Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Bongo fleva, Singeli inachangia ubajaji, ushoga?


  • Total voters
    47
  • Poll closed .
Malaya kibao wanajiuza pale buguruni kwa sh 2000 tu, unaenda kuhangaika na kitoto Cha miaka 6. Kuna vitu hata haviingii akilini ukiwaza Sana, unabaki kujiuliza hawa wenzetu ni vichaa?
 
Kwanza school bus inatakiwa kuwa na Matron wa kike how wote wawe wa kiume? Lakini pia hizi shule hazina ukaribu na madereva na matrons wanahusika na school bus, ilipaswa case kama hii ikitokea shule pia iwajibike.
 
mama ndio kasimulia au maelezo ya mtoto polisi? hivi umekula maharagwe ya wapi yarabi hata huruma huoni?
Ndio maana kuna mdau humu husema shule mlienda kusomea ujinga au ni kitu gani!? Tatizo mnafikiri kwa kutumia hisia na sio akili.

Akizungumza na Tanzania PANORAMA Blog, mzazi wa mtoto huyo (jina limehifadhiwa) amesema alibaini mtoto wake kufanyiwa kitendo hicho cha kikatili baada ya kulalamika mfululizo kuumwa na tumbo ndipo alipoanza kumdadisi jinsi anavyoumwa huku akimfanyia uchunguzi wa mwili.
Kwahiyo kwako hiyo panorama blog ndio kituo cha polisi?? Huyo mzazi ndo mtoto??

RPC Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amethibitisha kutokea tukio hilo na kueleza kuwa upelelezi umeishakamilika na jalada la kesi hiyo litapelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria.
Soma na hapo kama RPC kaongeza neno zaidi ya kusema uchunguzi umekamilika!!.
Ndio maana nikakwambia huenda ni kweli wamemfanyia vitendo viovu lakini si kama anavyotanabaisha huyo mama mtoto, kua muelewa kijana.

Na siwezi ona huruma kwasababu matukio kama hayo huwa yanapikwa, kule kenya mzee alinyea debe kwa 15 yrs kwa uongo walioutunga mama na mwanae(kua baba alimbaka binti yake). Tumia akili dunia ina watu wa hovyo sana.

Siku ukisingiziwa umebaka mpwa wako wa miaka 4, ndo utajua kumbe ndo inakua hivi, na mtandaoni unapopolewa kama unavowapopoa hao jamaa.
 
Wakati mwingine inategemea na mwenekano wa mtoto!unakuta litoto lina miaka 8 au kumi lakini kulingana na mivyakula anayokula anaonekana kama mtu mzima wa miaka 35,hii nayo nadhani inachangia matamanio kimaunekano
Kuna mmoja nilimsalimia buguruni Sheli pale bana miaka iyo Niko chuo. Shule za kishua. Sasa uko la ngapi eti la tano. Akanionyesha kweli daftari ikabidi nikimbie lile eneo..yaani Basi tu. Kuna mmoja Niko la Saba yeye la nne mwili mkubwa wa manyamanyama Yale manyama na matiti ya unene. Sasa jiulize balehe ilivyomkamata jamani. Basi ukikutana naye usimuangalie mno Mana utaamsha hisia za ngono na hisia Zina nguvu kuliko ubongo wa kawaida. Ishu kubwa Ni kuwa usiingize Ile stimulus sana
 
Hizo kazi za udereva wa magari ya shule ingekua ya wanawake kisheria kabisa ili kuondoa hayo mambo ya ukatili. Dereva na konda wake wawe wanawake mbona wadada kibao wanaendesha tena kwa umakini wa hali ya juu
 
Ndio maana kuna mdau humu husema shule mlienda kusomea ujinga au ni kitu gani!? Tatizo mnafikiri kwa kutumia hisia na sio akili.


Kwahiyo kwako hiyo panorama blog ndio kituo cha polisi?? Huyo mzazi ndo mtoto??


Soma na hapo kama RPC kaongeza neno zaidi ya kusema uchunguzi umekamilika!!.
Ndio maana nikakwambia huenda ni kweli wamemfanyia vitendo viovu lakini si kama anavyotanabaisha huyo mama mtoto, kua muelewa kijana.

Na siwezi ona huruma kwasababu matukio kama hayo huwa yanapikwa, kule kenya mzee alinyea debe kwa 15 yrs kwa uongo walioutunga mama na mwanae(kua baba alimbaka binti yake). Tumia akili dunia ina watu wa hovyo sana.

Siku ukisingiziwa umebaka mpwa wako wa miaka 4, ndo utajua kumbe ndo inakua hivi, na mtandaoni unapopolewa kama unavowapopoa hao jamaa.
Endela kutetea WABAKAJI, inatosha kusema endela kutetea
 
Miaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Subiri yakukute ndo utajua wanachafua au wanasafisha tena ww mtoto wako aliwe marinda akili ikukae sawa
 
Kuna haja ya hizi shule kila darasa mwalimu wa darasa aanzishe group la whtasap la wazazi ili kushare mapungufu na kusimamia maadili na usalama wa watoto.
 
Hizo kazi za udereva wa magari ya shule ingekua ya wanawake kisheria kabisa ili kuondoa hayo mambo ya ukatili. Dereva na konda wake wawe wanawake mbona wadada kibao wanaendesha tena kwa umakini wa hali ya juu
wawe wanawake na pia yawe rangi njano yote si WAVUTA BANGI WA BUZA eti ndio wanabeba watoto wa OLYMPIO na BUNGE PRIMARY.
 
Wakati mwingine inategemea na mwenekano wa mtoto!unakuta litoto lina miaka 8 au kumi lakini kulingana na mivyakula anayokula anaonekana kama mtu mzima wa miaka 35,hii nayo nadhani inachangia matamanio kimaunekano
There is no justification for molesting a child. None whatsoever! Zero! Nada!

Tena mtoto wa miaka 6! Pulizi!
 
Miaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Inawezekna ww sio mzaz wala hauna mtoto unayesomesha kaa kimyaa,ungekuwa hapa karb yangu ningekulabua makofi mawili ukae sawa.
 
Wakati mwingine inategemea na mwenekano wa mtoto!unakuta litoto lina miaka 8 au kumi lakini kulingana na mivyakula anayokula anaonekana kama mtu mzima wa miaka 35,hii nayo nadhani inachangia matamanio kimaunekano
Sasa utopoloo gani umeongea? Hii ni justification ya mtoto kubakwa??

We ni mzazi?
 
Inawezekna ww sio mzaz wala hauna mtoto unayesomesha kaa kimyaa,ungekuwa hapa karb yangu ningekulabua makofi mawili ukae sawa.
We jamaa acha ujinga ukiwa mzazi inatakiwa uwe makini sasa yani wanaume wawili tena wa kibongo wambake mtoto h mtoto wa miaka sita afu akaendelea kutembea vizuri tena akilalamika tumbo basi mbuzi nyie huu ni uongo mkubwa sana
 
Hawezi maana ni jembe fulani nimelelea Kihitler sana
 
Inakuwaje mzazi humkagui mtoto huko chini akiwa amelala au unamuogesha???unatakiwa umchunguze mtoto mwili wake
Kweli hapa kuna uzembe wa wazazi hasa mama. Na ndivyo ilivyo kwa watanzania wengi. Hawako karibu na watoto wao halafu wanapenda kuwakaripia hivyo watoto wanakuwa waoga kuwaelezea matatizo yao. Ni hivi: kama mzazi yuko karibu na mwanaye katu hawezi kufanyiwa kitendo kama hiki halafu aogope kusema. Tena mtoto mdogo kama huyu.
 
Back
Top Bottom