwa watu wajanja janja kuvuna kwa urahisi na wachapakazi kusota sana huku wakiambulia kidogo.Huyu anaishi vipi?
source ya kipato chake ni nini?
isije kuwa CCM ndo wanamlipa kwenye hizi 'harakati' zake
Haina wakala sbb msikiti unaamini tz ni ya wote, lakini upande mwingine unaamini tz ni ya kwao naona tabia hiyo walirithishwa kutoka kwa mkoloni mwingerezaUnaonekana unajua mengi, tuambie wakala wa misikiti kwenye utawala wa Magufuli ni nani.?
Sijakuwelewa mkuu, unamaanisha taasisi Na mashirika mengi yaliyopo nchini yapo kwa mpango maalumu.?Toka Magufuli ashinde amekuwa kimya saana
lazima umsahau......'mission accomplished'
Sijakuwelewa mkuu, unamaanisha taasisi Na mashirika mengi yaliyopo nchini yapo kwa mpango maalumu.?
Tatizo lako dini imekufanya kuwa mtumwa wa fikraHu
Huyo ni wakala wa kanisa, alitumwa kumchosha JK, muhula ulipoisha na yeye kazi yake imeisha
Ccm visiwani yajizolea ushindi wa kishindoHata vyombo vya habari vya hapa Tanzania wewe uliona vinazungumzia uchaguzi wa Zanzibar ule wa Marudio, zaidi ya kuonesha na kuandika jinsi "Mshindi" alivyoapishwa? Yalaah nimejikwaa kidole!!
Wewe unamshangaa kibamba wakati mkapa anaenda kupatanisha warundi wakati zenji watu wana madonda ndugu?Manake hadi ahamie habari za Zambia ina maana hapa kwetu kuko 'shwaari kabisa'
ndo linalo nishangaza
Wacha mambo ya udini wewe kwenye kila jambo, punguaniHu
Huyo ni wakala wa kanisa, alitumwa kumchosha JK, muhula ulipoisha na yeye kazi yake imeisha
NdioMkuu umeelewa vzr kilichoandikwa?
Jamaa ni kweli anajiamini sana ila ujue kuwa ccm wana njia nyingi za kupandikiza watu waoHuyu jamaa ana confidence na yuko vizuri... Kama umeanza kumfuatilia muda utajua
Mimi siongelei kipindi cha leo, vipindi vyake vya nyuma kuhusu TanzaniaMkuu umeelewa vzr kilichoandikwa?
Unaenda wapi mkuu au unaenda kiwila?Baada ya andiko lako naondoka .
Umeishiwa mipango weweKwa hiyo siku hizi mnawapangia cha kuzungumza? Kama hakuna cha kuzungumzia Tanzania ni lazima azungumze?
Pia pesa uvunja milima mikubwaYuko wapi yule aliyesema; Pesa inafanya Dunia izunguke.
Wala sishangai ukimya wa Kibamba na wala ukimya huo si wa bahati mbaya.