benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Oswald Kaijage (39) mkazi wa Buswelu kwa tuhuma za kusababisha ajali katika eneo la Kiseke mkoani humo na kupelekea vifo vya watu 6 na wengine 16 kujeruhiwa
Ajali hiyo ilitokea siku Jumamosi nyakati za asubuhi katika eneo la Kiseke Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza ambapo Dereva huyo akiendesha gari lenye namba za usajili T 476 DZL aliwagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi na kusababisha vifo 6 na majeruhi na kisha kukimbia kusikojulikana.
Pia soma
- Mwanza: Watu 6 wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi
Ajali hiyo ilitokea siku Jumamosi nyakati za asubuhi katika eneo la Kiseke Wilayani Ilemela Mkoani Mwanza ambapo Dereva huyo akiendesha gari lenye namba za usajili T 476 DZL aliwagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi na kusababisha vifo 6 na majeruhi na kisha kukimbia kusikojulikana.
Pia soma
- Mwanza: Watu 6 wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi