Kipengele kivipi?mimi ikifika saa 3, nataka kuona meseji ya crdb inaingia, piga picha deposit slip nitumie for record ...hela yangu inabidi iingie mwisho wa siku husika, na nikiona hujali gari kwenye usafi na uendeshaji nakunyang'anya papo hapo, ukakae mtaaniIla tuende mbele turud nyuma kama angekua analeta hesabu zinazoeleweka usingemtimua maana kupata kijana wa kuleta hesabu mjini ndo kipengele
Gari mpka ana*iria mashoga wa Magomeni, kumbuka siku namfuma alikuwa anatafuna shoga, nilichukizwa sana,Yaani mimi kama analeta hesabu zangu vizuri na gari haipati hitilafu za mara kwa mara na inakuwa katika hali ya usafi, he is good to go. Ntamkanya kuhusu tabia yake ili angalau kumpunguzia speed ila chombo ntamwachia tu. Maana huyu ni bora zaidi ya yule anayechomoa spea anaziuza na kusingizia zimekufa.
Kama alikuwa analeta hesabu vizuri wala haikuwa na haja ya kumfuatilia.Gari mpka ana*iria mashoga wa Magomeni, kumbuka siku namfuma alikuwa anatafuna shoga, nilichukizwa sana,
Sasa boss Kama hesabu yako unapewa bila shida na gari anaitunza vzr shida iko wap hiyo ndo starehe yakeWakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.
Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.
Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.
Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.
Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.
Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Hawezi kuwa na tatizo ikiwa ndo kwanza kaanza kazi. Mpe muda.Huyu mwingine analeta hana tatizo
Ndo umeamua kuja kunisema huku, na hautakaa upate dereva anayekuletea hesabu zilizokamilika kama mimi maana nawajua madereva walivo, ni kweli nilikua nafanya hivo ila kazi nilikua napiga kisawasawa maana hiyo ndo motivation yangu
Yaanii, dahjf kila mtu boss😂
🤣🤣🤣 amesema maboss wa bolt wana kutana sana na changamoto hizoHuyo alienyang'anywa gari atakuwa ndio wewe, maana matajiri huwa wanakabidhi na sio kukabizi
🤣🤣🤣 We nae ni kachonganishii🤣🤣🤣 amesema maboss wa bolt wana kutana sana na changamoto hizo