ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
Kuna ile inatokea dereva kazoeana na Afisa kama unavojua siku hizi wafanyakazi ni vijana unakuta dereva na boss wote ni washikaji wanakunywa pamoja sasa inatokea dereva labda kachoka au kalewa au kampa demu lift anaamua kumuachia boss aendeshe ili yeye Akakae nyuma adozi aisee ile ni hatari sana kumbuka boss hajazoea safari Ndefu usiku kuna mambo mengi kuna kupigwa full light na magari makubwa kuna kukwepa mashimo na kisha Kupoteza control kuna mambo mengi sana ya kusababisha ajali kama huna uzoefu.
Msala utabaki kwa dereva kama akipona ofisi itamuhoji kwanini alimpa mtu asiyehusika dereva utaulizwa kwanini tusikufukuze kazi?
Msala utabaki kwa dereva kama akipona ofisi itamuhoji kwanini alimpa mtu asiyehusika dereva utaulizwa kwanini tusikufukuze kazi?